Drjustine9

Drjustine9 Tatua changamoto za maumivu ya viungo na mifupa kwa siku 30~90.Wasiliana nasi 📞+255672441815
(1)

13/04/2026

13/04/2026

11/04/2026

KWA MAZOEZI ZAIDI TUWASILIANE +255672441815

11/04/2026

Unaweza kuweka na Asali kidogo BAADA ya kuchemsha
Tumia kikombe kimoja tu kila siku

09/04/2026

Anza matibabu kwa matokeo bora Tuwasiliane +255672441815

09/04/2026

🔴 VIJUE VYAKULA MUHIMU KWA AFYA YA MIFUPA NA MAUNGIO
Mifupa imeundwa kwa madini mbalimbali ikiwemo madini ya calcium na phosphorus kwa kiasi kikubwa hvyo ili uweze kuwa na mifupa imara unahitaji kula vyakula vyenye calcium na phosphorus kwa wingi.vyakula hvyo ni k**a ifuatavyo
⚫Samaki.
samaki wana madini k**a calcium ambayo ni muhimu katika mifupa pia mafuta ya samaki (omega 3 fatty acids) yana umuhimu sana katika afya ya mifupa pamoja na mfumo wa damu.
⚫Mboga za majani.
tunapata calcium na vitamin mbalimbali ambavyo vinaweza kuimarisha mifupa na viunga pia zina uwezo wa kuzuia vimeng’enya hatari vinavyoweza kusababisha kuvimba na maumivu katika viunga.
⚫Matunda.
baadhi ya matunda yana lycopene na anthocyanins na vitamin C ambazo huepusha madhaifu ya mifupa matunda hayo ni k**a machungwa, nyanya,limao, strawberries, ndizi mbivu nk
⚫Mafuta.
vyakula vyenye kiasi kikubwa cha omega 3 mfano mafuta ya parachichi na mafuta ya mzeituni
⚫Maharage.
baadhi ya maharage ni mazuri katika afya mifupa mfano maharage ya
soya,maharage meusi nk haya virutubisho ambavyo vinaweza kuimarisha mifupa.
⚫Maziwa.
maziwa yana calcium na vitamin mbalimbali ikiwemo vitamin D ambayo husaidia ufyonzaji mzur wa calcium.
⚫Mayai.
Haya yana madini mbalimbali ikiwemo calcium na vitamins kwa wingi hvyo husaidia kuwa na mifupa imara.
⚫Vyakula vyenye phosphorus ni k**a ndizi mbivu,apples, broccoli,maharage nk

Tumekuandalia virutubisho lishe vya asili vimeandaliwa kwa kiasi ambacho kinahitajika na mwili kwa ajili ya kuimarisha mifupa vina uwezo wa kumsaidia mtu anayesumbuliwa na mifupa na kusuluhisha tatizo lake. Kwa maelezo zaidi na kupata virutubisho lishe wasiliana nasi kwa namba 0672441815

08/04/2026

Wasiliana nasi +255672441815

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Drjustine9 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Drjustine9:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram