Health_farm_tz

Health_farm_tz Elimika, Hamasika, Chukua Hatua Kabla Mwili Haujachoka!

Health_farm_tz inapatikana kwenye Instagram, WhatsApp na Facebook kwa jina Hilo hilo.karibuni Sana kwaajili ya elimu ya afya ya binadamu.

15/04/2026

Unaweza kuishi na ugonjwa wa Figo kwa miaka 10-20 bila kujua hasa katika hatua za awali (hatua ya 1 hadi ya 3), kwa sababu dalili zake mara nyingi hazijitokezi hadi pale uharibifu unapokuwa mkubwa.

Katika hatua za mwanzo, ugonjwa huu hugundulika kwa vipimo vya kawaida vya damu au mkojo, kwani figo huendelea kufanya kazi yake kwa kiwango kinachokaribia kawaida licha ya kuwepo kwa uharibifu wa kiwango cha chini hadi cha kati.

Hali hii inachangia watu wengi kutokujua mpaka
Pale hatua Mbaya zinapofika baada ya kuanza kuona dalili K**a miguu kuvimba, mkojo kupungua, uchovu wa bila sababu n.k

Aidha ni vyema kujenga Tabia ya kufanya uchunguzi wa Mara kwa Mara na muhimu zaidi kuepuka mambo yanayoweza kusababisha ugonjwa wa figo!

Don’t forget to drink a plenty of water health farmers

ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA KABLA MWILI HAUJACHOKA!

🇹🇿

Kwa jinsi ambavyo unajali afya yako jambo gani huwezi kufanya?
15/04/2026

Kwa jinsi ambavyo unajali afya yako jambo gani huwezi kufanya?

Aidha Life span ndogo katika maeneo haya inasababishwa kwa kiasi kikubwa na magonjwa ya kuambukiza k**a malaria na UKIMW...
13/04/2026

Aidha Life span ndogo katika maeneo haya inasababishwa kwa kiasi kikubwa na magonjwa ya kuambukiza k**a malaria na UKIMWI, vifo vingi vya watoto wachanga, pamoja na upatikanaji mdogo wa maji safi na huduma bora za usafi wa mazingira.

Je unamtazamo gani kuhusu ripoti hii?

Chanzo WHO

12/04/2026

Hizi ni Ishara 10 zinazodhihirisha tayari wewe ni mraibu wa video za ngono :-

1. unapata tabu sana kupata video itakayokusisimua zaidi.
2. Upo tayari kusimamisha kazi au majukumu ili uangalie p***o
3. Hupati hisia kwa mwenza wako bila kuangalia p***o hasa baada ya bao la kwanza
4. Unajisikia hovyo usipotazama p***o kwa muda mrefu au kila ukitaka kuacha
5. Unaangalia zaidi ya mara tatu kwa week
6. Unatumia p***o k**a sehemu ya kuondolea stress
7. Unajisikia mwenye hatia baada ya kuangalia
8. umekalili majina ya p**n stars
9. Hujiamini, unawasiswasi na muoga kuhusu uwezo wako kitandani
10. Huna hisia tena na wanawake au wanaume ukidai sio wazuri au hawakuvutii

Je unadhani wewe bado uko Salama kiasi gani ?

ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA KABLA MWILI HAUJACHOKA!

**naddiction

12/04/2026

Pombe ni k**a madawa ya kulevya, nahusishwa na zaidi ya magonjwa 200, zikiwemo aina saba za saratani.

Hata unywaji wa kiwango kidogo cha pombe huongeza hatari ya kupata saratani, na kadiri unavyoongeza kiwango cha pombe unachokunywa, ndivyo hatari hiyo inavyoongezeka zaidi.

CHANZO: Shirika la afya duniani (WHO)

10/04/2026

Takribani 73% - 80% ya ubongo wa binadamu inamaji!

Kiwango hiki kikubwa cha maji ni muhimu sana kwa utendaji bora wa ubongo, ikiwa ni pamoja na uzalishaji wa nishati, usafirishaji wa virutubisho, na udhibiti wa vihisishi vya neva (neurotransmitters).

Hata upungufu mdogo wa maji mwilini (asilimia 1–2 tu) unaweza kuathiri uwezo wa ku focus, kumbukumbu, pamoja na hali ya hisia (mood).

Je huwa unakunywa maji kiasi gani kwa siku?

Msingi wa kuishi Maisha marefu ni kuwa na Afya bora, na ili kuwa na Afya bora mambo haya matatu ni muhimu zaidi!Lishe bo...
10/04/2026

Msingi wa kuishi Maisha marefu ni kuwa na Afya bora, na ili kuwa na Afya bora mambo haya matatu ni muhimu zaidi!

Lishe bora, epuka msongo wa mawazo na upweke na kufanya mazoezi kila Mara!

ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA KABLA MWILI HAUJACHOKA!

Takribani 73% - 80% ya ubongo wa binadamu inamaji!Kiwango hiki kikubwa cha maji ni muhimu sana kwa utendaji bora wa ubon...
10/04/2026

Takribani 73% - 80% ya ubongo wa binadamu inamaji!

Kiwango hiki kikubwa cha maji ni muhimu sana kwa utendaji bora wa ubongo, ikiwa ni pamoja na uzalishaji wa nishati, usafirishaji wa virutubisho, na udhibiti wa vihisishi vya neva (neurotransmitters).

Hata upungufu mdogo wa maji mwilini (asilimia 1–2 tu) unaweza kuathiri uwezo wa ku focus, kumbukumbu, pamoja na hali ya hisia (mood).

Je huwa unakunywa maji kiasi gani kwa siku?

Hapa hawachangii Damu, hiki ni kituo cha dialysis.Unaweza kudhani elimu yote kuhusu afya ya figo ni ya kawaida au ya kub...
09/04/2026

Hapa hawachangii Damu, hiki ni kituo cha dialysis.

Unaweza kudhani elimu yote kuhusu afya ya figo ni ya kawaida au ya kuburudisha, mpaka pale dialysis ndiyo suluhisho lako pekee.

Tafadhali linda figo zako kuanzia leo, kwa sababu zikiharibika, unabaki na chaguo moja tu.

Linda figo zako kwa :-
• Kunywa maji ya kutosha
• Fanya mazoezi mara kwa mara
• Epuka kuvuta sigara
• Zingatia lishe bora
• Epuka matumizi ya pombe
• Epuka matumizi ya dawa kupita kiasi hasa dawa za maumivu,K**a NSAIDs Diclofenac na ibuprofen (brufen)
• Pima shinikizo la damu mara kwa mara

ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA KABLA MWILI HAUJACHOKA!

Address

Gongo La Mboto
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health_farm_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Health_farm_tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram