Hafsah Medics

Hafsah Medics Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Hafsah Medics, Medical and health, Dar es Salaam.

UKITUMIA BEDROOM PACKAGE UTAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:1. UTAKUWA NA UWEZO WA  KURUDIA TENDO VIZURI NA KWA HARAKA ZAIDI...
18/04/2025

UKITUMIA BEDROOM PACKAGE UTAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:

1. UTAKUWA NA UWEZO WA KURUDIA TENDO VIZURI NA KWA HARAKA ZAIDI.

2. KUONGEZA IDADI YA MBEGU

3. KUWA NA UWEZO WA KUSIMAMISHA UUME VIZURI.

4. KUWA NA MZUNGUKO MZURI WA DAMU.

5. KUIMARISHA MISULI

6. KUPATA HAMU YA TENDO

7. KUTOFIKA MAPEMA KILELENI

8. KUWA NA NGUVU NA STAMINA, WAKATI WA TENDO NA BAADA YA KUMALIZA TENDO.

NB: KUMBUKA HIZI SIO DAWA NI VIRUTUBISHO.

*FAIDA NYINGINE UTAKAZO ZIPATA UKITUMIA BEDROOM PACKAGE.

package hii itakusaidia pia katika mambo yafuatayo :

1. Kuimarisha na kuipa nguvu mishipa iliyo legea kwa sababu ya punyeto

2. Hunenepesha uume ulio sinyaa kwa sababu ya punyeto

3. Hurefusha uume ulio dumaa na kurudi ndani kwa sababu ya punyeto.

4. Huimarisha na kuongeza nguvu za kiume

5. Hukupa uwezo wa kurudia tendo bila kuchoka

6. Hukupa uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu.

7. Husaidia kuongeza na kuimarisha nguvu na nishati ya misuli ya uume.

*UNAYO NAFASI YA KUIWEKA VYEMA AFYA YAKO LEO.
0688757052

YAJUE MAAMBUKIZI YA KWENYE NJIA YA MKOJO (Urinary tract infection -UTI).UGONJWA WA UTI (Urinary Tract Infection)Mfumo wa...
18/04/2025

YAJUE MAAMBUKIZI YA KWENYE NJIA YA MKOJO (Urinary tract infection -UTI).

UGONJWA WA UTI (Urinary Tract Infection)

Mfumo wa mkojo wa mwanamke (Female urinary system)

UTI ni Maambukizi kwenye njia ya mkojo katika sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo yaani figo, ureter, kibofu na urethra(mrija wa kutoa mkojo). Maambukizi mengi huhusisha sehemu ya chini yaani kibofu na urethra.
Wanawake wako kwenye hatari kubwa kupata UTI kuliko wanaume, Maambukizi yaliyo kwenye kibofu yanaweza kusababisha maamivu makali au kero, Ingawa, tatizo la UTI linaweza kutokea ikiwa maambukizi yatasambaa mpaka kwenye figo zako.

Madaktari hutibu UTI na dawa za kuua bacteria yaani (Antibiotics), Lakini unaweza kupunguza nafasi kwako wewe kupata UTI katika nafasi ya kwanza.

Ishara na Dalili (Signs and Symptoms).

Maambukizi njia ya mkojo mara zote hayaoneshi ishara na dalili, lakini yanapoonesha dalili huwa ni pamoja na;

-Mkojo kuunguza au kuwasha.
-Kuojoa kwa shida.
-Kukojoa mkojo kidogo sana .
-Mkojo uliochanganyikana na weupe ndani yake .
-Mkojo wenye rangi nyekundu au pinky ishara ya damu ndani ya mkojo.
-Mkojo wenye harufu kali.
-Maumivu chini ya kitovu hasa kwa wanawake. au maumivu yanayotokea eneo la kinena.

UTIs ikiachwa au isipotibiwa husababisha madhara zaidi.

Aina za maambukizi ya kwenye njia ya mkojo (Types of urinary tract infection)

Kila aina ya UTI inaweza kuja na dalili zake, kutegemeana na eneo lililoathirika.


Ishara na dalili (Signs and symptoms).

-Maambuikzi kwenye Figo (Kidneys −acute pyelonephritis.
-Homa ya juu (High fever).
-Kutetemeka.
-Kutoka damu puani (Nausea).
-Kutapika (Vomiting).
-Maambukizi kwenye kibofu (Bladder —cystitis).
-Eneo la chini ya kitovu kukaza.
-Maumivu ya chini ya kitovu.
-Maumivu ya mara kwa mara wakati wa kukojoa (Frequent, painful urination).
-Mkojo wenye damu (Blood in urine).
-Maambukizi kwenye mrija wa mkojo Usaha/ majimaji kutoka kwenye uume/uke, vipele au miwasho hali ijulikanayo k**a (Urethra −urethritis).
-Mkojo kuwasha/kuunguza ( Burning with urination).
-Kutoka usaha au uteute (Discharge).

Kumuona daktari ( to see a doctor)
Muone daktari endapo una ishara au dalili za UTI s

Sababu za UTIs (Causes)

UTIs hutokea pale bacteria wanapoingia kwenye njia ya mfumo wa mkojo kupitia urethra (mrija wa mkojo) na kuanza kuongezeka kwenye kibofu cha mkojo. Ingawa mfumo wa mkojo umetengezwa kujiendesha kuwazuia bacteria (microscopic), wakati mwingine ulinzi huu hushindwa . hali hiyo mara itokeapo, bacteria huingia na kuanza kukua na kupelekea maambukizi ndani ya mfumo wa mkojo.

Sehemu kubwa UTI hutokea kwa wanawake na kuathiri kibofu na urethra (mrija wa mkojo).

Maambukizi ya kwenye kibofu (Infection of the bladder −cystitis), Aina hii ya maambukizi ya njia ya mkojo husababishwa na Escherichia coli (E. coli), ni aina ya bacteria wanaopatikana kwenye mfuko wa tumbo (gastrointestinal −GI). Ingawa wakati mwingine Bacteria wengine huhusika.

Kujamiiana kunaweza kupelekea maambukizi ya kwenye kibofu (cystitis), huhitaji kujamiiana ili uendeleze maambukizi, Wanawake wote wapo kwenye hatari kubwa kupata maambukizi ya kwenye kibofu (cystitis) kwa sababu ya maumbile yao (anatomy — specifically), umbali mfupi uliopo kati ya urethra (mrija wa mkojo ) na njia ya kutolea kinyesi (Mkundu ) na mrija unaofungua kwenye kibofu huongeza hatari ya maambukizi.

Maambukizi kwenye mrija wa mkojo (Infection of the urethra −urethritis).
Aina hii ya maambukizi hutokea pale bacteria wanaposambaa kutoka kwenye utumbo (GI) kupitia kwenye njia ya kutolea kinyesi (Mkundu ) mpaka kwenye urethra (mrija wa mkojo). Pia kwa sababu wanawake mrija wao wa mkojo (urethra) uko karibu sana na uke, maambukizi ya magonjwa ya ngono k**a HERPES, KISONONO, KASWENDE na MYCOPLASMA, zinazeza kusababisha maambukizi kwenye mrija wa mkojo (urethritis).

Vihatarishi (Risk factors)

Maambukizi ya njia ya mkojo ni mengi kwa wanawake, na kila mwanamke anao uzoefu zaidi ya mara moja wa maambuki ya UTI katika maisha yao. Hatari za maambukizi ya UTI kwa wanawake ni pamoja na;

Maumbile ya Mwanamke (Female anatomy).
Mwanamke ana urethra (mrija wa mkojo) fupi kuliko mwanaume, hupunguza pia umbali wa bacteria kusafiri mpaka kufika kwenye kibofu.
Kufanya Mapenzi (Sexual activity).
Wanawake wanaofanya mapenzi mara kwa mara wako kwenye hatari zaidi ya kupata UTI kuliko wanawake wasiojihusisha na mapenzi. Kuwa na mpenzi mpya hukuweka katika hatari zaidi.

Baadhi ya vizuia mimba (birth control).
Wanawake wanaotumia vitanzi kupanga uzazi wako kwenye hatari kubwa, vile vile na wanawake wanaotumia vizuia mbegu.
Kukoma hedhi (Menopause),
Baada ya kukoma hedhi, kupungua kwa mzunguko wa estrogen husababisha mabadiliko katika mfumo wa mkojo na kuongeza hatari ya maambukizi.

