Drjustine9

Drjustine9 Tatua changamoto za maumivu ya viungo na mifupa kwa siku 30~90.Wasiliana nasi 📞+255672441815

20/07/2025

16/07/2025

*Disc zikipata pressure kubwa kutokana na kubeba kitu kizito ghafla ,ajali au uzito
hupelekea disc kuvimba,hii hupelekea kukandamiza Neva
nakusababisha maumivu makali k**a vile umepigwa shoti, maumivu haya hushuka na mguu mmoja wapo*

15/07/2025

Disc kuwa nyembamba ni hali ambapo diski za uti wa mgongo hupungua unene wake kutokana na kuzeeka, majeraha au mzigo mkubwa. Hii husababisha maumivu ya mgongo, kukak**aa, na wakati mwingine maumivu kwenye miguu au mikono.

Sababu:
• Kuzeeka
• Uzito kupita kiasi
• Majeraha ya mgongo
• Kukaa vibaya kwa muda mrefu

Dalili:
• Maumivu ya mgongo ya muda mrefu
• Kukak**aa mgongo
• Maumivu kusambaa miguuni

Tiba:
• Mazoezi ya mgongo
• Dawa Lishe
• Physiotherapy
• Kuepuka kuinama au kubeba vitu vizito

_Je wafahamu uzito mkubwa nisababu kubwa ya maumivu ya mgongo?. Kwa kawaida mgongo wako huhimili uzito flani pindi uzito...
14/07/2025

_Je wafahamu uzito mkubwa nisababu kubwa ya maumivu ya mgongo?. Kwa kawaida mgongo wako huhimili uzito flani pindi uzito huo ukizidi Hali ya mgongo lazima iwe mbaya sana_

Hongera sana Mama Elizabeth kwa MATOKEO  BAADA ya KUTUMIA dawa
04/07/2025

Hongera sana Mama Elizabeth kwa MATOKEO BAADA ya KUTUMIA dawa

Mungu ni mwema Ndio k**aliza dose ya kwanza Tunaendelea na dose ya pili atapona kabisa baada ya siku 60
22/10/2024

Mungu ni mwema

Ndio k**aliza dose ya kwanza

Tunaendelea na dose ya pili atapona kabisa baada ya siku 60

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Drjustine9 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Drjustine9:

Share