22/09/2023
‼️JE NITAJUAJE K**A NINA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME....⁉️
Wanaume wengi sana wamekuwa wakitembea na kujiamini wakidhani kuwa wako salama na hii ni kwa sababu hawajui ni zipi DALILI AMBAZO zinamuonesha kwamba ana tatizo la upungufu hivyo na kuliacha tatizo kuzidi kuwa kubwa zaidi
📌Zifuatazo ni DALILI KUU 8 AMBAZO mwanaume yeyote akiwa nazo HUASHIRIA uwepo wa changamoto hii.
1️⃣Kushindwa kusimamisha uume au kusimamisha kwa ulegevu.
Mwanaume yeyote ili awe rijali anapaswa kusimamisha uume wake k**a msumari yaani unakuwa mgumu na mkak**avu mbali na hapo ni ishara ya upungufu wa nguvu za kiume.
2️⃣Kuwahi kufika kileleni.
Kwa wastani humchukua mwanaume kamili dakika 7 paka 15 kufika kileleni kwa raundi ya kwanza, k**a mwanaume unapochukua chini ya dakika 5 hii huashiria uwepo wa changamoto hii, wapo wanaume ambao huchukua sekunde chache mno wanapoingia katika uke wa mwanamke na hili ni tatizo kubwa.
3️⃣Kuchelewa mno kufika kileleni au kutokufika kabisa.
Mwanaume unapochukua zaidi ya dakika 30 kufika kileleni katika raundi ya kwanza hii huashiria uwepo wa changamoto ya nguvu za kiume.
4️⃣Kujihisi mchovu Sana hasa baada ya raundi ya kwanza na kulala usingizi mzito.
5️⃣Kushindwa kuenda raundi nyingine na kumuacha mwenzio akiwa bado ana hamu.
6️⃣Kukosa hamu kabisa ya kushiriki tendo la ndoa.
Kwa mwanaume yeyote ni lazima mara kwa mara ajisikie na hulka ya kushiriki tendo endapo akikutana na kitu chochote ambacho huamsha hisia zake mbali
Na hapo huashiria uwepo wa changamoto ya nguvu za kiume.
7️⃣Kutoa mbegu chini ya kiwango au idadi.
8️⃣ Kushindwa kutungisha mimba mwanamke
Lengo la tendo la ndoa ni kustarehe na pia kutengeneza watoto wengine endapo mwanaume unashindwa kutungisha mimba mwanamke wako hii huashiria uwepo wa tatizo hili
📌Ewe mwanaume tambua ya kuwa changamoto hii sio yako peke yako wako wanaume wengi wenye tatizo hili hivyo usife moyo hauko peke yako
Tafadhali wasiliana nasi kupitia namba 0678404516 kupata muongo sahihi wa lishe , virutubisho, mazoezi na mitindo sahihi ya maisha ambayo itakusaidia kuondokana na changamoto yako moja kwa moja