Afya yangu 02

Afya yangu 02 Food Supplements We provide health services to the community members.

 YAFAHAMU  MADHARA  YA  MATUMIZI  YA  KISASA  YA  NJIA  ZA  UZAZI  WA  MPANGO:A)MADHARA YA SIINDANO(1) Usumbufu wa hedhi...
09/05/2022


YAFAHAMU MADHARA YA MATUMIZI YA KISASA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO:

A)MADHARA YA SIINDANO
(1) Usumbufu wa hedhi
(2) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(3) Kizunguzungu
(4) Kichefuchefu
(5) Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
(6) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
(7) Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi

B)MADHARA YA VIDONGE
(1) Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha ma uvimbe
(2) Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
(3) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(4) Kupata kichefuchefu
(5) Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
(6) Kubadilisha mwenendo wa damu
(7) Kuliathiri ini kidogo kidogo
(8) Kupata kisukari
(9) Kupata ugonjwa wa moyo
(10) Kupooza upande mmoja wa mwili.
(11) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

C)MADHARA YA KITANZI
(1) Utokaji ovyo wa damu
(2)Kutoboka fuko la uzazi
(3) Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
(4) Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
(5) Kuondoa hamu tendo la ndoa

D)MADHARA YA KIJITI
(1) Husababisha kansa
(2) Huchanganyikiwa (Akili huvurugika)
(3) Shinikizo la damu
(4) Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
(5) Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
(6) Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa.

●Inawezekana ukawa mmoja ya waliotumia uzazi wa mpango na kupata changamoto tofauti tofauti.
🥦Suluhisho tunalo,
Karibu clinic yetu upate........

⏩vipimo vya mwili mzima kwa Tsh 20, 000 Tu

⏩Ushauri wa tatizo lako

⏩Matibabu ya tatizo.

🇹🇿TUNAPATIKANA🇹🇿

🤍Dar es salam
⏩Banana

🤍PWANI
⏩Kibaha

❤️MIKOANI
⏩Arusha
⏩Moshi
⏩Morogoro
⏩Mwanza
⏩Mbeya
⏩Kahama
⏩Tanga
⏩ Dodoma
⏩ Zanzibar
⏩Iringa

●Mawasiliano; Tumia namba 0753496363

◇Kwa Whatsapp gusa Link hapa chini 👇
https://wa.me/255753496363

 Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu.Shirika la Afya kutoka CHINA/ ET...
23/04/2022


Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu.

Shirika la Afya kutoka CHINA/ ETERNAL HOSPITAL, Imeanza kutoa Ofa kwa wagonjwa wote wanao fika katika vituo vyake vyote, na Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa(bidhaa zetu).

MAGONJWA TUNAYOTIBU NI:-
●Matatizo ya Mifupa na viungo vya mwili, ●Presha, ●Kisukari, ●Matatizo ya Uzazi kwa Wanawake na Wanaume, ●Allergy, ●Mfumo wa Upumuaji, ●Moyo, ●Mzunguko wa Damu, ●Masikio, ●Macho, ●Meno, ●Kupoteza kumbukumbu, ●Stroke, ●Matatizo ya Pingiri, ●Kansa aina zote, ●Ngiri, ●Uzito mkubwa, ●Ngozi, ●Kuchuja Sumu mwilini, ●Pumu, ●Bawasiri, ●Vidonda vya tumbo, ●Ini, ●Nguvu za kiume, ●U.T.I sugu, ●P.I.D, ●Fangasi ukeni, ●kuongeza kinga mwilini, ●Matatizo ya homoni kutobalance, NK.

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili:-
1}.Kuosha mwili
2}.Kulinda/ Kukinga
3}.Kujenga
4}.Kutibu

Karibu sana Upate huduma zetu msimu huu wa Ofa.
Tupo Dar es salaam Banana ukonga na Mikoani pia tunapatikana.

Wasiliana nasi kwa simu namba
0753496363

◇Kwa Whatsapp gusa Link hapa chini 👇
https://wa.me/255753496363

27/01/2022
18/01/2022
18/01/2022

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255754542319

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yangu 02 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram