Furahia Afya Bora

Furahia Afya Bora Ninasaidia jamii kutatua changamoto zote za mmeng'enyo wa chakula Bila Madhara Yoyote kwa njia za asili(Virutubisho lishe)
📞+255629609936

06/05/2025

DELIVERY

24/04/2025

TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO/JOINTS ZA MIGUU,MIKONO, MGONGO,MAGOTI NA KIUNO.

CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO/JOINTS

Hii inajumuisha maumivu katika maeneo mbali mbali ya Mwili inaeza kuwa shingo, mgongo, joint za mikono ,joint za miguu ,magoti na Misuli Kuvuta,

WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wanaoenda sana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini

SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea

KWANINI KUTOKEA MAUMIVU

1.kulika kwa cartilage(Gegedu)
2.upungufu wa synovial fluid(ute ute)
3.maambukizi ya vijidudu katika viungo k**a (bacteria,fangasi na virusi
4.uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa hasa madini Chuma, Calcium,zinc boron, copper, magnesium, potassium, phosphorus na Vitamin D ambayo haya yanahusika katika utengezwaji na uimarishwaji wa mifupa

Dalili za kawaida za maumivu haya ni:
1.Maumivu makali au ya muda mrefu kwenye viungo au mifupa
2. Uvimbe kwenye viungo
3. Ugumu wa kusonga viungo
4. Uchovu
5. Homa

Nini cha kufanya:
1. Wasiliana na daktari: Daktari atafanya uchunguzi na kukupa utambuzi sahihi na matibabu.
2. Pumzika: Epuka kufanya shughuli zinazosababisha maumivu.

3. Fanya mazoezi mepesi: Mazoezi ya kawaida yanaweza kusaidia kuimarisha misuli na kupunguza maumivu.
4 Tumia joto au baridi: Kutumia joto au baridi kwenye eneo lenye maumivu kunaweza kusaidia kupunguza maumivu.

Ni muhimu kutambua kuwa maumivu ya viungo na mifupa yanaweza kutibiwa, na kwa kufanya mabadiliko madogo kwenye maisha yako, unaweza kuondoa maumivu na kuboresha ubora wa maisha yako.

TIBA NA USHAURI.
Unashauriwa kula vyakula ambavyo vina kiwango kingi Cha madini na Vitamini ili kukusaidia kuimarisha mifupa ,kuzalisha Ute Ute na kuondoa maumivu, unaeza kula parachichi, ndizi, zabibu ,maeple, broccoli, nafaka jamii ya kunde, viazi vitamu , matumizi ya nyanya, nafaka zisizokoborewa,kula mbegu za maboga, Kula Uyoga, Nyama ,maini, samaki ,mayai, kunywa maziwa ama maziwa mtindi "yoghurt", kunywa maji magumu ,kula matunda yenye acid, pia kula mboga za majani kwa wingi ikiwemo Bamia,nyanya chungu, matembele, majani ya maboga,mlenda nk, pia tunazo dawa za virutubisho lishe, ambavyo zimesheheni viini lishe ambavyo vinasaidia kuimarisha mifupa,kuzalisha Ute Ute na Gegedu na kuondoa uchakavu wa mifupa na maumivu.
Mawasiliano +255 628403826

Eid Mubarak
31/03/2025

Eid Mubarak

25/03/2025

TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO/JOINTS ZA MIGUU,MIKONO, MGONGO,MAGOTI NA KIUNO.

CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO/JOINTS

Hii inajumuisha maumivu katika maeneo mbali mbali ya Mwili inaeza kuwa shingo, mgongo, joint za mikono ,joint za miguu ,magoti na Misuli Kuvuta,

WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wanaoenda sana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini

SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea

KWANINI KUTOKEA MAUMIVU

1.kulika kwa cartilage(Gegedu)
2.upungufu wa synovial fluid(ute ute)
3.maambukizi ya vijidudu katika viungo k**a (bacteria,fangasi na virusi
4.uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa hasa madini Chuma, Calcium,zinc boron, copper, magnesium, potassium, phosphorus na Vitamin D ambayo haya yanahusika katika utengezwaji na uimarishwaji wa mifupa

Dalili za kawaida za maumivu haya ni:
1.Maumivu makali au ya muda mrefu kwenye viungo au mifupa
2. Uvimbe kwenye viungo
3. Ugumu wa kusonga viungo
4. Uchovu
5. Homa

Nini cha kufanya:
1. Wasiliana na daktari: Daktari atafanya uchunguzi na kukupa utambuzi sahihi na matibabu.
2. Pumzika: Epuka kufanya shughuli zinazosababisha maumivu.

3. Fanya mazoezi mepesi: Mazoezi ya kawaida yanaweza kusaidia kuimarisha misuli na kupunguza maumivu.
4 Tumia joto au baridi: Kutumia joto au baridi kwenye eneo lenye maumivu kunaweza kusaidia kupunguza maumivu.

Ni muhimu kutambua kuwa maumivu ya viungo na mifupa yanaweza kutibiwa, na kwa kufanya mabadiliko madogo kwenye maisha yako, unaweza kuondoa maumivu na kuboresha ubora wa maisha yako.

TIBA NA USHAURI.
Unashauriwa kula vyakula ambavyo vina kiwango kingi Cha madini na Vitamini ili kukusaidia kuimarisha mifupa ,kuzalisha Ute Ute na kuondoa maumivu, unaeza kula parachichi, ndizi, zabibu ,maeple, broccoli, nafaka jamii ya kunde, viazi vitamu , matumizi ya nyanya, nafaka zisizokoborewa,kula mbegu za maboga, Kula Uyoga, Nyama ,maini, samaki ,mayai, kunywa maziwa ama maziwa mtindi "yoghurt", kunywa maji magumu ,kula matunda yenye acid, pia kula mboga za majani kwa wingi ikiwemo Bamia,nyanya chungu, matembele, majani ya maboga,mlenda nk, pia tunazo dawa za virutubisho lishe, ambavyo zimesheheni viini lishe ambavyo vinasaidia kuimarisha mifupa,kuzalisha Ute Ute na Gegedu na kuondoa uchakavu wa mifupa na maumivu.
Mawasiliano +255748707158

17/02/2025

Dalili za SARATANI ya UTUMBO mpana

17/02/2025

DAWA ASIRI YA ACID REFLUX/MAKOHOZI KWRNYE KOO/KIUNGULIA KIKALI
0629 609 936

22/01/2025

TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO/JOINTS ZA MIGUU,MIKONO, MGONGO,MAGOTI NA KIUNO.

CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO/JOINTS

Hii inajumuisha maumivu katika maeneo mbali mbali ya Mwili inaeza kuwa shingo, mgongo, joint za mikono ,joint za miguu ,magoti na Misuli Kuvuta,

WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wanaoenda sana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini

SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea

KWANINI KUTOKEA MAUMIVU

1.kulika kwa cartilage(Gegedu)
2.upungufu wa synovial fluid(ute ute)
3.maambukizi ya vijidudu katika viungo k**a (bacteria,fangasi na virusi
4.uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa hasa madini Chuma, Calcium,zinc boron, copper, magnesium, potassium, phosphorus na Vitamin D ambayo haya yanahusika katika utengezwaji na uimarishwaji wa mifupa

Dalili za kawaida za maumivu haya ni:
1.Maumivu makali au ya muda mrefu kwenye viungo au mifupa
2. Uvimbe kwenye viungo
3. Ugumu wa kusonga viungo
4. Uchovu
5. Homa

Nini cha kufanya:
1. Wasiliana na daktari: Daktari atafanya uchunguzi na kukupa utambuzi sahihi na matibabu.
2. Pumzika: Epuka kufanya shughuli zinazosababisha maumivu.

3. Fanya mazoezi mepesi: Mazoezi ya kawaida yanaweza kusaidia kuimarisha misuli na kupunguza maumivu.
4 Tumia joto au baridi: Kutumia joto au baridi kwenye eneo lenye maumivu kunaweza kusaidia kupunguza maumivu.

Ni muhimu kutambua kuwa maumivu ya viungo na mifupa yanaweza kutibiwa, na kwa kufanya mabadiliko madogo kwenye maisha yako, unaweza kuondoa maumivu na kuboresha ubora wa maisha yako.

TIBA NA USHAURI.
Unashauriwa kula vyakula ambavyo vina kiwango kingi Cha madini na Vitamini ili kukusaidia kuimarisha mifupa ,kuzalisha Ute Ute na kuondoa maumivu, unaeza kula parachichi, ndizi, zabibu ,maeple, broccoli, nafaka jamii ya kunde, viazi vitamu , matumizi ya nyanya, nafaka zisizokoborewa,kula mbegu za maboga, Kula Uyoga, Nyama ,maini, samaki ,mayai, kunywa maziwa ama maziwa mtindi "yoghurt", kunywa maji magumu ,kula matunda yenye acid, pia kula mboga za majani kwa wingi ikiwemo Bamia,nyanya chungu, matembele, majani ya maboga,mlenda nk, pia tunazo dawa za virutubisho lishe, ambavyo zimesheheni viini lishe ambavyo vinasaidia kuimarisha mifupa,kuzalisha Ute Ute na Gegedu na kuondoa uchakavu wa mifupa na maumivu.
Mawasiliano +255748707158

Soma Vyakula hivi MAHUSUSI, kwa mgonjwa mwenye Tezidume.
17/01/2025

Soma Vyakula hivi MAHUSUSI, kwa mgonjwa mwenye Tezidume.

15/01/2025
09/01/2025
01/11/2024

UVIMBE WA SARATANI YA TEZI DUME
v Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo,
tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka
kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
v Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.
v Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
• Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
• Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
• Saratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME
v Kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza manii (semen).

SARATANI YA TEZI DUME
v Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vitokanavyo na saratani kwa wanaume duniani.
v Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea.

VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI YA TEZI DUME
vChanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
• Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
• Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
• Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).
•Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
vKatika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
•Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku
• Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
• Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
• Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
•Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu
• Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.
• Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzu

MADHARA YA UVIMBE WA TEZIDUME
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo
MATIBABU
Upasuaji wa TEZIDUME Sio Suluhisho la Kudumu tunatumia virutubisho lishe kutatatua changamoto ya Uvimbe wa TEZIDUME, havina madhara vinarekebisha mfumo mzima na kutibu chanzo Cha tatizo.

25/10/2024

UVIMBE WA SARATANI YA TEZI DUME
v Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo,
tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka
kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
v Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.
v Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
• Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
• Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
• Saratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME
v Kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza manii (semen).

SARATANI YA TEZI DUME
v Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vitokanavyo na saratani kwa wanaume duniani.
v Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea.

VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI YA TEZI DUME
vChanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
• Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
• Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
• Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).
•Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
vKatika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
•Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku
• Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
• Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
• Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
•Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu
• Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.
• Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzu

MADHARA YA UVIMBE WA TEZIDUME
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo
MATIBABU
Upasuaji wa TEZIDUME Sio Suluhisho la Kudumu tunatumia virutubisho lishe kutatatua changamoto ya Uvimbe wa TEZIDUME, havina madhara vinarekebisha mfumo mzima na kutibu chanzo Cha tatizo.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255629609936

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Furahia Afya Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Furahia Afya Bora:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram