
04/05/2023
MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA KUAMUA JINSIA
1.Lazima mwanamke ajue mzunguko wake (menstrual cycle)siku ya 1-28
2.Lazima mzunguko wako uwe na mpangilio sahihi(unaweza ukachunguza mzunguko wako kwa miezi minne mfululizo)
3.PH ya uke lazima iwe kiwango sahihi 4-5.5(PH)inayotakiwa iwe
4.Ushirikiano kati ya mwanamke na mwanaume
Wakati wa tendo.
JINSI YA KUPATA MTOTO WA KIUME
Ili uweze kupata mtoto wa kiume kisayansi unashauriwa kushiriki tendo la ndoa siku ambayo yai litakuwa limetoka k**a mzunguko wako uko sahihi ni siku ya 14
Njia nyingine ya kujua yai limetoka baba anaingiza vidole viwili ukeni wakati wa asubuhi na ukikuta uteute ujue yai limetoka kwahiyo jioni mnashiriki tendo la ndoa kwa ajili ya kupata mtoto wa kiume
KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA WAKATI YAI LIMETOKA ILI KUPATA MTOTO WA KIUME?
Kisayansi chromosome Y ambayo inahusika katika kutunga mimba ya mtoto wa kiume ina spidi kubwa sana ni nyepesi na haiwezi kuishi mda mrefu kwahiyo ukishiriki tendo la ndoa wakati yai limetoka maana yake unaongeza nafasi ya kupata mtoto wa kiume
JINSI YA KUPATA MTOTO WA K**E .
Ili ufanikiwe kupata mtoto wa k**e utatakiwa ushiriki tendo la ndoa siku tatu kabla ya yai kupevuka yani hapa ni baada ya kujuwa mzunguko
KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA SIKU TATU KABLA
Hii ni kwasababu chromosome X ambazo ndo zinaunda mtoto wa k**e huwa zina sifa ya kuwa na maisha marefu na kutembea taratibu hivyo yai likitolewa litakuta chromosome X ziko hai
KUPATA WA KIUME
Kula nyama, ndizi ,Vyakula vya chumvi k**a chips ila usizidishe chumvi,karanga na vyakula vingine vya potassium na sodium
Chromosomes Y zinahitaji pH ya alkane kuliko asidi ndio maana wazee waliona hili
Kuna mengi kuhusu wazee wa zamani ila nmeongelea haya ya mlo kwa maana yana mantiki kibaiolojia
MAMBO YANAYOWEZA ATHIRI KUPATA MTOTO UNAYEMTAKA
1. Kushindwa kuhesabu siku( tumia chart niliyokuwekea)
2. Mzunguko mbovu wa hedhi(Tumia Nature's way virutubisho 1oo% asilia)
3. Kutokuwa na PH sahihi ukeni tumia Nature's way food supplement virutubisho 100% au viini lishe kukuhakikishia mzunguko wako wa hedhi hautofautini tofautiani, majira yakae vizuri. kinachosababisha ni hitilafu ktk mfumo mzima wa uzazi na homoni husika
Piga cm / tuna ujumbe whaspp kwenda 0752 976 425