Afya kwanza 24hrs

Afya kwanza 24hrs Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya kwanza 24hrs, Women's Health Clinic, kigamboni, Dar es Salaam.

AFYA YA MWANAUME NA MWANAMKE
Afya | Lishe | Mazoezi | Ushauri |
Karibu Tukusaidie Kuijenga Afya yako Kupitia Ushauri Sahihi Wa Vyakula, Mtindo wa Maisha Na Utumiaji Wa Virutubisho.

LINDA AFYA YAKO NA YA UWAPENDAO KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE
23/09/2025

LINDA AFYA YAKO NA YA UWAPENDAO KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME  Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na...
29/08/2025

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME 

Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na huzunguka mrija wa mkojo. 

💡 Usisubiri dalili! Ni muhimu wanaume kuanzia miaka 40 kupima afya ya tezi dume mara kwa mara. 

🌿 PROSTATE RELAX  SULUHISHO ASILI BILA UPASUAJI 

Faida zake kwa afya ya tezi dume: 
✅ Kupunguza uvimbe na shinikizo la tezi dume (BPH) 
✅ Kurejesha mkojo kutoka vizuri bila kubanwa au kukatika 
✅ Kupunguza kukojoa mara kwa mara hasa usiku 
✅ Kuimarisha nguvu za kiume na afya ya uzazi 
✅ Kupunguza maumivu ya nyonga na mgongo kutokana na tezi dume 
✅ Kuongeza nguvu ya mfumo wa mkojo na kibofu 
✅ Kuimarisha mzunguko wa damu kwenye sehemu za siri za mwanaume 
✅ Kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume 
✅ Kulinda mbegu za kiume dhidi ya uharibifu (oxidative stress) 
✅ Kuongeza stamina na kujiamini kwa mwanaume 

✨ Uko tayari kurudisha nguvu zako za kiume bila upasuaji? 
Chukua hatua leo na linda afya yako ya tezi dume! 

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME  Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na...
27/08/2025

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME 

Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na huzunguka mrija wa mkojo. 

💡 Usisubiri dalili! Ni muhimu wanaume kuanzia miaka 40 kupima afya ya tezi dume mara kwa mara. 

🌿 PROSTATE RELAX  SULUHISHO ASILI BILA UPASUAJI 

Faida zake kwa afya ya tezi dume: 
✅ Kupunguza uvimbe na shinikizo la tezi dume (BPH) 
✅ Kurejesha mkojo kutoka vizuri bila kubanwa au kukatika 
✅ Kupunguza kukojoa mara kwa mara hasa usiku 
✅ Kuimarisha nguvu za kiume na afya ya uzazi 
✅ Kupunguza maumivu ya nyonga na mgongo kutokana na tezi dume 
✅ Kuongeza nguvu ya mfumo wa mkojo na kibofu 
✅ Kuimarisha mzunguko wa damu kwenye sehemu za siri za mwanaume 
✅ Kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume 
✅ Kulinda mbegu za kiume dhidi ya uharibifu (oxidative stress) 
✅ Kuongeza stamina na kujiamini kwa mwanaume 

✨ Uko tayari kurudisha nguvu zako za kiume bila upasuaji? 
Chukua hatua leo na linda afya yako ya tezi dume! 

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME  Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na...
22/08/2025

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME

Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na huzunguka mrija wa mkojo.

💡 Usisubiri dalili! Ni muhimu wanaume kuanzia miaka 40 kupima afya ya tezi dume mara kwa mara.

🌿 PROSTATE RELAX SULUHISHO ASILI BILA UPASUAJI

Faida zake kwa afya ya tezi dume:
✅ Kupunguza uvimbe na shinikizo la tezi dume (BPH)
✅ Kurejesha mkojo kutoka vizuri bila kubanwa au kukatika
✅ Kupunguza kukojoa mara kwa mara hasa usiku
✅ Kuimarisha nguvu za kiume na afya ya uzazi
✅ Kupunguza maumivu ya nyonga na mgongo kutokana na tezi dume
✅ Kuongeza nguvu ya mfumo wa mkojo na kibofu
✅ Kuimarisha mzunguko wa damu kwenye sehemu za siri za mwanaume
✅ Kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume
✅ Kulinda mbegu za kiume dhidi ya uharibifu (oxidative stress)
✅ Kuongeza stamina na kujiamini kwa mwanaume

✨ Uko tayari kurudisha nguvu zako za kiume bila upasuaji?
Chukua hatua leo na linda afya yako ya tezi dume!
0769287659

Bei ya ofa ya package hii ni tsh 452,800 Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.Upungufu wa nguvu za ...
26/07/2025

Bei ya ofa ya package hii ni tsh 452,800

Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri. Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misuli ya uume. Tafiti zinaonesha kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Dalili Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume:

1) Kukosa Hamu Ya Kufanya  Tendo La Ndoa.

2) Kutokuwa Na Uwezo Wa Kurudia Tendo La Ndoa Zaidi Ya Mara Moja.

3) Kutokuwa  Na Uwezo Wa Kusimamisha Uume Kabisa.

4) Kuwahi Kufika Kileleni.

5) Kuchoka Sana Baada Ya Tendo La Ndoa Na Hata Kukinai Kabisa/Hata Kusikia Kichechefu.

6)  Kuhisi Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa/Baada Ya Tendo La Ndoa.

7) Kuchelewa  Sana Kufika Kileleni/Kushindwa Kufika Kileleni Kabisa.

Usihofu tatizo hili lina tatulika kwa tiba iliyo sahihi...Wasiliana nasi tukusaidie kutatua yako kwa ukaribu zaidi na kupata suluhusiho la kudumu.

WASILIANA NASI KWA:
whatsapp/piga
+255769287659 👈🏼

 
 
 
 
 
 
 
 
 

 
 
 
 
 
 
 
 
 

Hakika Mungu ni mwema
18/07/2025

Hakika Mungu ni mwema

Kazi ya Mungu ni kubwa! 🙏🏽 Ninazidi kushuhudia neema na baraka kila siku kupitia huduma zetu za afya. Wateja wetu wanaen...
18/07/2025

Kazi ya Mungu ni kubwa! 🙏🏽

Ninazidi kushuhudia neema na baraka kila siku kupitia huduma zetu za afya. Wateja wetu wanaendelea kupata nafuu na kupona kabisa baada ya kutumia bidhaa zangu kwa uangalifu na maelekezo sahihi.

✅ Fangasi sugu waliotesa kwa miaka – Sasa wamepona.
✅ Maumivu ya tumbo, PID, na UTI – Sasa historia.
✅ Mvurugiko wa hedhi na matatizo ya homoni – Sasa wamepata mzunguko wa kawaida.

💚 Naendelea kusimama k**a daraja kati ya afya mbaya na afya bora. K**a wewe au mpendwa wako anakabiliwa na changamoto za kiafya, usiogope kuwasiliana nami. Huduma zangu ni salama, za kitaalamu, na zinaleta matokeo halisi.

🌸 MAUMIVU YA OVULATION (Siku za Hatari)Ni maumivu yanayotokea katikati ya mzunguko wa hedhi (mara nyingi siku ya 14).✅ H...
17/07/2025

🌸 MAUMIVU YA OVULATION (Siku za Hatari)

Ni maumivu yanayotokea katikati ya mzunguko wa hedhi (mara nyingi siku ya 14).

✅ Huhisiwa upande mmoja wa tumbo (kulingana na yai linaloachiliwa)
✅ Huwa ya kuvuta au kuchoma, hudumu dakika hadi saa chache
✅ Huambatana na ute wa ukeni k**a mkorogo
✅ Ni kipindi cha uwezo mkubwa wa kushika mimba

⚠️ K**a maumivu ni makali sana, yanakuja na homa au damu – muone daktari.

🩷 Ovulation pain si ugonjwa – ni hali ya kawaida kwa wanawake wengi.

Wasiliana nasi kwa msaada zaidi
0769287659

✅ **Faida za program maalum kwa Wanaume 1. 🔥 Huongeza hamu ya tendo la ndoa (libido)  2. 💪 Huboresha nguvu za mwili na s...
10/07/2025

✅ **Faida za program maalum kwa Wanaume

1. 🔥 Huongeza hamu ya tendo la ndoa (libido) 
2. 💪 Huboresha nguvu za mwili na stamina 
3. 🧠 Husaidia kupunguza uchovu na msongo wa mawazo 
4. 🩸 Huongeza mzunguko wa damu kwenye viungo vya uzazi 
5. 🧬 Huboresha ubora wa mbegu za kiume 
6. 🥼 Hupambana na tatizo la kushindwa kusimama (erectile dysfunction) 
7. 🧃 Huongeza uzalishaji wa homoni ya testosterone 
8. 💓 Huboresha afya ya moyo, figo na ubongo 
9. 🛡️ Huchangia kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili 
10. 🚫 Hupunguza hatari ya matatizo ya kibofu na tezi dume 

Wasiliana nasi kwa
0769287659

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

Free delivery bado ina endelea kwa wakazi wa Dar es salaam na mikoa mingine
03/06/2025

Free delivery bado ina endelea kwa wakazi wa Dar es salaam na mikoa mingine

PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI) UGONJWA WA PID NI NINI??Ni ugonjwa wa maambukizi una...
17/03/2024

PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI)

UGONJWA WA PID NI NINI??
Ni ugonjwa wa maambukizi unaotokea katika via vya uzazi vya mwanamke ambapo huhusisha maambukizi katika shingo ya kizazi (CERVICITIS) , nyama katika mfuko wa uzazi (ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi (SALPINGITIS)

VYANZO NA VIHATARISHI VYA KUPATA UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Vimelea aina ya NEISSERIA GONORHOEAE pamoja na CHLAMYDIA TRACHOMATIS ndio chanzo cha
maambukizi ya ugonjwa wa PID ingawaje kuna aina kadhaa za vimelea vinahusishwa kusababisha ugonjwa wa PID hivyo nilivyotaja ndio vinaongoza Kwa umaarufu kusababisha ugonjwa wa PID.

Pamoja na vimelea hao kuwa chanzo kikuu cha
ugonjwa wa PID zipo njia KADHAA HATARISHI
KUSABABISHA MAAMBUKIZI HAYA NAZO NI;

*kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.

*Kufanya ngono isiyo salama

*Maambukizi ya njia za uzazi mara baada ya kujifungua au mimba kuharibika.

*Kuambukizwa kupitia damu yenye vimelea wa PID.

*Kupata maambukizi wakati wa kutoa mimba kwa njia isiyo salama.

DALILI/VIASHIRIA VYA UGONJWA WA PID
Kuna dalili mbalimbali zinazoweza kuashiria ugonjwa huu
wa PID miongoni mwa dalili hizo ni,
*Mwanamke kupata maumivu ya tumbo hasa maeneo ya
chini ya kitovu.
*Kupata maumivu wakati wa kukojoa.
*Kupata homa na kuhisi kichefuchefu.
*Kupata maumivu ya mgongo na kutapika
*Kutokwa na hedhi bila mpangilio
*kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Kutokwa na uchafu(utoko)mweupe ukeni unaotoa
harufu mbaya.

NAMNA YA KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA PID
Pamoja na kuwepo kwa dawa za kutibu tatizo hili ni vyema ukajiepusha na vihatarishi vya kupata tatizo hili kwa kuzingatia yafuatayo,
*Epuka kufanya ngono isiyo salama.
*Jiwekee tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara hasa
kizazi.

*Usifanye mapenzi mara baada ya kujifungua au mimba
kutoka mpaka utakapohakikisha shingo ya uzazi
imefunga vema.

*Kuwahi kuonana na daktari unapoona dalili za ugonjwa
*Kuwa msafi na kula lishe bora
Note:
Uonapo dalili za ugonjwa huu wahi kupata matibabu
kwani ugonjwa huu ni mkubwa huweza kusababisha
ugumba ikiwa hautapata tiba vizuri.
asante kwa kuwa nami kusoma ujumbe huu rafiki k**a una MAONI/MASWALI NIANDIKIE KUPITIA PAGE YETU YA AFYA KWANZA 24HRS
AU
WASILIANA NASI KWA;
WHATSAPP/PIGA
+255769287659
Daniel

Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenz...
17/03/2024

Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri. Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misuli ya uume. Tafiti zinaonesha kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Dalili Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume:

1) Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa.

2) Kutokuwa Na Uwezo Wa Kurudia Tendo La Ndoa Zaidi Ya Mara Moja.

3) Kutokuwa Na Uwezo Wa Kusimamisha Uume Kabisa.

4) Kuwahi Kufika Kileleni.

5) Kuchoka Sana Baada Ya Tendo La Ndoa Na Hata Kukinai Kabisa/Hata Kusikia Kichechefu.

6) Kuhisi Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa/Baada Ya Tendo La Ndoa.

7) Kuchelewa Sana Kufika Kileleni/Kushindwa Kufika Kileleni Kabisa.

Usihofu tatizo hili lina tatulika kwa tiba iliyo sahihi...Wasiliana nasi tukusaidie kutatua yako kwa ukaribu zaidi na kupata suluhusiho la kudumu.

WASILIANA NASI KWA:
whatsapp/piga
+255769287659 👈🏼

[ ] 《Tunajali Afya Yako...Karibu Sana》□

Address

Kigamboni
Dar Es Salaam
15110

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya kwanza 24hrs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya kwanza 24hrs:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram