Tiba asili

Tiba asili Hii ni page ya tiba asili za kimarekani, utajufunza magonjwa na mambo mengi kuhusu afya zetu pamoja

Bf Suma ni kampuni ya kimataifa iliyojikita katika tafiti na maendeleo ya kijamii, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa lishe asilia zisizo na kemikalu zenye kukinga na kutibu magonjwa mbalimbali Kama shida zote za uzazi kwa wanaume na wanawake, vidonda vya tumbo, bawasili, gesi tumboni nk, shida za mgongo, maunhio na mifupa kwa ujumla, kisukari, presha , vimbe, Kansa,kupunguza uzito na manyama uzembe, kuondoa sumu na kuimarisha Kinga za mwili

K**a hutaki uzee suluhisho ni NMN ambayo inatengeneza na kuboresha DNA zako ambazo huwa zikichoka ndo unazeeka, DNA kuch...
16/11/2025

K**a hutaki uzee suluhisho ni NMN ambayo inatengeneza na kuboresha DNA zako ambazo huwa zikichoka ndo unazeeka, DNA kuchoka kwa DNA huchangiwa na vyakula unavyokula, vinywaji vya kemikali, vilevi,maradhi,msongo wa mawazo hivuo NMN inapambana na madhara yatokanayo na mfumo wako wa kuishi na kukupa muonekano wa ujana daima pia kuondosha na kukinga na maradhi sugu k**a kisukari, presha, shida za ini, figo, moyo, mapafu, vidonda vya tumbo na mifupa na maungio
Jipatie NMA yako leo

14/11/2025

Ubora wa tendo la ndoa unapungua sana kwa wanaume wengi na hii ni kwa sababu ya mfumo wa maisha

# Msongo wa mawazo
# Aina ya vyakula na vinywaji
# Ulevi na sio unywaji
# Matumizi ya dawa za kubust
# Kujichua
# Kuangalia video na picha za uchi
# magonjwa sugu
# matumiz ya madawa mbalimbali kiholela

Dalili zinazowasumbua wengi ni k**a hizi

@ kushindwa kusimamisha uume vzr
@ kwenda bao moja na kushindwa kurudia kwa wakati
@ uume kulegea ktkt ya safari
@ kushindwa kufika kileleni kwa wakati
@ kukosa ladha ya tendo na kupoteza ham haraka
@ mbegu chache na nyepesi ambazo haziwezi kurutubisja yai ka mwanamke

Kwa kawaida mwanaume anaweza kufanya tendo la ndoa na wanawake watatu tofauti kila siku na wote wakarizika lakini hii kwa sasa ni uongo

Sasa basi usiogope na kukosa amani na kushusha heshima yako na wanaume wote kwa ujumla, njoo bright future tukupatie virutubisho tiba visivyo na kemikali vitakusaidia kuboresha mfumo na urudi sawa bila kuathiri afya yako

Tupo nchi nyingi kwa tz tupo mikoa mingi nipigie au piga 0716843582

12/11/2025

K**a una changamoto hizo nione nikusaidie

Whatsapp/call 0716843582

Sio tuu kupona kisukati bali ina imarisha DNA kukupa muonekano wa kijana *FAIDA UTAKAZO ZIPATA MWILINI UKITUMIA NMN DUO ...
11/11/2025

Sio tuu kupona kisukati bali ina imarisha DNA kukupa muonekano wa kijana
*FAIDA UTAKAZO ZIPATA MWILINI UKITUMIA NMN DUO RELEASE*



🟢Inasaidia kutatua na changamoto za mifupa k**a vile osteoporosis
🟢Inasaidia kuboresha ngozi kutokana na colagen iliyopo
🟢Inatibu na kuzuia changamoto ya kisukari
🟢inatatua changamoto za mabadiliko ya hormone
🟢Inasaidia kutibu kipanda uso
🟢Inasaidia kurekebisha DNA zilizoharibika
🟢INATIBU magonjwa ya akili
🟢Inaboresha na kurudisha kumbukumbu hasa kwa wazee
🟢INATIBU vimbe kwa figo
🟢Inaondoa vimelea vya saratani
🟢Ni Ant aging ambayo itakufanya uwe na mwonekano mzuri kila wakati.
🟢INATIBU changamoto za macho k**a vile fresha ya macho na ukungu.
🟢Inazuia magonjwa yatokanayo na umri/ maradhi ya uzeeni

NMN DUO RELEASE -ni tiba lishe Ambayo imetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu sana kwa kutumia technology kubwa iitwayo *CUTTING EDGE TECHNOLOGY* Ambayo inaifanya bidhaa hii kuweza kuleta matokeo ndani ya dakika 30,kutokana na ilivyotengenezwa kwa matabaka mawili .

• NMN 100mg/kwa kila kidonge.
Hii inasaidia kuongeza uwezo wa NAD+ ili kuzalisha nguvu kwa haraka zaidi ndani ya dakika 30 mpaka kupata matokeo.
• NMN 200mg/kwa kila kidonge kimoja.
Hili ni tabaka ambalo limebeba 200mg za nmn na inachukua zaidi ya masaa 24 kwenye kuongeza NAD+ kwa Ajili ya kuboresha seli za viungo vya ndani visishambuliwe na maradhi nyemelezi na kuzeeka haraka.k**a vile moyo,figo,ini,kongosho nk.

NMN DUO RELEASE imetengenezwa na viambata hai vifuatavyo.
•NMN
•hydroxypropyl methylcellulose
•silicon dioxide
•magnesium stearate
•sunset yellow (E110)etc

Whatsapp/call +255716843582

09/11/2025

BF Suma Cerebrain ni kirutubisho lishe kinachosaidia kuimarisha kazi za ubongo, kumbukumbu, na mzunguko wa damu kwenye ubongo. Kinafaa sana kwa watu wa rika mbalimbali wanaokumbwa na uchovu wa akili, kusahauharaka, au kushuka kwa uwezo wa kufikiri.

✅ Viambato Muhimu:

Ginkgo Biloba Extract – Huchochea mzunguko mzuri wa damu kwenye ubongo.

DHA (Omega-3) – Husaidia ukuaji wa seli za ubongo na kuboresha kumbukumbu.

Vitamin B Complex – Husaidia mfumo wa neva kufanya kazi vizuri.

💡 Faida za Cerebrain:

Huimarisha kumbukumbu na uwezo wa kufikiri.

Hupunguza msongo wa mawazo (stress) na uchovu wa akili.

Husaidia wanafunzi na watu wenye kazi za kiakili kubwa.

Huongeza kasi ya ufikiri na umakini.

Hupunguza hatari ya magonjwa ya kupoteza kumbukumbu k**a Alzheimer’s.

Huondoa maumivu ya kichqa yanayosababishwa na hitilafu ya mishipa ya fahamu

👥 Inafaa kwa:

Wanafunzi

Wazee

Watu wanaofanya kazi zinazohitaji kufikiri sana

Watu wanaosahauharaka au kupatwa na msongo wa mawazo

09/11/2025

*FAIDA ZA PURE AND BROKEN*
Kiini Cha Uyoga Mwekundu ♥️♥️♥️💯✅
Baadhi za kazi zake ni zifuatazo👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼

⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali

Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote

Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia Uyoga mwekundu mara moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona

Angalia kidogo hapa 👇

Pure ikiisha katika kuitengeneza mabaki ya Uyoga mwekundu ndo hutengenenezea baadhi ya dawa nyingine tena ndio maana huitwa *pure*

Unakosaje kuitumia pure K**a unauwezo nayo?

Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni mhimu kwako kuitumia.

06/11/2025

Je umeshapata dalili zifuatazo
👉🏻Kutokwa na uchafu ukeni
👉🏻Kupata miwasho ukeni
👉🏻Kutofurahia Tendo la ndoa
👉🏻Uke kuwa mkavu
👉🏻Maumivu wakati wa Tendo la ndoa
👉🏻Kukosa hamu ya Tendo la ndoa
👉🏻Maumivu wakati wa kukalibia kwenye Hedhi
👉🏻Kutokwa na harufu mbaya ukeni (Shombo la samaki)

K**a una moja ya dalili hizi ujue kuwa upo kwenye tatizo la PID ( Maambukizi kwenye via vya uzazi) ambayo husababisha kuziba mirija ya uzazi, Mimba kuharibika, Kushindwa kubeba ujauzito pia hata kupata Saratani ya kizazi ( Endometrial Cancer) . Habari njema ni kwamba tuna suluhisho juu ya matatizo yote hayo, piga................... ili kupata ushauri na tiba

chukua hatua,,,,wasiliana nasi kwa ushauri na tiba
0 7 1 6 8 4 3 5 8 2

Nb: tiba zetu ni za asili kabisa na hazina kemikali yoyote japo zimetengenezwa kwennye k**a dawa za kawaida
Na tiba zetu hazihusishi upasuaji utameza virutubisho na kuondoa hicho kinyama kwa hatua

TUANGALIE DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUMEKatika hatua zake za awali,  saratani ya tezi dume hazitofautiani sana na zile...
05/11/2025

TUANGALIE DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME

Katika hatua zake za awali, saratani ya tezi dume hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume (BPH). Dalili hizo ni pamoja na:-

1. Kupata shida unapoanza kukojoa

2. Kutiririka kwa mkojo baada ya kumaliza kukojoa

3. Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu

4. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku

5. Kujikakamua wakati wa kukojoa na kudhindwa kumaliza mkojo wote

6. Kutoa mkojo uliochanganyika na damu

7. Kutoa shahawa zinazochanganyika na damu

8. Maumivu makali ya mifupa katika maeneo ya nyonga, mapajani na kiunoni

9. Uume kushindwa kusimama (uhanisi)

10. Kushindwa kabisa kukojoa au kupitisha mkojo.

Aidha mgonjwa huwa na dalili nyingine zinazoweza kumpata mgonjwa mwingine yeyote wa saratani k**a vile kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu, kizunguzungu n.k

TEZI DUME NI UGONJWA HATARI TAKRIBAN 85% YA WAGONJWA WANAOFANYIWA MATIBABU KWA NJIA YA OPERATION HUWA HAWAPONI ENDAPO UTAKUWA UMECHELEWA KUFANYIWA MATIBABU.

PIGA/WHATSAPP 0716843582

TUNAWEZA KUZUIA KUTANUKA KWA TEZI DUME AU KUSAIDIA TEZI DUME ILOTANUKA IRUDI KWENYE HALI YA KAWAIDA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHOLISHE

USHAURI KWA WANAUME WA MIAKA 35+ KULINGANA NA MTINDO WA MAISHA YA SASA KUANZIA VYAKULA, VINYWAJI, KUJICHUA,NK BASI UNAPASWA KUTUMIA VIRUTUBISHOLISHE KUILINDA TEZI DUME YAKO ILI KUEPUKA ATHARI ZA KUPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME, NA KUPATA MADHARA YA KUTANUKA KWA TEZI DUME

05/11/2025

Usiendelee kuteseka tumefanya rafiti na kujua chanzo cha tatizo lako hivyo tutakusaidia 100%

Whatsapp/call 0716843582

05/11/2025

Whatsapp/call 0716843582

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam
234

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tiba asili:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram