Afya Care

Afya Care Karibu kwenye ukurasa huu kupata suluhisho kwa magonjwa sugu yasioambukizwa.

Nakumbuka ni k**a jana tu! Ilikua siku ya jumamosi tarehe 16 mwezi wa 7 mwaka jana 2022..... Nilipopokea simu usiku wa s...
17/08/2023

Nakumbuka ni k**a jana tu! Ilikua siku ya jumamosi tarehe 16 mwezi wa 7 mwaka jana 2022.....

Nilipopokea simu usiku wa saa 2 hivi na nusu baada ya kumaliza kuhudumia wagonjwa kutoka kwa mwanamke mmoja wa Sumbawanga ambae alikua na changamoto sana kwenye mfumo wake wa uzazi......

Na alijaribu sana kuondoa changamoto hizo lakini hali ilizidi kuwa mbaya sana! Mbali na jinsi nyingine ambavyo alikua akihisi alikua anapata maumivu makali sana hasa kabla ya period....!

"Hakuna dawa sijatumia kuanzia hospitalini, za kienyeji, kwa waganga nimetumia dawa za kupaka hadi kunywa lakini hakuna mabadiliko, nimechoka".

Alitumia dawa za P.I.D lakini maumivu hayakukoma, akatumia dawa za kuondoa uvimbe lakini hazikumsaidia, akaambiwa labda ana uchafu kwenye kizazi lakini hivyo vyote havikumletea nafuu.....

Kwa sababu ananiamini sana na ameona wengi nimewasaidia wameondokana na changamoto za uzazi, alisafiri mpaka kwenye kituo changu cha afya hapa dar es salaam, majumbasita airport.......

Baada ya kumfanyia vipimo vya uzazi niligundua ana changamoto ambayo sikujua kwanini hakuambiwa hiyo! 😢

Najua unajiuliza alikua na shida gani?.......

Hilo tatizo ndio nililopanga kukuelezea na wewe pia leo sasa hivi......

Alikua na changamoto ya kuvimba kwa mirija ya uzazi (SALPINGITIS) 😢

Hapa chini nitakuelezea SALPINGITIS ni nini? na inasababishwa na nini?....

Salpingitis ni ugonjwa wa uzazi unaohusishwa na kuvimba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke.....

Ugonjwa huu husababishwa na maambukizi ya bakteria ambayo hupenya kwenye mirija ya uzazi kupitia njia ya uzazi, k**a vile kupitia ngono zembe au kupitia utaratibu wa kueneza maambukizi kutoka kwa maeneo mengine ya mwili.

Dalili za salpingitis zinaweza kujumuisha maumivu ya tumbo la chini, maumivu ya pelvic, kutokwa uchafu ukeni unaohusiana na maambukizi, homa, na kuhisi maumivu wakati wa ngono. Ikiwa haijatibiwa, salpingitis inaweza kusababisha madhara k**a vile ugumba, mimba nje ya kizazi, na maumivu makali ya pelvic.

Lakini tofauti na sababu nyingi imegundulika pia P.I.D inapokaa kwenye mwili wa mwanamke kwa muda mrefu hupelekea tatizo la SALPINGITIS......

Hayo yote ni matokeo ya KUTOKUFANYA VIPIMO SAHIHI VYA UZAZI NA KUISHIA KUTABIRI UGONJWA TU KUTOKANA NA DALILI ZINAZOONEKANA.

Mwanamke usitabiri UGONJWA ulionao FANYA VIPIMO SAHIHI VYA UZAZI kwa lengo la kufahamu ni nini chanzo Cha Changamoto yako na hayo ndio MATIBABU SAHIHI.

Kwa kujali afya ya mwanamke nimeandaa program maalumu kwa wanawake wachache ambao nitawasaidia wao kufanya vipimo sahihi vya uzazi kwa gharama ndogo ya tsh 20,000 tu kwa mwezi huu wa 8 peke yake.

Hii ni ofa ya muda mfupi sana yenye lengo la kuwasaidia wanawake kuondokana na Changamoto za uzazi zinazowasumbua kwa muda mrefu sana.

BADALA YA KULIPIA 160,000 KWA AJILI YA VIPIMO ZA UZAZI MWANAMKE UTALIPIA TSH 20,000 TU KWA MWEZI HUU WA NANE.

Nitumie sms/piga simu kupata huduma hii ya vipimo inayopatikana kwenye vituo vya afya vya Gcat Nchi Nzima.

Ni Mimi Ninaejali Afya Yako Ya Uzazi Mwanamke;

Ms Ashura Daudi
0753485318

WHATSAPP 👇
wa.me/753485318

04/08/2023
Je ungetaka kujipatia OFA ya upimaji wa mwili mzima na kuhudumiwa kwa haraka? K**a Unahitaji Kuondokana Na Changamoto Za...
28/07/2023

Je ungetaka kujipatia OFA ya upimaji wa mwili mzima na kuhudumiwa kwa haraka? K**a Unahitaji Kuondokana Na Changamoto Za Kiafya Jifunze Hapa

K**a una changamoto ya kiafya na unahitaji sehemu inayotoa uhakika wa matibabu na ubora wa dawa pamoja na kukuhudumia kwa haraka, kituo Cha afya Cha Gcat health care ndio sehemu yenyewe na sahihi kwako.

Inawezekana umepoteza muda mwingi na fedha nyingi kutatua tatizo lako lililokutesa kwa muda mrefu, lakini hakuna matokeo chanya uliyopata mpaka sasa.

Usikate tamaa;

Karibu katika kituo cha afya cha Gcat Health Care,
Tunatoa huduma ya upimaji wa mwili mzima kwa ofa ya gharama ya 20,000 tsh tu.

UTAFANYIWA UPIMAJI KATIKA MIFUMO YOTE YA MWILI K**A;-

✳Mfumo wa damu.
✳Mfumo wa mifupa.
✳Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
✳Mfumo wa uzazi kwa kina mama.
✳Mfumo wa uzazi kwa kina baba.
✳Mfumo wa fahamu.
✳Mfumo wa ngozi.
✳Mfumo wa upumuaji.
✳Mfumo wa macho.

Pia matibabu na tiba sahihi na bora kwa magonjwa yote yanapatikana,
Tunatibu magonjwa k**a;- KISUKARI, PRESHA, VIDONDA VYA TUMBO, BAWASIRI, TEZI DUME, CHOLESTEROL, MOYO, INI, FIGO, MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME, HOMMON IMBALANCE, MACHO n.k

▫️Hebu fikiria furaha utakayopata kwakupata Suluhisho la uhakika kwa tatizo lako, baada ya mateso ya muda mrefu?

▫️Hebu fikiria umepima kwa gharama nafuu na umepata jibu sahihi la tatizo lililokusumbua kwa muda mrefu?

▫️Fikiria jinsi utakavyokutana na wataalamu wa afya kwa gharama nafuu na unapatiwa vipimo vyote na ushauri sahihi wa tatizo lako utakao kusaidia kuondokana na tatizo lako?

▫️Umewahi fikiria jinsi utakavyo okoa pesa zako na muda wako wa kupanga foleni!

Sasa sio stori tena ni uhalisia njoo na wewe upate usahihi wa tiba kwa ugonjwa wako.

Zipo shuhuda nyingi kwa watu waliopona magonjwa na maradhi Yao baada ya kuteseka kwa muda mrefu sana, na wengine waliopata nafuu zaidi kwa matatizo Yao.

Tafadhali wasiliana nasi kwa 0753485318

TUNAPATIKANA KWENYE ZAIDI YA MIKOA 15+ TANZANIA

OFA hii ni kwa watu 20 tu watapata vipimo, ushauri, na kukata faili kwa gharama 20,000tsh tu, baada ya OFA gharama itakuwa 40,000tsh tu.

Tafadhali wasiliana nasi kwa 0753485318

Address

Majumbasita
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram