Joseph_Afya_services 2

Joseph_Afya_services 2 NINASAIDIA KUTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KIAFYA..UZAZ KWA(ME&KE),PID,FUNGUS ,UTI SUGU,KANSA N.K.

Ugumba imekuwa ni changamoto kubwa sana! Inayoendelea kusumbua jamii nyingi sana.Upo kwenye ndoa mwaka umepita haoni dal...
31/08/2023

Ugumba imekuwa ni changamoto kubwa sana! Inayoendelea kusumbua jamii nyingi sana.

Upo kwenye ndoa mwaka umepita haoni dalili za mimba na inashiriki tendo la ndoa kikamilifu ,fanya hima wasiliana upate suluhisho

Huduma zinaendelea!
Piga au whatsapp 📞 0768090567 au piga 📞 0768090567

Maambukizi ya Fangasi Ukeni (Vaginal Yeast Infection), Ni moja ya tatizo kwa wanawake linalosababishwa na fangasi waitwa...
31/08/2023

Maambukizi ya Fangasi Ukeni (Vaginal Yeast Infection), Ni moja ya tatizo kwa wanawake linalosababishwa na fangasi waitwao Candida. Dalili kuu ni uwashwa ukeni, kuvimba na kutoa uchafu mweupe k**a maziwa ukeni.
Ugonjwa wa kuvimba uke (Vulvovaginitis), Ni ugonjwa unaoathiri kwa kuvimbisha sehemu za nje za uke na uke wenyewe. Dalili kuu ni kuwashwa ukeni, mkojo kuuma na kukereketa wakati wa kukojoa na kutokwa na uchafu ukeni.

Kuvimba Uke baada ya hedhi kukoma (Postmenopausal Atrophic Vaginitis), Ni ugonjwa wa kuvimba kwa uke baada ya hedhi kukoma. Hali hii huongeza maambukizi ukeni na huweza kusababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Maambukizi ya Trikomonasi (Trichomonas Infection), Ni ugonjwa wa zinaa unaosababishwa na kimelea aitwaye Trichomonas vaginalis. Dalili kuu ni muwasho katika uke au uume na kutokwa na uchafu ukeni.

Ugonjwa wa Minyoo (Pinworm Infection), Ni maambukizi ya minyoo wadogo sana wenye umbo la pini wanaoweza kuambukiza utumbo na kusambaa maeneo mbalimbali. Ugonjwa huu huwatokea sana watoto wa kati ya miaka 5 na 10.

Inflamesheni ya Urethra (Urethritis), Ni maambukizi kwenye urethra (ujia wa kutolea mkojo nje) yanasababisha kuvimba kwa urethra. Dalili kuu ni mkojo kuchoma, maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kutokwa uchafu. Tunapatikana kwa 0768090567
Whatsapp 0768090567

wajua.?Chukua hatua!Watsup/call 0768090567
31/08/2023

wajua.?
Chukua hatua!
Watsup/call 0768090567

kitu inanipa nguvu zaidi ya kugusa maisha ya watu wengi…naenda kutoa ofa ya birthday yangu..PACKAGE ZOTE ZIPO KWENYE PUN...
31/08/2023

kitu inanipa nguvu zaidi ya kugusa maisha ya watu wengi…naenda kutoa ofa ya birthday yangu..PACKAGE ZOTE ZIPO KWENYE PUNGUZO LA BEI🔥🔥🔥🔥🔥wahi ya kwako mapema PIGA:0768090567
Whatsapp 0768090567

Kuvurugika kwa tarehe za period ni mojawapo mwa dalili za mwanzo kabisa zinazo oneshwa na mtu mwenye matatizo ya     .Na...
31/08/2023

Kuvurugika kwa tarehe za period ni mojawapo mwa dalili za mwanzo kabisa zinazo oneshwa na mtu mwenye matatizo ya .
Na zinaweza kuvurugika kiasi kwamba hata mtu umuulize siku zako za hatari ni lini ?!? kwa sababu kila mwezi mzunguko unabadilika ni dalili za mapema mnoo..
Na huwa inaanza kidogo kidogo unakuta mtu ana mzunguko wa siku 28 mara mwezi unafuata umefika 32 mara 40 mara , mara tarehe hazieleweki kabisaaa mara damu inatoka kiduchu na hatimae haingii kabisa period.
Na ukiwa kwenye hii hatua mimba haiwezi kuingia kwa kuwa hormone za Uzazi haziko sawa ......
Kwa elimu zaidi 0768090567

Usiendelee kuteseka WhatsApp/call 0768090567Kwa ushauri na tiba
31/08/2023

Usiendelee kuteseka
WhatsApp/call
0768090567
Kwa ushauri na tiba

Ndio unaweza ukawa unapata hedhi kila mwezi alafu swala la kupata mimba inakuwa changamoto kwako! Ubaya au uziri utakuwa...
30/08/2023

Ndio unaweza ukawa unapata hedhi kila mwezi alafu swala la kupata mimba inakuwa changamoto kwako!

Ubaya au uziri utakuwa hauumwi sehemu yoyote ivyo uwezi jua km unachangamoto.

Njoo upate ushauri na suluhisho.
Piga au whatsapp 📞 0768090567

Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)Maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke na maambukizi haya hushambulia zaidi mir...
30/08/2023

Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)
Maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke na maambukizi haya hushambulia zaidi mirija ya uzazi (fallopian tube), shingo ya kizazi (cervix) ,mji wa mimba ( uterus)na mfuko wa mayai ( ovaries)..

Piga au WhatsApp📞0768090567

Mwanamke usisubir kufika hatua hii...Suluhisho lipo 📱📲0768090567
30/08/2023

Mwanamke usisubir kufika hatua hii...
Suluhisho lipo
📱📲0768090567

Hii ni Hali inatokea kwa wanawake wengi sana na hasa unaosababishwa na shambulio la backteria linalotokea kwenye via vya...
30/08/2023

Hii ni Hali inatokea kwa wanawake wengi sana na hasa unaosababishwa na shambulio la backteria linalotokea kwenye via vya uzaz ... Na huwa ni Keri kwa wanawake wengi sana... K**a na ww ni muhanga hakikisha unawasiliana NAMI nikushauri nini cha kufanya kuondokana na Hali hii...
Call:0768090567
Whatsup:0768090567

Mke na Mume wake,au mwanamke na mwanaume Wakijaribu kupata mimba bila mafanikio ndani ya Mwaka mmoja wa kufanya tendo la...
30/08/2023

Mke na Mume wake,au mwanamke na mwanaume Wakijaribu kupata mimba bila mafanikio ndani ya Mwaka mmoja wa kufanya tendo la ndoa mara kwa mara,ni UGUMBA au UTASA,
Chanzo cha Tatizo yaweza kuwa Mwanaume,au mwanamke au wote kwa pamoja wakawa na Shida!

Mnapo pata shida kufanikisha kupata mimba/mtoto,Mabadiliko ya Lifestyle Yanaweza changia sana kuongezea uwezo wa kupata Mimba kwa HAWA WENZI;

Dondoo zinazosaidia ni k**a ifuatavyo

1.Kuepuka vyakula au kupunguza ulaji wa vyakula vilivyochakatwa mfano badala ya sembe kula dona,badala ya mkate mweupe wa kawaida kula ule brown,tumia mchele wa brown,kula vyakula vyenye FIBER nyingi zaidi unapata madini mengi zaid .

2.Epuka Pombe /sigara zinafanya yai au mbegu ya kiume KUTOKUWA NA UBORA unaofaa .

3.Fanya mazoezi kwa afya yanasaidia sana kuweka homons zikae sawa mwilin,ukifanya mazoezi cells za mwili zinapumua,so excess homons zinatolewa.
PUNGUZA UZITO ,uzito unasababisha sana matatizo ya homons,mafuta si mazuri kwa uzazi,lakin jitahidi kubalance uzito na kimo chako.

4.Jitahidi kupata muda wa kutosha kupumzika na ku relax...maana ukiwa na stress kuna baadhi ya kemikali zinakuwa juu mwilin zinazuia upatikanaji wa mimba,distruct ur self,pata nyakati za kupumzisha akili yako na uache stress.

5.Fanya tendo la ndoa kwa usahihi na jua siku zako za hatari cheza nazo,na hapa hatushauri s*x za KILA SIKU KILA SIKU,hapana ,mwanaume anatakiwa pata muda walau hata siku moja au mbili mwil wake Uandae sperms zenye ubora wa kurutubisha

6.Kula vyakula vyenye Folic acid kwa wingi k**a mayai,spinach,machungwa,pia vyakula vyenye madini ya Zinc kwa wingi k**a Korosho,vyakula vyenye Omega 3(mafuta ya Samaki), kwa Wingi na Maji mengi ni MUHIMU SANA

7. Baada ya mwaka mmoja kupita bila mafanikio mkafanye vipimo wote wawili k**a kuna tatizo muanze tiba mapema

Pia tuna fertility boost Kwa mwanamke na mwanaume
Ushauri ni Bure.

Tuwasiline kupitia Whatsapp au piga simu namba
📞+255 768090567
Whatsapp 0768090567

Mara nyingi PID huweza kufanya mwanamke spare tabu kubeba ujauzito.Bacteria wanaosababisha PID husambaa maeneo lukuki mu...
30/08/2023

Mara nyingi PID huweza kufanya mwanamke spare tabu kubeba ujauzito.

Bacteria wanaosababisha PID husambaa maeneo lukuki muhimu ya uzaz na kusababisha magonjwa mwingine.

Maeneo haya ni k**a,Mlango WA mfumo WA uzaz,MIRIJA,na kwenye ovaries.

Bacteria wakifika kwenye mfumo WA uzaz hapo huweza kusababisha endometriosis ,vile vile huweza kusababisha fibroids Jambo ambalo ni hatarishi .

Bacteria wanapofika kwenye MIRIJA ya uzaz hupelekea MIRIJA kuziba au kujaa maji au kuleta makovu kwenye MIRIJA na hata kusababisha changamoto ya uvimbe.

Pia Bacteria wanapofika kwenye Ovaries hapa huweza kusababisha PCOS ( polycystic ovarian syndrome)

Haya maeneo yote niliyoyazungumzia ni sehem ambazo hormone zinafanya kazi zake ikiwemo kwenye o***y zinapotengenezwa pia!!!

Kwa changamoto hizi zote lazma MTU aingie kwenye kupata tatzo la hormone imbalance na ndo suala la ujauzito linapokuwa changamoto mno...

Kwa ushauri Zaid
Call:0768090567
Whatsup:0768090567

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Joseph_Afya_services 2 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram