21/05/2022
π³"RHEUMATISM - ( UGONJWA WA BARIDI YA BISI )π³
βΆ "RHEUMATISM" NI NINI ?
Β·βΆ Ni Ugonjwa Unao athiri Viungo/Maungio ( Joints ) na misuli inayozunguka Maungio na Wakati Mwingine Inasababisha Mgonjwa huwa anatokewa na uvimbe mdogo mdogo k**a (sugu) kwenye miguu au mikono.
βΆ Magonjwa yatokanayo na ugonjwa baridi ni arthritis,gout (ulaji wa nyama ya mbuzi)spondilitis na rheumatic diseases.
"π³DALILI"
βΆ Utaona viungo vimevimba mfano magoti,miguu,wakati mwingine utasikia maumivu makali kwenye viungo halafu viungo vinakuwa vyekundu na pia misuli inavuta ukiona hali hii ujue kuwa kinga ya mwilini imezidiwa sehemu za viungo.
βΆ Ugonjwa wa baridi huwa unaathiri(joint fluid)ute wa viungo yaani arthritis halafu hii joint fluid inapoisha husababisha viungo kusagana na maumivu makali huwa yanatokea hata ugonjwa wa muda mrefu unaweza uk**aliza ute mwilini.
π³"MAGONJWA YA BARIDI NI K**A YAFUATAYO" :π³
βΆ Ankylosing spondylitis :- Huu ni ugonjwa ambao unaathiri watu wengi na unashika sehemu za uti wa mgongo uti wa mgongo unauma na kuvuta,huwa inatokea sana kwa vijana ambao wana umri wa miaka 20 na kuendelea.
βΆ Huwa inashika pia sehemu za kiuno,magoti, mabega na kusababisha maumivu makali kwenye misuli na pia mgongo huwa unakak**aa na kusababisha kuzimia wakati mwingine maana unashika uti wa mgongo.
Β·βΆ Fibromyalgia :- Ni maumivu ambayo yanaathiri sehemu za misuli ya mwili mzima , Nyama za mwili huwa zinauma,ukigusa sehemu inauma na huwa inasababisha ukosefu wa usingizi.inawatokea sana kwa wanawake kuliko wanaume.
βΆ Gout :- Huwa inatokana na ongezeko la uric acid kwenye figo, ukila nyama za mbuzi za kuchoma bila kunywa maji mengi,inaweza ikaongeza uric acid kwenye figo na kuleta athari kwenye magoti na miguu kuvimba.huwa inatokea sana kwa wanaume kuliko wanawake.
βΆ Infectious arthritis : Ni ugonjwa wa baridi ambao unasababishwa na maambukizi ya bacteria au virus(unaitwa lyme disease)ambao unatokana na kungβatwa na kupe ambao wanakuwa wamebeba bacteria maalum ambao wanaingia kwenye viungo na misuli na kusababisha maummivu na uvimbe.
βΆ Juvenile idiopathic arthritis:- Huwa inatokea kwa watoto wadogo na huwa inasababisha maumivu makali,kuvimba miguu.