Ijue Afya ya Mifupa

Ijue Afya ya Mifupa Mshauri & Mtaalamu wa Afya ya Mifupa &maungio
�Magoti
�Nyonga
�Uti wa Mgongo
�Mifupa kusaga

23/11/2022

Kuna NGUVU kubwa sana kwenye uwezo wako wa KUSUBIRI. Sio kila kitu kitatokea K**a unavyotaka, kuna vitu kwenye Maisha ni matokeo ya MUDA.

K**a ambavyo KUKU asipoatamia yai lake kwa siku za kutosha, anatoa YAI VIZA ndivyo ilivyo kwenye baadhi ya mambo kwenye maisha. Ukiyalazimisha yatokee kabla ya muda wake, Hata K**a ni mambo sahihi ila hautapata matokeo sahihi.

Utajuaje K**a unachokilazimisha kitokee sio kwa muda sahihi?

Ukiona Ndani yako kinachokusukuma ni kutaka “kuprove” kitu fulani kwa watu, ujue una hatari ya kufanya kitu kwa muda usio sahihi.

Yaani, unapoona bidii yako ya kutaka Jambo fulani litokee sio kwa sababu unaona unalihitaji sana, ila ni kwa sababu UNATAKA KUZIBA WATU MIDOMO au KUWAJIBU KWA VITENDO, hapo Una hatari ya kutoa yai viza.

Dalili nyingine ni pale unapotaka kuonyesha kuwa UMESHINDA. Sio kwamba kitu hicho unataka kitokee kwa sababu UNAKITAMANI na UTAKIFURAHIA bali kwa sababu unataka KUWAONYESHA WATU/MTU kuwa UMESHINDA na HAWAJAKUKWAMISHA.

Kuna wengi ambao wameingia kwenye NAFASI ZA KAZI, wameanzisha BIASHARA au KUINGIA kwenye MAHUSIANO katika hali hizi.

Matokeo yake, HAWAJAFURAHIA KABISA walichokipata kwa sababu ukweli ni kuwa HAWAKUWA WANAKIHITAJI wao bali walitaka KUWAONYESHA WENGINE.

Usisahau kuwa FURAHA yako haitakuja kwa KUWAONYESHA, KUWAJIBU au KUWATHIBITISHIA wengine…Furaha yako iko kwenye kupata kitu ambacho MOYO WAKO unakihitaji.

USIFANYE haraka ukajikuta unatoa YAI VIZA.

Bado MUNGU anakuwazia Mema, HUWA HAWAI wala HACHELEWI.

Tafadhali Ukimaliza Kusoma Share na wengine🙏🏼🙏🏼

See You At The Top



#❤️❤️❤️ #

18/11/2022

SABABU ZINAZO ONGEZA KASI YA KUTOKEA KWA TATIZO LA KUSAGIKA VIUNGO NA MIFUPA
📌Uzito uliopindukia
📌Historia ya familia
📌Ajali
📌 Kutumikisha viungo kupita kias mfano wanamichezo, wanamazoezi nk
afya ya mifupa upate suluhisho #0692730471

10/10/2022

Viungo ni muunganiko Kati ya mifupa miwili katikati ya viungo Kuna gegedu au (cartilage)hii ni plastic ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo

***Kumbuka matatizo ya viungo na mifupa hutokea pale ambapo gegedu limelika na uteute kupungua au kuisha kabisa kwenye viungo

Karibu kwa ushauri na suluhisho bora la afya ya mifupa 0692730471

10/10/2022

KUSAGIKA KWA VIUNGO NA MIFUPA

Viungo ni muunganiko Kati ya mifupa miwili,katikati ya viungo Kuna gegedu au (cartilage),hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo

Changamoto hii huanza pale ambapo gegedu limelika na uteute kupungua au kuisha kabisa

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi 0692730471

29/09/2022

Aina Za Ugonjwa Wa Joints-Arthritis


Kuna aina zaidi ya 100 za ugonjwa huu wa joints au arthritis. Katika mada yetu ya leo tutatazama aina k**a nne hivi za ugonjwa huu, tukielezea chanzo cha kila aina.

Osteoarthritis: Hii ni aina ya arthritis inayosumbua watu wengi zaidi kuliko aina nyingine zote. Ugonjwa huu huwapata zaidi watu wenye umri mkubwa. Osteoarthritis hutokea pale cartilage inapopoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hivyo kuharibika haraka. Cartilage ni kiungo cha kuhimili migandamizo ya ghafla (shock absorber). Cartilage hii inapopoteza ubora wake, tendons na ligaments huvutika na kusababisha maumivu. Hali ya uharibifu huu wa cartilage ikiendelea, mwishowe mifupa huanza kusuguana moja kwa moja na ndipo mgonjwa atakapoanza kupata maumivu makali sana.

Athari za ugonjwa huanza taratibu na kuongezeka na muda. Kutaanza kutokea maumivu kwenye joint baada ya kufanya shuguli fulani au baada ya mapumziko ya muda mrefu. Joints zitakaza, hasa mapema asubuhi unapotaka kuanza shughuli zako za kawaida. Siku zinavyosogea ndivyo utakavyoona ni vigumu zaidi kukitumia kiungo chako. Mara nyingine utaona uvimbe kwenye joint. Osteoarthritis hushambulia zaidi nyonga, mikono, magoti na uti wa mgongo.

0692730471

TIBA NA SULUHISHO KWA MAUMIVU YA VIUNGO NA VIUNGO KUSAGANA. (0692730471)ARTHROEXTRA + ZAMINOCAL (TIBA YA  MIFUPA KUSAGAN...
06/09/2022

TIBA NA SULUHISHO KWA MAUMIVU YA VIUNGO NA VIUNGO KUSAGANA. (0692730471)

ARTHROEXTRA + ZAMINOCAL (TIBA YA MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk

KWANZA, TUJIELIMISHE KIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO HII HUONDOA MISUGUANO KATI YA MIFUPA WAKATI WA MJONGEO (MOVEMENT)

MTU ANAPOFIKISHA MIAKA ZAIDI YA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISHA MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,

HII HUSABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO K**A MAGOTI, NYONGA, NA HATA UYI WA MGONGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO KWA SABABU YA MAUMIVU MAKALI SANA ,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA.
ARTHROEXTRA NA ZAMINOCAL PLUS NI DAWA ZA ASILI HAZINA KEMIKALI, NI SULUHISHO YA MATATIZO HAYA ZIMETHIBIYISHW NA MAMLAKA YA DAWA NA TIBA TFDA, kupata huduma piga (0692730471)

22/05/2022

Kutana na mtaalamu wa Mifupa kwa kitumia virutubisho lishe kwa gharama ndogo sana

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO YA MIFUPA.Watu wengi wenye umri wa miaka 30 na kuendelea hupata matatizo ya maungio ya mifupa....
29/04/2022

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO YA MIFUPA.

Watu wengi wenye umri wa miaka 30 na kuendelea hupata matatizo ya maungio ya mifupa. Hii husababishwa na jinsi tunavyoishi,
▪️ kutopata lishe bora,
▪️ kufanya mazoezi bila kuzingatia namna ya kulinda maungio,
▪️ kufanya kazi nzito,
▪️ kuwa na uzito mkubwa wa mwili,
▪️mwilli kupoteza uwezo wake wa kutengeneza ute kwenye maungio ambayo inatokana na umri na sababu zingine za kiafya.

Hii hupelekea kuwa na maumivu makali mpaka kushindwa kutembea au kusogeza baadhi ya viungo.

Inawezekana hata wewe umeshaanza kuzisikia athari za haya matatizo ila wengi hua wanagundua kwa kuchelewa sana sababu hatuna desturi ya kukagua afya zetu mara kwa mara. Ila pia inawezekana kuna mtu unamfahamu ambaye tayari ameanza kupata athari zake.

Usikae kimya suluhisho lipo,Tuna tiba asili kabisa na maalumu kwa ajili ya kuondoa maumivu ya viungo na mifupa, kuzuia kulika kwa mifupa na viungo.
1.Huongeza ute ute kwenye maungio.
2.Huondoa changamoto ya Arthritis.
3.Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya.
4.Huondoa maumivu ya magoti, nyonga na mgongo.
5.Husaidia mifupa kuwa imara pamoja na vidonda kupona haraka.
6.Huongeza Glucose Amine na Chrondroitin kwenye maungio.

Tiba hii ni izuri kwa wenye umri mkubwa na wenye matatizo ya Mifupa na viungo, Kwa wale wanaofanya mazoezi ya viungo hii tiba inawafaa sana kuwasaidia viungo kukaa sawa na kutopata matatizo yoyote..

Tupo mikoa yote nchini na gharama za dozi inategemea na changamoto uliyonayo hvyo basi kupata suluhisho na namna ya matibabu kwa changamoto yako...
Wasiliana nasi kwa namba.
+255 692 730 471

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ijue Afya ya Mifupa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram