Afya Tip

Afya Tip TUNAHUSIKA NA AFYA KWA
WANAWAKE NA WANAUME
KUPITIA VIRUTUBISHO LISHE NA MAZOEZI

TIBA ASILIA YA UGONJWA WA MIFUPA➡️Ili kusaidia watu wenye matatizo ya mifupa, sasatumekuletea dawa maalum ya asili iliyo...
19/05/2023

TIBA ASILIA YA UGONJWA WA MIFUPA

➡️Ili kusaidia watu wenye matatizo ya mifupa, sasa
tumekuletea dawa maalum ya asili iliyo katika mfumo
wa capsules (vidonge) inayoweza kufanya yafuatayo;
-Kuimarisha mifupa na misuli pamoja na kujenga
viungio vya mwili.
-Pia inaondoa uvimbe katika joints.
-Pia inaboresha mzunguko wa damu katika mifupa.
-Pia inaondoa maumivu katika viungo vya mwili
➡️INAMFAA KWA WATU WA AINA GANI?
-Inafaa kwa watu wote wenye matatizo ya mifupa.
-Wanawake waliomaliza kuzaa na waliokoma hedhi.
-Watu wote wenye kusumbuliwa na misuli.
-Mtu yeyote anayetaka kuimarisha Viungo na
kuongeza ufanisi katika mwili wake.
➡️KWA MAWASILIANO JINSI YA KUPATA TIBA ZETU
Tunapatikana Dar Es Salaam kwa walio mikoani
tutawasiliana jinsi ya kutuma.
WhatsApp/sms 0714138382

♐UGONJWA WA BAWASIRI - ( Hemoroid ) ♐▶️ Ni pale mishipa ya veins (nyama) zinapojitokeza eneo la haja kubwa (A**s)Hali hi...
19/05/2023

♐UGONJWA WA BAWASIRI - ( Hemoroid ) ♐

▶️ Ni pale mishipa ya veins (nyama) zinapojitokeza eneo la haja kubwa (A**s)
Hali hii humfanya mtu ajisikie hali ya kukera sana na wakati mwingine maumivu makali.

▶️ Hali ya kukera hutokea kipindi Mgonjwa anapojaribu Kwenda chooni kupata haja kubwa ila kwa wengine hali hii huwafanya wapate maumivu kila wakati na kujisikia vibaya sana na kushindwa kufanya mambo mengine.

▶️ Mara nyingi bawasiri huendana na kupata Choo Chenye damu.

▶️ Kawaida eneo la haja kubwa lina mishipa ya damu mingi aina ya VEINS na mishipa hii IPO juu juu sana. Sasa presha inapoongezeka eneo hili mishipa hiyo hupasuka na hujitokeza kwa nje hivyo huonekana k**a nyama zimejitokeza.

▶️ Ingawa wakati mwigine BAWASIRI hujitokeza ndani kabisa ya njia ya haja kubwa hivyo hufanya bawasiri iwe ya ndani bila nyama kutokea nje ya haja kubwa MTU atajisikia hali ya kukera bila nyama kutoka nje kwa hiyo hii inaitwa BAWASIRI ya ndani.

▶️ SABABU ZA BAWASIRI KUTOKEA🕳

1⃣KUPATA CHOO KIGUMU.

▶️ Choo kigumu huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo husababisha bawasiri kutokea
Hii hutokea zaidi kwa watoto wadogo na watu wenye constipation au wenye tatizo la kutopata choo.

2⃣UZAZI (MIMBA).

Huongeza presha eneo la nyonga hivyo huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo huongeza nafasi ya kupata bawasiri

3⃣KITAMBI (OBESITY).

Pia huongeza presha eneo la nyonga, hii hupelekea huongeza presha eneo la haja kubwa.

4⃣KUNYANYUA VITU VIZITO🕳

Pia huongeza presha eneo la haja kubwa,pia huongeza nafasi ya kupata bawasiri

▶️ Mara nyingi watu wengine hufanyiwa UPASUAJI kutatua tatizo hili kwa jinsi lilivyo.

▶️ TIBA YA BAWASIRI BILA UPASUAJI🕳

▶️ Zipo tiba za aina nyingi katika kutatua ugonjwa huu! Ila kwetu sisi tunatumia njia mbadala ambayo huondoa tatizo hilo Kabisa na hutakuwa na haja ya kufanyiwa upasuaji. KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NAMI KWA 0714138382

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255714138382

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Tip posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share