Sababu nyingine zinazochochea kupata UTIs ni pamoja na;

Maumbile ya mfumo wa mkojo yasiyo kawaida.
Watoto waliozaliwa na hali isiyokawaida ya mfumo wa mkojo ambao hauruhusu mkojo kutoka nje ya miili yao na kuurudhisha kwenye urethra wana hatari ya kupata UTIs.
Kuharibika kwa mfumo wa mkojo. Mawe kwenye figo au kuvimba kwa tezi dume kunaweza kuzuia/kubakiza mkojo kwenye kibofu na kuongeza hatari ya kupata UTIs.

Kushuka kwa kinga za mwili.
Kisukari na magonjwa mengine ambayo hupunguza kinga za mwili yanaweza kuongeza hatari ya kupata UTIs.

Matumizi ya Catheter.
Watu ambao hawawezi kukojoa na wanatumia mrija (catheter) kukojoa wanaongeza hatari ya kuapata UTIs. Hii inaweza kuhusisha na watu walolazwa hospitalini, watu wenye matatizo ya mfumo wa mishipa ya fahamu inayowapa ugumu wa uwezo wa kujidhibiti kukojoa na watu waliopararaizi.

Upasuaji.
Upasuaji katika mfumo wa mkojo au shughuli inayohusu uwekaji wa vifaa kwenye mfumo wa mkojo zote zinaweza kuongeza hatari ya kupata maambukizi njia ya mkojo —UTIs.

Madhara ya UTIs

Unapotibiwa kwa uhakika, maambukizi ya sehemu ya chini hupona, k**a haitatibiwa, maambukizi ya mfumo wa mkojo hupelekea tatizo kuwa baya zaidi.

Athari za UTIs ni pamoja na;

-Maambukizi kurudi tena, hasa kwa wanawake ambao wameshapata maambukizi zaidi ya mara mbili ndani ya miezi sita au nne ai zaidi ya mwaka.

-Uharibifu wa kudumu wa figo au maambukizi sugu ya kwenye figo (pyelonephritis) kutokana na UTIs ambayo haijatibiwa.

-Kuongeza hatari ya wanawake wajawazito kujifungua mapema au mtoto mwenye uzito mdogo.

-Kuziba kwa miriija ya mbegu kwa mwanaume kutokana na uwepo wa maambukizi ya njia ya mkojo (urethritis).

-Tatizo la Maambukizi sugu, hasa maambukizi yanayotokea kwenye figo.

Njia za kuzuia UTIs (Prevention)

Unaweza kuchukua hatua hizi kupunguza hatari za maambukizi kwenye mfumo wa mkojo.

Kunywa maji mengi.
Kunywa maji mengi husaidia ku-dilute mkojo na kuhakikisha unakojoa mara kwa mara, huruhusu bacteria kutoka kwenye mfumo wa mkojo kabla ya maambukizi kuanza.
Kunywa juisi ya cranberry. Ingawa juisi hii ya cranberry haijathibitishwa kabisa kuwa inazuia UTIs, haina madhara.

Tawaza kutoka mbele kwenda nyuma.
Kufanya hivyo baada ya kukojoa au haja kubwa husaidia kuzuia bacteria kuhama kutoka sehemu ya haja kubwa (mkundu) kuja kwenye uke au urethra.

Safisha kibofu chako baada tu ya kufanya mapenzi. Pia kunywa glasi iliyojaa ya maji kusaidia kuondoa bacteria.

Zuia matumizi ya bidhaa za kemikali zinazotumika kupuliziwa ukeni. Matumizi ya urembo k**a sprays au urembo mwingine k**a vile wa kuoshea uke (douches) na poda (powders), katika eneo la uzazi inaweza kuathiri urethra.

Badilisha njia zako za kupanga uzazi (Change your birth control method). Vitanzi na kondomu zenye vilainishi, zote hizi zinaweza kuendelea kuzidisha kuongezeka kwa bacteria.

Kwa huduma za matibabu, kwa wenye changamoto za kiafya, Wasiliana nasi namba zipo kwenye ukurasa huu lakini pia hata kwenye post hii. Zingatio la muhimu kuwa makini epuka kutapeliwa, hakikisha namba zinatoka kwenye kurasa zetu rasmi,

Piga/SMS au WhatsApp:0688757052

XPOWER MAN EXTRA  CAPSULESNi kirutubisho maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.  FAIDA Z...
13/11/2024

XPOWER MAN EXTRA CAPSULES
Ni kirutubisho maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

FAIDA ZA X POWER MAN CAPSULES👇
✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu
✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume.

KWA MAWASILIANO ZAIDI
0688 757 052

*⭕FAHAMU TATIZO LA MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA,  SABABU NA SULUHISHO LAKE.*Hizi ndizo sababu nane zinazosababisha watoto w...
22/10/2024

*⭕FAHAMU TATIZO LA MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA, SABABU NA SULUHISHO LAKE.

*Hizi ndizo sababu nane zinazosababisha watoto wasile*.👇👇👇👇👇

1️⃣ *Ukuaji wa taratibu : Mwaka wa mtoto huwa anakua kwa kasi sana hivyo hamu yake ya kula huwa nzuri Kwa Sababu mwili Unahitaji Virutubisho vingi kwa ajili ya ukuaji lakini akifika mwaka mmoja kwenda wa pili Ukuaji Unapungua kasi hivyo kula kidogo kipindi hiki ni hali ya kawaida kabisa.*

2️⃣ *Magonjwa: Wakati Mwingine Tatizo la Mtoto Kukosa hamu ya Kula huashiria Dalili za Ugonjwa fulani ambao ni Vyema Ukafahamika na Kupatiwa Ufumbuzi na Kumuondoa Mtoto Kwenye hali hiyo , Ugonjwa Wowote atakao upata mtoto huchangia kukosa kwake hamu ya kula hivyo k**a mtoto ana mafua , kikohozi , Malaria na kadhalika*

3️⃣ *Msongo wa mawazo: K**a walivyo watu wazima watoto pia hupata mawazo sana . Endapo kuna changamoto zinawakabiri kwenye maisha yao na wakati mwingine mzazi Inaweza Kuwa Chanzo Cha Matatizo hayo – Mfano : Kutoa adhabu kali akifanya kosa , Kumfokea na kumtukana mbele za Watu , Kumnyima haki zake za msingi k**a hela ya kula shule na Nguo za kuvaa , Matunzo na Malezi Mabaya au kifo cha Mzazi au Mlezi.*

4️⃣ *Matumizi ya dawa: K**a mtoto wako kuna dawa anameza basi zinaweza kumfanya akose hamu ya kula mfano dawa nyingi za kuua bakteria au antibiotics hupunguza hamu ya kula.*

4️⃣ *Upungufu wa damu : Hii ni hatari sana kwa watoto kwani inaweza kufanya mtoto ashindwe kukua na Kuwa na maendeleo mabovu darasani hivyo ni muhimu pia kupima damu ya mtoto kuona k**a ana upungufu wa damu au vipi.*

6️⃣ *Minyoo : Aina Mbali Mbali za Minyoo ya tumbo hushambulia kuta za tumbo Na Kusababisha kichefuchefu na kuharisha , hali hii huweza kuchangia sana kuondoka kwa hamu ya kula.*

7️⃣ *Choo ngumu sana : K**a Choo inatoka ngumu sana maana yake kuna vyakula vingi havitoki tumboni hivyo mtoto hawezi kula.

WASILIANA NASI KWA SIMU 0688757052

TIBA SALAMA YA BAWASILI BILA UPASUAJI.Inawezekana umetumia tiba nyingi sana za bawasili au lengine uliwahi kufanya upasu...
20/09/2024

TIBA SALAMA YA BAWASILI BILA UPASUAJI.

Inawezekana umetumia tiba nyingi sana za bawasili au lengine uliwahi kufanya upasuaji lakini bado hukupata suluhisho.

Inawezekana katika kutafuta suluhisho umetumia dawa nyingi sana za miti shamba na hospital lakini ulipata nafuu Ila baada ya muda Hali bado ni ngumu.

Ili upone Bawasili unahitaji kuanza na chanzo Cha tatizo kwanza.

Ukimaliza chanzo Cha tatizo lako tatizo huisha kabisa.

Leo hii nimekuletea program maalumu ambayo itaondoa bawasili yote kwa haraka na chanzo chake pia.

Sasa ili kuipata program hii maalumu na muhimu kwako GUSA KIUNGANISHI CHA WHATSAPP hapo Chini au piga simu namba:

Kwa Sasa program hii utaipata kwa bei ya punguzo KUBWA k**a utaipata kwa ndani ya siku tatu.

Call: 0688757052

𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗡𝗝𝗘) 👇𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦/𝗣𝗜𝗟𝗘)👉 Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa m...
29/08/2024

𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗡𝗝𝗘) 👇

𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦/𝗣𝗜𝗟𝗘)
👉 Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

𝗖𝗛𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗖𝗛𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
✓ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
✓ Tatizo sugu la kuharisha
✓ Ujauzito
✓ Uzito wa mwili kupita kiasi
✓ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
✓ Kupata Choo Kigumu
✓ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
✓ Kunywa pombe
✓ Kula sana nyama nyekundu
✓ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
✓ Ngiri (Chango/Hernia)
✓ Kula sana pilipili
✓ Kunyanyua vitu vizito

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
✍️ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
✍️ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
✍️ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
✍️ Kupata kinyesi chenye damu
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
✍️ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
✍️ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
✍️ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
🍀 Upungufu wa damu mwilini
🍀 Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
🍀 Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
🍀 Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
🍀 Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi (Sexual Performance)
🍀 Kupata tatizo la kisaikolojia
🍀 Kutopata ujauzito (Infertility)
🍀 Mimba kuharibika (Miscarriage)

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️ 𝟬688757052
☎️ 𝟬688757052

01/08/2024

BAWASILI/MGOLO🍀☇bawasili ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.☇kwa kiingereza hujulikana k**a piles.☇na kitaalam hujulikana k**a haemorrhoids/piles🍀AINA ZA BAWASILI🍀👉1. BAWASILI YA NJEAina hii ya bawasili hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na kuambatana na maumivu makali, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (veins)hupasuka na dam kuganda hivyo kusababisha na kusababisha aina hii ya bawasili ambapo kitaalam inafahamika k**a Thrombosed haemorrhoid.👉2.BAWASILI YA NDANIAina hii ya bawasili kinyama au uvimbe huota ndani ya njia ya haja kubwa na inaweza kutoka nje na kurud wakati wa kujisaidia au ikashindwa kurudi mpaka jrudishwe kwa mkono🍁BAWASILI HUSABABISHWA NA NINI?👉Kufunga choo au kukosa choo kwa muda mrefu👉Ujauzito-wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasili kwasababu ya msukumo wa mtoto karibia na sehem ya haja kubwa👉kushiriki penzi kinyume na maumbile👉Uzee- kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.👉Sababu za kurithi- baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaufu wa ukuta huo wa njia ya haja kubwa ingawa ni kwa asilimia chache.👉kuharisha sana kwa muda mrefu👉kutumia vyoo vya kukaa👉kunyanyua vyuma vizito👉mfadhaiko stress👉uzito na unene kupita kiasi🍀DALILI ZA BAWASILI 🍀👉maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa👉Damu kutoka wakati wa kujisaidia👉kupata muwasho sehem ya haja kubwa👉uvimbe au kinyama kuota sehem ya haja kubwa👉hajakubwa yaweza kujitokea mda wowote👉choo kuwa kigumu au muda mwingine kukosa choo kwa siku hata tatu👉maumivu makali ya kiuno na mgongo👉tumbo kujaa gesi mara kwa mara👉kutokushiba vizuri au kupata njaa baada ya muda mfupi kumaliza kula.👉kukosa usingizi👉watu wengine macho kuwa mekunduMawasiliano Whatsapp/call 0688757052+255(0)688757052

Do not turn back when you are just at a goal💪💪🔥🔥
31/07/2024

Do not turn back when you are just at a goal
💪💪🔥🔥

BAWASILI/MGOLO🍀☇bawasili ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kinyama ambacho huwez...
30/07/2024

BAWASILI/MGOLO🍀

☇bawasili ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.

☇kwa kiingereza hujulikana k**a piles.
☇na kitaalam hujulikana k**a haemorrhoids/piles

🍀AINA ZA BAWASILI🍀

👉1. BAWASILI YA NJE
Aina hii ya bawasili hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na kuambatana na maumivu makali, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (veins)hupasuka na dam kuganda hivyo kusababisha na kusababisha aina hii ya bawasili ambapo kitaalam inafahamika k**a Thrombosed haemorrhoid.

👉2.BAWASILI YA NDANI
Aina hii ya bawasili kinyama au uvimbe huota ndani ya njia ya haja kubwa na inaweza kutoka nje na kurud wakati wa kujisaidia au ikashindwa kurudi mpaka jrudishwe kwa mkono
🍁BAWASILI HUSABABISHWA NA NINI?
👉Kufunga choo au kukosa choo kwa muda mrefu
👉Ujauzito-wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasili kwasababu ya msukumo wa mtoto karibia na sehem ya haja kubwa
👉kushiriki penzi kinyume na maumbile
👉Uzee- kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
👉Sababu za kurithi- baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaufu wa ukuta huo wa njia ya haja kubwa ingawa ni kwa asilimia chache.
👉kuharisha sana kwa muda mrefu
👉kutumia vyoo vya kukaa
👉kunyanyua vyuma vizito
👉mfadhaiko stress
👉uzito na unene kupita kiasi

🍀DALILI ZA BAWASILI 🍀
👉maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
👉Damu kutoka wakati wa kujisaidia
👉kupata muwasho sehem ya haja kubwa
👉uvimbe au kinyama kuota sehem ya haja kubwa
👉hajakubwa yaweza kujitokea mda wowote
👉choo kuwa kigumu au muda mwingine kukosa choo kwa siku hata tatu
👉maumivu makali ya kiuno na mgongo
👉tumbo kujaa gesi mara kwa mara
👉kutokushiba vizuri au kupata njaa baada ya muda mfupi kumaliza kula.
👉kukosa usingizi
👉watu wengine macho kuwa mekundu

Mawasiliano Whatsapp/call: 0688757052

*MWANAUME RIJALI PACKAGE*                          Ni tiba  maalumu ya Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.                      ...
07/07/2024

*MWANAUME RIJALI PACKAGE*

Ni tiba maalumu ya Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

*FAIDA ZAKE*

👉🏻 Huongeza Hamu TENDO hata k**a ilipo tea kabisa

👉🏻 Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume

👉🏻 Huondoa Tatizo la Maumivu ya Uume Ukiwa Umesimama

👉🏻 Humfanya Mwanaume Akae tendoni Muda Mrefu

👉🏻 Humfanya Mwanaume Arudie Tendo kwa haraka zaidi na Kwenye Ubora wa Hali ya juu

👉🏻 Huufanya Uume usimame k**a msumari

👉🏻 Huongeza ukubwa wa uume

👉🏻 Huondoa Tatizo la Upungufu Wa Nguvu za kiume Na UGUMBA

Tiba Hii ni ya asili Haina Madhara yeyote kabisa Na inatibu tatizo mazima na Kuweka Kinga.

𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗞𝗨𝗛𝗨𝗦𝗨 𝗨𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗪𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗔𝗙𝗨 (𝗣𝗡𝗘𝗨𝗠𝗢𝗡𝗜𝗔) (𝐈𝐦𝐞𝐧𝐝𝐚𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚  Hafsah medics Ugonjwa wa homa ya mapafu, au pneumoni...
07/07/2024

𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗞𝗨𝗛𝗨𝗦𝗨 𝗨𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗪𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗔𝗙𝗨 (𝗣𝗡𝗘𝗨𝗠𝗢𝗡𝗜𝗔) (𝐈𝐦𝐞𝐧𝐝𝐚𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 Hafsah medics

Ugonjwa wa homa ya mapafu, au pneumonia, ni hali inayohusiana na uambukizo au kuvimba kwa tishu za mapafu. Kwa kawaida, mapafu hujaa na usaha au majimaji, na hii inaweza kusababisha shida katika mchakato wa kupumua. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na bakteria, virusi, au kuvu.

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗨𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗪𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗔𝗙𝗨 (𝗣𝗡𝗘𝗨𝗠𝗢𝗡𝗜𝗔) 👇

𝟭. 𝗛𝗢𝗠𝗔 (𝗙𝗘𝗩𝗘𝗥)
- Ongezeko la joto la mwili, mara nyingi likiambatana na kutetemeka mwilini.

𝟮. 𝗞𝗜𝗞𝗢𝗛𝗢𝗭𝗜 (𝗖𝗢𝗨𝗚𝗛)
- Kikohozi kinachoweza kuwa kavu au chenye makohozi. Mara nyingine kinaweza kuwa kikohozi chenye mkojo (kikohozi cha kukohoa kwa nguvu).

𝟯. 𝗦𝗛𝗜𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗨𝗠𝗨𝗔 (𝗗𝗜𝗙𝗙𝗜𝗖𝗨𝗟𝗧𝗬 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗧𝗛𝗜𝗡𝗚)
- Kupumua kwa shida, kukosa pumzi, au hisia ya kifua kujaa.

𝟰. 𝗠𝗔𝗨𝗠𝗜𝗩𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗙𝗨𝗔 (𝗖𝗛𝗘𝗦𝗧 𝗣𝗔𝗜𝗡)
- Maumivu au shinikizo kwenye kifua wakati wa kupumua au kikohozi.

𝟰. 𝗠𝗔𝗨𝗠𝗜𝗩𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗙𝗨𝗔 (𝗖𝗛𝗘𝗦𝗧 𝗣𝗔𝗜𝗡)
- Hisia kubwa ya uchovu au udhaifu wa mwili.

𝟲. 𝗞𝗜𝗖𝗛𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗨𝗠𝗔 (𝗛𝗘𝗔𝗗𝗔𝗖𝗛𝗘)
- Maumivu ya kichwa yanaweza kutokea, mara nyingine yakisumbua sana.

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️ 𝟬688757052
☎️ 𝟬688757052

𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗜𝗭𝗔𝗭𝗜 (𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗜𝗗𝗦) 👇(𝐈𝐦𝐞𝐧𝐝𝐚𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 Hafsah medics #𝐀𝐟𝐲𝐚𝐓𝐢𝐩𝐬(𝟐𝟒𝐇𝐫𝐬)Hii ni hali ya uvimbe katika mfu...
02/06/2024

𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗜𝗭𝗔𝗭𝗜 (𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗜𝗗𝗦) 👇(𝐈𝐦𝐞𝐧𝐝𝐚𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 Hafsah medics #𝐀𝐟𝐲𝐚𝐓𝐢𝐩𝐬(𝟐𝟒𝐇𝐫𝐬)
Hii ni hali ya uvimbe katika mfuko wa uzazi na hali hii ni ngumu sana kujitokeza lakini ni rahisi mno k**a utashindwa kujifatiliza mwana mama,

Uvimbe una sababi nyingi sana hadi kuweza kukua na ifahamike uvimbe huwa kila mwanamke anazaliwa nao ila uvimbe huo unakua mdogo sana na dhamira yake ni kushikilia yai lisicheze sana kipindi litakapo hifadhiwa katika mfuko wa uzazi,

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗔 𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗘 (𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗜𝗗𝗦) 👇
✍️ Kuvurugika kwa homoni
✍️ Kufanya kazi ngumu kupita kiasi
✍️ Matumizi ya uzazi wa mpango
✍️ Uzito kupita kiasi
✍️ Matumizi ya dawa pasi na ushauri au kwa muda mrefu
✍️ Msongo wa mawazo

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗘 (𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗜𝗗𝗦)
🍀 Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
🍀 Kuhisi kutu kinacheza tumboni
🍀 Tumbo kua kubwa
🍀 Kukosa hedhi
🍀 Kupata hedhi na maumivu makali
🍀 Kupata hedhi mabonge bonge
🍀 Tumbo kua zito

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️ 𝟬688757052
☎️ 𝟬688757052

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hafsah Medics posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share