AFYA this page is all about how to care your body within a good health condition

11/10/2020

_*TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI (FALLOPIAN TUBES)*_

_Mirija ya uzazi kitaalamu inajulikana k**a Fallopian tubes. Hii ni mirija midogo iliyopo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke ambayo husaidia kupitisha yai lililopevuka hadi kufika kwenye mji wa mimba._

_Mirija hii inapoziba inazuia yai kusafiri baada ya kuachiliwa na mfuko wa mayai pia inazuia mbegu za kiume kulifikia yai.Tatizo hili ni moja kati ya sababu za ugumba kwa wanawake._ _ambapo Asilimia 40 ya wanawake wenye matatizo ya ugumba inasababishwa na tatizo la mirija kuziba._

_Mara nyingi wanawake wenye tatizo hili hua hawaoneshi dalili zozote zile._

_*KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI KUNASABABISHA VIPI UGUMBA?*_
_Kila mwezi yai la mwanamke linapopevuka huachiliwa kutoka kwenye mfuko wa mayai na kusafiri kupitia mirija ya uzazi kuelekea kwenye mji wa mimba._ _Mbegu za kiume pia husafiri kutokea kwenye shingo ya kizazi na kulifata yai kwenye mirija ya uzazi ili kulirutubisha tuelewe kwamba urutubishwaji wa yai unafanyika kwenye mirija ya uzazi wakati yai linasafiri kuelekea kwenye mji wa mimba._
_Mirija inapokuwa imeziba inazauia yai kusafiri kufika kwenye mji wa mimba na inazuia mbegu za kiume kulifikia yai hivyo kusababisha ugumba._

_Mbali na hayo mirija hii inaweza isizibe yote kabisa na kuacha upenyo unaoruhusu mbegu za kiume kupita na kulifikia yai na kupelekea mimba kutunga nje ya kizazi._

_*DALILI ZA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA*_

_Sio watu wote wenye tatizo hili huonesha dalili.Asilimia kubwa ya wanawake wenye tatizo hili hawaoneshi dalili zozote._
_Aina ya tatizo hili inayojulikana kitaalamu k**a HYDROSALPINX ndo huwa na dalili za maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kutokwa na maji maji mengi ukeni._
_Hydrosalpinx ni aina ya tatizo la mirija kuziba ambapo mirija inaziba na kujaa maji._
_pia mwanamke huweza kupata dalili k**a maumivu makali wakati wa tendo la ndoa na maumivu makali wakati wa hedhi_

_*VISABABISHI VYA TATIZO LA MIRIJA KUZIBA*_

_Kisababishi kikubwa cha mirija kuziba ni tatizo la maambukizi kwenye viungo vya uzazi (PID)_
_Na mara nyingi PID husababishwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa japo sio kila mwenye PID imetokana na magonjwa ya zinaa._

_Sababu nyingine ni k**a_
_Magonjwa ya zinaa mfano Kisonono na Chylamidia_

_Maambukizi kwenye kizazi baada ya mimba kuharibika (abortions) _

_Historia ya tatizo la kidole tumbo (Appendicitis)_

_Historia ya Mimba kutunga nje ya kizazi_

_upasuaji ambao unahusisha mirija ya uzazi_

_VIPIMO GANI VYA KUONESHA TATIZO HILI?_
_Tatizo hili upimwa kwa kipimo maalumu cha X ray ambacho kinajulikana kitaalamu k**a Hysterosalpingogram (HSG) ambapo unawekewa kimiminika fulani ambacho ni salama kwenye kizazi na kupigwa X ray._

_Kimiminika hicho kikiingia kwenye kizazi kinaenda hadi kwenye mirija kikishndwa kupita kwenye mirija basi inaonesha mirija imeziba.Aina nyingine ya kipimo hiki ni kwa kuwekewa kifaa chenye camera ambacho kinapitishwa ukeni hadi kwenye mirija. Vipimo vingine ni vile vya kupima ute (High vaginal swab) kuangalia k**a kuna maambukizi._

_MATIBABU_
_K**a mirija imeziba kwa makovu madogo madogo basi huzibuliwa kwa vifaa maalumu au upasuaji wa kutoa makovu hayo._

_Endapo mirija imeziba kwa kujaa maji kwa sababu ya maambukizi (hydrosalpinx) basi unahitaji matibabu ya maambukizi hayo kwanza._

_UWEZEKANO WA KUPATA UJAUZITO_

_Mirija ikishazibuliwa unaweza kushika mimba kawaida. k**a una matatizo ya kupevusha mayai daktari anaweza kukuongezea dawa za kusaidia kupevusha mayai._

_Endapo mirija imeziba hata unapotumia dawa za kupevusha mayai haziwezi kukusaidia._

_Mwisho_
_Ni vyema unapofikilia kupata ujauzito ufanye vipimo vinavyosaidia pia kuona mirija yako k**a iko katika hali nzuri.Unapoona dalili zozote ambazo huzielewi kwenye mwili wako basi hakikisha unafika hospitali kwa ajili ya matibabu_

usifadhaike.sas utakuwa k**a zaman na kuwa na shepu kwa wote wamama na wababa ondoa kitambi punguza unene,weka mwili ktk...
05/11/2019

usifadhaike.sas utakuwa k**a zaman na kuwa na shepu kwa wote wamama na wababa ondoa kitambi punguza unene,weka mwili ktk umbo lake

02/11/2019

Dawa ya ngozi iliyo kua kwenye mfumo wa sabuni kiboko ya chunusi sugu na mabaka

Aloe soap sabuni za mimea,asali,mchai chai na mafuta ambazo zimetengenezwa katka maabara na kuthibitishwa Na shirika la afya, hufanya kazi nyingi na za maajabu.

1⃣_ KUONDOA CHUNUSI SUGU NA MADOA YALIYOSHINDIKANA.,
hutengeneza seli zilizokufa kwa kuondoa rangi ya madoa, alama za kuungua ktka ngozi na kupunguza mlundikano wa mafuta unaosababisha chunus zisizokwisha.

2⃣_HUTUMIKA KUSHEVIA NA KUONDOA HARUFU MBAYA YA JASHO KALI (kikwapa)
ukitumia kushevia italinda hali ya kutoka na mapele yatokanayo na wembe, na huyaponya yote k**a tayari yalishatokea, hufanya mwili kuwa mwepesi zaid kwa kuondoa jasho Kali La kikwapa.

3⃣_HUONDOA WEUSI MAKWAPAN NA SEHEMU ZA SIRI.,
Huondoa rangi yote isiyohitajika katika ngoz na kuiacha rangi moja tu yenye kupendeza ikibaki na asili yake

4⃣_HUONDOA MIKUNYANZ NA KUZUIA HALI YA MIDOMO KUPASUKA.
hupambana na hali ya ngoz kuchoka mapema na kurudisha unyevunyevu katka ngoz kwa kuondoa mikunjo mikunjo

5⃣_HUTIBU FANGASI ZA MIGUU NA MAGAGA.
huripea ngozi iliyofubaa kwa kuondoa magaga madogo madogo na fangasi za miguu kwa wale wanaovaa viatu kwa muda mrefu.

6⃣_HUTIBU M,BA MAPUNYE NA UTANGATANGA._ inafaa sana kwa watoto wenye mapunye, inayatibu na kuimarisha ngozi zao kwani ni tofaut na sabun za kawaida, hali kadhalika hutumika kuoshea nywele kwa wenye m,ba kichwani na kuondoa utangatanga kwa jinsia zote.

7⃣_TUMIA KWA ULINZI TOSHA WA NGOZ YAKO.
pia unaweza kuitumia hata k**a hauna tatizo lolote, kwani ni tofauti kabisa na sabuni nyingine., huondoa hali ya miwasho ya ajabu ajabu.

NB; Hi ni Afya! na povu lake pia huondoa sumu mwilin na kung'arisha ngozi yako, haina kemikal 100% haichubui ni ya asili, hutumiwa na wote,bei ni sawa na bure 3picies 30,000 tuu. Inakufikia popote ndani ya Dar essalaam,na kwa wale walio mikoan tunasafilisha kwa ghalama nafuu

Kwa mahitaji Call me through 0675129696

ENERGY CUPHii ni chupa maalumu ya kunywea maji ambayo imewekwa madini k**a calcium,phosphorus,sulphate,magnesium,potasiu...
04/10/2019

ENERGY CUP
Hii ni chupa maalumu ya kunywea maji ambayo imewekwa madini k**a calcium,phosphorus,sulphate,magnesium,potasium,sodium N.K,madini haya ni muhimu kwa kuimarisha mifupa,meno,kuongeza kinga na nguvu ya mwili.unapoweka na kunywa maji kutumia chupa hii ni k**a umeongeza nguvu ndio maana zinaitwa Energy cup.madini yote haya huchimbwa ardhini na kuifadhiwa katika chupa hii na rangi ya ndani ya chupa hii inauwezo kwa 95% ya kuuwa vijidudu au bakteria walio katika maji na wanao eneza homa ya matumbo,ukiweza tumia chupa hii kwa muda mlefu,mwili huwa na uwezo mkubwa wa kujenga kinga ya mwili,maji yakiwekwa katika chupa huweza kupenya kwa urahisi katika seli za mwili na kusaidia msukumo wa damu,pia kuimarisha afya kwa kutoa uchovu na kuupa kinga.chupa hii huwasaidia sana wagonjwa wasiojiweza,wasioweza kula chakula na maji ya kawaida hulekebisha tatizo hilo,watoto wadogo,wagonjwa wenye upungufu wa madini,hata wale waliofanyiwa oparation inatoa msaada mkubwa pia kwa wakina mama wajawazito na waliojifunguwa

dawa aina zote kutoka katika kampuni yetu ya wachina wanakuketea kuiboresha na kuimarisha afya yako sas wasiliana nasi 0...
02/10/2019

dawa aina zote kutoka katika kampuni yetu ya wachina wanakuketea kuiboresha na kuimarisha afya yako sas wasiliana nasi 0675119696

kwa wale wanaosumbuliwa na tumbo,ikiwemo vidonda vya tumbo,tumbo kukata,tumbo la kuhala na mengne mengi kutana na wataal...
02/10/2019

kwa wale wanaosumbuliwa na tumbo,ikiwemo vidonda vya tumbo,tumbo kukata,tumbo la kuhala na mengne mengi kutana na wataalamu kutoka china kupata msaada zaidi wasiliana nasi kw simu no.0675119696

wale wanaosumbuliwa na sida ya maumivu ya mgongo na mwili mzma kiujumla iko suluhisho,iko dawa itakayokufanya ujisikie v...
01/10/2019

wale wanaosumbuliwa na sida ya maumivu ya mgongo na mwili mzma kiujumla iko suluhisho,iko dawa itakayokufanya ujisikie vizuri na kupata usingizi mzuri wakat wa usiku wasiliana nasi kupata dawa hyo

*MAJI YA UVUGU VUGUTAFADHALI SAMBAZA KWA FAMILIA NA MARAFIKI, NI MUHIMU NA INAWEZA KUOKOA MAISHA YA MTU.* Jopo la madakt...
01/10/2019

*MAJI YA UVUGU VUGU
TAFADHALI SAMBAZA KWA FAMILIA NA MARAFIKI, NI MUHIMU NA INAWEZA KUOKOA MAISHA YA MTU.*

Jopo la madaktari wa kijapani limethibitisha kwamba maji ya vuguvugu yana uhakika wa asilimia 100% katika kutatua matatizo kadha wa kadha ya kiafya k**a vile:
1. Kipanda uso (Migraine)
2. Shinikizo la juu la damu
3. Shinikizo la chini la damu
4. Maumivu ya viungo
5. Ongeza na kupungua kwa ghafla kwa mapigo ya moyo
6. Kifafa(epilepsy)
7. Kuongezeka kwa kiwango cha kolestro(mafuta katika mishipa ya damu)
8. Kikohozi
9. Uchovu wa mwili/ kutojisikia raha
10. Maumivu ya Golu
11. Pumu
12. Kikohozi kisichokoma
13. Kuziba kwa mishipa ya damu
14. Magonjwa yanayohusiana na mfuko wa uzazi pamoja na mkojo
15. Matatizo ya tumbo
16. Kukosa hamu ya kula
17. Pia magonjwa yote yahusuyo macho, masikio na koo.

*JINSI YA KUTUMIA MAJI VUGUVUGU*
Amka asubuhi mapema na kunywa angalau glasi mbili (2) za maji vuguvugu tumbo likiwa bado tupu(ukiwa hujala chochote). Inaweza isiwe rahisi kunywa glasi (2) mbili mwanzoni, lakini taratibu utaweza na kuzoea.

*ZINGATIA*:
Usile kitu chochote kwa dakika 45 baada ya kunywa maji vuguvugu.
Tiba ya maji vuguvugu itatatua matatizo ya kiafya kwa muda usiopungua:

• Kisukari ni siku 30
• Shinikizo la damu ni siku 30
• Maumivu ya tumbo siku 10
• Aina zote za saratani ni ndani ya miezi 9
• Kuziba kwa mishipa ya damu ni ndani ya miezi 6
• Kukosa hamu ya kula ni ndani ya siku 10.
Mji wa mimba au mfuko wa uzazi na magonjwa mengine yanayohusiana na hayo ni ndani ya siku 10.
• Matatizo ya pua, sikia na koo ni ndani ya siku 10.
• Matatizo ya wanawake ni ndani ya siku 15.
• Magonjwa ya moyo ni ndani ya siku 30.
• Maumivu ya kichwa au kipanda uso ni ndani ya siku 3.
• Kolestro ni ndani ya miezi 4.
• Kifafa na kupooza/ kufa ganzi kusikokoma ni miezi 9.
• Pumu ni ndani ya miezi 4.

*MAJI YABISI/BARIDI SI MAZURI KWA AFYA YAKO*!!!*
K**a maji baridi hayatokuathiri ukiwa mtoto yatakuathiri ukiwa mzee.
• Maji baridi hufunga mishipa ya moyo na kusababisha mshtuko wa moyo. Vinywaji baridi ni kisababishi kikubwa cha mshtuko wa moyo.
• Pia maji baridi baridi hutengeneza tatizo katika ini, inapelekea kukwama kwa mafuta kwenye ini, watu wengi wanaosubiri upandikizi wa ini ni wahanga wa matumizi ya maji baridi.
• Maji baridi huathiri kuta za ndani za tumbo. Yanaathiri utumbo mpana na matokeo yake ni Saratani.

*TAFADHALI! USIIWEKE TAARIFA HII KWA AJILI YAKO TU. *
Mwambie mtu amwambie mtu, "**YANAWEZA OKOA MAISHA YA MTU".**

Imetafsiriwa na BENJAMIN MALIMA

Address

Kariakoo
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255675119696

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram