09/09/2025
K**a wewe ni binti wa umri miaka 26+ na huna mtoto epuka sh**ha/ sigara Kwa gharama yoyote Ile!!
Sigara/ sh**ha huathiri uzalishaji wa Ute Ute muhimu ukeni,
hupunguza uwezo wa kuchavusha mayai,
lakini pia hudhoofisha ukuta wa mji wa mimba,
hivyo kwa ujumla sigara hupunguza uwezekano wa kushika mimba!
na zaidi tafiti zinasema sigara huchangia kupata mimba zinazotunga nje ya mji wa uzazi!
Elimika, Hamasika, Chukua Hatua, Afya Yako Jukumu Lako!
#2025