AFYA NA Matibabu

AFYA NA Matibabu TUNAWASADIA WANAUME NA WANAWAKE,KUMALIZA CHANGAMOTO ZA UZAZI KWA KUWAELIMISHA NJIA TOFAUTI TOFAUTI

k**a mama wa nyumbani unawezaje kutumia kitunguu saumu kuondoa harufu mbaya ukeni..Zingatia hatua zifuatazo zitakusaidia...
23/05/2023

k**a mama wa nyumbani unawezaje kutumia kitunguu saumu kuondoa harufu mbaya ukeni..

Zingatia hatua zifuatazo zitakusaidia sana

✓ Chukuwa punje ya kitunguu saumu yenye ukubwa na imenye ili kuondoa maganda yake

✓ Ichomechome hiyo punje matundu unaweza kutumia uma au ncha ya kisu na uiache kwa dakika 5 ( itatoa majimaji na kuiruhusu itoe kiwango kingine cha allicin)

✓ Baada ya kuandaa punje yako ichome kwenye mafuta ya mzeituni (hii husaidia kuondoa muwasho wa kitunguu saumu unapokiweka ukeni)

✓ Baada ya kukichovya kwenye mafuta kitoe na kifunganishe kwenye kitambaa safi na kukiweka ukeni na kukitoa baada ya masaa walau 6 hadi 12

NB:muda mzuri wa kukiweka ni usiku na kuitoa asubuhi.

Kuna njia njia nyingi za kiasili ila hii mojawapo karibu kwenye group link kwenye bio baada ya kufanya hivyo utanipa feedback

Jinsi Ya Kutumia Baking Soda Kuondoa Harufu Mbaya Ukeni✓ Chukua kijiko kimoja cha baking soda✓ weka kwenye ndoo na maji ...
23/05/2023

Jinsi Ya Kutumia Baking Soda Kuondoa Harufu Mbaya Ukeni

✓ Chukua kijiko kimoja cha baking soda

✓ weka kwenye ndoo na maji jagi moja

✓ kisha osha uke kwa dakika 5, Jifute kwa taulo sehemu zote usiache unyevu kabla ya kuvaa nguo

✓ Tumia mara mbili tu kwa wiki usizidishe

Karibu sana ujifunze kutoka kwangu namna ya kutumia vyakula na mitishamba ili kuondoa uchafu na harufu mbaya ukeni ndani ya siku 7 hadi 21


..Muda wowote ukiwa tayari kujifunza bofya link iliyopo kwenye BIO yetu na nitapokea taarifa zako na kukuadd kwenye group letu.

Najua umeteseka na unaendelea kuteseka... ..na harufu mbaya kutoka ukeni na umeaingaika Sanahuku na kule ila haujapata m...
18/04/2023

Najua umeteseka na unaendelea kuteseka...
..na harufu mbaya kutoka ukeni na umeaingaika Sana
huku na kule ila haujapata mafanikio au matokeo bora..
..pia umetumia kila Aina ya dawa unayoisikia kuwa inatibu tatizo lako...
..umewatumia watu hela kwa ajili ya kukupatia dawa ila ukaishiwa kutapeliwa tu...
..umemaliza hospital na kwa waganga pia ila umeambulia kupoteza hela zako ...
..na umefikia mpaka hatua ya kukata tamaa kuhusu tatizo lako...
..k**a wewe ni mwanamke unayepitia tatizo hilo ,huo ugonjwa unatibika bila tatizo...
..jambo muhimu ongeza maombi kwa mola wako maana yeye ndio anayeleta maradhi...
..k**a yeye ndiye anayeleta basi hatashindwa kuyatoa...
..lakini pia kuna virutubisho lishe ambavyo ndio K**a suluhisho kwa tatizo lako.

16/04/2023

Epuka kufanya mambo yafuatayo ili kuondokana na harufu mbaya ukeni

✓ kufanya ngono zembe

✓ kutosafisha uke vizuri baada ya kutoa mimba

✓ kunyonywa uke Mara kwa Mara

✓ kuweka vitu ukeni

✓ kutokuoga na kutosafisha uke Mara kwa mara

✓ kuvaa nguo mzito na za kubana

✓ kushiriki tendo la ndoa baada ya kujifungua au kutoa mimba

✓ Hivyo basi kaa mbali na mambo haya yatapelekea kuzalisha harufu mbaya ukeni

Address

Victoria House
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255688733761

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NA Matibabu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA NA Matibabu:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram