Tiba asili

Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba asili, Mlimani city, Dar es Salaam.

Hii ni page ya tiba asili za kimarekani, utajifunza magonjwa na mambo mengi kuhusu afya zetu pamoja na suluhisho la magonjwa mbalimbali, kama presha, kisukari, shida za mifupa na maungio, bawasili, vidonda vya tumbo, nguvu za kiume, tezi dume, pid,uzazi Bf Suma ni kampuni ya kimataifa iliyojikita katika tafiti na maendeleo ya kijamii, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa lishe asilia zisizo na kemikalu zenye kukinga na kutibu magonjwa mbalimbali Kama shida zote za uzazi kwa wanaume na wanawake, vidonda vya tumbo, bawasili, gesi tumboni nk, shida za mgongo, maunhio na mifupa kwa ujumla, kisukari, presha , vimbe, Kansa,kupunguza uzito na manyama uzembe, kuondoa sumu na kuimarisha Kinga za mwili

Niambie kipi kinakisumbua
28/02/2026

Niambie kipi kinakisumbua

28/02/2026

Sumu huweza kuingia mwilini kwa njia mbalimbali, mara nyingi bila sisi kutambua. Hizi ndizo njia kuu zinazoingiza sumu mwilini:
1️⃣ Vyakula πŸ”
Vyakula vyenye kemikali (vihifadhi, rangi bandia)
Mabaki ya dawa za kuulia wadudu kwenye matunda na mboga
Mafuta yaliyochomwa mara nyingi
Vyakula vya viwandani (processed foods)
2️⃣ Vinywaji πŸ₯€
Maji machafu au yenye metali nzito
Vinywaji vya viwandani (soda, energy drinks)
Pombe kupita kiasi
3️⃣ Hewa tunayovuta 🌫️
Moshi wa magari na viwandani
Moshi wa sigara (hata kwa wasiovuta)
Vumbi lenye kemikali
4️⃣ Kupitia Ngozi 🧴
Vipodozi vyenye kemikali kali
Sabuni na dawa za ngozi zisizo salama
Mafuta ya mwili yenye sumu
5️⃣ Dawa πŸ’Š
Matumizi ya dawa bila ushauri wa mtaalamu
Kutumia dawa muda mrefu kupita kiasi
6️⃣ Mazingira 🏭
Kuishi karibu na viwanda
Kutumia vyombo vya plastiki vibovu
Kemikali za kusafishia nyumba
7️⃣ Mionzi πŸ“±
Matumizi ya muda mrefu ya simu na vifaa vya kielektroniki
Mawimbi ya umeme (electromagnetic radiation)
πŸ‘‰ Ndiyo maana kusafisha mwili (detox) ni muhimu ili kusaidia ini, fi

26/02/2026

Hebu weka comment apa

26/02/2026

Ugumba sio tatizo tena tatizo ni wewe tuu kunitafita na kuanza matibabu haraka

24/02/2026

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π— π—œπ—™π—¨π—£π—” 𝗑𝗔 π— π—”π—¨π—‘π—šπ—œπ—’ πŸ‘‡
🌿 Kusagika kwa Pingili za Mgongo
🌿 Maumivu Makali ya Kiuno na Mgongo
🌿 Mifupa Kusagana
🌿 Miguu Kuwaka Moto
🌿 Kuhisi Ganzi
🌿 Maumivu ya Shingo, Kiuno
🌿 Kukosa Uteute kwenye Magoti
🌿 Kushindwa Kutembea n.k

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’π—¦π—”π—•π—”π—•π—œπ—¦π—›π—” π— π—”π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ 𝗬𝗔 π— π—œπ—™π—¨π—£π—” (π—’π—˜π—§π—˜π—’π—£π—’π—₯π—’π—¦π—œπ—¦) πŸ‘‡
✍️ Magonjwa ya figo.
✍️ Upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye (Menopause) kikomo cha hedhi
✍️ Upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
✍️ Anorexia uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoezi kupita kiasi.

𝗔𝗧𝗛𝗔π—₯π—œ π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’π—¦π—”π—•π—”π—•π—œπ—¦π—›π—ͺ𝗔 𝗑𝗔 π—–π—›π—”π—‘π—šπ—”π— π—’π—§π—’ 𝗭𝗔 π— π—œπ—™π—¨π—£π—” 𝗑𝗔 π— π—”π—¨π—‘π—šπ—œπ—’ πŸ‘‡
πŸ€ Mifupa kuvunjika kwa urahisi.
πŸ€ Kupinda Mgongo wakati wa Uzeeni
πŸ€ Maumivu makali ya Mifupa hasa Katika uti wa mgongo, Mabegani, Kifuani na katika Nyonga.
πŸ€ Ulemavu wa Kudumu
πŸ€ Kupata Tatizo la Kiharusi (Stroke)
πŸ€ Kifo πŸ˜₯

π—žπ—ͺ𝗔 π—§π—œπ—•π—” 𝗑𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨π—₯π—œ π—­π—”π—œπ——π—œ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️0716843582

nguvu za kiume zinakaa maeneo 21 mfumo wa fahamu2 mfumo wa damu3 mfumo wa uzazikuiwa na nguvu za kumchakaza mtoto wa mtu...
23/02/2026

nguvu za kiume zinakaa maeneo 2
1 mfumo wa fahamu
2 mfumo wa damu
3 mfumo wa uzazi

kuiwa na nguvu za kumchakaza mtoto wa mtu nakufundisha life style, halafu nakupa viritubisho, nichek mapema usilete fezea

whatsapp/call 0716843582

23/02/2026

UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE
πŸ‘‡
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo-:

πŸ‘‰ Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi . Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua . Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe .

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣ Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
πŸ”Ÿ Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
β€’ Ugumba
β€’ Kansa ya shingo ya kizazi
β€’ Mirija ya uzazi kuziba
β€’ Majeraha kwenye mirija ya uzazi

Wahi sasa tiba yipo iliyoandaliwa kitalamu zaidi Virutubisho lishe wasiliana nami . Tunapatkana

PIGA/WHATSAPP/CALL 0716843582

Mwanamke imara anaboresha afya yake ya uzazi na ngozi
21/02/2026

Mwanamke imara anaboresha afya yake ya uzazi na ngozi

● *FAIDA ZA VIDONGE VYA ARTHROXTRA*β—‹ Inaboresha na kuimalisha gwegweju kwenye maungio (cartilage)β—‹ Inakuza ufanisi wa uf...
21/02/2026

● *FAIDA ZA VIDONGE VYA ARTHROXTRA*

β—‹ Inaboresha na kuimalisha gwegweju kwenye maungio (cartilage)
β—‹ Inakuza ufanisi wa ufanyaji kazi wa maungio.
β—‹ Huondoa maumivu wa maungio.
β—‹ Ni nzuri kwa waliovunjika mfupa
β—‹ Inarudisha ubora uliopotea wa gwegweju
β—‹ Ni nzuri kwa wanaougua baridi ya bisi
β—‹ Inaongeza uzito wa mifupa

● *VIUNGO*
β—‹ Glucosamine
β—‹ Hydrochloride
β—‹ Chondrotin Sulfate Sodium

● *WALENGWA (WATUMIAJI)*
β—‹ Wenye matatizo ya maungio na mifupa
β—‹ Wanaofanya kazi za kutumia nguvu na wazee. Β©Watu Wanaofanya mazoezi magumu
*SHARE Sambaza kwa Ndugu jamaa na MARAFIKI kuweza KUWASAIDIA wahanga wenye changamoto mbalimbali za mifupa na maungio*

*WhatsApp/Call and Msg. 0716843582

kwanza kabisa ili mwanamme amfikishe kileleni mwanamke ni lazima wote wawe na afya bora ya mfumo wa uzazi, isitokee mwan...
20/02/2026

kwanza kabisa ili mwanamme amfikishe kileleni mwanamke ni lazima wote wawe na afya bora ya mfumo wa uzazi, isitokee mwanamke ana shida za homin, kutokwa uchafu na miwasho au mwanamme kuwa na upungufu wa homoni za testosterone, misuli ya uume kusinyaa au kuathirika mfumo wake kwa namna flani

pili hawa watu wanatakiwa wawe sawa kisaikolojia

tatu kila mmoja awe flexible wakati wa tendo na maufundi yahusike

sasa k**a we ni mwanamme unajiona dhaifu au mwanamke una changamoto za uzazi usjal nipo kwa ajil ya kuwasaidia

whatsapp/call 0715832482

19/02/2026

Mtoto ana ukuaji hafifu?
Mtoto uzito hauendani na umri?
Mtoto ana homa za mara kwa mara?
Mtoto uelewa wake mzito na hajachangamka?
Mtoto viungo havikazi?

Usjal virutubisho hivi vitamsaidia, hata yupo sawa tuu basi mpe kumlinda na kuboresha afya yake

Whatsapp/call 0716843582

Tell me your problems
17/02/2026

Tell me your problems

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam
234

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram