Afya Care

Afya Care Karibu kwenye ukurasa huu kupata suluhisho la magonjwa sugu yasioambukizwa

ZITAMBUE ISHARA NA DALILI ZA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA).Mara nyingi watu wenye shinikizo la damu hawana ishara yeyote na...
24/03/2023

ZITAMBUE ISHARA NA DALILI ZA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA).

Mara nyingi watu wenye shinikizo la damu hawana ishara yeyote na huwa inagunduliwa baada ya kufanya uchunguzi wa kiafya au presha kubwa kwa muda mrefu inapokuwa imefanya uharibifu mkubwa ndani ya mwili.

Changamoto ya shinikizo la damu (presha) huambatana na dalili zifuatazo:-

➡️ Maumivu ya kichwa hasa nyakati za asubuhi.
➡️ Kuhisi kizunguzungu
➡️ Mapigo ya moyo kwenda kwa kasi
➡️ Maumivu ya kifua
➡️ Kupoteza hamu ya kula
➡️ Kupumua kwa shida sana
➡️ Kujisikia uchovu usiokwisha
➡️ kutokuona vizuri
➡️ Kukohoa mara kwa mara
➡️ Kuhisi kelele masikioni n.k

SABABU/VYANZO VYA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA).

➡️ Kuwa na umri mkubwa
➡️ Msongo wa mawazo (stress)
➡️ Matumizi ya chumvi nyingi kwenye chakula
➡️ Ulaji mbovu usiofaaa
➡️ Ulevi uliokithiri
➡️ Kuwa na unene uliopitiliza
➡️ Ujauzito
➡️ Kutumia vyakula vyenye mafuta mengi
➡️ Mkusanyiko wa sumu nyingi mwilini
➡️ Kusinyaa kwa mishipa ya damu

MADHARA YA KUENDELEA KUISHI NA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) KWA MUDA MREFU.

➡️ Moyo kushindwa kufanya kazi (Heart Failure)
➡️ Moyo kutanuka (Cardiomegaly)
➡️ Shambulio la moyo (Heart attack)
➡️ Kiharusi/Kupooza (Stroke)
➡️ Kuharibu figo na figo kushindwa kufanya kazi
➡️ Kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.
➡️ Hatimae KIFO.

ZINGATIA HILI

Licha ya uwepo wa dawa mbali mbali za kukabiliana na tatizo hili bado huendelea kuwatesa na kuwaua wengi kila mwaka.

Pamoja na jitihada mbali mbali bado utasikia kila mwaka watu mpaka milioni 8 hufa kutokana na changamoto hii.
Huku watu bilioni moja duniani kote wanaathiriwa na shinikizo la juu la damu likiwapelekea kupata shambulio la moyo, kupooza na moyo kutanuka (WHO).

MUHIMU
Changamoto ya shinikizo la damu (Presha) Ni hatari k**a mgonjwa atatumia dawa kiholela inaweza kumuathiri zaidi na hata kumsababishia KIFO.

K**a una changamoto hii au una ndugu mwenye changamoto hii wasiliana na mimi sasahivi kwa vipimo sahihi vya shinikizo la damu, ushauri na matibabu sahihi kwa changamoto ya shinikizo la damu(PRESHA).

Dr John Bugota
0789426770
Whatsapp 0789 426 770

Pasipo vipimo sahihi vya utapoteza muda mwingi na fedha nyingi kutatua tatizo lakini ni ngumu kupata matokeo chanya.K**a...
15/03/2023

Pasipo vipimo sahihi vya utapoteza muda mwingi na fedha nyingi kutatua tatizo lakini ni ngumu kupata matokeo chanya.

K**a unatafuta sehemu inayotoa uhakika wa matibabu, vipimo vya afya vya kisasa vya mwili mzima kwa gharama ndogo na kukuhudumia kwa haraka.

Fika Katika kituo cha afya cha Gcat Health Clinic,
Tuna huduma ya upimaji mwili mzima (full body checkup) kwa gharama ya tsh 20,000 tu badala ya 140,000 ya awali.

Utafanyiwa Upimaji Katika Mfumo mzima wa Mwili Kwenye:
✅Mifupa.
✅Mmeng'enyo wa chakula.
✅Uzazi kwa kina mama.
✅Uzazi kwa kina baba.
✅Fahamu.
✅Ngozi.
✅Mfumo wa Upumuaji.
✅Macho.
✅Ubongo
✅Moyo
✅Ini
✅Bandama

Kwa lengo kubwa la kurahisisha matibabu na kutibu magonjwa na maradhi sugu mbalimbali k**a Kisukari, Saratani, Presha, Bawasiri, Vidonda vya tumbo, Hormone imbalance, Kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi,Tezi dume, Ngiri, Moyo kutanuka, Matatizo ya kibofu na mkojo, Maumivu makali ya nyonga, miguu, mgongo, mifupa, Miguu kuwaka moto na kuvimba, Uvimbe, Aleji, Bandama, Pumu, Uvimbe kwenye kizazi, Kutokwa uchafu ukeni, Fangasi kwa wanaume na wanawake, Miwasho sehemu za siri, Matatizo ya kupooza ,Uzazi, Figo, Macho, Mimba kuharibika mara kwa mara, Meno, Homa ya ini, Uzito na Unene.

✅ Vipimo hivi vitakupa suluhisho la uhakika la tatizo lako baada ya mateso ya muda mrefu.

✅ Kwa kufanya vipimo sahihi utaokoa fedha zako kwa kupata matibabu ya uhakika na kuhudumiwa kwa haraka.

✅ Utaondokana na maumivu ya tatizo hilo kwa kupata suluhisho la uhakika la tatizo hilo.

Tupo Dar-es-Salaam, Majumbasita. Barabara ya kwenda gongo la mboto. Huduma hizi zinapatikana pia Tanzania nzima kwa mikoa ya Morogoro, Mbeya, Dodoma, Pwani, Mwanza, Kilimanjaro (Moshi), Arusha, Zanzibar na Iringa

Tafadhali wasiliana nasi kwa namba ya simu:
0789 426 770.

Badala ya kulipia tsh 140,000 kwa ajili ya vipimo vya afya ndani ya mwezi huu utalipia kwa Ofa ya sh 20,000 Tu!

Address

Majumbasita
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share