
28/08/2025
"Udhaifu wa kutambua na kuyaelewa mambo utakupelekea kukosea kwenye maamuzi kitu ambacho kitakupeleka kwenye Matokeo mabovu yanayo endana na maamuzi mabovu yasiyo sahihi uliyo yafanya", Mfano; Unaumwa magonjwa halafu unakazana kumeza madawa huku ukijiaminisha akilini mwako kwamba unaimarisha Afya; Unacho kifanya hakina utofauti na kukazana kuweka madawa kwenye mmea ukiamini unaimarisha Afya ya mizizi ya mmea Badala ya kuweka mbolea/Rutuba🤔, Yaani Akili yako inawaza sahihi kuimarisha Afya lakini unacho kifanya hakina uhusiano wowote na kuimarisha Afya, Yote hii nikutokana na kukosa uelewe sahihi wa jambo unalo lifanya.
Maisha bila Maarifa sahihi ni zaidi ya Upofu, utajidanganya na kudanganywa, Utajipoteza na kupotezwa, Utajiangamiza na Kuangamizwa.., Hauwezi kuimarisha Afya kwa kutumia dawa kwasababu dawa ni siyo kirutubishi cha mifumo ya Afya bali dawa ni sumu/kemikali ambayo nguvu yake itaishia kwenye damu,
Ukitaka kuimarisha Afya ni lazima mwili upate Virutubisho/vijenzimwili hivi ndiyo vyenye uwezo wa kufyonzwa kwenye damu na kwenda kuimarisha mifumo ya Afya ambayo udhaifu wake ndiyo sababu kuu ya magonjwa yote mwilini Maana Mifumo ndiyo mizizi ya Afya, Hivo mizizi inapo kuwa dhaifu lazima Afya iwe dhaifu na magonjwa yanapata nguvu ya kujitawala bila kudhibitiwa.
K**a unaipenda Afya yako basi nikusihi sana, Haijarishi umefundishwa au umeambiwa au umeshauriwa na Dokta au mtu yeyote ni lazima kwanza ujiridhishe wewe mwenyewe Je, Ulicho jifunza au ambiwa au kushauriwa au kushawishiwa ni sahihi na kinaukweli ndani yake??, K**a haujalielewa jambo basi usilifanye na k**a unalifanya hakikisha umelielewa kwa kina, Acha kujiburuza au kuburuzwa hasa kwenye mambo ambavyo matokeo yake yanakupata wewe.