Tiba asili

Tiba asili Hii ni page ya tiba asili za kimarekani, utajufunza magonjwa na mambo mengi kuhusu afya zetu pamoja

Bf Suma ni kampuni ya kimataifa iliyojikita katika tafiti na maendeleo ya kijamii, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa lishe asilia zisizo na kemikalu zenye kukinga na kutibu magonjwa mbalimbali Kama shida zote za uzazi kwa wanaume na wanawake, vidonda vya tumbo, bawasili, gesi tumboni nk, shida za mgongo, maunhio na mifupa kwa ujumla, kisukari, presha , vimbe, Kansa,kupunguza uzito na manyama uzembe, kuondoa sumu na kuimarisha Kinga za mwili

18/07/2025

Celebrating my 5th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉

TATIZO LA ACID NA MAKOHOZI KWENYE KOOWatu wengi wa mekuwa wa kipata changamoto Za acid Na makohozi kwenye koo kwa Muda m...
08/07/2025

TATIZO LA ACID NA MAKOHOZI KWENYE KOO

Watu wengi wa mekuwa wa kipata changamoto Za acid Na makohozi kwenye koo kwa Muda mrefu sanaa

Mtu anaweza kuwa Na makohozi mazito kwenye koo ambayo hayatoki

Changamoto hii husababisha Na Mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula hasa changamoto ya reflux

DALILI ZAKE

1.Maumivu kwenye koo
2.Kuwa Na Kikohozi kikavu
3.Kupata badiliko la sauti
4. Kuhisi kuungua (Moto) kweny koo
5. Kubeua Kila wakati

CHANGAMOTO HII ISIPO TIBIWA YAWEZA KUPELEKEA Matatizo makubwa YA KOO

Watu wengi wamesumbuka Na chanagamoto hii Bila kupata matokeo kulingana Na dalili zake kuendana Na magonjwa mengine

Ipo tiba ambayo itakusaidia kuondokana Na changamoto hiyo.

Tuwasiliane kwa namba hii kwa matibabu Zaidi

BF Suma Cerebrain ni kirutubisho lishe kinachosaidia kuimarisha kazi za ubongo, kumbukumbu, na mzunguko wa damu kwenye u...
01/07/2025

BF Suma Cerebrain ni kirutubisho lishe kinachosaidia kuimarisha kazi za ubongo, kumbukumbu, na mzunguko wa damu kwenye ubongo. Kinafaa sana kwa watu wa rika mbalimbali wanaokumbwa na uchovu wa akili, kusahauharaka, au kushuka kwa uwezo wa kufikiri.

✅ Viambato Muhimu:

Ginkgo Biloba Extract – Huchochea mzunguko mzuri wa damu kwenye ubongo.

DHA (Omega-3) – Husaidia ukuaji wa seli za ubongo na kuboresha kumbukumbu.

Vitamin B Complex – Husaidia mfumo wa neva kufanya kazi vizuri.

💡 Faida za Cerebrain:

Huimarisha kumbukumbu na uwezo wa kufikiri.

Hupunguza msongo wa mawazo (stress) na uchovu wa akili.

Husaidia wanafunzi na watu wenye kazi za kiakili kubwa.

Huongeza kasi ya ufikiri na umakini.

Hupunguza hatari ya magonjwa ya kupoteza kumbukumbu k**a Alzheimer’s.

Huondoa maumivu ya kichqa yanayosababishwa na hitilafu ya mishipa ya fahamu

👥 Inafaa kwa:

Wanafunzi

Wazee

Watu wanaofanya kazi zinazohitaji kufikiri sana

Watu wanaosahauharaka au kupatwa na msongo wa mawazo

🥄 Jinsi ya kutumia:

Kawaida ni kidonge 1–2 mara 2 kwa siku, baada ya chakula. (Fuata maelekezo ya daktari au ya kwenye kifurushi).

27/06/2025

*NINI MAANA YA MIGUU KUWAKA MOTO*

✍🏻 Maumivu haya yanaweza kuwa ya mda mfupi au yakakaa mda mrefu bila kuisha. Miguu yako itahisi hali ya kuungua na kufa ganzi. Maumivu huwa makali sana hasa nyakati za usiku.

✅Matibabu ya changamoto ya miguu kuwaka moto yanategemea na chanzo cha tatizo lako.
*Endelea kusoma zaidi makala hii ili ujue chanzo cha tatizo na tiba sahihi inayokufaa.*

_Sababu 10 Zinazokufanya Upate Tatizo La Miguu Kuwaka Moto_

📌Miguu kuwaka moto kwa sababu ya kisukari-Diabetic Neuropathy

Kisukari kinapokusumbua kwa mda mrefu kinapelekea mishipa midogo ya fahamu kuathirika. Mishipa inapoathirika inakwamisha pia usafirishaji wa taarifa ndani ya mwili.

Taarifa zisiposafirishwa vyema inapelekea changamoto kwenye kuhisi matukio ya ndani na nje ya mwili. Pia kisukari kinaharibu mishipa ya damu ambayo inabeba hewa safi ya oksijeni ndani ya mwili.

Mishipa ya fahamu inaweza kuathiriwa maeneo mbalimbali ya mwili. Na athari hii inaongeza endapo una;

1. Uzito mkubwa na kitambi
2.Presha ya kupanda

21/06/2025

Whatsapp/call 0716843582

*FAIDA UTAKAZO ZIPATA MWILINI UKITUMIA NMN DUO RELEASE*          🟢Inasaidia kutatua na changamoto za mifupa k**a vile os...
19/06/2025

*FAIDA UTAKAZO ZIPATA MWILINI UKITUMIA NMN DUO RELEASE*



🟢Inasaidia kutatua na changamoto za mifupa k**a vile osteoporosis
🟢Inasaidia kuboresha ngozi kutokana na colagen iliyopo
🟢Inatibu na kuzuia changamoto ya kisukari
🟢inatatua changamoto za mabadiliko ya hormone
🟢Inasaidia kutibu kipanda uso
🟢Inasaidia kurekebisha DNA zilizoharibika
🟢INATIBU magonjwa ya akili
🟢Inaboresha na kurudisha kumbukumbu hasa kwa wazee
🟢INATIBU vimbe kwa figo
🟢Inaondoa vimelea vya saratani
🟢Ni Ant aging ambayo itakufanya uwe na mwonekano mzuri kila wakati.
🟢INATIBU changamoto za macho k**a vile fresha ya macho na ukungu.
🟢Inazuia magonjwa yatokanayo na umri/ maradhi ya uzeeni

NMN DUO RELEASE -ni tiba lishe Ambayo imetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu sana kwa kutumia technology kubwa iitwayo *CUTTING EDGE TECHNOLOGY* Ambayo inaifanya bidhaa hii kuweza kuleta matokeo ndani ya dakika 30,kutokana na ilivyotengenezwa kwa matabaka mawili .

• NMN 100mg/kwa kila kidonge.
Hii inasaidia kuongeza uwezo wa NAD+ ili kuzalisha nguvu kwa haraka zaidi ndani ya dakika 30 mpaka kupata matokeo.
• NMN 200mg/kwa kila kidonge kimoja.
Hili ni tabaka ambalo limebeba 200mg za nmn na inachukua zaidi ya masaa 24 kwenye kuongeza NAD+ kwa Ajili ya kuboresha seli za viungo vya ndani visishambuliwe na maradhi nyemelezi na kuzeeka haraka.k**a vile moyo,figo,ini,kongosho nk.

NMN DUO RELEASE imetengenezwa na viambata hai vifuatavyo.
•NMN
•hydroxypropyl methylcellulose
•silicon dioxide
•magnesium stearate
•sunset yellow (E110)etc

NMN DUO RELEASE kwenye chupa 1 ina vidonge 30 na inatumia kwa muda wa mwezi 1
Wazee wanashauri kutumia mpaka chupa 3,

17/06/2025

TUANGALIE DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME

Katika hatua zake za awali, saratani ya tezi dume hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume (BPH). Dalili hizo ni pamoja na:-

1. Kupata shida unapoanza kukojoa

2. Kutiririka kwa mkojo baada ya kumaliza kukojoa

3. Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu

4. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku

5. Kujikakamua wakati wa kukojoa na kudhindwa kumaliza mkojo wote

6. Kutoa mkojo uliochanganyika na damu

7. Kutoa shahawa zinazochanganyika na damu

8. Maumivu makali ya mifupa katika maeneo ya nyonga, mapajani na kiunoni

9. Uume kushindwa kusimama (uhanisi)

10. Kushindwa kabisa kukojoa au kupitisha mkojo.

Aidha mgonjwa huwa na dalili nyingine zinazoweza kumpata mgonjwa mwingine yeyote wa saratani k**a vile kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu, kizunguzungu n.k

TEZI DUME NI UGONJWA HATARI TAKRIBAN 85% YA WAGONJWA WANAOFANYIWA MATIBABU KWA NJIA YA OPERATION HUWA HAWAPONI ENDAPO UTAKUWA UMECHELEWA KUFANYIWA MATIBABU.

PIGA/WHATSAPP 0716843582

TUNAWEZA KUZUIA KUTANUKA KWA TEZI DUME AU KUSAIDIA TEZI DUME ILOTANUKA IRUDI KWENYE HALI YA KAWAIDA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHOLISHE

USHAURI KWA WANAUME WA MIAKA 35+ KULINGANA NA MTINDO WA MAISHA YA SASA KUANZIA VYAKULA, VINYWAJI, KUJICHUA,NK BASI UNAPASWA KUTUMIA VIRUTUBISHOLISHE KUILINDA TEZI DUME YAKO ILI KUEPUKA ATHARI ZA KUPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME, NA KUPATA MADHARA YA KUTANUKA KWA TEZI DUME

16/06/2025

Ubora wa tendo la ndoa unapungua sana kwa wanaume wengi na hii ni kwa sababu ya mfumo wa maisha

# Msongo wa mawazo
# Aina ya vyakula na vinywaji
# Ulevi na sio unywaji
# Matumizi ya dawa za kubust
# Kujichua
# Kuangalia video na picha za uchi
# magonjwa sugu
# matumiz ya madawa mbalimbali kiholela

Dalili zinazowasumbua wengi ni k**a hizi

@ kushindwa kusimamisha uume vzr
@ kwenda bao moja na kushindwa kurudia kwa wakati
@ uume kulegea ktkt ya safari
@ kushindwa kufika kileleni kwa wakati
@ kukosa ladha ya tendo na kupoteza ham haraka
@ mbegu chache na nyepesi ambazo haziwezi kurutubisja yai ka mwanamke

Kwa kawaida mwanaume anaweza kufanya tendo la ndoa na wanawake watatu tofauti kila siku na wote wakarizika lakini hii kwa sasa ni uongo

Sasa basi usiogope na kukosa amani na kushusha heshima yako na wanaume wote kwa ujumla, njoo bright future tukupatie virutubisho tiba visivyo na kemikali vitakusaidia kuboresha mfumo na urudi sawa bila kuathiri afya yako

Tupo nchi nyingi kwa tz tupo mikoa mingi nipigie au piga 0716843582

Usihangaike na vipodozi vikali Tambua kuwa changamoto ya ngozi inatibika bila wasiwasi Huduma zinapatikana  Daresalam Pi...
11/06/2025

Usihangaike na vipodozi vikali
Tambua kuwa changamoto ya ngozi inatibika bila wasiwasi

Huduma zinapatikana Daresalam
Pia mikoa mbalimbali✍️✍️.

utapata complete package ilio na Ubora sahihi kwa kutibu ngozi aina zote na bila kukuachia madhara

Whatsapp/call 0716843582

10/06/2025

*FAIDA ZA KUTUMIA DETOXILIVE*

☑️
Huboresha mzunguko wa damu, kuzibua mishipa midogo midogo ya damu, hivyo kusaidia kuondoa changamoto ya presha na dalili zake.
☑️
Husaidia kunyonya na kuyeyusha mafuta mwilini.. kuondoa tatizo la uzito uliopitiliza
☑️
Huboresha utendaji kazi wa mishipa ya fahamu na usafirishaji wa taarifa hivyo kutibu tatizo la kusahau na kupoteza kumbukumbu
☑️
Huboresha mishipa ya macho, kuondoa ukungu machoni, na kutibu matatizo ya uoni hafifu.
☑️
Hutibu matatizo ya kichwa kuuma mara kwa mara
☑️
Huboresha na kuongeza nguvu za kiume.
☑️
Husaidia kutibu na kuzuia saratani ya tezi dume.
☑️
Huboresha afya na muonekano wa ngozi hivyo kuzuia kuzeeka kwa ngozi.
☑️
Huondoa sumu aina zote mwilini.
☑️
Huondoa sumu(detoxification) kwenye ini na figo.
☑️
Hubalance tatizo la mvurugiko wa homoni kwa wanawake.
☑️
Hutibu homa ya ini "Hepatitis B"... usipange kutokutumia Detoxilive supplement.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tiba asili:

Share