Ushauri_wa_mahusiano_na_maisha

Ushauri_wa_mahusiano_na_maisha Ushauri &Tiba kuhusu​�
�Maisha
�Mahusiano
�uchumba&Ndoa
�Malezi
�Stress
�Gharama Tsh 15,000
�MACHOZI

MwanasaikolojiaNipo tayari kukusikiliza, kukushauri, na kukusaidia kuvuka changamoto za maisha 💬✅ Mahusiano✅ Uchumba & N...
20/07/2025

Mwanasaikolojia
Nipo tayari kukusikiliza, kukushauri, na kukusaidia kuvuka changamoto za maisha 💬

✅ Mahusiano
✅ Uchumba & Ndoa
✅ Malezi ya watoto
✅ Msongo wa mawazo, huzuni, maumivu ya moyo

Usihangaike kimya, usiumie peke yako — nipo kwa ajili yako!

📞 Wasiliana nami leo: 0715 387 809
💰 Huduma ni nafuu: Tsh 20,000 – 50,000
🙋 MACHOZI BASI!

🔷 USHAURI & TIBA YA KISAIKOLOJIA 🔷📍 Kwa matatizo ya:✅ Maisha ya kila siku✅ Mahusiano ya kimapenzi✅ Uchumba na ndoa✅ Male...
13/07/2025

🔷 USHAURI & TIBA YA KISAIKOLOJIA 🔷
📍 Kwa matatizo ya:

✅ Maisha ya kila siku
✅ Mahusiano ya kimapenzi
✅ Uchumba na ndoa
✅ Malezi ya watoto

💬 Tunakusaidia kuelewa, kusamehe, kupona na kusonga mbele.
🙅‍♀️ MACHOZI BASI – Sasa ni muda wa mabadiliko!

💰 Gharama nafuu:
Tsh 20,000 hadi 50,000 kulingana na huduma

📞 Piga sasa: 0715 387 809
🌟 Tunakuhudumia kwa upendo, busara na hekima.























SIWEZI  KUMSAHAU!;;Watu wananiambia ni kazi kumsahamu mtu uliyempenda sana.Ni kweli lakini naamini unaweza ukiamua, k**a...
05/07/2025

SIWEZI KUMSAHAU!;;
Watu wananiambia ni kazi kumsahamu mtu uliyempenda sana.

Ni kweli lakini naamini unaweza ukiamua, k**a hauwezi kuamua basi nature itakusaidia.

Fikiria mazingira ya mtoto anapokuwa tumboni hali ya giza aliyokuwa nayo, na yeye aliizoea, aliona ni kawaida,

( usiseme hajitambui, anajitambua kwa sababu hicho tayari ni kiumbe, ila hana experience k**a uliyo nayo wewe)

Na akatoka hajawahi ona mwanga, hajawai ishi nje lakini mazingira yakamlazimisha aishi baada ya muda fulani anazoa na anakuwa comfortable kabisa, hadi kuna time anasahau kwamba aliwahi kuuishi tumboni mwa mtu.

K**a uliweza hatua hiyo , hata hii pia unaweza,

Trust me unaweza.
Karibu sanaa ndugu Gharama za ushauri ni Tsh 50,000 kwa face to face ukija ofisini. Na Tsh 20,000 kwa njia ya simu. Kwahio unachagua njia ipi ni rahisi kwako.

Gharama hizi hutatoa tena endapo ukihitaji ushauri utapewa mda wowote hadi ukikaa sawaa. Isipokuwa kw ushauri wa face to face utalipa kila ukija ofisini.
Tupigie/Whatsapp 0715387809

🖤 NILIMSALITI MUME WANGU NA SASA NAJUTA... 😢Naomba jamii inishauri…"Jina langu ni Amina (siyo jina halisi). Nimeolewa kw...
30/06/2025

🖤 NILIMSALITI MUME WANGU NA SASA NAJUTA... 😢
Naomba jamii inishauri…

"Jina langu ni Amina (siyo jina halisi). Nimeolewa kwa miaka 6. Mume wangu ni mtu mwema, mnyenyekevu, na baba bora kwa watoto wetu wawili.

Lakini mwaka jana, nilianguka katika mtego wa shetani. Nilianza mazungumzo ya siri na mwanaume mmoja kazini, mtu aliyekuwa anajua kunifanya nihisi ‘spesho’. Mwanzoni ilikuwa meseji tu... lakini baada ya muda ikawa zaidi ya hapo.

Nilimsaliti mume wangu kimwili. Niliporudi nyumbani nilimwangalia usoni, moyo wangu ulihisi aibu. Lakini bado sikumwambia. Siku moja aligundua ujumbe niliokuwa sijaifuta. Usiku huo hakuongea. Alinitazama tu, kisha akaondoka nyumbani.

Amekaa kwa dada yake wiki ya pili sasa. Hajazungumza nami, hajajibu meseji zangu. Nimepoteza usingizi, nimepoteza amani. Najuta… Niliacha almasi kwa vumbi la muda.

Naomba jamii inishauri… Nafanya nini ili kurejesha ndoa yangu? Je, mume akinisamehe kweli ataweza kuniamini tena?" 💔

🔹 Unaweza kuweka swali chini ya post yako:
👉 Je, ungemshauri nini Amina? Je, mume wake atamsamehe?
🗣️ Drop comment yako 👇

Changamoto ndogo ndogo zinapojitokeza katika mahusiano au ndoa yako ni muhimu sana kuzishughulikia na kuzimaliza kabla h...
27/06/2025

Changamoto ndogo ndogo zinapojitokeza katika mahusiano au ndoa yako ni muhimu sana kuzishughulikia na kuzimaliza kabla hazijaleta madhara makubwa,endapo utazipuuza basi ipo siku zinaweza kuyaghalimu mahusiano au ndoa uliyo nayo.

Mlio kwenye mahusiano hususani kwenye ndoa msiwe na tabia ya kupuuza changamoto na kuziona za kawaida kumbukeni jambo lolote kubwa huanza na udogo,na ukizembea juu ya jambo hilo linaweza kukuletea hatari yenye madhara kubwa.

Counselor psychologist Dennis Dessiny M

Karibu sanaa ndugu Gharama za ushauri ni Tsh 30,000 kwa face to face ukija ofisini. Na Tsh 15,000 kwa njia ya simu. Kwahio unachagua njia ipi ni rahisi kwako.

Gharama hizi hutatoa tena endapo ukihitaji ushauri utapewa mda wowote hadi ukikaa sawaa. Isipokuwa kw ushauri wa face to face utalipa kila ukija ofisini.
Number ya malipo ni;
>lipa number ya (Airtel)13128282
Jina: ushauri wa maisha na Mahusiano
Tupigie/Whatsapp 0715387809

*_```Machozi Sasa basi*```_

Counselor psychologist Dennis Dessiny M Karibu sanaa ndugu Gharama za ushauri ni Tsh 50,000 kwa face to face ukija ofisi...
15/06/2025

Counselor psychologist Dennis Dessiny M

Karibu sanaa ndugu Gharama za ushauri ni Tsh 50,000 kwa face to face ukija ofisini. Na Tsh 20,000 kwa njia ya simu. Kwahio unachagua njia ipi ni rahisi kwako.

Gharama hizi hutatoa tena endapo ukihitaji ushauri utapewa mda wowote hadi ukikaa sawaa. Isipokuwa kw ushauri wa face to face utalipa kila ukija ofisini.
Number ya malipo ni;
>lipa number ya (Airtel)13128282
Jina: ushauri wa maisha na Mahusiano
Tupigie/Whatsapp 0715387809

*_```Machozi Sasa basi*```_

🗣️ Ushauri &Tiba kuhusu↙️▶️Maisha▶️Mahusiano▶️uchumba&Ndoa▶️Malezi💰Gharama Tsh 20,000 & 50,000🙋MACHOZI BASICall 07153878...
04/05/2025

🗣️ Ushauri &Tiba kuhusu↙️
▶️Maisha
▶️Mahusiano
▶️uchumba&Ndoa
▶️Malezi
💰Gharama Tsh 20,000 & 50,000
🙋MACHOZI BASI
Call 0715387809

Vitu vidogo tuu kwenye hii dunia vitamfanya mwenza wako afurahie na aone kweli anapendwa kwa dhati.Tambua hapa namzungum...
15/03/2025

Vitu vidogo tuu kwenye hii dunia vitamfanya mwenza wako afurahie na aone kweli anapendwa kwa dhati.
Tambua hapa namzungumzia yule anayetambua maana ya upendo.
Kwa yule ambae hatambui maana ya upendo na anaongozwa tuu na tamaa basi hawezi kuelewa maana ya vitu vidogo.
Hebu leo hii chukua muda wako kwa ajili ya mwenza wako!
Hebu mfanye awe na amani moyoni kwa kumthamini, kumjali na kuheshimu hisia zake.
Mapenzi hayahitaji miujiza bali ni kujitoa kwa yule anayejitoa kwa ajili yako.

By Counselor Psychologist Dennis
Njoo upate ushauri na mwongozo wa kisaikolojia kuhusu maisha kwa Gharama nafuu tupigie/WhatsApp 0715387809

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ushauri_wa_mahusiano_na_maisha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Ushauri_wa_mahusiano_na_maisha:

Share