01/03/2022
# 0764796923
DALILI ZA MTU MWENYE U.T.I
# Kujihisi mchovu na kutokujisikia vizuri.
# Kukojoa kwa shida na kujilazimisha
# Maumivu wakati wa kukojoa
# Kukojoa kiasi kidogo na mara kwa mara
# Mkojo kutoa harufu kali
# Mkojo kuwa na rangi tofauti zisizo za kawaida kwa mfano wekundu kiasi
# Kichefuchefu au kutapika
Maumivu ya tumbo, au pande za mwili karibu na tumbo mpaka sehemu za misuli
# Joto laweza kuongezeka
JINSI YA KUEPUKANA NA U.T.I
# Kunywa maji mengi
Acha kutumia dawa za uzazi wa mpango
# Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
# Kojoa hata kidogo baada ya kujamiiana
# Punguza au acha kunywa pombe na kutumia sigara huchochea kuathiri kibofu
# Kuwa msafi hasa sehemu za siri ili kutoruhusu bakteria
# Usipulizie spray kwenye sehemu za siri
Contact; 0764796923