Afya class

Afya class Tunawasaidia wenye magonjwa mbalmbal kwa kutoa ushauri wa kitaalamu na miti dawa iliyofanyiwa tafiti

Afyaclasstz
23/05/2023

Afyaclasstz

09/05/2023
04/05/2023

WhatsApp Group Invite

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbu...
17/01/2023

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux

-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.

2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.

3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.

4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.

5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.

6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.

7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.

8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.

9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.

10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha

11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.

12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.

13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki

14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).

15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.

16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.

17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.

18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.

19.🖇️ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.

20.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.

21.🖇️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.

22.🖇️Kichefuchefu na kutapika.

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI

1.🖇️ Uvutaji wa sigara

2.🖇️ Unywaji wa pombe

3.🖇️ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk

4.🖇️ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa

5.🖇️ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana. Nk
Dr romy
Wa/me255620103064

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)-Zifuatazo ni dalili za mwanamke Mwenye PID:▶️ Maumivu ya kaw...
19/12/2022

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
-Zifuatazo ni dalili za mwanamke Mwenye PID:
▶️ Maumivu ya kawaida ama makali chini ya kitovu.
▶️ Kutokwa Uchafu usio wa kawaida Ukeni ambao ni mzito wenye HARUFU MBAYA wenye rangi ya maziwa ama njano.
▶️ Maumivu makali wakati wa kujamiiana.
▶️ Hupata homa(joto laweza kupanda mpaka 110 F (38.3 °C).
▶️ Maumivu makali wakati wa kukojoa na hupelekea Kupata ugumu wakati wa kukojoa.
▶️ Hupatwa na kichefuchefu.
▶️ Kutapika
▶️ Miwasho sehemu za
siri
▶️ Uchovu
▶️ Uke kuwa mlaini sana
▶️ Kizunguzungu
▶️ Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi.
▶️ Kuvurugika kwa Hedhi.
SABABU ZINAZOPELEKEA KUPATA PID
● NGONO ISIYO SALAMA
Hapa inakusudiwa kuwa na mahusiano ya kimapenz yasiyokuwa na uaminifu ambayo yanaweza kusababisha kuambukizwa vimelea vya PID
Mfano mwanamke ana mume wake akawa hajatulia basi huyu anaweza kubeba vimelea kutoka kwa mwanamke mwingine na kuvisambaza kwa mke wake
Pia mwanamke mwenye mahusiano na mwanaume zaidi ya mmoja yupo katika hatari ya kupata vimelea hawa wa PID

●UTOAJI MIMBA KIHOLELA (Abortion) NA KUHARIBIKA KWA MIMBA (miscarriage)
Hali hizi zote mbili zinapelekea mwanamke kupata maambukizi katika mfumo wa uzaz kwa urahisi kutokana na hali inayopatikana baada ya kutoka mimba na hasa asiposafishwa vizuri inakuwa rahisi bakteria kuingia na kuanza kukuathiri hivyo tunamshauri mwanamke ikitokea mimba kuharibika afanye jitihada kufika hospital ili asafishwe kwa haraka.

● MATUMIZI YA VIPANDIKIZI NDANI YA UTERUS (IUCD)
Mwanamke anayetumia vipandikizi k**a njia ya uzazi wa mpango huyu pia yupo katika risk ya kupata vimelea vya PID kwa urahisi zaidi

●KUPITIA DAMU YENYE VIMELEA VYA PID
Hapa hasa hasa katika nyakati za kujifungua (POSTPARTUM) PERIOD) ikiwa kuna kuchangia vifaa baada ya kujifungua Kuna uwezekano mkubwa wa kuambukizwa vimelea vya PID

●KUKAA NA UTI & FANGASI KWA MUDA MREFU
Hali hii inatokea kwa mwanamke ambaye amekaa na infections hizi za UTI au fangasi kwa muda mrefu anakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi ya pid kwa sababu fungus zinapelekea kuharibu na kuua bakteria wa ulinzi katika uke hivyo kupelekea kupata maambukizi kwa urahisi.
kwa msaada ushauri zaidi
255620103064

Dokezo la bawasiri
19/12/2022

Dokezo la bawasiri

Address

Ilala Pangani Street
Dar Es Salaam
1099

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya class posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram