03/04/2023
*FAHAMU DALILI HATARI ZA KISUKARI NA TIBA YAKE BILA KUCHELEWA*
*• Kukojoa mara kwa mara* :
Jee, umekuwa na tabia ya kwenda kupata haja ndogo mara kwa mara? K**a jibu ni ndiyo, basi figo zako sasa haziwezi kuirudisha glucose kwenye mfumo wa damu na badala yake zinachukua maji kutoka kwenye damu na kusababisha kibofu kijae mara kwa mara.
• *Kiu Isiyoisha:*
K**a unakojoa mara kwa mara, utapata kiu isoisha kwa sababu mwili unahitaji kurudisha maji uliyopoteza kwenye mkojo.
• *Njaa Kali:*
K**a isulin yako haifanyi kazi au k**a huna insulin, mwili wako unakosa glucose ya kuupa nguvu. Katika kutafuta njia nyingine ya kupata nguvu, mwili utakuwa na njaa ili uupatie chakula.
*• Kupungua uzito kusiko kawaida*
Hili huwatokea zaidi wagonjwa wa Type 1 Diabetes kwa sababu kwa kukosa insulin na seli kukosa chanzo cha kupata nguvu, mwili huanza kuvunjavunja misuli na kuyeyusha mafuta ya mwili ili upate nguvu hiyo halix inayochangiwa zaidi na tabia ya kisukari cha aina hiyo kujitokeza kwa ghafla.
• *Uchovu wa mwili:*
Mwili unapokosa glucose ya kuzipa seli nguvu, uchovu hutokea mara kwa mara.
• *Hasira:*
Hasira zinaweza kuwa ni sababu ya mwili kukosa nguvu, au masharti ya vyakula
• *Kutoona vizuri:*
Ugonjwa huu husababisha mtu kushindwa kuviona vitu vizuri. Tatizo hili hutibika lakini mara nyingine hali huweza kuwa mbaya kiasi cha kuwa na tatizo la kudumu au kupata upofu.
*• Uwezo mdogo wa kushiriki tendo la ndoa:*
Hili ni tatizo hasa la wanaume wenye umri unaozidi miaka 50, ambapo mara nyingi watakosa uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu au uwezo wao wa kufanya tendo hilo kufa kabisa (Erectile Dysfunction).
Kwa ushauri na Matibabu kumaliza kabisa tatizo hili.
Wasiliana nasi Kwa namba Zifuatazo;
No:0714138382Au
Unaweza kutembelea ofisi zetu zilizopo
Mbezi Luis
Dar es salaam.
TUNAJALI AFYA YAKO KWANZA 🩺🤝💓🙏