Afya Ya Uzazi Tz

  • Home
  • Afya Ya Uzazi Tz

Afya Ya Uzazi Tz Ninawasaidia watu wenyechangamoto za uzazi kama vile tezidume, nguvu za kiume n.k

24/10/2023

TEZI DUME NI NINI ?

➡️ Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?
Inapatikani katikati ya kibofu cha mkojo na uume huuzunguka mrija wa mkojo.

Kadri umri unavyoenda kuanzia umri wa miaka 40 na kuendelea hutanuka na hapa ndipo tatizo huanza maana hupelekea kupata maumivu wakati wa kukojoa na kuleta shida katika mfumo wa mkojo kwasababu hubana mrija wa mkojo.

DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZIDUME
▶️ Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
▶️Kwenda kukojoa mara kwa mara.
▶️Kushindwa kukojoa.
▶️Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
▶️Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
▶️Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.

KUIFUNZA ZAIDI KUHUSU TEZIDUME BONYEZA LINK HAPA CHINI

https://wa.me/message/DI73Q7ECQS6KA1

PIGA NAMBA 0768 759 982 KWA USHAURI WA KIAFYA NA TIBA YAKE

VISABABISHI HATARISHI KWA SARATANI YA TEZIDUME▶️Umri  Mkubwa  kuanzia miaka 50▶️Nasaba (ukoo wenye historia a saratani h...
04/10/2023

VISABABISHI HATARISHI KWA SARATANI YA TEZIDUME

▶️Umri Mkubwa kuanzia miaka 50

▶️Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

▶️Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu

▶️Unene uliokithiri

▶️Ukosefu wa mazoezi

▶️Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.

▶️Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

Asante sana kwa kutufatili karibu katika somo linalofata

Vilevile usiache kutufollow kwenye mitandao yetu ya kijamii Facebook Afya Ya Uzazi Tz
Instagram
Youtube channel Afya Ya Uzazi Tz

Kwa tiba na ushauri piga 0768 759 982

KUMBUKA AFYA NI FURAHA

04/10/2023

SARATANI YA TEZIDUME NI NINI ?      ▶️Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii ...
04/10/2023

SARATANI YA TEZIDUME NI NINI ?

▶️Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini
🔸️ Asante kwa kufatilia mfululizo wa masomo haya karibu sana katika mfululizo wa masomo linalofata

🔸️Vilevile usiache kutufollow kwenye mitandao yetu ya kijamii Facebook Afya Ya Uzazi Tz
Instagram
Youtube channel Afya Ya Uzazi Tz

🔸️Kwa tiba na ushauri wa kiafya piga namba 0768 759 982

KUMBUKA AFYA NI FURAHA

14/09/2023

TEZIDUME SIO UGONJWA

Tezidume ni moja ya tezi ambayo kila mwanaume anayo na hata mtoto mdogo anayo .
Tezi hii husaidia kwenye mfumo wa uzazi kwa wanaume kwa kuzalisha majimaji ambayo hulinda mbegu ya kiume kufa wakati ikifika kwenye uke wa mwanamke kulingana na mazingira yaliyomo humo kuwa ya hali ya asidi sana

Kadri umri unavyoenda sana kuanzia miaka 45 huanza kutanuka kulingana na kutumika sana lakini pia kulingana na mazingira hivo hupelekea mtu akaanza kupata shida ya mkojo ,pamoja shida za uzazi.na hapo sasa ndipo shida huanza

Ukiwahi kupata matibabu pamoja na ushauri wa kiafya unaweza kujikinga na changamoto hiyo au kutibu kabisa kwa wale ambao wameathirika tayari.

Karibu sana katika mfululizo wa masomo ya afya ya uzazi.

Vilevile usiache kutufollow kwenye mitandao yetu ya kijamii
Facebook Afya Ya Uzazi Tz
Instagram
Youtube channel @ Afya Ya Uzazi Tz

Wasiliana nasi kwa 0768 759 982 kwa tiba na ushauri

KUMBUKA AFYA NI FURAHA

DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUMEDalili huonekana baada ya umri wa miaka ya 45. Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini ...
10/09/2023

DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME
Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya 45. Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyoongezeka.Dalili hizi ni k**a zifuatazo:
1. Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku.Hii ni dalili ya mapema sana.
2. Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku, kutumia nguvu kuanzisha mkojo kutoka. Hata pale mgonjwa anahisi kibofu kimejaa. Hii ni dalili ya mapema sana.
3. Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka.
4. Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
5. Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo nguo za ndani hulowa.
6. Kibofu hakiishi mkojo.
Asante sana karibuni tena katika Somo linalofata
Usiache kutufollow kwenye account yetu ya Afya ya Uzazi Tz, like, comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
Vilevile piga namba+255686818996 kwa tiba na ushauri
KUMBUKA AFYA NI FURAHA

DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME
Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya 45. Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyoongezeka.Dalili hizi ni k**a zifuatazo:
1. Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku.Hii ni dalili ya mapema sana.
2. Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku, kutumia nguvu kuanzisha mkojo kutoka. Hata pale mgonjwa anahisi kibofu kimejaa. Hii ni dalili ya mapema sana.
3. Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka.
4. Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
5. Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo nguo za ndani hulowa.
6. Kibofu hakiishi mkojo.
Asante sana karibuni tena katika Somo linalofata
Usiache kutufollow kwenye account yetu ya Afya ya Uzazi Tz, like, comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
Vilevile piga namba 0768 759 982 kwa tiba na ushauri
KUMBUKA AFYA NI FURAHA

10/09/2023

DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME
Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya 45. Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyoongezeka.Dalili hizi ni k**a zifuatazo:
1. Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku.Hii ni dalili ya mapema sana.
2. Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku, kutumia nguvu kuanzisha mkojo kutoka. Hata pale mgonjwa anahisi kibofu kimejaa. Hii ni dalili ya mapema sana.
3. Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka.
4. Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
5. Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo nguo za ndani hulowa.
6. Kibofu hakiishi mkojo.
Asante sana karibuni tena katika Somo linalofata
Usiache kutufollow kwenye account yetu ya Afya ya Uzazi Tz, like, comment na share na watu wengine wapate Elimu hii
Vilevile piga namba 0768 759 982 kwa tiba na ushauri
KUMBUKA AFYA NI FURAHA

VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKATatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitin...
10/09/2023

VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jamii kuhusu afya zao.
Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:
- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini.
- Uwepo wa sumu nyingi mwilini.
- Kutokufanya mazoezi.
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara.
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi.
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance).
- Msongo wa mawazo (Stress).
- Magonjwa ya zinaa.
- Umri mkubwa.
- Upasuaji wa korodani, kuzaliwa na korodani moja.
- Historia ya Familia (Kurithi).
- Mazingira (Ethnicity).
Asanteni sana karibuni tena katika Somo linalofata
Usiache kutufollow kwenye account yatu ya Afya Ya Uzazi Tz,like, comment na share na marafiki zako ili watu wengine wapate Elimu hii
Vilevile piga namba 0768 759 982 kwa tiba na ushauri wa Afya
KUMBUKA AFYA NI FURAHA

1. TATIZO LA KUTANUKA KWA TEZI DUMEUkuaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila ...
09/09/2023

1. TATIZO LA KUTANUKA KWA TEZI DUME
Ukuaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume. Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 40 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50.
Takwimu kutoka kwenye shirika la CHRP (Centre for Human Right Promotion), zinaonesha kwamba kiujumla kila mwanaume katika maisha yake ana 16% za kugundulika na saratani ya Tezi Dume, mtu 1 kati ya watu 6 analo hili tatizo; 3% (1 kati 33) wanakufa kwasababu ya Saratani ya Tezi Dume. Saratani hii inaua mwanaume mmoja kila baada ya dakika 13.

MAGONJWA YANAYOATHIRI TEZI DUMETayari tumekwisha jifunza Tezi dume ni nini leo naenda kuwafafanulia magonjwa YANAYOATHIR...
09/09/2023

MAGONJWA YANAYOATHIRI TEZI DUME
Tayari tumekwisha jifunza Tezi dume ni nini leo naenda kuwafafanulia magonjwa YANAYOATHIRI TEZI DUME
Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume:
1.Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
2. Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
3. Saratani ya tezi dume.
Asanteni tutaendelea kuifafanua Tezi dume ili Kila MWANAUME aelewe na mwishoni tutatoa namna ya kujikinga na changamoto hii
Usiache kufolow ,kulike, kucomment na kushare ili watu wengine wapate masomo haya ili tuwasaidie wanaume changamoto hii
Vilevile piga namba 255768759982 kupata tiba na ushauri wa tatizo la Tezi dume
KUMBUKA AFYA NI FURAHA

Address

Ilala

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Ya Uzazi Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram