Drjustine9

Drjustine9 Tatua changamoto za maumivu ya viungo na mifupa kwa siku 30~90.Wasiliana nasi 📞+255672441815

21/11/2025

21/11/2025

21/11/2025

Wasiliana nasi +255672441815

21/11/2025

USICHELEWESHE MATIBABU YA SCIATICA +255672441815

21/11/2025

SIO KILA MUDA WA KUTUMIA MADAWANI MUDA WA KUAMUA UTAFANYA MAZOEZI HATA K**A UNAPATA MAUMIVU MAKALI HATA K**A UTATUMIA MUDA MREFU ILI MRADI NI NJIA SAHIHI NI MUDA WA KUPUNGUZA UZITO K**A NDIO UNAZUIA USIPONE KWA WAKATI NI MUDA WA KULA VIZURI ILI MWILI UJIJENGE WASILIANA NASI KWA MSAADA ZAIDI +255672441815

21/11/2025

Mawasiliano +255672441815

19/11/2025

Disc herniation hutokea pale diski ya uti wa mgongo inapopasuka au kusogea nje ya nafasi yake, na kuanza kubana neva zilizo karibu. Hii husababisha maumivu makali ya mgongo, shingo, au miguu.

Dalili kuu:
• Maumivu ya mgongo au shingo
• Maumivu yanayoenda hadi mguuni (sciatica)
• Ganzi au kuwashwa kwenye miguu au mikono
• Kudhoofika kwa misuli

Sababu zinaweza kuwa:
• Kuinua vitu vizito vibaya
• Kuzeeka (degeneration)
• Majeraha
• Kukaa muda mrefu vibaya

18/11/2025

Hii video inaonesha jinsi mgandamizo wa neva kwenye mgongo (Disc Herniation/Sciatica) unavyoathiri maeneo tofauti ya miguu kulingana na neva husika:

🔵 *L4* – Maumivu huanzia kiunoni, kupita mbele ya paja, goti na ndani ya mguu. Dalili zinaweza kuwa ganzi, maumivu ya goti au udhaifu wa misuli ya paja.

🔵 *L5* – Maumivu huanzia kiunoni, kupitia upande wa nje wa paja hadi kisigino na kidole gumba. Dalili hujumuisha ganzi, udhaifu wa kuinua kidole gumba na sehemu ya juu ya mguu.

🔵 *S1* – Maumivu hushuka nyuma ya paja, nyuma ya mguu hadi kisigino na kidole cha mwisho. Dalili ni pamoja na ganzi, udhaifu wa misuli ya nyuma ya mguu na matatizo ya kutembea.

⚠️ Maumivu haya yakiambatana na ganzi au udhaifu, tafuta msaada wa kitaalamu mapema.
+255672441815

18/11/2025

Wasiliana nasi +255672441815

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Drjustine9 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Drjustine9:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram