Health_farm_tz

Health_farm_tz Elimika, Hamasika, Chukua Hatua Kabla Mwili Haujachoka!

Health_farm_tz inapatikana kwenye Instagram, WhatsApp na Facebook kwa jina Hilo hilo.karibuni Sana kwaajili ya elimu ya afya ya binadamu.

Watu wengi huogopa kuzungumzia afya ya ngono.Lakini tafiti hazikuonei aibu,Utafiti wa mwaka 2017 uliofanyika huko new Yo...
21/02/2026

Watu wengi huogopa kuzungumzia afya ya ngono.
Lakini tafiti hazikuonei aibu,

Utafiti wa mwaka 2017 uliofanyika huko new York, Marekani unaonyesha tofauti kubwa ya kiwango cha kufika kileleni (mshindo) kati ya makundi matatu ya wanawake (Bisexual, le***an na heterosexual).

Swali ni: Je, tatizo ni orientationโ€ฆ au ukosefu wa elimu na mawasiliano?

Tuache hadithi. Tuzungumzie sayansi๐Ÿ“Œ

NUKUU
Bisexual ni mtu anaefanya mapenzi na jinsia zote.

Le****ns ni wanawake wanaofanya mapenzi na wanawake tu.

Heterosexual ni walio nyooka, Hufanya mapenzi na jinsia tofauti tu.

K**A UNAKITAMBI USISOME HII! ๐Ÿคญ   โœ๏ธ๐Ÿ™๐ŸŒฟ๐ŸŒฟ
20/02/2026

K**A UNAKITAMBI USISOME HII! ๐Ÿคญ

โœ๏ธ๐Ÿ™๐ŸŒฟ๐ŸŒฟ

Ramadan Kareem ๐Ÿ™๐Ÿพ
18/02/2026

Ramadan Kareem ๐Ÿ™๐Ÿพ

CHUKUA HATUA MWILI NAO UNACHOKA KUSUBIRI!     ๐Ÿƒ๐Ÿพโ€โ™€๏ธ
17/02/2026

CHUKUA HATUA MWILI NAO UNACHOKA KUSUBIRI!

๐Ÿƒ๐Ÿพโ€โ™€๏ธ

Skin Tangs Haziondolewi kwa kukata na kiwembe au kisu nyumbani wasiliana na Mtaalamu wa ngozi endapo unahitaji kuziondoa...
16/02/2026

Skin Tangs Haziondolewi kwa kukata na kiwembe au kisu nyumbani wasiliana na Mtaalamu wa ngozi endapo unahitaji kuziondoa.

ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA KABLA MWILI HAUJACHOKA!

๐Ÿ˜Ž
13/02/2026

๐Ÿ˜Ž

Msongo wa Mawazo (Stress) ni chanzo kingine cha kupungua kwa kinga ya mwili, shinikizo la juu la Damu, kiharusi, uchovu ...
12/02/2026

Msongo wa Mawazo (Stress) ni chanzo kingine cha kupungua kwa kinga ya mwili, shinikizo la juu la Damu, kiharusi, uchovu na hata shida za Afya ya akili.

Epuka msongo wa mawazo wa bila sababu za msingi, usiruhusu mtu akupe stress kirahisi malizana nae ๐Ÿ˜‚

Kata kitambi bwanaaa hii valentine wachana nayo kwanza๐Ÿ˜€
10/02/2026

Kata kitambi bwanaaa hii valentine wachana nayo kwanza๐Ÿ˜€

We are Now live on TikTok, follow our page for your health!
10/02/2026

We are Now live on TikTok, follow our page for your health!

SANUKA!
10/02/2026

SANUKA!

Sasa hivi ni kawaida sana Tanzania kuona watu wanakula fast foods na processed foods ambazo zinakuwa na kiwango kikubwa ...
08/02/2026

Sasa hivi ni kawaida sana Tanzania kuona watu wanakula fast foods na processed foods ambazo zinakuwa na kiwango kikubwa cha sodium, sukari nyingi, mafuta mengi na kemikali za kutosha tu.

kwa wao wanaona ni usasa na kuonekana wa kishua au wajanja wa mjini lakini ukweli ni kwamba aina hii ya vyakula huchochea sana inflammation, shinikizo la damu na magonjwa ya kimetabolikia k**a kisukari.

Sasa utachagua wewe uendelee lakini utenge bajeti ya matibabu ya presha na kisukari hapo baadae au ufanye maamuzi sasa hivi kabla mwili haujachoka!

ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA KABLA MWILI HAUJACHOKA!

Address

Gongo La Mboto
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health_farm_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Health_farm_tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram