05/07/2025
SIWEZI KUMSAHAU!;;
Watu wananiambia ni kazi kumsahamu mtu uliyempenda sana.
Ni kweli lakini naamini unaweza ukiamua, k**a hauwezi kuamua basi nature itakusaidia.
Fikiria mazingira ya mtoto anapokuwa tumboni hali ya giza aliyokuwa nayo, na yeye aliizoea, aliona ni kawaida,
( usiseme hajitambui, anajitambua kwa sababu hicho tayari ni kiumbe, ila hana experience k**a uliyo nayo wewe)
Na akatoka hajawahi ona mwanga, hajawai ishi nje lakini mazingira yakamlazimisha aishi baada ya muda fulani anazoa na anakuwa comfortable kabisa, hadi kuna time anasahau kwamba aliwahi kuuishi tumboni mwa mtu.
K**a uliweza hatua hiyo , hata hii pia unaweza,
Trust me unaweza.
Karibu sanaa ndugu Gharama za ushauri ni Tsh 50,000 kwa face to face ukija ofisini. Na Tsh 20,000 kwa njia ya simu. Kwahio unachagua njia ipi ni rahisi kwako.
Gharama hizi hutatoa tena endapo ukihitaji ushauri utapewa mda wowote hadi ukikaa sawaa. Isipokuwa kw ushauri wa face to face utalipa kila ukija ofisini.
Tupigie/Whatsapp 0715387809