Mwezeshaji Tiba Lishe

Mwezeshaji Tiba Lishe Chakula Tiba Clinic

Zipo sababu nyinyi zinazo pelekea mtu kupata kipara katika umri mdogo wa kati na kuendelea.Mabadiliko HormoneUrifhi (Gen...
19/12/2025

Zipo sababu nyinyi zinazo pelekea mtu kupata kipara katika umri mdogo wa kati na kuendelea.
Mabadiliko Hormone
Urifhi (Genetic
Dawa
Msongo wa Mawazo
Matunzo mabaya ya nywele
Lishe
Umri
Magonjwa ya Kinga
Mazingira

Leo tutazungumzia kwa kifupi jinsi gani homoni inachochea kupata kipara na ndio mara nyingi vinatokana na kurithi.
Jinsia zote hubeba homoni ijulikanayo Testosterone, japo kwa mwanamke hupatikana kwa kiwango kidogo ukilinganisha na Mwanaume , japo kipara imezoeleka kwa wanaume.

Hormone ya Testosterone huchochea uzalishaji wa homone ya Androgen (DHT) kwa msaada wa kimeng'enyo (enzymes) ijulikanayo 5-alpha reductase.
Hii androgen homoni no zao la Testosterone kwa lugha nyepesi.

Kitendo cha mwili kuzalisha hormone hizi za uzazi, lakini wapo baadhi watu miili yao huzalisha kwa wingi Androgen (DTH) hormone.

Watu hawa wenye vinasaba vinavyo chochea uzalishaji mkubwa wa homoni hii ya Androgen ni rahisi kupata kipara katika umri wa mapema.

Homoni hii huchochea mtiririko mbaya wa damu kwenye mizizi ya nywele;
Hufupisha muda wanywele kukua
Hupunguza ukubwa wa vinyweleo
Hivyo nywele zinakuwa nyembamba fupi dhaifu , hatimaye huacha kukua na kipara kujitokeza.

Ngozi yako ndio Kiungo kikubwa kuliko viungo vyote vya mwanadamu.Ngozi ndio inafunika miili yetu kwa nje,  inatukinga tu...
06/12/2025

Ngozi yako ndio Kiungo kikubwa kuliko viungo vyote vya mwanadamu.

Ngozi ndio inafunika miili yetu kwa nje, inatukinga tusiugue kirahisi kwa kupambanana na mazingira ya nje, inatengeneza Vitamini D, Kupeleka virutubishi ndani ya mwili, Kuthibiti joto mwilini,

Ili ngozi yako iwe na Muonekano mzuri na imara inatakiwa uwepo Protini ya kutosha ijulikanayo Collegen.

Moja ya Tunda linalobeba kemikali inayochochea uzalishaji wa Protini huu ni Zabibu,
Unaweza Tumia Divai Nyekundu, Tunda au Juisi ya Zabibu.

Hii Kemikali Chochezi hupatika Pia Kwenye Virutubisho Tiba.
Ngozi ya Mwanadamu pia ili iweze kuchakata vema hii protini unatakiwa kufanya vitu vifuatavyo
1) Kunguza Stress
2) Kulala Usingizi wa Kutosha
3) Kunywa Maji ya kutosha
4)Fanya Mazoezi
5) Usitumie vipodozi zenye kemikali zinazo haribu ngozi
6)Usivute sigara.

Moja ya Sababu ya Tatizo la Tezi Dume ni Umri, kinachotokea baada ya miaka arobaini na Tano  ya kuishi ni Mabadiliko ya ...
05/12/2025

Moja ya Sababu ya Tatizo la Tezi Dume ni Umri, kinachotokea baada ya miaka arobaini na Tano ya kuishi ni Mabadiliko ya mwili katika utendaji .

1)Kupungua kwa kiwango cha homoni kiongozi inayofahamika k**a Testosterone, na kuongezeka kwa homoni ya DHT sambamba na Estrogen ambayo huchochea kutengeneza seli mpya ambazo hupelekea kuongezeka kwa Tezi Dume.

Kipindi hiki mwili huwa pia unapoteza uwezo wa kuzalisha kemikali za kuondoa sumu mwilini hivyo huchochea kuhalibika kwa seli za Tezi Dume na kukuweka hatarini kupata saratani ya Tezi Dume.

Tibu  au Zuia Tatizo la Tezi Dume  kuanzia Umri wa miaka arobaini na tano.Unaweza kupambana na Tatizo la Tezi Dume kuong...
05/12/2025

Tibu au Zuia Tatizo la Tezi Dume kuanzia Umri wa miaka arobaini na tano.

Unaweza kupambana na Tatizo la Tezi Dume kuongeza ukubwa pale Umri wako unapo Sogea hasa kuanzia Miaka 45 ,

Kipindi hiki seli za mwili wako huanza kushindwa kudhibiti uzalishaji wa kiwango cha Homoni ya DTH ndipo huanza kuongezeka taratibu na kuchochea kuongezeka kwa umbile la Tezi hii.

Epimedium Extruct ni mmea Tiba ambao unauwezo wa kupambana na Tatizo hili pindi unapoweza kuligundua baada ya kufanya kipimo au baada ya umri wa miaka arobaini na Tano pia waweza anza kutumia k**a sehemu ya kinga kwa Tatizo hili.

Epimedium Extruct inasifa Kuu tatu katika kutibu Tatizo la Tezi DUme

1) inarekebisha na kuzuia uzalishaji wa hormoni inayosababisha kukua kwa Tezi dume
2) lnazuia uchochezi hivyo hupunguza madhara kwenye tezi dume
3) Kupunguza ukuaji wa seli za tezi dume hivyo huzuia kuongeza kwa Tezi dume.

Kwa matibabu na Ushauri wa kitabibu waweza wasiliana nasi kwa namba 0712808001.

Homa ya Ini ni tatizo linalosabishwa na matumizi ya dawa bila ushauri wa kitabibu  sambamba na  maambukizi ya  virusi vi...
04/12/2025

Homa ya Ini ni tatizo linalosabishwa na matumizi ya dawa bila ushauri wa kitabibu sambamba na maambukizi ya virusi vinavyo shambulia Ini .

Tatizo la virusi vinavyo shambulia Ini mara nyingi ndio huongoza kushambulia Ini kwa asilimia 99% kwa sababu njia hii ya maambukizi watu wengi wanakosa umakini kwa sababu pengine kwa kuaminiana kirahisi au pengine kwa usili ya njia yenyewe.

Moja kati ya njia za maambukizi ni kujamiaana , kuchangia sindano na vitu vyenye ncha kali na mama kwa mtoto na mtu mwenye tatizo la homa ya ini ,

Maambukizi ya homa ya ini huchangiwa zaidi na homa ya Ini B na C japokuwa kuna aina nyingine za homa ya tunapata kwa kunywa maji yaliyo chafuliwa na kinyesi cha mgonjwa wa homa ya Ini.

Tabizo hili hutibika kwa kuziwezesha kinga zako za mwili kupambana na virusi kwa kutumia Atrodia Mushroom herbal.

Uyoga huu unapatikana huko barani Asia katika nchi ya Taiwani , Uyoga huu huota katika Miti ya aina ya Mierezi inayostawi katika nchi hiyo.

Kazi kubwa za uyoga huu ni kuzuia enzymes anazotumia kirusi huyu kujizalisha virusi vipya,
Pia huzuia vinasaba vya virusi kutengeneza Protini kwa ajili kuendelea uzalishaji
Pia huchochea kuharibu seli zilizo shambuliwa na virusi hivyo.
Kwa ufasi wa mmea tiba huu huchochea mwili kutengeneza cell kinga mpya na kufanya uponyaji.

Kwa maswali zaidi na Tiba tuwasiliane kwa namba 0712808001

04/12/2025
Insulin resistance ni neno la kitabibu liki maanisha  kuwa ni kitendo kinachotokea pale chembe chembe hai (Cells) za Mis...
16/01/2025

Insulin resistance ni neno la kitabibu liki maanisha kuwa ni kitendo kinachotokea pale chembe chembe hai (Cells) za Misuli (muscle) Mafuta na Ini kushindwa kupokea sukari kwa msaada wa Hormone ya Insulin.

Cells za Misuli, Mafuta (Adipose tissue), na Ini hupokea na kuhifadhi kiwango cha Sukari kinacho zidi kwenye mzunguko wa damu.

Kazi kubwa ya Hormone hii iitwayo Insulin ni kuhakikisha kiwango Cha (glucose) sukari kwenye mzunguko wa damu kinabaki katika Kiwango sahihi, na chenye afya.

Hivyo Insulin resistance inapotokea huchochea kuongeza kwa mlundikano wa sukari (glucose) kwenye mzunguko wa damu, hivyo na kupelekea kuongeza nafasi kubwa ya kuwa hatari kuugua ugonjwa wa Kisukari.

Hali hii huchochewa na Unene uliokithiri (Obesity) , Magonjwa ya Moyo, Wanawake Wenye Changamoto ya Vimbe kwenye Mayai, Watu wenye viwango kikubwa cha mafuta kwenye Ini na baadhi ya matumizi ya dawa, mfano , ARVS , Prednisone.

Kwa tafiti za kina za kisayansi zinaonyesha insulin resistance husababishwa na kiwango cha mafuta Tumboni,
Kuto kuushughulisha mwili (sedentary lifestyle).

Ukiwa unapitia changamoto hii , Tezi inayo tengeneza Hormone hii huongeza kiwango cha uzalishaji ili kuweza kukabiliana na ongezeko la glucose kwenye mzunguko wa damu.

Kitendo hiki kikifanyika kwa muda mrefu hupelekea cell kupoteza uwezo wa kuzalisha Insulin ya kutosha hivyo hupelekea kuongezeka kwa glucose.

Hivyo mtu anaefikia hatua hii hupata dalili hizi
*Kupoteza uzito usioelezeka
*Uchovu uliokithiri
*Kiu iliyo kithiri
*Kukojoa mara kwa mara.
*Njaa iliyo kithiri
*Uono hafifu.

Jinsi ya kuzuia hali hii isikutokee ni
Mazoezi ,( mazoezi hurahisisha misuli kupokea kirahisi glucose)
Kuepuka mtindo wa hovyo wa Ulaji chakula

Kwa maelezo ya kina wasiliana nasi kwa namba
0783905545
0712808001.

Moja ya sababu ya Ugumba kwa mwanaume ni lishe  ambayo hupelekea mbegu za kiume kupoteza ubora wake.Ndizi mbivu moja ya ...
24/10/2024

Moja ya sababu ya Ugumba kwa mwanaume ni lishe ambayo hupelekea mbegu za kiume kupoteza ubora wake.

Ndizi mbivu moja ya tunda lenye uwezo mkubwa wa kuboresha Mbegu za kiume.
Tunda hili lina Virutubisho (micronutrients) vya kutosha kwa ajili ya kuongeza Uzao.

Tunda hili ni chanzo kizuri cha vitamini A, B1, C ambavyo huchochea nguvu za mwili na kuweka uwiano sawa wa homoni ya msongo (,Stress hormone)

Pia ni chanzo kizuri cha kirutubisho kiitwacho tryptophan ambayo ni chanzo kizuri cha protini ambayo huitajika kwa kutengeneza kemikali ya kujisikia vizuri wakati wote ( serotonin enzymes)

Ndizi pia ni chanzo cha madini ya Potassium ambayo hutumika kwa afya ya moyo na uzalishaji wa mbegu za kiume kwa kuchochea uzalishaji wa homoni Kiongozi ya Kiume (Testosterone hormone) hivyo kuboresha mihemko Asili.

Pia ndizi imebeba (Bromelain nutrient) kirutubisho ambacho huchochea mtiririko mzuri wa damu hivyo huimarisha ulijari wa asili.

Magnesium na manganese ni madini tuyapatayo tunapo kula Tunda hili, kazi kubwa ya madini ni kuboresha ufanisi wa tezi Dume kutengeneza kiwango bora cha msanii (Semen).

Moja kati ya sababu ya  kutokuzalishwa kwa mbegu za kiume kwa uchache au kutozalishwa kabisa na pengine Kusinyaa kwa  Ke...
17/10/2024

Moja kati ya sababu ya kutokuzalishwa kwa mbegu za kiume kwa uchache au kutozalishwa kabisa na pengine Kusinyaa kwa Kende huchochewa na matumizi ya dawa za kutanua Misuli (Body Builder), kuongeza mbio (Athletic).

Dawa hizi hutambulika k**a ANABOLIC ANDROGEN STEROIDS, hutengenezwa Maabara kwa mfanano na hormone za Kiume.

Dawa hizi hutumiwa na Madaktari Kuponya changamoto ya Uhanisi, ambao huchangiwa na Kiwango Kidogo cha hormone ya Kiume (Testosterone).

Kuzalishwa kwa wakati sahihi wa homoni hizi kiongozi hujidhihirisha kwa dalili zifuatazo kipindi cha Barehe (puberty) mfano Kuota nywele, Sauti Nzito, kuongezeka kwa misuli , Ngozi Mororo, Kukomaa kwa mbegu za kiume na Mihemko ya Tendo.

Wanariadha, Wapenda muonekano wa misuli mikubwa, na wale waendao gym kwa mazoea wapo hatarini kupata changamoto ya Uzazi kwa sababu ni rahisi kushawishika Kutumia dawa hizi.

Matumizi ya dawa hizi kwa ajili ya kuongeza Misuli na uimara wa mwili, huusaulisha ubongo kuendelea kutoa maelekezo kwenye Kende kutengeneza hormone kiongozi ya Asili, hivyo kupelekea kutotengenezwa tena Mbegu za kiume na Kende kusinyaa.

Changamoto ya Ugumba inayo sababishwa na Matumizi ya Dawa hizi hutibika, wasiliana nasi kwa namba 0712808001.

Varicocele ni Kati ya sababu kubwa inayo changia Ugumba kwa Wanaume. Mara nyingi huanza ghafula katika hali ya Umri mkub...
13/10/2024

Varicocele ni Kati ya sababu kubwa inayo changia Ugumba kwa Wanaume.
Mara nyingi huanza ghafula katika hali ya Umri mkubwa.
VARICOCELE ni neno la Kitabibu likielezea changamoto ya kutanuka kwa mishipa ya damu aina ya Vein zinazo chukua damu kutoka kwenye Kende.

Changamoto hii husababishwa na udhaifu valve za kwenye mishipa hiyo kushindwa kufanya kazi sawasawa na kupelekea damu kushindwa kurudi kwenye Moyo na kurundikana kwenye mishipa hiyo.

Valve hizi zinazopatikana kwenye mishipa hii inayorudisha damu (Vein) kazi yake ni kuhakikisha damu inatembea kwa mtiririko sahihi.

Kipindi valve zinaposhindwa majukumu yake damu huvutwa na kujikusanya kwenye mishipa ya Korodani (Testicular Vein) na kusababisha hii hali inayoitwa Varicocele (kutanuka kwa mishipa).

Hali hii pia hujionyesha kwa kutanuka kwa mishipa hiyo pindi pale Mwanaume anapopitia changamoto ya Uzazi,
na kuamua kufanya vipimo kwa ajili ya kutafuta Chanzo cha kushindwa kusababisha Mimba kwa mwanamke mwenye uwezo wa kushika mimba
Hali hii mara nyingi huanza kipindi cha barehe (puberty) na kuongezeka kidogo kidogo.

Pia ni moja ya sababu ya Korodani Kusinyaa , Maumivu au Kutokujisikia vizuri na kupungua kwa kiwango cha homoni Kiongozi ya Kiume (Testosterone).
Na mara nyingi Korodani ya kulia huathiri zaidi ukilinganisha na ya kushoto.

Kwa sababu hizi matibabu hutegemea na hizo dalili anazopitia Mlengwa.

Baadhi ya Wanaume wenye changamoto hii huzalisha kiwango Kidogo cha mbegu za kiume na pengine zisizalishwe kabisa.

Kwa kawaida Korodani (Te**is) hufanya kazi ya kuzalisha mbegu Bora za kiume kukiwa na kiwango cha chini ya nyuzi joto tatu (3) cha joto la kawaida la mwili wa Mwanadamu.

Hivyo changamoto hii ya Varicocele huongeza Kiwango cha joto kwenye Korodani na kupelekea kupoteza uwezo wa kuzalisha mbegu za kiume na homoni Kiongozi ya Kiume (Testosterone).

Afya mbaya ya Tezi Dume ni Moja ya changamoto inayoweza kumfanya Mwanaume kushindwa kusababisha Mimba. Tezi Dume ni kiun...
05/10/2024

Afya mbaya ya Tezi Dume ni Moja ya changamoto inayoweza kumfanya Mwanaume kushindwa kusababisha Mimba.

Tezi Dume ni kiungo kinachopatikana chini ya kibofu cha mkojo, Msuli huu huzunguka Njia ya mkojo na inakadiriwa kuwa na Ukubwa k**a Punje ya Njegere kabla ya barehe (puberty),
na baada ya hapo huongezeka kidogo na kufananishwa na Punje ya Almond.

Moja ya kazi yake kubwa kwenye Uzazi ni kutengeneza Manii (Semen) kwa kiwango cha asilimia ishirini kati ya asilimia mia moja.

Majimaji haya yamebeba virutubisho muhimu ambavyo huongeza ufanisi wa mbegu za kiume (s***m) kufanya kazi kwa usahihi,
Mfano ni enzymes , Zinc na kemikali zingine muhimu za kuboresha Mbegu za kiume.

Misuli ya Tezi Dume pia huusika na kusukuma majimaji haya (Semen) kutoka nje kupitia njia ya mkojo (urethra).

Endapo Tezi dume ikishambuliwa na bacteria hupelekea kupoteza ufanisi mzuri wa kazi zake,
hivyo huchochea Mbegu za kiume kupoteza Umbo halisia na uwezo wa kukimbia.

Pia sababu nyingine inayoweza kuchochea Ugumba ni Tezi Dume kuongezeka Ukubwa , na mara nyingi changamoto hii huanzia umri wa miaka arobaini na Tano na mwanzoni mwa Umri wa miaka Hamsini,
Kitabibu changamoto hii huitwa BPH na tafiti za kisayansi zinaonyesha Chanzo chake bado hakifahamiki.

Suhisho ni kubadili Mtindo wa maisha na kuongeza afya ya Tezi Dume
Kwa Ushauri wasiliana nasi kwa
# 0712808001.

Moja ya hatari inayoweza kupelekea mwanaume kushindwa kumtungisha mimba mwanamke mwenye uwezo wa kushika mimba ni Stress...
05/10/2024

Moja ya hatari inayoweza kupelekea mwanaume kushindwa kumtungisha mimba mwanamke mwenye uwezo wa kushika mimba ni Stress.

Stress huja kutokana na uhitaji sambamba na misukumo tunayo Kutana nayo kila siku kwenye maisha ya kawaida,
Mfano, Magonjwa Sugu, Magomvi baina yetu yasiyo pata ufumbuzi, Kufanya jambo juu ya uwezo wetu na mengine mengi.

Pale unapopitia changamoto za muda mrefu mwili wako hutengeneza kiwango kikubwa cha sumu mwilini (Oxidation) , kiasi kwamba mwili wako utashindwa kuondoa sumu , kwa sababu hakuta kuwa na uwiano sawa wa kuondoa sumu mwilini (Antioxidant).

Stress za Muda mrefu huchochea kushuka kwa kiwango cha hormone kiongozi ya Kiume (Testosterone hormone),
hivyo uzalishaji na ubora wa mbegu za kiume hupungua, na pengine kutotengenezwa kabisa.
Pia kitendo hiki hupelekea kupoteza hamu ya tendo la ndoa kabisa.

Suluhisho ni kubadili Mitazamo na Mtindo wa Maisha,
Maana mbali na Uzazi, pia unaweza kupata changamoto Lukuki za afya mfano,
Kukaza kwa misuli,
Kuzeeka haraka,
Kushuka kwa kinga za mwili,
Magonjwa ya mishipa ya damu ya Moyo, Kisukari,
Shambulio la Moyo.
Tupigie kwa Ushauri;
0712808001

Address

Wazo Hill
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwezeshaji Tiba Lishe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram