Rasuli's ruqia & medicine

Rasuli's ruqia & medicine TIBA ASILI , MITI SHAMBA NA MATUNDA DAWA. TUNATOA MAFUNZOYAKUTENGENEZA DAWA MBALI MBALI ZA ASILI

MMEA WA MFAGIO/MKANIKI JIKEKITAALAMU UNAJULIKANA K**A         (SIDA RHOMBIFOLIA) MMEA HUU PAMOJA NA KUAMINIKA SANA NA WA...
01/02/2026

MMEA WA MFAGIO/MKANIKI JIKE

KITAALAMU UNAJULIKANA K**A

(SIDA RHOMBIFOLIA)

MMEA HUU PAMOJA NA KUAMINIKA SANA NA WAZEE WETU KATIKA IMANI ZA KIJADI KUWA NA UWEZO WA KUSAFISHA MARADHI MWILI ,KUSAFISHA MWILI KUTOKANA NA KILA AINA YA NUKSI NA KUONDOA UCHAWI AINA YOYOTE.

NDIO MAANA WAZEE VIJIJINI HUTUMIA KWENYE MAENEO YA NYUMBANI KUFAGILIA UWANJA ,NA BAADHI WAMEKUTA UKITUMIWA K**A MFAGIO BILA KUJUA MAANA YAKE NI NINI

Anaandika Dr. Ilakoze 0625522505

SIRI ILIYOPO NI IMANI KUWA MTI HUU UNANGUVU YA ASILI KATIKA KUONDOSHA NGUVU ZA GIZA NA UCHAWI ULIYOMWAGWA SEHEMU HUSIKA.

LAKINI PIA MMEA HUU HUTOA MANUFAA KADHAA YA KIBAYOLOJIA K**A VILE

1:KUPAMBANA NA UCHOCHEZI

2:ANTIOXIDANT

3:ANTIMICROBIAL, ANALGESIC,NA SIFA ZA KUPAMBANA NA KUHARA.

KULINGANA NA MATUMIZI YA JADI NA TAFITI ZA KISAYANSI IMEAMINIKA KUWA

KIJADI MMEA HUU HUTUMIKA KUTIBU MAGONJWA MBALIMBALI K**A VILE

👉HOMA
👉MATATIZO YA KUPUMUA

👉MAJERAHA

👉KUHARA NA MATATIZO YA RHEUMATIC.

MAJANI, SHINA NA MIZIZI YAKE VYOTE VINA MISOMBO YA MANUFAA NA HUTUMIKA KATIKA UPONYAJI WA JERAHA, HUFANYA K**A KICHOCHEZI ,NA KUSAIDIA HALI YA JUMLA YA ANTIOXIDANT.

1:KUPAMBANA NA UCHOCHEZI NA KUONDOA MAUMIVU

2:HUPUNGUZA UVIMBE:

Mmea una mali ya uchochezi ambayo inaweza kusaidia kupunguza uvimbe.

3:ATHARI ZA KUTULIZA MAUMIVU:

Inatumika k**a kiondoa maumivu asilia kwa hali k**a vile maumivu ya kichwa na maumivu ya mwili.

4:ANTIOXIDANT NA ATHARI ZA KINGA

Inapambana na mkazo wa oksidi

Sida rhombifolia ina antioxidants ambayo hupambana na mkazo wa oksidi na kupunguza hatari ya magonjwa sugu.

5:TABIA YA HEPATOPROTECTIVE

Tafiti zinaonyesha inaweza kusaidia kulinda ini.

6:ANTIMICROBIAL

Hupambana na bakteria na fangasi

Mmea huonyesha shughuli za antimicrobial na antifungal.

7:UWEZEKANO WA MATUMIZI YA ANTIBACTERIAL

Sehemu zenye utajiri wa polyphenol kutoka kwa mmea zimeonyesha shughuli ya antiba

TIBA KINGA: Mmea huu, Unajulikana k**a Cleome gynandra kisayansi hujulikanak**a, Saget safi  au African spider plant.......
01/02/2026

TIBA KINGA: Mmea huu, Unajulikana k**a Cleome gynandra kisayansi hujulikanak**a, Saget safi au African spider plant....🩺

Huu mmea ni hazina kubwa ya virutubisho na tiba ya asili inayotumika kwa karne nyingi barani Afrika.

Ukiutengeneza vizuri, unapata dawa ya kinga (prophylaxis) dhidi ya changamoto nyingi za kiafya....

↳ Hupunguza sumu mwilini kwa kuongeza detoxification...

↳ Husaidia kinga ya mwili kupambana na maambukizi.

↳ Ni chanzo kikubwa cha antioxidants zinazopunguza kasi ya uzee na kulinda mishipa ya damu.

↳ Hurekebisha usagaji chakula, hupunguza gesi na kuimarisha afya ya tumbo...

↳ Huimarisha macho na mifupa kutokana na vitamini A, C, na madini muhimu k**a calcium na magnesium....

NB: Mmea huu unapotengenezwa kwa mfumo wa unga (powder) na kutumika mara kwa mara, hufanya kazi k**a ngao ya mwili wako dhidi ya maradhi sugu na magonjwa ya muda mrefu....

Huko kwenu mnauitaje mmea huu wa tiba asilia…?

Na je, umeshawahi kuutumia k**a dawa au k**a mboga kwenye mlo wenu wa kila siku…? 🍲💊

Funguka kwenye comment, Twende tukutane mezani Kwenye Miongozo Tiba ya asili…👇

01/02/2026

PONA MARADHI YA UCHAWI KWA HARAKA KWA KUTUMIA DAWA HII YA AJABU
YENYE KUTOA UCHAWI
NDANI YA SIKU MOJA

20/01/2026

PONA TEZIDUME BILA UPASUAJI NDANI YA SIKU KUMI TU DAWA HII SIO DAWA ZA MATAPELI NA MAJAMBAZI WASIO OGOPA SIKU YA KUFUFULIWA DAWA HII NITASIMAMA HATA MBELE YA ALLAH NIKISEMA SIKUWADANGANYA WATU HII NI KWA SABABU NATAKA NDUGU ZANGU WALIO KATA TAMAA WARUDISHE MATUMAINI NI DAWA YENYE MAAJABU MAKUBWA SANA KATIKA KUTIBU TEZIDUME BEI YAKE NI LAKI TATU ILA NATAKA KUSAIDIA WATU KWA LAKI NA SABINI TU KWA MAWASILIANO +255689244107

20/01/2026

PONA KISUKARI KULA CHOCHOTE UNACHOTAKA K**A MWANZO DAWA HII SIO DAWA ZA MATAPELI NA MAJAMBAZI WASIO OGOPA SIKU YA KUFUFULIWA DAWA HII NITASIMAMA HATA MBELE YA ALLAH NIKISEMA SIKUWADANGANYA WATU HII NI KWA SABABU NATAKA NDUGU ZANGU WALIO KATA TAMAA WARUDISHE MATUMAINI NI DAWA YENYE MAAJABU MAKIBWA SANA KATIKA KUTIBU KISUKARI BEI YAKE NI LAKI TATU ILA NATAKA KUSAIDIA WATU KWA LAKI NA THALATHINI TU KWA MAWASILIANO +255689244107

14/01/2026
TEZIDUME INATIBUKA BILA UPASUAJI KWA MUDA WA SIKU KUMI TU INSHA'ALLAH
07/12/2025

TEZIDUME INATIBUKA BILA UPASUAJI KWA MUDA WA SIKU KUMI TU INSHA'ALLAH

ASSALAMU ALAIKUM. NDUGU ZANGU LEO NATOA OFA NATAKA WATU WAWILI WENYE TEZIDUME NIWAPE DAWA BURE WATAKAO WAHI NDIO NAWAPA ...
28/11/2025

ASSALAMU ALAIKUM. NDUGU ZANGU LEO NATOA OFA NATAKA WATU WAWILI WENYE TEZIDUME NIWAPE DAWA BURE WATAKAO WAHI NDIO NAWAPA INSHA'ALLAH

MAWASILIANO 0748181999

Address

Ilala
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rasuli's ruqia & medicine posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram