Afya kwanza

Afya kwanza AFYA KWANZA
NAKUSAIDIA WEWE MWANAUME
NAMNA YA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KUWAHI KUFIKA BILA KUTUMIA DAWA

*KWA NINI WANAUME WENGI WANAPATA CHANGAMOTO YA MUWASHO NA MAUMIVU YA KORODANI? NINI MADHARA YAKE ?**Nini Suluhisho lake!...
07/06/2025

*KWA NINI WANAUME WENGI WANAPATA CHANGAMOTO YA MUWASHO NA MAUMIVU YA KORODANI? NINI MADHARA YAKE ?*

*Nini Suluhisho lake!*

*NITUMIE UJUMBE NENO AFYA WHATSAPP 0757156356 NIKUTUMIE VOICE YA KUSIKILIZA KWA UMAKINI NA UTAGUNDUA NAMNA YA KULITATUA TATIZO LAKO HAPA*

*KUNA VIGEZO VITATU (3) MUHIMU VYA MWANAUME ALIE IMARA KWENYE TENDO👇🏾👇🏾*Mwanaume unapokutana na mazingira kushiriki tend...
27/03/2025

*KUNA VIGEZO VITATU (3) MUHIMU VYA MWANAUME ALIE IMARA KWENYE TENDO👇🏾👇🏾*

Mwanaume unapokutana na mazingira kushiriki tendo unatakiwa uweze kuwa na mambo matatu ya kukupa uwezo wa kuperform vizuri.

1. *Mfumo wa Mzunguko wa damu*.... Unapopata hisia na kuhitaji tendo ni lazima mfumo wa Mzunguko wa damu uwe active, damu itiririke kwa wakati sahihi toka Moyoni kwenda kwenye tissue za uume na kuujaza uwe ngangali tayari kwa tendo. Unapokuwa na mfumo mbovu wa Mzunguko wa damu kwenye uume, au mishipa ya damu kuwa michafu, dhaifu, yenye mafuta machafu basi uume utashindwa kupokea damu na mwisho uume utakataa kusimama au kusimama kwa unyonge na kusinyaa mapema,

2.*Sexual stamina (duration)*..Hapa Mwanaume lazima work rate yako iwe na stamina sahihi ya kumudu tendo la ndoa na mwanamke uliye naye, kila mwanamke anamahitaji yake kihisia, mwingine dk 4 Amefika kileleni na mwingine dk 16-20 ndipo anafika Mwanaume unatakiwa kuwa na duration nzuri ya kuperfom tendo, aidha dk 3-7 kwa round ya kwanza, dk 10-24 kwa round ya 2, dk 20-40 kwa round ya 3. Au dk 20+ kwa round ya kwanza, dk 35+ kwa round ya pili, hapo ni tofauti kati ya mwanaume na mwanaume kulingana na factors za afya, saikolojia, hormones nk. Inapofika mahali hauna stamina, dk kiduchu umeshamaliza, unakosa hamu ya kurudia au unashindwa kabisa kuendelea hiyo ni shida na unapoteza sifa ya mwanaume rijali.

3.*Ejaculation (Kufika kileleni)*...Mwanaume yeyote anayekuwa rijali ni lazima amalize kwa kumwaga manii (sperms) ishara ya kufija kileleni, Mwanamke aliyekamilika anahitaji sana kufikiwa na bao kamili ukeni mwake. Bao la mwanaume lina uzani wake, uwingi wa mbegu na modality yake. K**a ni bao kidogo, au haumwagi kabisa, au unamwaga mbegu majimaji na si mnato, au nyingi ila chafu basi unapoteza sifa ya mwanaume rijali. Hakikisha unapata bao zuri, lenye ujazo, lenye afya na harufu safi.

*KARIBU SANA NDUGU INBOX KWA USHAURI NA MSAADA WA SULUHISHO ZAIDI*

PIGA 0757 156 356
WhatsApp 0757 156 356

*UVIMBE NA MAUMIVU YA KORODANI YANAKERA SANA😭**Ukiangalia vizuri Picha A na Picha B , utagundua kwamba picha A korodani ...
10/02/2025

*UVIMBE NA MAUMIVU YA KORODANI YANAKERA SANA😭*
*Ukiangalia vizuri Picha A na Picha B , utagundua kwamba picha A korodani imekaa vizuri haijavimba pia hata mishipa yake haijajikunja imekaa k**a inavyotakiwa. LAKINI ukiangalia picha B utagundua korodani imevimba na pia mishipa yake imejikunja kweli kweli , na hiyo hali huwa inaambatana na maumivu kila baada ya muda fulani.*

*Tatzo hili la kujikunja kwa mishipa ya korodani , kuvimba na Maumivu yanaweza kumkuta mtu mwingine tangu akiwa Mdogo, mwingine ukubwani , na mwingine baada ya kupiga punyeto kwa muda mrefu. Mwanaume usipolishughukia tatzo hili mapema huwa lina athari kubwa sana kwenye Mfumo wako wa nguvu za kiume. Ukimsikia mtu amekumbwa na tatzo hili msisitize aanze dozi ya virutubisho mapema akiwa kwenye hatua ya awali kabla mishipa haijajikunja. Jichunguze korodani zako k**a moja imevimba sana na ukiibonyeza inaleta maumivu, ndugu yangu jiimarishe mapema.*

*K**A UNATESEKA NA MAUMIVU YA KORODANI KARIBU INBOX USAIDIWE, KUNA DOZI MAALUM YA VIRUTUBISHO ITAKUIMARISHA SANA.*

Usikubali kuendelea kuteseka , hizo korodani zote zitaoza na zitakupotezea sifa ya kuitwa mwanaume rijali.

AU PIGA 0757 156 356 SASA HIVI

*Kula tende ni mojawapo ya njia nzuri za kuboresha afya ya wanandoa, hasa linapokuja suala la kuongeza nguvu na kuimaris...
28/01/2025

*Kula tende ni mojawapo ya njia nzuri za kuboresha afya ya wanandoa, hasa linapokuja suala la kuongeza nguvu na kuimarisha uhusiano wa kimapenzi. Hapa kuna namna wanandoa wanavyoweza kula tende kwa faida kubwa:*

1. Kula tende asubuhi
Wanandoa wanaweza kula tende 3-5 kwenye tumbo tupu kila asubuhi. Hii husaidia:
▪️Kuongeza nishati mwilini.
▪️Kuimarisha mzunguko wa damu, jambo linalosaidia afya ya moyo na nguvu za mwili.

2. Mchanganyiko wa tende na maziwa
Loweka tende kwenye kikombe cha maziwa ya moto usiku kisha kunywa mchanganyiko huo asubuhi.
✔️Faida: Mchanganyiko huu huongeza nguvu za mwili, stamina, na hamu ya tendo la ndoa.

3. Tende na asali
Saga tende na changanya na asali ya asili.
✔️Kula kijiko 1-2 kila siku.
🌿Faida: Huchochea uzalishaji wa homoni za mapenzi na huongeza nguvu za kiume na za k**e.

4. Tende k**a vitafunwa
Badala ya vitafunwa vyenye sukari nyingi, wanandoa wanaweza kula tende k**a kitafunwa baada ya chakula cha mchana au jioni.
✔️Faida: Huchangia kupata afya bora ya mwili na kupunguza uchovu.

5. Juisi ya tende
Tayarisha juisi ya tende kwa kuzisaga tende zilizolowekwa kwenye maji ya uvuguvugu. Ongeza mdalasini kidogo kwa ladha.
✔️Faida: Juisi hii husaidia kupunguza msongo wa mawazo na kuongeza hisia za furaha kwa wanandoa.

*Faida za Tende kwa Wanandoa*
👉Huongeza nguvu za mwili na stamina.
👉Huboresha uzalishaji wa homoni zinazohitajika kwa afya ya uzazi.
👉Husaidia kupunguza uchovu na msongo wa mawazo, hivyo kuboresha uhusiano wa kimapenzi.
✔️Ni chanzo kizuri cha virutubisho k**a vile magnesiamu, chuma, na vitamini B6, vinavyosaidia afya ya mwili na akili.

*Wanandoa wakizingatia kula tende mara kwa mara, wanaweza kufurahia afya bora na uhusiano mzuri zaidi wa kimapenzi.*

WhatsApp namba 0757 156 356

Unaweza ukawa na Majigambo mengi mbele ya vijana wenzako lakini ukiwa chumbani na mwanamke unawahi kufika kileleni hadi ...
25/01/2025

Unaweza ukawa na Majigambo mengi mbele ya vijana wenzako lakini ukiwa chumbani na mwanamke unawahi kufika kileleni hadi Unakosa Kujiamini 😔

Yaani kila ukijaribu kujizuia inashindikana Alafu Baada ya kukojoa kimoja mwili mzima unakufa ganzi unashindwa kurudi mchezoni kwa haraka hadi unahaibika.

Usiendelee kuhaibika!
Karibu upate msaada wa haraka na wa uhakika. 🤝
Save Namba 0757 156 356 kwa jina Baraka Afya kisha tuma ujumbe WhatsApp neno Suluhisho nitakusaidia ama piga simu.

*Kuimarisha nguvu za kiume ni hatua muhimu kwa afya ya mwili, akili, na mahusiano* _Moja ya njia za kufanikisha hili ni ...
24/01/2025

*Kuimarisha nguvu za kiume ni hatua muhimu kwa afya ya mwili, akili, na mahusiano*
_Moja ya njia za kufanikisha hili ni kupunguza msongo wa mawazo._
*Msongo wa mawazo huathiri moja kwa moja homoni za kiume k**a testosterone, ambayo ni muhimu kwa nguvu za kiume. Ili kudhibiti msongo wa mawazo, tumia mbinu k**a yoga, kutafakari, au mazoezi ya kupumua kwa utulivu.*
_Haya yanaweza kusaidia kuleta utulivu wa akili na kuboresha hali ya mwili kwa ujumla karibu kwa ushauri na namna ya kutatua changamoto za uzazi_

WhatsApp namba 0757 156 356

uwezi simamisha uume hivi k**a wewe ni muhanga wa Punyeto,*  ni lazima  ufanye mazoezi  kwa bidii na mazoezi pekee hayat...
15/01/2025

uwezi simamisha uume hivi k**a wewe ni muhanga wa Punyeto,*

ni lazima ufanye mazoezi kwa bidii na mazoezi pekee hayatoshi lazima upate madini ya zink na Al arginine,

kwaajili ya kuacha mishipa midogo midogo wazi apo ndipo uume unapokea damu kwa wingi na kusimama imara.

*K**a tatizo hili bado linakusumbua nijulishe inbox 📥*

*Badilisha Mtindo wa Maisha*Lishe bora: Kula vyakula vinavyoongeza virutubisho mwilini k**a vile mboga za majani, matund...
13/01/2025

*Badilisha Mtindo wa Maisha*

Lishe bora: Kula vyakula vinavyoongeza virutubisho mwilini k**a vile mboga za majani, matunda, karanga, na samaki. Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na sukari kupita kiasi.

Mazoezi: Fanya mazoezi mara kwa mara ili kuboresha mzunguko wa damu na kuimarisha afya ya mwili kwa ujumla.

Punguza uzito: Uzito wa kupita kiasi unaweza kuathiri viwango vya homoni na mzunguko wa damu.

*Umuhimu wa kufanya mazoezi jioni:*1. Kuboresha afya ya mwili: Mazoezi husaidia kuboresha mzunguko wa damu, kuimarisha m...
09/01/2025

*Umuhimu wa kufanya mazoezi jioni:*

1. Kuboresha afya ya mwili: Mazoezi husaidia kuboresha mzunguko wa damu, kuimarisha misuli, na kupunguza hatari ya magonjwa k**a kisukari, shinikizo la damu, na magonjwa ya moyo.

2. Kupunguza msongo wa mawazo: Kufanya mazoezi jioni kunaweza kusaidia kupunguza mawazo na msongo uliokusanyika wakati wa mchana.

3. Kuboresha usingizi: Mazoezi ya jioni huongeza uzalishaji wa homoni za utulivu k**a serotonini, ambayo husaidia kulala vizuri usiku.

4. Kurekebisha uzito: Mazoezi ya jioni yanaweza kusaidia kuchoma kalori zaidi baada ya kula chakula cha mchana au cha jioni.

5. Kuongeza nguvu na umakini: Mwili huwa na joto zaidi jioni, na kufanya mazoezi wakati huu huongeza nguvu na ufanisi wa mazoezi.

09/01/2025

Mazoezi ya Kegel yanafaida nyingi, hasa kwa misuli ya sakafu ya nyonga. Haya ni mazoezi ya kubana na kuachia misuli ya nyonga, na faida zake ni pamoja na:

1. Kuimarisha misuli ya sakafu ya nyonga: Hii husaidia watu ambao wanakabiliwa na matatizo ya kudhibiti mkojo (k**a vile mkojo kutoka bila hiari).

2. Kuboresha afya ya uzazi: Kwa wanawake, mazoezi ya Kegel yanaweza kusaidia wakati wa ujauzito kwa kuimarisha misuli ya nyonga, kupunguza maumivu ya mgongo, na kuandaa mwili kwa ajili ya kuzaa.

3. Kusaidia afya baada ya kujifungua: Baada ya kujifungua, mazoezi haya yanaweza kusaidia kurejesha uthabiti wa misuli ya sakafu ya nyonga.

4. Kuboresha maisha ya ndoa: Mazoezi ya Kegel yanaweza kuboresha hisia za kimahaba kwa kuimarisha misuli inayohusika na raha wakati wa tendo la ndoa.

5. Kusaidia wanaume: Kwa wanaume, mazoezi haya yanaweza kusaidia katika kudhibiti matatizo ya kumwaga mapema na kuboresha nguvu za misuli ya nyonga.

6. Kuzuia matatizo ya kibofu cha mkojo: Yanasaidia kudhibiti matatizo ya kibofu k**a vile mkojo kutoka bila hiari au kutoweza kutoa mkojo vizuri.

Ili kupata matokeo bora, unapaswa kufanya mazoezi haya mara kwa mara kwa kufuata maelekezo sahihi.

08/01/2025

"📆 Mwezi wa Januari ni kipindi ambacho wengi hukumbwa na msongo wa mawazo kuhusu fedha baada ya matumizi makubwa ya sikukuu. Changamoto hizi za kiuchumi zinaweza kuathiri afya yako kwa njia zifuatazo:

1️⃣ Msongo wa Mawazo (Stress): Unapokua na mawazo mengi, mwili hutoa homoni ya cortisol kwa kiwango kikubwa, ambayo inaweza kuathiri mfumo wa usagaji wa chakula na kinga ya mwili.

2️⃣ Ulaji wa Vyakula Visivyofaa: Ili kuokoa pesa, wengi hula vyakula vya bei nafuu ambavyo mara nyingi havina virutubishi vya kutosha na vinaweza kuchangia sumu mwilini.

3️⃣ Mwili Kukosa Nguvu: Uchovu wa kimwili na kiakili unaweza kudhoofisha mfumo wa kinga, hivyo kuongeza hatari ya magonjwa.

Kwa nini utumie Forever Aloe Vera Gel? 🌿💧

☑️Husaidia Kusafisha Mwili: Inaondoa sumu na taka mwilini, hasa zile zinazotokana na ulaji wa vyakula visivyo bora.

☑️Huimarisha Kinga ya Mwili: Inatoa virutubishi muhimu vinavyosaidia mwili kupambana na athari za msongo wa mawazo.

☑️Huongeza Nguvu na Kuboresha Usagaji wa Chakula: Inapunguza dalili za kiungulia, gesi, na matatizo ya tumbo yanayoweza kusababishwa na mawazo au vyakula.

Hata katika changamoto za Januari, afya yako haipaswi kuwa changamoto nyingine! Chukua hatua sasa, tumia Forever Aloe Vera Gel na uanze mwaka ukiwa na mwili safi na akili tulivu. 💪📲"

MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAJUI KUHUSU TATIZO LA KUSIMAMISHA JOGOO KWA ULEGEVU Mambo Muhimu  Katika  Kuufanya Uume ...
18/12/2024

MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAJUI KUHUSU TATIZO LA KUSIMAMISHA JOGOO KWA ULEGEVU

Mambo Muhimu Katika Kuufanya Uume Usimame na Kuendelea kudumu katika kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.

Ili uume uweze kusimama imara k**a msumari na uendelee kusimama imara na kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa, ni lazima mambo yafuatayo yawepo.
1. Mishipa ya uume iliyo imara na yenye afya njema.

2.Mfumo mzuri wa damu katika mwili mzima.

3.Mtiririko imara wa damu kuingia na kutoka ndani ya mishipa ya uume.

4.Ushirikiano wenye afya kati ya mishipa ya fahamu ya kwenye ubongo (nerves), mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na mishipa ya kwenye uume.

Unatamani kuondokana na changamoto ya UUME KUWA legevu sana!

K**A UMEIELEWA ELIMU HII NIJIBU HAPO CHINI INBOX AU PIGA SIMU 0757 156 356 NIKUTUMIE UTARATIBU WA SULUHISHO

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255757156356

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share