Rasuli's ruqia & medicine

Rasuli's ruqia & medicine TIBA ASILI , MITI SHAMBA NA MATUNDA DAWA. TUNATOA MAFUNZOYAKUTENGENEZA DAWA MBALI MBALI ZA ASILI

08/06/2025

PONA KISUKARI KWA ASILIMIA MIA NA ULE CHOCHOTE UNACHOTAKA NDANI YA SIKU ISHIRINI NA MOJA KWA UHAKIKA KABISA KWA KUTUMIA DAWA ZETU AINA MBILI AMJAAD NA AIFA,K**A ULIKATA TAMAA NA UMETUMIA MADAWA MINGI BILA MATOKEO BASI UMEPONA.

DALILI ZA KISUKARI
Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.
Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
Wanawake kuwashwa ukeni.
Kutoona vizuri.
Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.
Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole
Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.
Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.
Majipu mwilini.
Kukojoa mkojo ambao mara baada ya dakika chache hujaliwa na sisimizi

KWA MAWASILIANO ZAIDI +255689244107

DALILI ZA MWENYE KUROGWA AU NYUMBA INAYO WANGIWA1 Kusikia k**a miguu ya watu wanatembea nje2 kuwa na tabia ya milango ku...
18/05/2025

DALILI ZA MWENYE KUROGWA AU NYUMBA INAYO WANGIWA

1 Kusikia k**a miguu ya watu wanatembea nje

2 kuwa na tabia ya milango kugongwa na hakuna mtu anagonga

3 Kusikia sauti za watu wanaogea nje na hakuna mtu

4 kuwa na vitimbi ndani ya nyumba

5 kuwa na vitu vinatembea mwilini

6 kutetemeka mwili upande mmoja k**a kiharusi

7 Kusikia k**a mchanga umemwagwa juu ya bati

8 Kusikia k**a kishindo juu ya bati

9 Kusikia milio ya wanyama wakilia kiajabu ajabu

10 kuwa na ugonjwa usio onekana hospital

11 kuwa na ugonjwa wenye kujirudia rudia muda mfupi mfupi

12 kuwa na Mtoto analia sana usiku kuanzia sàa sita

13 Kuota kula kula

14 kuwa na hali ya kutembelewa na vitu mwilini

15 kuvimba mwili k**a mpungufu wa damu

16 kupauka mwili k**a mgonjwa wa bandana

17 kuvuka ngozi

18 kuchanjwa chanjwa usingizini

19 kukatwa sehemu ya kiungo usingizini mfano nywele nk

20 kuwa na upotelewaji wa nguo za ndani kwa mazingira ya utata

21 Kuota Mara kwa Mara ukifanya kazi ngumu

22 kuota unasafiri safiri Mara kwa Mara

23 Kuota unapika shughulini

24 kuchukiwa na watu bila sababu

03/12/2024

RASASU SSIHRI NI DAWA YA AJABU INAYOTIBU KWA KUNYWA MARA MOJA TU UNAPONA INSHAALLAH HATA K**A UMEKATA TAMAA BASI TUMIA HII DAWA UTAONA MAAJABU YAKE DALILI ZA MWENYE KUROGWA AU NYUMBA INAYO WANGIWA

1 Kusikia k**a miguu ya watu wanatembea nje

2 kuwa na tabia ya milango kugongwa na hakuna mtu anagonga

3 Kusikia sauti za watu wanaogea nje na hakuna mtu

4 kuwa na vitimbi ndani ya nyumba

5 kuwa na vitu vinatembea mwilini

6 kutetemeka mwili upande mmoja k**a kiharusi

7 Kusikia k**a mchanga umemwagwa juu ya bati

8 Kusikia k**a kishindo juu ya bati

9 Kusikia milio ya wanyama wakilia kiajabu ajabu

10 kuwa na ugonjwa usio onekana hospital

11 kuwa na ugonjwa wenye kujirudia rudia muda mfupi mfupi

12 kuwa na Mtoto analia sana usiku kuanzia sàa sita

13 Kuota kula kula

14 kuwa na hali ya kutembelewa na vitu mfano wa nyenyere

15 kuvimba mwili k**a mpungufu wa damu

16 kupauka mwili k**a mgonjwa wa bandana

17 kuvuka ngozi

18 kuchanjwa chanjwa usingizini

19 kukatwa sehemu ya kiungo usingizini mfano nywele nk

20 kuwa na upotelewaji wa nguo za ndani kwa mazingira ya utata

21 Kuota Mara kwa Mara ukifanya kazi ngumu

22 kuota unasafiri safiri Mara kwa Mara

24kuamka asubuhi ukiwa na matope haliyakuwa haujaenda shambani

Hili la mwisho Hapa unakuwa umetumika katika kazi za shamba za aliekufanyia uchawi

23 Kuota unapika shughulini. KWA MAWASILIANO ZAIDI 0689244107

06/09/2024

PONA KISUKARI NA ULE UNACHOKITAKA PASINA MIPAKA KUPITIA DAWA HII ILIYO LETA MAAJABU KATIKA KUTIBU KISUKARI.

KISUKARI NI NINI HASWA?

Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Glukosi ni aina ya sukari ambayo huzipa chembe za mwili nishati. Hata hivyo ili glukosi iingie ndani ya chembe hizo inahitaji insulini. Insulini ni kemikali (Homoni) ambayo hutokezwa na kongosho (Pancrease).

Kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu. Ugonjwa huo huvuruga utaratibu wa kuingiza sukari ndani ya chembe kutoka kwenye damu kwa kuwa chembe huhitaji sukari ili kupata nishati.

Ugonjwa wa Kisukari hutokea pale ambapo tezi ya kongosho inaposhindwa kutengeneza kichocheo (Homoni) aina ya insulin au pale mwili unaposhindwa kutumia vizuri kichocheo hicho na kusababisha kuongezeka kwa sukari (Hyperglycemia) au kushuka kwa kiwango cha sukari (Hypoglycemia). Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababishwa na kuwa na kiwango kidogo cha insulin mwilini, mwili kutosikia

kichocheo hicho au yote mawili
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI

~ Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
~ Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
~ Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.
~ Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
~ Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
~ Wanawake kuwashwa ukeni.
~ Kutoona vizuri.
~ Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.
~ Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.
~ Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
~ Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu kwa mawasiliano 0689244107.
~ Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.
~ Majipu mwilini.

06/09/2024
01/09/2024

TOKOMEZA TEZI DUME BILA UPASUAJI,TOKOMEZA KANSA, PRESHA KUPITIA DAWA HIZI INSHAALLAH

PATA SULUHISHO LA MARADHI YA TEZI DUME

Dalili na madhara ya Tezi dume
Damu kwenye mkojo au shahawa . Maumivu au mkojo unaowaka. Kumwaga kwa uchungu. Maumivu ya mara kwa mara au ukak**avu katika sehemu ya chini ya mgongo, nyonga, fupanyonga au puru, au sehemu ya juu ya mapaja.

Njoo upate ufahamu juu ya changamoto ya tezi dume na namna ya kuondokana nayo bila upasuaji, pia tunatoa huduma ya tiba ya tezi dume na kukukinga dhidi ya mashambulizi yoyote katika mfumo wa uzazi wa mwanaume na pia kukulinda dhidi ya saratani ya tezi dume.

Pia tunatoa ushauri nasaha kuhusiana na dawa za Asili , matunda dawa.

Usisite kuwasiliana nasi

RASULI'S RUQIA
0689 244 107
ili kupata huduma zetu.

Address

Ilala
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rasuli's ruqia & medicine posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram