Health Cunsultant

Health Cunsultant Nawafundisha WANAUME namna ya kukabiliana na changamoto ya NGUVU ZA KIUME

NILIKUWA NAITWA MWANAMKE 😭😭Namshukuru Sana   men Health Huyu ni mshauri wa afya ya uzazi kwa WanaumeNakumbuka nili Athir...
16/03/2024

NILIKUWA NAITWA MWANAMKE 😭😭

Namshukuru Sana men Health Huyu ni mshauri wa afya ya uzazi kwa Wanaume

Nakumbuka nili Athirika na kujichua (punyeto ) tangu nikiwa Secondary lakini Baada ya kumuelezea Changamoto ya NGUVU ZA KIUME ambayo ilikuwa inanisumbua alinipa Ushauri niliufuata na Nimepona kabisa

Sina Haja ya kutumia vidonge wala kupaka mkongo Kwa Sasa Nina Furaha na Mwenza Wangu Hakuwahi Kunidharau tena

Kabla sijapata tiba alikuwa akinikejeli sana na Wakati Mwingine kuniita mwanamke kwa Maana tukilala sina Maajabu Hivyo alikuwa akisema analala na Mwanamke mwenzake iliniuma sana 😭😭

Kuna wakati Hata nikikaa na Marafiki wakikaa wakiongelea kuhusu habari za mapenzi najisikia vibaya sana

unawezakuta MTU ANAJISIFIA KUWA ANATEMBEA NA MKE WA MTU KWASABABU MUME WAKE HANA MAAJABU

Na mimi nilikuwa nikifikiria nikaona k**a wananisema Mimi vile

Kuna wakati Nilikuwa nikisema Mke wangu Ana dharau Nikasema nataka niwe na Mchepuko Lakini mchepuko bila Nguvu za kiume Si Naweza kumaliziwa pesa Tu NDIPO NIKAAMUA KUMTAFUTA men Health Amenisaidia na kwa sasa niko GOOD 💪

Wanaume wenye changamoto ya NGUVU ZA KIUME Wapo Wengi sana ila Kwakuwa Changamoto hii ninYa aibu watu wengi wanaficha (Kumbuka Ukificha mtaani utaumbuka kitandani Ni Bora Upate Tiba kwanza Uwe Rijali💪)

Nakushukuru Sana Leo hii Naheshimika Kwasababu naonesha Uanaume wangu Mbele Ya Mwenza wangu

Ndugu zangu Hata uwe na pesa Nyingi kiasi Gani Lakini K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME wewe bado hujakamilika

Mtafute men Health Atakusaidia kwasababu anatumia Nia salama Kabisa Kuwatibu watu Wenye Changamoto ya NGUVU ZA KIUME

WhatsApp
0744280675

HII INAKOSESHA RAHA SANA  👇 Kwa jinsi Maisha yalivyo nguvu za kiume hazina tofauti na pesa Kwa Maana Mwenye nguvu za kiu...
17/07/2023

HII INAKOSESHA RAHA SANA 👇

Kwa jinsi Maisha yalivyo nguvu za kiume hazina tofauti na pesa
Kwa Maana Mwenye nguvu za kiume ndio anafaidi zaidi kuliko ambaye hana kwa lugha nyingi wewe ambaye huna nguvu za kiume ni Masikini wa kutupwa

Hivi utajisikiaje siku Mwenza wako anakuacha Ama unagundua kuwa anakusaliti kwasababu tu Huna nguvu za kiume

Anahitaji kufurahia tendo na kuridhika K**a huwezi kumiridhisha maana yake wewe ni Masikini wa nguvu za kiume

Unapitia hali ngumu pengine bado hujajua namna gani utaondoka na hali hiyo

Habari nzuri ni kwamba huna haja ya kuhangaika na wala huhitaji masharti kupata nguvu za kiume unacho hitaji ni kuweka utaratibu bora wa maisha na kutunza Afya yako

Kwa msaada zaidi Tuma ujumbe kwa WhatsApp kwa kuandika neno AFYA BORA Kwenda namba 0613748076

Unahitaji suluhisho la tatizo lako wakati ni sasa💪

K**A NI WEWE UTAFANYAJE 👇Wewe ni Mwanaume ambaye una changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume na ili uweze kushiriki ten...
15/07/2023

K**A NI WEWE UTAFANYAJE 👇

Wewe ni Mwanaume ambaye una changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume na ili uweze kushiriki tendo Watu wako wa karibu wakakushawishi utumie dawa za kuongeza nguvu za kiume (Mkongo,vidonge nk)

Na ikitokea unahitaji kushiriki tendo huwa unajipanga kwanza kuweka mambo yako vizuri kwa maana bila kutumia dawa hizo hutoweza kushiriki tendo ipasavyo

Ghafla mwenza wako anekuja bila taarifa na anakuhitaji kimapenzi na wewe dawa zako zimeisha utafanyaje ?

Huu ni wakati Ambao unatakiwa kujua ukweli.

Na ukweli ni Kwamba Changamoto ya nguvu za kiume sio ugonjwa hivyo huna haja ya kutumia dawa.

Matumizi ya dawa yatakufanya uwe teja wa kutumia kila wakati utakapo hitaji tendo bali haindoi changamoto moja kwa moja

Matumizi ya dawa yatafanya changamoto ya nguvu za kiume Kuwa sugu zaidi kwasababu unaboost kila wakati na unachosha misuli na kuharibu mfumo wa uzazi kwa kujaza sumu ama kupunguza virutubisho Mwilini

Matumizi ya dawa yanaweza kusababisha ugonjwa wa presha na kusababisha shida kubwa kwenye Moyo na ndio Maana watu wenye matatizo ya moyo wakitumia mara nyingi wanajikuta wanapoteza maisha kwenye tendo hii ni kutokana na dawa kufanya damu izungunge kwa kasi sana kitu ambacho ni hatari zaidi

By the way hivi unajua ipo njia salama kwa ajili ya kutatua changamoto yako ?

Nitakupatia elimu namna gani salama ya kukabiliana na changamoto yako bila kutumia dawa na ukiifuata hutokuwa na haja ya kutumia dawa tena namaanisha changamoto yako itakuwa imekwisha kabisa

Karibu katika darasa la afya nimeandaa Audio ambazo zinaelezea namna sahihi na salama ya kutatua changamoto yako

Kwa msaada Tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno AFYA BORA Kwenda namba 0613748076

UNAFURAHIA NINI KWENYE TENDO Wakati wa kushiriki tendo la ndoa kuna raha nyingi sana za kihisia ambazo huwezi kuzipata p...
08/07/2023

UNAFURAHIA NINI KWENYE TENDO

Wakati wa kushiriki tendo la ndoa kuna raha nyingi sana za kihisia ambazo huwezi kuzipata pahala popote duniani. Ni Raha za kipekee sana.

Ndizo raha ambazo zinamfanya mwananaume ajisikie K**a mwanaume Wa kweli pindi anapo shiriki tendo na mwenza wake.

kuna vitu k**a romance hii ni pale unapo muandaa Mwenza wako ina raha sana hii
kuna sauti ya mwenza wako ambayo ndio inakupa nguvu zaidi ya kushiriki
Kuna namna mwenza wako anapokupagawisha kwa staili zake na namna anavyo zungusha 😋

Asikuambie mtu hii kitu ina raha sana

Lakini hii ni Kwa Mwanaume Mwenye sifa zifuatazo

👉Anatumia muda mrefu kushiriki bila kuwahi kileleni
👉Uume Umesimama Imara
👉anarudi kwenye tendo kwa wakati na uwezo wa kurudia tendo zaidi na kadri anavyo penda

K**A HUNA SIFA HIZI HUWEZI KUFAIDI RAHA YA TENDO

👉Unawahi kufika kileleni
👉Uume unasimama kwa ulegevu
👉Unakosa hamu ya tendo na una chelewa kurudia tendo
👉Wewe ni komoja chaliii

HAPA HAKUNA UTAKACHO AMBULIA ZAIDI YA AIBU NA FEDHEHA

Ikiwa changamoto yako ni sugu

WhatsApp +255613748076/0613748076

Tuma ujumbe kwa kuandika neno AFYA BORA Kupata msaada wa Elimu ya BURE na Tiba suluhisho la tatizo lako.

MADHARA YA MSONGO WA MAWAZO KWA MWANAUME Je? unapitia changamoto ya msongo wa mawazo ? Kwa kawaida msongo wa mawazo ni m...
06/07/2023

MADHARA YA MSONGO WA MAWAZO KWA MWANAUME

Je? unapitia changamoto ya msongo wa mawazo ?

Kwa kawaida msongo wa mawazo ni mlundikano wa maswali Mengi kichwani ambayo hayana majibu ama suluhisho

DALILI ZA MSONGO WA MAWAZO

Dalili zinaweza kujionesha pale mtu anapoanza kukata tamaa ya kile alichokuwa akikifanya Kwa maana pengine ameona hawezi tena ama hakina faida

Dalili nyingine ni mtu kuanza kuwa na tabia mbaya tofauti na alivyokuwa Mwanzo mfano:- kunywa pombe,Kuvuta sigara Ama kuwa na kiburi

Dalili inaweza kujionesha kwa Kumuona mtu anaanza kujitenga na watu na kutaka kuwa peke yake kwa kipindi kirefu

SABABU ZA MSONGO WA MAWAZO
kwa kawaida tunajua kuwa kuwa na msongo wa mawazo ni k8ashiria cha tatizo fulani na yanaweza kuwa makubwa ama madogo.
Lakini baadhi ya matatizo ni hatari zaidi na mara nyingi ndio chanzo cha msongo wa mawazo

🔥Matatizo katika mahusiano,familia ama ndoa

🔥Matatizo ya kazi ama ajira

🔥Kupoteza wapendwa wako kwa kifo

🔥Kufanya kitu kwa juhudi kubwa na kisizae matunda ulio tarajia mfano:- Kuwekeza pesa kwenye biashara na ukapata hasara,Kuomba kazi kila wakati na ukakosa ikiwa una sifa za kupata kazi hiyo Pamoja na kukosa kila kitu unacho kitaka

Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinafanya mwanaume anapata msongo wa mawazo

MADHARA YA MSONGO WA MAWAZO
Kwa ufupi Msongo wa mawazo unaweza kuwa na madhara yafuatayo

🔥Kuwa na huzuni
🔥Kutamani kufanya kitu kibaya sana
🔥Kupungua nguvu za kiume
🔥Kupungua kwa uwezo wa kufikiri na kutatua matatizo yanayo kukabili

JE ? UNARIDHIKA NA  KIMOJA CHALI ?? Katika vitu ambavyo havifurahishi  na vina ongeza hofu kwa mwanaume ni kuwa mtu wa k...
06/07/2023

JE ? UNARIDHIKA NA KIMOJA CHALI ??

Katika vitu ambavyo havifurahishi na vina ongeza hofu kwa mwanaume ni kuwa mtu wa kimoja kila wakati

kila mtu anajua kuwa sifa ya mwanaume ni kwenda Raund zaidi ya mbili hapo tunaita wewe ni rijali

Lakini K**a wewe unaishia kimoja kila wakati ni aibu kubwa kwako na unapungukiwa na sifa ya kuitwa mwanaume

CHA KUFANYA

kula chakula chenye kujenga afya yako zaidi

Kula matunda kwa wingi

fanya mazoezi na pata muda wa kupumzika

ikiwa changamoto yako ni ya muda mrefu (Miezi 6- mwaka )

Tafadhali wasiliana na Mimi kwa kutuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno AFYA BORA kwenda namba 0613748076

Natoa elimu kwanza BURE kisha nitakupatia suluhisho la tatizo lako

USIKUBALI KUDHARALAULIWA KILA SIKU

SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO Kukosa Hamu ya tendo maana yake hisia  za kimapenzi zipo chini sana Hivyo kusababisha Mwa...
03/07/2023

SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO

Kukosa Hamu ya tendo maana yake hisia za kimapenzi zipo chini sana Hivyo kusababisha Mwanaume kupungua kwa uwezo wa kushiriki tendo

DALILI ZA KUKOSA HAMU YA TENDO

Dalili za kukosa hamu ya Tendo huwa hazijioneshi wakati wa tendo bali huanza kujionesha taratibu kwa idadi ya kushiriki tendo kwa kipindi fulani mfano ;-

K**a ulikuwa na uwezo wa kushiriki tendo Mara 15 Kwa Mwezi
Ikitokea Ndani ya Mwezi mmoja umeshiriki tendo Mara 7 Hapa tunasema Umeanza kupata Changamoto ya kukosa hamu ya tendo.

Dalili zinazidi kujionesha hata wakati wa kushiriki tendo Mfano;-

K**a ulikuwa na uwezo wa kushiriki tendo Kwa Raund 3 ikitokea Unaishia Raund 2 Hapo Hapo ni dalili inajionesha kuwa unazidi kukosa Hamu ya tendo

Dalili Nyingine Ni kwenye Uwezo wa Kurudia tendo K**a Ulikuwa na Uwezo wa Kuunganisha Raund ya kwanza na ya Pili, Ikitokea Umeanza Kutumia Muda Mrefu Kusubiri Raund nyingine Ujue Hapo Una Tatizo la Kukosa Hamu ya Tendo

SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO

Katika Hali ya kawaida Mwanaume Akikosa hamu ya tendo ni Wazi kuwa anakabiliwa na Mambo yafuatayo

👉MSONGO WA MAWAZO

👉TATIZO LA UMRI (uzee)

👉KUATHIRIKA NA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME

👉KUATHIRIKA NA KUJICHUA

👉KUUGUA KWA KIPINDI KIREFU
hizi ni Baadhi ya sababu ambazo zinamfanya Mwanaume kukosa hamu ya tendo la ndoa

MADHARA YA KUKOSA HAMU YA TENDO
Kuna changamoto ambazo zitajitokeza endapo Mwanaume atakosa hamu ya tendo

KUSHINDWA KUHIMILI TENDO KIKAMILIFU yaani kushindwa kumridhisha Mwenza wako

KUKUONGEZEA MSONGO WA MAWAZO ZAIDI

KUKOSA KUJIAMINI WAKATI WA TENDO kuwa na mashaka na hofu ya kushiriki tendo


JINSI YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO HII
Fanya Mambo yafuatayo ili Kukabiliana na changamoto hii ;-

kula chakula kwa kuzingatia mfumo wa mlo kamili ama kula chakula chenye manufaa zaidi kiafya bila kusahau matunda

Fanya mazoezi kwa muendelezo Jenga tabia ya kuwa mtu wa mazoezi usifanye kwa kujaribu fanya k**a sehemu ya maisha yako

kunywa maji na pata Muda wa kupumnzisha Mwili na Akili hii itakusaidia kukuondolea msongo wa mawazo

Upuka ama punguza matumizi ya pombe kali,sigara ama vunywaji vyenye kemikali nyingi ama vyakula vya mafuta Mengi

Ikiwa unahitaji Muongozo wa kufanya yote haya Ama unafanya haya na bado changamoto ni sugu Tafadhali Wasiliana Na mimi Kwa Kutuma Ujumbe WhatsApp 0613748076 Kwa kuandika Neno AFYA BORA

NB;- MUONGOZO WA CHAKULA MATUNDA NA MAZOEZI MAALUM NI BURE

K**A HUNA VITU HIVI KWENYE TENDO LA NDOA WEWE SIO RIJALIKuna vitu vingi ambavyo mwanaume unatakiwa uwe navyo unapofika w...
01/08/2022

K**A HUNA VITU HIVI KWENYE TENDO LA NDOA WEWE SIO RIJALI

Kuna vitu vingi ambavyo mwanaume unatakiwa uwe navyo unapofika wakati wa kushiriki tendo la ndoa na hivi ndio hudhihirisha urijali wako na k**a ikitokea vimekosekana jua hiyo ni changamoto kwako

Vitu hivyo ni👇👇

HISIA (Hamu)
Ili uweze kushiriki tendo la ndoa ni lazima uwe na hisia za kimapenzi ambazo ndio zitakusaidia sana kumuandaa mwenza wako na kupata morali ya kushiriki tendo na kumbuka hisia zikijengeka vizuri ni rahisi kusimamiasha uume na itakuwa ni rahisi pia kuwa na uwezo wa kurudia tendo ndani ya muda mfupi sana

MUDA WA KUFIKA KILELENI
Hapa ndipo pahala muhimu sana wakati wa kushiriki tendo kwani ili uwe na uwezo wa kufurahia tendo vizuri ni lazima utumie muda mrefu kwenye kushiriki kuliko kumuandaa mwenza wako na kumbuka unapotumia muda mrefu itakuwa ni rahisi sana kumridhisha mwenza wako kwasababu kwa kawaida mwanamke anatumia dakika 15-20 kufika kileleni na ikitokea ukatumia muda chini ya hapo itakuwa ni changamoto kwako

KURUDIA TENDO
Baada ya kumaliza raundi ya kwanza ni lazima mwanaume uwe na uwezo wa kurudia tena tendo na kumbuka wastani wa mwanaume kufika kileleni unaanzia dakika 8 na kuendelea na mwanamke ana wastani wa dakika 15 na kuendelea sasa ikitokea umetumia muda mchache kufika kileleni na ukakosa uwezo wa kurudia tendo utakuwa umeshindwa kumridhisha mwenza wako na kumfikisha kileleni na kwa kawaida mwanaume hatakiwi kutumia dakika zidi ya 7 kurudia tendo ikitokea dakika zimezidi mwenza wako atabaki na hamu na hatofurahia tendo

KUSIMAMISHA STRONG
Mwanaume kamili anatakiwa kuwa na uwezo wa kushimamisha uume kuwa imara zaidi hii itakusaidia kushiriki tendo kwa kujiamini zaidi lakini itakuwa ni rahisi kugusa maeneo ukeni kwa mwenza wako ambayo yanampa raha zaidi na kuweza kufurahia tendo

Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanadhihirisha kuwa wewe ni mwanaume rijali

K**A UNAJUA KUWA HUNA SIFA ZOTE AMA MOJAWAPO KATI YA HIZO HIYO NI CHANGAMOTO NA UNAHITAJI SULUHISHO

Nimekuandalia Audio ambayo itakufafanulia namna ya kuwa na sifa hizo ukawa mwanaume kamili

kwa msaada ziadi tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno MWANAUME KAMILI kwenda namba

WhatsApp
0746489976

MWANAUME RIJALI ANAPIMWAA KWA KUTUMIA MUDA MREFU KUFIKA MSHINDO SIO IDADI YA MAGOLI Soma hapa👇👇🛑kuna sababu nyingi zinaz...
30/07/2022

MWANAUME RIJALI ANAPIMWAA KWA KUTUMIA MUDA MREFU KUFIKA MSHINDO SIO IDADI YA MAGOLI Soma hapa👇👇

🛑kuna sababu nyingi zinazomfanya mwanaume kushindwa kudumu kwa muda mrefu kwenye tendo la ndoa nazo ni -:

●punyeto/KUJICHUA kwa muda mrefu.
●Magonjwa yasio ambukizwa k**a vile kisukari, pressure, ngiri,kuvimba kwa tezi dume,kuvimba kwa korodani, vidonda vya tumbo n.k
●Magonjwa ya zinaa k**a vile kisonono, kaswende n.k .
●Magonjwa ya mfumo wa mkojo k**a vile UTI sugu yaani UTI ya mara kwa mara.
●Uzito uliopitilza (kitambi/unene)

Jinsi ya kutatua hii changamoto ya kuwai kufika kileleni na kushindwa kuendelea na tendo la ndoa kwa muda huo

Tuma neno AFYA BORA kwenda
whatsApp
0746489976

UNAJUA MWANAMKE ANA TUMIA MUDA GANI KUFIKA KILELENI ?? Soma Hapa👇👇Moja kati ya changamoto kubwa  inayo waasumbua wanaume...
27/07/2022

UNAJUA MWANAMKE ANA TUMIA MUDA GANI KUFIKA KILELENI ?? Soma Hapa👇👇

Moja kati ya changamoto kubwa inayo waasumbua wanaume wengi kwenye swala la tendo la ndo ni kuwahi kufika kileleni

Takwimu zunainesha kuwa kila walipo simama wanaume 6-7 mmoja ana changamoto ya kuwahi kufika kileleni na kumbuka kufika kileleni mapema kabla ya mwenza wako ni udhaifu ambao huwaumiza wanawake wengi sana kwani ni wakati ambao mwanamke bado anahitaji kuendelea na tendo ila mwanaume inakuwa ni vigumu kuendelea kutokana na changamoto ya kuwahi mapema mno
Na kumbuka mwanamke ana uwezo wa kurudia tendo zaidi mara (2) na kumfikisha mwanamke kileleni haimaanishi ndio mwisho wa tendo
japo sio wanawake wote wanatumia muda unaofanana kufika kileleni

Muda muafaka unaotakiwa kwa mwanamke kufika kileleni ni miongoni mwa mambo yanayoumiza vichwa vya wanaume. Wengi wao wanajiuliza kuhusu muda wa kawaida ambao wanatakiwa kuutumia ili kuwafanya wake zao wafike kileleni.

Licha ya maendeleo ya kisayansi na uwepo wa tafiti nyingi za kitaalamu kuhusu suala hili lenye kuwatia wasiwasi wanaume, imebainika kuwa kila bara duniani linatofautiana na bara nyingine kuhusu muda muafaka ambao wanawake wanahitaji ili kufika kileleni wakati wanapofanya tendo la ndoa na waume zao.

Katika ripoti ifuatayo, utaweza kufahamu wastani wa muda ambao ulioneshwa na matokeo ya wataalamu waliofanya utafiti wa jambo hilo katika mabara mbalimbali ulimwenguni.

5. ASIA

Katika bara la Asia muda muafaka wa wanawake kufikia mshindo wa kilele ni dakika 2 – 5 kwa mujibu wa matokeo ya utafiti uliofanywa katika mataifa ya Japan, China, Korea ya Kusini na Thailand.

4. AUSTRALIA

Kuanzia dakika 5 mpaka 7 ndio kiwango cha wastani ambacho wanawake wanakihitaji katika bara la Australia ili kufika kileleni.

3. ULAYA

Hakuna tofauti kubwa kati ya wanawake wa Ulaya na wenzao wa Australia, ambapo ongezeko ni dakika moja tu. Wao wanahitaji wastani wa dakika 5 mpaka 8.

2. AMERIKA

Bara la Amerika hapa tunakusudia Amerika ya Kusini na Kaskazini kwa pamoja ikiwa ni pamoja na nchi za Caribbean k**a vile Jamaica, Panama na nyingine. Wanawake wa Amerika ya Kaskazini wanahitaji dakika 7-10 wakati wale wa Amerika ya Kusini wakihitaji dakika 9- 11 kufika kileleni.

1. AFRIKA

Kwa mujibu wa wataalamu, wanawake barani Afrika wanahitaji dakika 15 ili kufika kileleni, tofauti na wanawake wa mabara mengine.
Wataalamu hao wanasema kuwa hali ya hewa na mazingira vina athari kubwa katika kuwafanya watu kufikia umri wa baleghe na uwezo wa kitandani kwa wanaume na wanawake. Inaelezwa kuwa vijana katika bara la Afrika hufikia kiwango cha baleghe katika umri mdogo ikilinganishwa na mabara na nchi nyingine duniani.
K**A UMEKUWA UKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO YA KUWAHI KUFIKA KILELENI UNAHITAAJI SULUHISHO LA MAPEMA

Tuma ujumbe kwa kuandika neno KILELENI

Nimekuandalia Audio ya bure ambayo inaelezea sababu za mwanaume kuwahi kufika kileleni

WhatsApp
0746489976

Address

Mwananyamara
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health Cunsultant posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Health Cunsultant:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram