AFYA YANGU

AFYA YANGU SURUHISHO LA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZWA KAMA VILE U.T.I,P.I.D TEZI DUME BAWASILI,0743562868

08/02/2022

CHANGAMOTO Ya Tezi Dume

MAWASILIANO; +255743562868
Wanaume wote wapo kwenye hatari ya kupata magonjwa ya tezi dume na hasa wanapofikia umri wa miaka 50. Hapa chini tutapitia baadhi ya matatizo yanayowasumbua zaidi wanaume:

Benign Prostatic Hyperplasia (BPH) au Prostate Enlargement

Hii ni hali ambapo tezi dume huongezeka ukubwa. Zaidi ya theluthi ya wanaume wote walio juu ya miaka 50 wana dalili za kuvimba kwa tezi dume. Haijajulikana kwa uhakika ni kwa nini tezi dume huwa kubwa zaidi kadri umri unavyoongezeka, lakini kukua huku si dalili ya kansa na wala hakuongezi uwezekano wa kupata kansa. Hili si tatizo kubwa sana la kiafya.

Tezi dume iliyoongezeka ukubwa huleta msukumo juu ya mrija wa mkojo na kibofu cha mkojo hali ambayo inaweza kuathiri namna mkojo utakavyotoka.

DALILI YA TEZI DUME ILIYOVIMBA.
1.Shida katika kuanza kukojoa au kuubana mkojo
2.Mtiririko dahifu wa mkojo
3.Kukojoa kwa shida
4.Kujisikia kuwa hujamaliza mkojo
5.Mkojo kuendelea kudondoka kwa muda mrefu baada ya kumaliza
6.Hali ya kujisikia kukojoa mara kwa mara au ghafla
7.Kuamka mara nyingi zaidi usiku kwa ajili ya kwenda haja ndogo

Kwa baadhi ya wanaume, dalili zinaweza kuwa ndogo ambazo hazihitaji tiba. Kwa wengine, zinaweza kuwa kubwa na kuathiri maisha yao. Wanaume hupatwa hofu kuwa kuvimba kwa tezi dume kunasabihiana na upataji wa kansa ya tezi dume. Hii siyo kweli kwani uwezekano wa kupata kansa wa mtu mwenye tez i iliyovimba hauzidi ule wa mtu asiye na tatizo hili la tezi.

Sababu ya kuongezeka ukubwa wa tezi dume haijajulikana, lakini wataalamu wengi wanaamini kuwa inahusiana na mabadiliko katika homoni yanayotokea umri wa mtu unapokuwa mkubwa.

Tiba ya Tezi Iliyokua
Tiba ya tezi hutolewa kulingana na hali iliyofikiwa. Utashauriwa kubadili mtindo wako wa maisha, k**a kupunguza utumiaji wa kahawa na pombe, na kufanya mazoezi ya mwili. Pamoja na kubadili mtindo wa maisha,

Madhara yanayoweza kutokea kutokana na benign prostate enlargement ni; maambukizi kwenye njia ya mkojo – UTI, kutokana na kuwa wadudu k**a bakteria waliomo kwenye njia ya mkojo hawataweza kusukumwa nje wakati wa kukojoa, .

💁*LIJUE TATIZO HATARI KWA WANAWAKE, MVURUGIKO WA HOMONI (HORMONAL* *IMBALANCEMSHAURI:0743562868Mvurugiko wa homoni za mw...
04/02/2022

💁*LIJUE TATIZO HATARI KWA WANAWAKE, MVURUGIKO WA HOMONI (HORMONAL* *IMBALANCE
MSHAURI:0743562868

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni za Estrogen na progesterone. Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi hupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.

*VYANZO/SABABU ZA MVURUGIKO WA HOMONI*

🍏Uwepo wa sumu mwilini
🍏Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha)
🍏Kukoma kwa hedhi
🍏Kutofanya mazoezi, na kutokulala masaa anayostahili kwa siku
🍏Uzito mkubwa
🍏Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
🍏Msongo wa mawazo

🍏Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango🍏Utoaji wa mimba
🍏Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
🍏Ongezeko ya homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)

*DALILI ZA MVURUGIKO WA* *HOMONES*
👉🏾Ukavu ukeni
👉🏾 Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉🏾 Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉🏾 Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
👉🏾 Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
👉🏾 Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
👉🏾Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
-👉🏾 Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
👉🏾 Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
👉🏾 Maumivu ya viungo
👉🏾 Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
👉🏾Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
👉🏾 Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
👉🏾 Msongo wa mawazo na kukosa
👉🏾Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
👉🏾 Maumivu ya kichwa mara kwa mara
👉🏾Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
👉🏾 Kutokupata choo kwa wakati

*MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONES*

✍🏿Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:

👉

03/02/2022

CHANGAMOTO YA TEZI DUME
Mshauri: +255743562868

Tezi dume ni nini?.
Ni tezi inayopatikana kwa mwanaume tu.
Mtu anapofukisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..

Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.

1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi

2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.

3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani

4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.

5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo

6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.

7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana.
8. Kukojoa kidogo kidogo na mara kwa mara
9. Maumivu maeneo ya kibofu cha mkojo

UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo La tezi dume.Sasa KUNA SULUHUSHO..⤵️

Kuna tibalishe iliyotengenezwa kwa vyakula isiyo na kemikali na inayokuja kutibu vyanzo vya tatizo na kupona kabisa

Kwa mawasiliano zaidi Wasiliana Nasi Kupitia +255743562868 Ili upate Matibabu sahihi ili kutibu chanzo Cha Tatizo na Kurudia Hali ya kuwa huru.

Sabato njema wapendwaaaaa
29/01/2022

Sabato njema wapendwaaaaa

Usikae na changamoto k**a hii wai upate tiba ili urejeshe furaha katika familia yako 0743562868
23/01/2022

Usikae na changamoto k**a hii wai upate tiba ili urejeshe furaha katika familia yako 0743562868

23/01/2022

Wasiliana nami kwa kupata huduma hii 0743562868

23/01/2022
Dawa zipo kwaajir ya afya yako
23/01/2022

Dawa zipo kwaajir ya afya yako

Femicare n kibok ya U.T.I sugu na miwasho sehem za siri poa hutibu  P.I.D ikisaidiana n yunzhi pia hutatua tatizo la hom...
23/01/2022

Femicare n kibok ya U.T.I sugu na miwasho sehem za siri poa hutibu P.I.D ikisaidiana n yunzhi pia hutatua tatizo la homon imbalance yaan kwa wale AMBAO MZUNGUKO WAO wa hezi haupo constant unabadilika badilika huondoa harufu mbaya uken ,huondoa na kukinga utokwaj wa maji machafu ukeni huondoa na kukinga kupata miwasho uken Hufanya uke kua mkavu wakati wote pia hutibu FANGASI wasiliana nami kwa 0743562868

Tanzania zipo mikoa yote Tanzania 0743562868
20/01/2022

Tanzania zipo mikoa yote Tanzania 0743562868

Kwa wale wanaosumbuliwa n U.T.I na P.I.D wai mapemaaa 0743562868
20/01/2022

Kwa wale wanaosumbuliwa n U.T.I na P.I.D wai mapemaaa 0743562868

20/01/2022

Address

Ilala Boma
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YANGU posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YANGU:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram