AFYA TIPS

AFYA TIPS Instagram

NI NANI ANAWEZA KUWA NA UGONJWA WA KISUKARI?Watu walio katika makundi yafuatayo wana uwezekano mkubwa wa kupata ugonjwa ...
03/08/2022

NI NANI ANAWEZA KUWA NA UGONJWA WA KISUKARI?

Watu walio katika makundi yafuatayo wana uwezekano mkubwa wa kupata ugonjwa wa kisukari:-

– Wenye uzito uliozidi,

– Wenye historia ya kuwa na wagonjwa wa kisukari katika familia zao,

– Wanawake waliozaa watoto wenye kilo 4 au zaidi,

– Watu wasiojishughirisha au wasiofanya mazoezi,

– Wenye shinikizo la damu,

– Wenye msongo wa mawazo na

– Wenye matumizi makubwa ya pombe na sigara.

Watu hawa wanashauriwa kupima sukari yao kila mwaka wakiwa na umri wa miaka 45 na kuendelea.

Kuna hatari kubwa ya kuugua ugonjwa huo ikiwa mtu ana mafuta mengi katika tumbo na kiuno chake kuliko katika mapaja yake. Mafuta katika kongosho na ini huvuruga uwezo wa mwili wa kudhibiti kiasi cha sukari kwenye damu.

Wavutaji wa sigara wanakabiliwa na hatari kubwa zaidi kwani zoea hilo hudhuru moyo na mfumo wa mzunguko wa damu na kubana mishipa ya damu. Kitabu kimoja kinasema kwamba asilimia 95 ya watu wanaougua kisukari ambao hulazimika kukatwa viungo ni wavutaji wa sigara.

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI

~ Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
~ Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
~ Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.
~ Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
~ Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
~ Wanawake kuwashwa ukeni.
~ Kutoona vizuri.
~ Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.
~ Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.
~ Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
~ Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.
~ Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.
~ Majipu mwilini.

Wenye dalili hizi wanashauriwa kupima sukari ili kubaini k**a wana kisukari. Dawa hii inasaidia kubalance sukari na kuwa katika standard inayotakiwa. Kwa ushauri na matibabu ya sukari nipigie 0683481046

MAUMIVU YA TUMBO NA VIDONDA VYA TUMBOVidonda vya tumbo ni ugonjwa wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula katika mwili wa bina...
03/08/2022

MAUMIVU YA TUMBO NA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula katika mwili wa binadamu, ambapo kuta za mfumo wa uchakataji wa chakula huchubuka. Ni vidonda vinavyopatikana ndani ya mfumo wa tumbo. Ugonjwa huu huathiri zaidi watu wazima na kwa kiasi kidogo sana kwa watoto wadogo.

Viashiria vya kuwa kuna tatizo la vidonda ndani ya tumbo ni; Kuwa na maumivu makali hasa baada ya kula, Kuumwa tumbo baada ya kula vyakula k**a dagaa, maharage na pilipili, Kuumwa mgongo au kiuno, Kiungulia, Tumbo kujaa gesi, Tumbo kuwaka moto, Kukosa choo au kupata choo kwa shida, Kutapika nyongo, kichefuchefu na Kushindwa kupumua vizuri

Na Vidonda vya tumbo huweza kuwa;
-Ndani ya mfuko wa tumbo kuu la kuhifadhi chakula na vikiwa huko hufahamika k**a Gastric Ulcers
-Sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba na huitwa Duodenal Ulcers
-Sehemu ya mwisho/chini ya koromeo la chakula na huitwa Esophageal Ulcers

Vidonda vya tumbo husababishwa na; Tindikali (Acid) inayopatikana ndani ya tumbo, Kutokula chakula kwa wakati unaostahili, Msongo mkali wa mawazo, Kula vyakula vyenye tindikali (acid) nyingi mara kwa mara, Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori) bacteria hawa huanza kushambulia baada ya kuta za tumbo kuchubuliwa na acid, Uvutaji wa sigara na matumizi ya vilevi vikali.

Tatizo la vidonda vya tumbo lisipotibiwa hupelekea; Kupata haja kubwa iliyochanganyika na damu, Kuchoka bila sababu maalumu, Kupungua kwa nguvu za ki-ume, Kizunguzungu, Sehemu za mwili kupata ganzi,, Kusahausahau na hasira bila sababu, pia Kukosa hamu ya kula. Vikishamiri sana huweza kusababisha athari zaidi.

Alovera plus ni dawa ya mimea inayotibu changamoto ya vidonda vya tumbo kwa kuponyesha michubuko kwenye kuta za tumbo na kuua bacteria wanaochagiza tatizo la vidonda vya tumbo. Na dawa hii haina madhara kwa mtumiaji.

Kwa Msaada zaidi Piga: 0768292946 au

WhatsApp link; wa.me/255683481046

Safisha Mwili wako tumia hii product  kuweka mwili wako sawa na kuepuka maradhi mbali mbali. Tupigie Kwa 0683481046
03/08/2022

Safisha Mwili wako tumia hii product kuweka mwili wako sawa na kuepuka maradhi mbali mbali. Tupigie Kwa 0683481046

Haya changamkia offer hiyo!
02/08/2022

Haya changamkia offer hiyo!

01/08/2022

Reposted from SAFARI ILIKUA NDEFU JAMANI
TANGU KWENYE UMODO
MPAKA KWENYE DADA MAPUA
🤥🤥
😀😀😀😀😀
Yaani hawana stress na vitumbo vyao😍 me hiyo nguo ya nandy tu 😃😃😃😃

Kipanda uso(Migraine) ni tatizo ambalo huhusisha mtu kupatwa na maumivu makali sana ya kichwa ambayo hutokana na sababu ...
29/07/2022

Kipanda uso(Migraine) ni tatizo ambalo huhusisha mtu kupatwa na maumivu makali sana ya kichwa ambayo hutokana na sababu mbali mbali k**a vile;

hali ya kutanuka kwa mishipa ya damu kichwani k**a vile mishipa aina ya Artery, 

mabadiliko ya mfumo wa damu yaani Blood stream na mabadiliko ya vichocheo k**a vile; kichocheo aina ya Serotonin ambacho huhusika na kudhibiti kiwango cha maumivu kwenye mfumo wa fahamu.

Vyote hivi huchangiwa na sababu mbali mbali k**a vile;

✓ Mtu kuwa na msongo wa mawazo

✓ Matumizi ya pombe kali kupita kiasi

✓ Kunywa vinywaji vyenye caffeine nyingi k**a kahawa N.k

✓ Kukosa muda wa kutosha wa kulala

✓ Matumizi ya dawa mbali mbali k**a vile; vidonge vya uzazi wa mpango n.k

✓ mabadiliko ya hali ya hewa mfano; Kuwa na jua kali pamoja na joto sana

N.k

DALILI ZA TATIZO LA KIPANDA USO(MIGRAINE) NI PAMOJA NA;

Siku moja au mbili kabla ya tatizo hili kutokea,mtu huweza kupata mabadiliko k**a vile;

• Kuanza kupata choo kigumu

• Kupoteza mood

• Shingo kukak**aa

• Kiu ya maji kuongezeka sana pamoja na mtu kukojoa sana

• Mtu kupiga miayo sana

• Kuanza kupata shida ya kutokuona vizuri au kuona marue rue

NDIPO BAADAE dalili zingine hujitokeza mfano;

- Maumivu makali ya kichwa

- Mshipa kucheza cheza  upande mmoja wa kichwani

- Kupatwa na hali ya kichefuchefu pamoja na kutapika

- Mtu kupata kizunguzungu kikali

- Kuhisi sauti za makelele masikioni

- Kupata shida ya kuongea

- Mwili kutetemeka

- Mwili kukosa nguvu

- Dalili za kuchanganyikiwa

N.K

MATIBABU YA TATIZO HILI LA KIPANDA USO

• Zipo dawa mbali mbali za kuondoa maumivu haya k**a vile; Ibuprofen, Paracetum N.k

japo endapo mtu hupata dalili mbaya zaidi k**a kushindwa kuongea,mwili kutetemeka, n.k ni vizuri kuwaona wataalam wa afya.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255683481046


🇹🇿

29/07/2022

HIVI UNAJUA MADHARA YA UNENE LAKINI

UNENE UNALETA STROKE
UNENE UNALETA PRESSURE
UNENE UNALETA KISUKARI
UNENE UNALETA HOMONI IMBALANCE
UNENE UNALETA KUUMWA MIGUU
UNENE UNALETA KUUMWA VISIGINO
UNENE UNALETA CHOLESTEROL
UNENE UNACHOCHEA KANSA
MBAYA ZAIDI UKIVAA NGUO HUPENDEZI KABISAAAAAAAA
UVIVU NDO KABISA KILA KITU NI KUJIVUTA VUTA TU.....ALAFU KITAMBI SASA...KINAKERA ALAFU UKIWA MNENE UNAONEKANA MZEEEE
NJOO NIKUSAIDIE UPUNGUE KILO 25 ADI 30 KWA MWEZI BILAMADHARA

0683481046

Tuna tiba madhubuti Kwa wenye ugonjwa wa homa ya ini.
29/07/2022

Tuna tiba madhubuti Kwa wenye ugonjwa wa homa ya ini.

29/07/2022

Kwa wenye matatizo yote ya
Mapafu
Ini
Figo
Moyo
Cholesterol
Upumuaji
Mapafu kujaa maji
Pressure
Kisukari
Kansa aina zote
Mifupa, miguu, nyonga
Allergy,depression
Bawasiri
Vidonda vya tumbo
Uzito mkubwa
Ganzi, prostate
Nguvu za kiume

Call au whatsup
0683481046

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA TIPS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA TIPS:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram