Afya Ni Uhai

Afya Ni Uhai Jali afya yako kila siku ili uishi maisha yasiyo na stress.

YAJUE MADHARA YA KUJICHUA (PUNYETO)Inaaminika kuwa watu wengi wanaojichua ni wale ambao hawana wenza (mahusiano ya kimap...
13/06/2022

YAJUE MADHARA YA KUJICHUA (PUNYETO)

Inaaminika kuwa watu wengi wanaojichua ni wale ambao hawana wenza (mahusiano ya kimapenzi) na watumia njia hii ili kujiridhisha kihisia kwa maana wanapo patwaa na hamu ya kushiriki tendo wanatumia punyeto k**a plan B

Matokeo baada ya punyeto ni:-

i) UUME KUWA LEGELEGE
Kwasababu unapojichua unatumia mkono na ni mgumu sana na uume ni mlaini kwa maana umeshikiliwa na mishipa midogo midogo hivyo unapo jichua kwa muda mrefu unadhoofisha utendaji kazi wake na kukosa nguvu hivyo uume utasimama kwa taabu sana

ii) KUWAHI KUFIKA KILELENI
Hii ni kwasababu wakati wa kujichua unatumia muda mfupi sana kwa kawaida mwili una tabia ya kujijengea mazoea na (kujicondition) na wakati wa tendo utakuuwa unatumia muda ule ule wakati ulipo jichua

iii) KUKOSA NGUVU
Waathirika wengi wa punyeto wanakuwa dhaifu sana hasa maeneo ya viungo k**a magoti, mikono na mwili Kwa ujumla

iv) KUKOSA HAMU YA TENDO
Kujichua kunachangia kuvurugika kwa hormones lakini kudhoofika kwa utoaji wa taarifa kutoka kwenye ubongo kwenda kwenye mfumo wa uzazi hali hii inaweza kukufaanya ukashindwa kurudia tendo kabisa ama kuchukua mda mrefu kuweza kuanza tena na mara nyingi mtu anaweza kushiriki tendo bila yeye kujisilia ladha yoyote

v) Maumivu ya nyonga,kiuno na viungo kwa ujumla.

vi) Uwezekano wa kupungua kwa mbegu za kiume na uwezekano wa kupata mtoto ni kutokana na upungufu wa madini katika mfumo wa uzazi hii husababisha mbegu kutoka chache na nyepesi mno

K**a na wewe ni muathirika wa punyeto ni vema zaidi kupata msaada waa haraka kuondokana na madhaifu yake kwa maana mtu alie athirika na punyeto atashindwa kushiriki tendo kwa ufasaha na kupata aibu

Tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno

WhatsApp
+25546489976

ONGEZA UFANISI KATIKA KULA CHAKULA CHA USIKU HUHITAJI KUWA NA HOFU TENA Kila unapo kumbuka kuwa umepungukiwa na nguvu za...
12/06/2022

ONGEZA UFANISI KATIKA KULA CHAKULA CHA USIKU HUHITAJI KUWA NA HOFU TENA

Kila unapo kumbuka kuwa umepungukiwa na nguvu za kiume amani inatoweka kabisa moyoni mwako unajisikia vibaya kiasi kwamba umepatwa na ugonjwa wa ghafla unaishi maisha ya hofu kwa kuwaogopa wanawake najua kuwa hutaki kuaibika siku ya kushiriki tendo unaweza uka kaa na wanaume wenzako lakini ukajiona wewe ni wa tofauti kabisa ukashindwa kujiamini hii yote ni kwasababu umepungukiwa nguvu za kiume

Katika maisha ya kawaida mwanaume akipungukiwa na nguvu za kiume anapatwa na msongo mkubwa wa mawazo kutokana na kufikiri sana juu ya changamoto yake na pengine hajui ni kitu gani atafanya ili aondokane na changamoto yake

By the way hutakiwi kuwa na hofu tena kwa maana suluhisho la tatizo lako limepatikana na uzuri ni kwamba ipo njia salama na ya uhakika ya kutatua changamoto yako ni njia salama inayo mfaa kila mmoja mwenye changamoto ya nguvu za kiume

Unasubiri nini tena
? rudi kitandani kwa kujiamini ukiwa na uhakika wa kupiga show maridadi
Tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno BABA IMARA kwenda namba ya simu

WhatsApp
+255746489976

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI?-Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya seh...
11/06/2022

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI?

-Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa, na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe. Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles.

*AINA ZA BAWASIRI:-*
-Kuna Aina mbili za bawasiri:-

(A) BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili.
Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa.

Aina hii imegawanyika katika madaraja manne.

(1)DARAJA LA KWANZA - Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahal pale panapohusika.

(2)DARAJA LA PILI - hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyew ndani baada ya kujisaidia.

(3)DARAJA LA TATU - hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe.

(4)DARAJA LA NNE - hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi.

(B) *BAWASIRI YA NNJE.*

-Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo.
*THROMBOSED HEMORRHOIDS.

*CHANZO CHA TATIZO.*

-Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni:-
👇🏻👇🏻👇🏻
1. KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE.

2. KUHARISHA KWA MUDA MREFU.

3. TATIZO LA KUTOPATA CHOO.

4. MATATIZO YA UMRI.

5. KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU.

6. UZITO KUPITA KIASI.

7. MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU.

*DALILI ZA BAWASIRI*

-Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa.

-Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia.

-Kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.

-Kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo.

-Kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana.

By the way hivi unajua kuwa ugonjwa huu unatibika kirahisi sana na hakuna haya ya kufanyiwa upasuaji ni karibuni sana kwa msaada ana ushauri tuma neno BAWASIRI

WhatsApp
0746489976

KWANINI MWENZA WAKO NI MGUMU SANA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NA WEWE ?Wakati mahusiano yanapoanza mwanamke huwa mwepesi san...
10/06/2022

KWANINI MWENZA WAKO NI MGUMU SANA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NA WEWE ?

Wakati mahusiano yanapoanza mwanamke huwa mwepesi sana kushiriki tendo kutokana na furaha aliyonayo na lakini pia anahamasa kubwa sana ya kutaka kukujua vizuri ila kuna wakati unafika anakuwa hataki kabisa kushiriki tendo na wewe na sababu inakuwa ni moja tu

Anakuwa ameshakujua kwa undani zaidi na amesha gundua madhaifu yako kwenye upande wa kushiriki tendo na kumbuka madhaifu yako hayawezi kumpa raha wala kumridhisha kile anacho hitaji (huwezi kumfikisha kileleni) na anajua kuwa huna jipya utaendelea kumtesa kila siku na kibaya ni kwamba mwanamke akishafikia katika hatua hii kuna mambo mawili unatakiwa uyafahamu

1)Kuna uwezekaano mkubwa wa mwenza wako kutoka kwenye mahusiano na kutafuta mtu wa kumridhisha ama kuachana kabisa

2)Atasema madhaifu yako mpaka utahisi anakunyanyasa lakini jua kuwa mwanamke anyekusema madhaifu yako kwa hasira huyo anakupenda na anahitaji ufanye maamuzi ili furaha iendelee na hapa hutakiwi kuchelewa kwani akiona wewe ni mgumu kufanya maamuzi akiamua kuondoka basi jua umempoteza mazima

Tatizo lako unaona kwamba kupungukiwa nguvu za kiume ni swala la kawaida ama halina ufumbuzi au pengine unadharau tu hiyo hali lakini kumbuka ili mahusiano yako yawe na amani ni lazima uwe BABA RIJALI usipofanya hivyo wenzako watafanya unachoshindwa kufanya

Kwa msaada ama ushauri Tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno BABA RIJALI

WhatsApp
0746489976

UTAFANYA NINI ILI FURAHA IWEZE KUREJEA KWENYE MAHUSIANO AMA NDOA YAKO?K**a unakumbuka wakati ule ulipo mpata mwenza wako...
09/06/2022

UTAFANYA NINI ILI FURAHA IWEZE KUREJEA KWENYE MAHUSIANO AMA NDOA YAKO?
K**a unakumbuka wakati ule ulipo mpata mwenza wako mahusiano yenu yalikuwa ya kupendeza mno mkawa hamuachi kuwasiliana na kuchati kila wakati mkawekeana ahadi tele mkiwa mnafuraha na amani na hata akitokea jirani kukueleza mabaya ya mpenzi wako ulikuwa ukimuita mwanga (mchawi) lakini fumba na kufumbua furaha imepotea hakuna maelewano kila siku magombano yasiyoisha. ni kweli kunaweza kukawa na sababu nyingi mno ila ngoja nikufahamishe sababu kuu za mahusiano kuvunjika ama kuwepo kwa vurugu za kila siku

Wakati ulipo anza kushabikia mpira pengine hukuwahi kuhama timu mpaka leo pengine ndio timu inayoshinda mechi nyingi na kukupa furaha zaidi ukasema mimi sihami na pengine ulipoanza kula chakula kwa mama ntilie hukuwahi kula sehemu nyingine kwasababu mama huyo anapika chakula kitamu sana

Lakini mbona mahusiano yako yamekuwa sio ya furaha na amani k**a mwanzoni sasahivi huna mapenzi ya dhati k**a yale uliyokuwanayo kwenye timu ya mpira sitaki kuamini kwamba timu ya mpira ni muhimu kuliko mwenza wako ama mama ntilie ni mtu bora kuliko mwenza wako Swali ni je mbona sasahivi mwenza wako hakupendi k**a mwanzo tatizo ni nini ?

Nilipo jiuliza maswali mwenyewe nikawaza k**a je unatabia ya kumpiga na kumnyanyasa NO je maisha ni magumu kiasi kwamba amechoka shida zako? ila mbona kuna Fukara wengi wameoa na wanaishi maisha ya furaha Je amechoka na wewe kwenye tendo la ndoa Lakini atakuwa amechoka nini ? amekuzoea sana kiasi kwamba hakuna jipya kitandani lakini kwa ninavyojua mimi tendo la ndoa ni starehe na hakuna anaekataa starehe dunia nzima hakuna asiyependa kufurahi ama kuridhishwa na starehe husika.

Swali ni je mwenza wako anafurahia starehe yako ama kuna shida ambayo ameshindwa kuivumilia kwenye starehe ya kitandani wewe unadhani itakuwa ni shida gani hiyo kitandani unadhani kuna kitu gani hukifanyi kwa usahihi
k**a umeshapata jibu ni nini tatizo tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neni BABA RIJALI

WhatsApp
0746489976

BADO UNA WASIWASI WAKATI WA KULALA NA MWENZA WAKO ??K**a unajua ni kitu gani kinakupa hofu ni vema ukatafuta suluhisho m...
07/06/2022

BADO UNA WASIWASI WAKATI WA KULALA NA MWENZA WAKO ??

K**a unajua ni kitu gani kinakupa hofu ni vema ukatafuta suluhisho mapema ili kutatua changamoto zako kumbuka kuwa na hofu ya kushiriki tendo kutakufanya ushiriki kwa kuto jiamini na kuogopa sana maana akili yako haipo bali inafikiri namna utakavyofanya ili kuepuka aibu lakini

kumbuka k**a tayari umesha athirika na changamoto ya nguvu za kiume hakuna namna ya kufanya zaidi ya kupata ufumbuzi mapema kwani kadri unavyozidi kuiacha changamoto yako ndivyo inavyo kuathiri zaidi na kuwa kubwa hivyo utaendelea kuwa dhaifu kitandani siku hadi siku na kumbuka wakati huo mwenza wako hawezi kuvumilia tena hiyo hali hivyo unajiweka kwenye hatari ya kuvuruga ndoa / mahusiano yako na k**a sio kuachana baasi kumbuka kuna mwanaume mwenzako shupavu anakusaidia kumridhisha mwenza wako kitu cha kuzingatia ni kufanya maamuzi leo kabla mabo hayaja haribika

Kwa msaada ama ushauri tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno BABA RIJALI

Whatsapp
0746489976

IMALISHA AFYA YA UZAZI, MAZUNGUKO WA DAMU, NGUVU ZA KIUME & STAMINA, MOYO NA MISULI  KWA KUTUMIA👇👇👇👇👇👇Juisi ya ALOE VERA...
06/06/2022

IMALISHA AFYA YA UZAZI, MAZUNGUKO WA DAMU, NGUVU ZA KIUME & STAMINA, MOYO NA MISULI KWA KUTUMIA👇👇👇👇👇👇

Juisi ya ALOE VERA GEL, ARGI PLUS na MULTI - MACA.

Virutubisho vilivyotokana na Aloe Vera, Matunda ya Zabibu, Komamanga, Berries na mzizi wa Maca. Inatupatia Vitamin A, B, C, D, E & K na Madini ya Zinc, Selenium, Calcium, Iron, Copper, Magnesium, Sodium, Amino na Folic Acid.

FAIDA ZAKE KIAFYA

1.Husaidia kusafisha mfumo wa mwili kwa kutoa sumu, taka na mafuta mabaya mwilini.

2. Husaidia kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

3. Husaidia uzalishaji na ongezeko la idadi ya mbegu za kiume mwilini.

4. Husaidia kuzibua uchafu kwenye mirija ya uzazi, kuimalisha afya ya Tezi Dume na Kibofu cha mkojo.

5. Hupunguza na kuzuia kutanuka kwa Tezi na uwezekano wa kupata Saratani ( Cancer ) ya Tezi Dume.

6. Huboresha na kuimalisha afya ya Moyo, Ubongo, Misuli, Mifupa na Mzunguko wa damu.

7. Hupunguza maumivu ya mwili, Uchovu na kuupa mwili Nguvu na Stamina kwa muda mrefu.

8. Hurekebisha mfumo wa hormone na hupunguza kasi ya uzee.

9.husaidia kwa wenye changamoto ya kuwahi kufika kileleni n,k

Kwa ushauri na kupata elimu bure
+255744231859

Clean 9 (C9) ni weightloss program inayosaidia kusafisha mwili na kupunguza uzito ndani ya siku 9 ( Inapunguza wastani w...
05/06/2022

Clean 9 (C9) ni weightloss program inayosaidia kusafisha mwili na kupunguza uzito ndani ya siku 9 ( Inapunguza wastani wa 3kg mpaka 10kgs )

C9 ina bidhaa kuu 5
1. Forever Aloevera gels ×2
2. Forever garcinia plus softgels
3. Forever Therm
4. Forver Fiber
5. Forever lite ultra vanilla

Kazi ya kila bidhaa
1. Aloevera gel inafanya kazi ya kusafisha mwili, kuondoa sumu na taka mwili pamoja na kuimarisha mmeng'enyo wa chakula na kuruhusu ufyonzwaji wa virutubisho mwilini

2. Forever garcinia inafanya kazi ya kupunguza hamu ya kula ovyo

3. Forever therm inafanya kazi ya kuongeza metabolism ili kuongeza ufanisi wa mwili katika uyeyushaji wa mafuta

4. Forever Fiber inamsaidia mtu ajiskie ameshiba na kuondoa njaa ya mara kwa mara

5. Forever lite ultra vanilla inasaidia kuongeza protin mwilini pamoja na madini na virutubisho muhimu mwilini (hii ni mbadala wa chakula) badala ya kutumia wanga mtu ataitumia hii

Kwa mahitaji wa bidhaa hii salama Tuma ujumbe neno UZITO Kwenda whatsapp namba 0744231859 au piga simu usaidiwe mapema.
NB: Kupunguza uzito kutakusaidia wewe kujiepusha na magonjwa mbalimbali k**a vile presha,Kisukari pamoja na matatizo ya joints kutokana na unene uliopitiliza.

NINI KINASABABISHA KORODANI (Pumbu) KUWA NDOGO Ukubwa wa korodani unatofautiana kati ya mtu na mtu, kwahivo u unatakiwa ...
04/06/2022

NINI KINASABABISHA KORODANI (Pumbu) KUWA NDOGO

Ukubwa wa korodani unatofautiana kati ya mtu na mtu, kwahivo u unatakiwa kujua kwamba kutofautiana kwa maumbile siyo tatizo. Kuwa na korodani ndogo kwa kwa wanaume wengi inaweza isiwe na athari yoyote katika uzazi. Hapa chini kuna maelezo ya mazingira yanayopelekea kuwa na pumbu ndogo

Hypogonadism
Hypogonadism ni hali ya mwili kutozalisha homoni ya kutosha ya testosterone. Kwa ufahamu tu ni kwamba homoni hii ndio inahusika na ukuaji wa maumbile ya uzazi kwa mwanaume ikiwemo ukubwa wa uume, korodani, uzalishaji wa mbegu na hata matamanio ya tendo la ndoa.

Hypogonadism inaweza kusababishwa na korodani kutopokea taarifa kutoka kwenye ubongo ili kuzalisha homoni ya kutosha ya testosterone na mbegu. Hali hii unaweza kuzaliwa nayo ama ikasababishwa na

maambukizi kwenye via vya uzazi
kujikunja kwa mirija ya kwenye korodani(testicular torsion) na
matumizi ya dawa bila ushauri wa daktari
Varicocele
Changamoto ingine inayosababisha uwe na mapumbu madogo inaitwa varicocele. Varicocele ni kitendo cha kuvimba kwa mishipa midogo ya damu kwenye mfuko wa korodani. Kuvimba kwa mishipa hii kunafanya korodani kutopokea damu ya kutosha na hivo kupungua ukubwa wake.

Undescended te**es
Hili ni tatizo linalojitokeza mtoto akiwa mdogo sana kwa korodani zake kutoshuka chini k**a inavotakiwa. Tatizo hili linaweza kutibika hospitali kwa upasuaji.

Lini unatakiwa kumwona Daktari
Ni muhimu kuzungumza na daktari iwapo unajiona korodani zako hazipo sawa. Daktari atakuchunguza na kuona k**a kuna tatizo lolote la kiafya lililopelekea pumbu zako ziwe ndogo. Usisikilize watu wa kijiweni maana watakupotosha sana. Kuongea na daktari itakupa amani ya moyo na majibu ya uhakika juu ya tatizo lako.

Kwa msaada zaidi tuma ujumbe Whatsapp Kwa kuandika neno KORODANI

WhatsApp
+255744231859

03/06/2022
NI MASWALI GANI  UNAJIULIZA UKISHAGUNDUA KUWA UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Kwa kiasi kikubwa watu huchukulia kawaida p...
02/06/2022

NI MASWALI GANI UNAJIULIZA UKISHAGUNDUA KUWA UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa kiasi kikubwa watu huchukulia kawaida pale wanapo patwa na changamoto ya nguvu za kiume lakini kadri siku zinavyozidi kwenda changamoto inazidi kuwa kubwa na hapo ndipo huanza kuchukuwa maamuzi ila wengi wao wanachukua maamuzi ambayo sio sahihi kutokana na kutopata elimu juu ya changamoto zao na namna ya kuweza kuzitatua na huwa wana maswali mengi sana huwa wanajiuliza

SIKU YA KUSHIRIKI TENDO UTAFANYA NINI ILI USIPATE AIBU

Hili ndio swali la kwanza ambalo hata wewe unajiuliza na pengine bado hujapata majibu ni lipi suluhisho na unaweza kuwa tayari kuupokea ushauri wowote ule ili mradi usipate aibu siku ya kushiriki tendo na mwenza wako na ubaya ni kwamba huto jali kuwa anaekushauri ni mtu sahihi (ni mtaalamu wa afya) ama sio na hapo ndipo unaongeza adhabu nyingine

K**A UKISHINDWA KUMRIDHISHA ATASHINDWA KUVUMILIA NA ATAKUACHA AMA KUKUSALITI

Ni kweli unawaza sana siku mwenza wako akijua kuwa hivyo ndivyo ulivyo atashindwa kukuvumilia kwasababu hisia ni k**a njaa k**a ukishindwa kumshibisha atakwenda kutafuta malisho pahala pengine haha

K**A AKIKUACHA ITAKUWA NI RAHISI KUPATA MWINGINE ATAKAE KUVUMILIA ?

Hapo ni lazima kichwa kikuume k**a nilivyo kueleza mwanzo kuwa hisia ni k**a njaa je utampata mwingine ambae atavumilia njaa bila kushibishwa baada ya wewe kuachwa ? jibu nakupa ili usihangaike kufanya uchunguzi kwa maana unaweza ukasema huenda huyu hayupo sawa ngoja nijaribu mwingine haha itakuwa ni sawa na mashine ya mpunga usagie kokoto usijaribu kufanya hicho kitu kwa maana k**a wanawake wengi wakijua nadhaifu yako itakuwa ni rahisi sana wewe kupata aibu mtaani kwako watu watakuchekaa na pengine utapewa majina mabaya ambayo hukuwahi kuyategemea

UTAFANYA NINI ILI UONDOKANE NA FEDHEHA YAKO

Waswahili wanasema kila lenye mwanzo halikosi mwisho By the way hivi unajua kwamba ipo njia sahihi ya kuondokana na changamoto yako ? usijiulize maswali tena unachotakiwa kufanya ni kutuma Ujumbe Whatsapp kwa kuandika neno AFYA BORA kwenda namba

Whatsapp
0744231859

SIKU YAKO YA MWISHO KUPENDWA NA MWANAMKEUkweli ni kwamba wanawake wengi huwa wavumilivu kwa mda kutokana na changamoto y...
28/05/2022

SIKU YAKO YA MWISHO KUPENDWA NA MWANAMKE

Ukweli ni kwamba wanawake wengi huwa wavumilivu kwa mda kutokana na changamoto yako ya nguvu za kiume unaweza kuona k**a yupo sawa lakini anapata maumivu ndani kwa ndani hii huenda ni kwasababu anakuheshimu ndio maana inakuwa ngumu kukueleza madhaifu yako

Ila kuna wakati ukifika atashindwa kuvumilia na hato anza kukueleza wewe hapo ndipo pabaya unajua wanawake siku zote hawafichani mambo yataanza kufika kwa mashoga zake utaanza kuona tu unachekwa bila sababu na mshoga zake watamshawishi achepuke aende akapate ridhiko kwasababu wewe umeshindwa na wala hujaali kuhusu hisia zake

Siku atakapo chepuka na kwenda kupata raha kwa mtu mwingine jua hapo ndio utakuwa umemkosa mazima yaani kushiriki tendo atakuwa anaamua yeye sio wewe tena heshima itashuka kwa kasi mpaka utahisi kuna jini limeshuka dani yake ana unaweza ukasema kuna mtu anaroga mahusiano yenu

Na sio kweli Ukweli ni kwamba wewe mwenyewe ndio umeshindwa kupigania penzi lako mpaka ukaruhusu wenzako wakusaidie hivi utajisikiaje siku unapita mtaani ukaona wenzako wanakucheka kwasababu tu mmoja wao alisema UNAMUONA YULE JAMAA MKE WAKE MIMI NAPITA NAE Inauma sana lakini ni kwasababu ya uzembe wako kinacho fuata ni wewe kugharamia halafu wenzako ndio wanafaidi amka na chukua hatua

K**a na wewe unapitia changamoto ya nguvu za kiume tuma ujumbe Whatsapp Kwa kuandika BABA RIJALI

WHATSAPP
0621060718

JE U AJUA NINI KUHUSU URIC ACID NA MADHARA YAKE MWILINI ?Mwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viun...
26/05/2022

JE U AJUA NINI KUHUSU URIC ACID NA MADHARA YAKE MWILINI ?

Mwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinaweza kufanya kazi kwa ufasaha kutegemeana na taarifa ambazo zinasafirishwa kutoka katika ubongo na kupelekwa katika kiungo husika.

Ili mwili uweze kufanya kazi vizuri na kusitokee na tatizo lolote, haina budi kila kemikali ya asilia iliyopo mwilini iwe katika kiwango ambacho ni stahiki.

Miongoni mwa kemikali asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu ni hii ijulikanayo kwa jina la kitaalamu la “Uric Acid”.

Uric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya “Purine” ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha kitu kinachojulikana k**a “Uric Acid”.

Katika mwili wa binadamu, kiwango ambacho ni cha kawaida mtu kuwa nacho ni 2.4-6.0 mg/dL (kwa mwanamke) na 3.4-7.0 mg/dL (kwa mwanamme). Kiwango cha uric acid mwilini hupimwa kwa kutumia njia ya damu.

Kiwango hiki endapo kitazidi mwilini kitasababisha matatizo mwilini na hasa katika maeneo ya mwili ambayo ni maungio ya mifupa/jointi.

Katika maungio ya mifupa au jointi, mtu atapatwa na maumivu makali, kuvimba na kubadilika kwa umbile la maungio ya mifupa na kuwa k**a kumepinda. Hali hii kitaalamu au ugonjwa hujulikana k**a “Gout”.

Pia kuzidi kwa kiwango cha uric acid mwilini kinaweza kuwa ni dalili ya magojwa k**a vile magonjwa ya ini, figo pamoja na saratani. Mwilini kemikali hii ya asilia hutolewa kupitia njia ya mkojo k**a urea, tofauti na wanyama wengine au ndege ambao wao kemikali hii hutolewa kupitia kinyesi na wakati mwingine imekuwa na muonekano k**a chokaa na kuchanganyika na kinyesi mfano cha kuku.

Upatikanaji wa uric acid mwilini ni kupitia ulaji wa vyakula k**a vile maharagwe yaliyokaushwa, maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini au seafood (sardines pamoja na tuna). Pamoja na vyakula, pia uric acid mwilini hupatikana baada ya matokeo ya seli hai za mwili kuvunjika (seli kufa na kutengeneza purine ambazo nazo huvunjika na kutengeneza Uric Acid).

Kwa kuwa kiwango kikubwa cha uric acid kinasababisha matatizo ya kiafya, ni vyema kufahamu ni namna gani ambavyo mtu anaweza kujilinda ili kuhakikisha kuwa kiwango cha uric acid katika mwili kinakuwa siyo cha kuweza kusababisha matatizo ya kiafya.

Miongoni mwa njia za kutumia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilii ni kuepuka vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha “Purine” ambayo ndiyo hupelekea kupatikana kwa uric acid. Vyakula hivyo ni pamoja na maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini k**a vilivyotajwa hapo juu. Pia ni vyema kutumia vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha virutubisho pamoja na vitamin ambavyo kiafya vinasaidia katika kuondoa sumu mwilini.

Virutubisho na vitamini ambazo husaidia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilini ni pamoja na vitamin B6, Vitamin C, madini ya magnesium. Haya hupatikana katika matunda k**a vile ndizi mbivu, machungwa, matikiti maji, maembe pamoja na mananasi. Pia juisi ya limao katika mwili husaidia katika kutengeneza chumvi aina ya calcium carbonate ambayo husaidia kuyeyusha au (Neutralize) tindikali asilia mwilini (Uric acid).

Aidha, sambamba na ulaji wa vyakula hivyo kwa mtu ambaye tayari analo tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha uric acid mwilini (Baada ya vipimo vya kitaalamu), inashauriwa kutumia virutubisho vya kuweka sawa kiwango hicho.
Whatsapp namba 0621060718

HIVI NDIVYO KUJICHUA KUNA HARIBU UUME:Unavyominya uume kwa nguvu kutafuta msisimko kwa viganja vyako vya mkono unaua Nev...
23/05/2022

HIVI NDIVYO KUJICHUA KUNA HARIBU UUME:

Unavyominya uume kwa nguvu kutafuta msisimko kwa viganja vyako vya mkono unaua Neva,mishipa ya damu ambayo huingiza damu kwenye uume na misuli ya uume ndio Maana uume unakuwa Mwembamba na kuwa mdogo ,uume unajenga usugu kwenye ngozi yake.

punyeto huwezi kufanya muda mrefu Ni sekunde tu tayari unamaliza shughuli yako ,Sasa mwili wako unazoea Hivyo (kuji--condition ).Siku ukifanya mapenzi halisi na Mwanamke unatumia sekunde hizo hizo ulizozoea Wakati wa kufanya Punyeto hutaweza kutembea zaidi ya hapo. Kwa hiyo tunaweza kuona Kwamba punyeto inafupisha muda wa kufanya tendo la ndoa .

Hii inapelekea mwenza unashiriki nae tendo_la_ndoa kutokuridhika ,unamuacha njia panda.

Pia kuchua uume kwa mkono husabisha uume kulegea Sana ,hata kupelekea kutoa shahawa bila kufanya tendo la ndoa .Utajikuta baada ya kusimamisha uume shahawa zinaanza kuvuja zenyewe.

Ukishikwa kidogo tu unasisimka haraka shahawa zinatoka ghafla,na uume unasinyaa .

Cha kufanya Epuka Kujichua .

K**A UNAPITIA CHANGAMOTO HIZI BAADA YA KUPIGA punyeto USIJALI SULUHISHO LAKUDUMU LIPO WASILIANA NASI UPONE SASA.

Whatsapp
0621060718

*MADHARA YA KUJICHUA(PUNYETO) KWA WANAWAKE*Wanawake wengi leo hii wamekuwa wahanga wa tatizo hili la kujichua kwa kile w...
21/05/2022

*MADHARA YA KUJICHUA(PUNYETO) KWA WANAWAKE*
Wanawake wengi leo hii wamekuwa wahanga wa tatizo hili la kujichua kwa kile wanachodai kuto ridhishwa na wenza wao badala yake hutumia vidole au vitu mbalimbali kujichua na kujiridhisha wenyewe.Kitendo hiki wengi hukifanya wakiwa wanaimani hakina madhara au watafanya kwa mda tu wataacha,lakini uhalisia ni kwamba yapo madhara mengi ya jambo hili,leo tuangalie haya machache.

1; KUKOSA HAMU YA TENDO

Kujichua ni kitendo kinacho husisha ubongo na hormones katika mwili,unapofanya kitendo hiki sehemu zako za siri zitapata sugu ambayo itapelekea ukose hamu na ladha hata pindi unapokutana na mwenza wako.

2.MARADHI

Magonjwa k**a UTI sugu na Fangasi yamekuwa sugu yani hayaponi kwa watu wanaojichua na hii inatokana na usafi wa vitu vunavyotumika kujichua na ulaini wa sehem zako a siri

3.KANSA KATIKA SHINGO YA KIZAZI

kuna baadhi ya wanawake hutumia ndizi,vifaa vya plastiki au chochote kuingia sehem za siri wakati wa kufanya tendo hili,hii ni hatari kubwa kwa maana inaweza kukupelekea kupata kansa katika via vyako vya uzazi.

4.KUSHINDWA KUPATA MIMBA

; K**a utakuwa umefanya kitendo hiki kwa mrefu,kumbuka sehemu zako za siri zitakuwa na sugu na pia zitakosea ule ute wa uzazi unaotumika kusafirisha mbegu za kiume hadi kwenye mji wa mimba,ukifikia kiwango hiki sahau kupata mtoto.

✍MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA;
Hii inatokana na kufa kwa tezi zinazohusika kuzalisha ute pale ukeni,kufa kwa tezi hizi kutafanya sehem yako ya siri iwe kavu,ukavu huu ndio unaopelekea maumivu makali pindi unapofanya tendo la ndoa kutokana na mchubuko mkali unaotengenezwa kwa kukosa ute wakutosha

5.MAAMBIKIZI YA MAGONJWA YA ZINAA
; Mtu alie athirika na punyeto ni rahisi sana kupata maambukizi ya magonjwa ya zinaa pindi akikutana na muathirika hii ni kwasababu uke wake unakuwa hauna ute hivyo msuguano ni mkubwa wakati wa tendo la ndoa,hii itamfanya apate virusi mapema.

*JE KUNA DAWA YA KUACHA KUJICHUA*
✍Wanawake wengi mara baada ya kuona wameathirika na jambo huwa wanatamani kuacha lakini kila wakijaribu huwa aanashindwa,yani anaacha siku chache halafu anarudia tena,hii ni hatari sana kwako..k**a wewe ni miongoni mwao yani umeshindwa kabisa kuacha tabia hii, usijali zipo njia za kufuata kuacha kitendo hiki,karibu

K**A UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME ANZA NA HII K**A HUKO VIZURI KIUCHUMILeo nitatoa program maalum kwa ajili ya kuweka ...
20/05/2022

K**A UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME ANZA NA HII K**A HUKO VIZURI KIUCHUMI
Leo nitatoa program maalum kwa ajili ya kuweka vizuri mfumo wa uzazi na kuimarisha nguvu za kiume huna haja ya kupaka mkongo hii ni program ya vyakula na matunda pamoja na mazoezi ni muhimu sana kwako mwanaume lazima wakuheshimu
1.kukufanya uwe na uume imara

2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza

3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara

4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25

5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora

6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex

7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka

8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo k**a zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa k**a ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.

9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto

10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto

11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin

12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.

13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili

14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)
Faida zipo nyingi sana unachotakiwa ni kuzingatia kile nitakacho kuelekeza ili uwe imara zaidi
Hii program nilitoa mwanzo kwa Tsh 45000 lakini leo watu 20 watakao wahi wataipata kwa Tsh 20000 Elfu Ishirini tu Wahi uokoe afya yako uondokane na aibu kitandani
Nitumie ujumbe Whatsapp kwa kuandika neno NAHITAJI

Whatsapp
0746748192 Wahi mapema

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.👉Uume kusimama...
19/05/2022

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0746748192 au piga simu usaidiwe mapema

SABABU ZINAZOPELEKEA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA: ✍️Tendo hili hutokea pale mwanaume anapo ...
17/05/2022

SABABU ZINAZOPELEKEA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:

✍️Tendo hili hutokea pale mwanaume anapo mwingilia mwanamke kimwili,na humchukua dakika moja ama mbili tu,kumaliza tendo, baada ya hapo hukoswa hamu ya kuendelea tena, na uume wake huwa legelege..
✍️Sababu nyingine ni kupania,kuwa na hamasa kupitiliza,kuwa na uoga na matatizo mengine ya kiseikolojia..
✍️Uwezo mdogo wa ngozi ya uume kuhisi au kupata mguso wakati wa tendo,na matatizo ya neva za mwili..
✍️Sababu nyingine ni uume kushindwa kusimama(erectile dysfunction) kutokana na kulegea kwa msuli wa pelvic floor muscle.
✍️Kiwango kidogo cha homoni,uzalishwaji hafifu wa kemikali kwenye ubongo(neurotransmitters)..
✍️Sababu zingine ni za kijenetiki,maambukizi hususani magonjwa ya zinaa,na matatizo ya vimbe katika mfumo wa uzazi wa mwanaume..

DALILI ZA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:

📍Kumaliza mapema au kabla ya tendo,tatizo hili huweza kuwatokea hata wale wanaofanya punyeto,wana weza kufika kileleni mapema tu,lakini wakati huo huo kufanya punyeto ni sababu moja wapo ya tatizo..
📍Dalili zingine ni,kuboreka,kughadhabika na uoga wa kumkalibia mwenza wako..
Tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume watatu,mwanaume mmoja ana tatizo la kufika kileleni mapema au kabla, wakati wa tendo la ndoa!!

Hili tatzo kwa kweli linakosesha amani Sana, yaani usikubali kuliacha liwe sugu litakusumbua Sana, litakupatia stress Sana.
Kwa msaada ama ushauri Tuma ujumbe Whatsapp kwa kuandika neno BABA RIJALI

Whatsapp
0746748192

Address

Dar Es Saalam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Ni Uhai posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Ni Uhai:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram