Naah Afya Care

Naah Afya Care �U.I.T SUGU + P.I.D
�FANGASISUGU
�Bawasili
�Vidonda Vya Tumbo
�Nguvu Za Kiume
�Tezi Dume
�Pressure,Kisukari N.k
Piga Sm/WhatsApp No:
�+255748175592

Kutokwa damu kipindi cha ujauzito ni hali hatarishi, inawezekana ni dalili ya kutaka kuharibika kwa mimba au complicatio...
24/09/2022

Kutokwa damu kipindi cha ujauzito ni hali hatarishi, inawezekana ni dalili ya kutaka kuharibika kwa mimba au complications za mimba tu. Mama aidha hutokwa damu kwa kiasi kidogo (matone) au kiasi kikubwa, haswa kipindi cha miezi 3 ya kwanza ya mimba (first trimester) mpaka miezi 3 ya mwisho( third trimester).

~ Damu inapotoka kiasi kidogo cha matone (spotting) hapo inaweza matatizo k**a ya infection au dalili ya kuharibika kwa mimba ila damu inapotoka kwa wingi hiyo inakuwa hali nyingine kabisa.

Complication nyingine zinazoweza sababisha mama kubleed damu kwa wingi ni:-

1. Kuharibika kwa mimba. Mjamzito anapotokwa damu kwa wingi yenye madonge makubwa au madogo kidogo hiyo ni ishara kubwa ya kuharibika kwa mimba.

2. Kuharibika kwa placenta(kondo) kunachangia mama kutokwa damu.

3. Yai kutungwa nje ya mji wa mimba (ectopic preganancy). Mfano mimba kutungwa kwenye mirija ya uzazi(fallopian tube) hapo nafasi ya kulea mimba na mpaka miezi 9 ni ndogo, hiyo hali inamletea mama kupata damu kwa wingi. Ndio mana Wizara ya Afya inashauri mama unapopata mimba toa taarifa kituo cha afya usisubirie ikue miezi 4-5 ndio uanze clinic.

4. Kondo(placenta) kuwa na matatizo kwenye ukuta wa uzazi.

5. Mabadiliko ya mwili yanachochewa na homoni(hormonal changes), inasababisha mama kutokwa damu matone madogo madogo (spotting).

6. Kushiriki tendo la ndoa uume akigonga kwenye mlango wa uzazi kunaweza msababisha mama kutokwa damu kidogo (matone). Mama akiona iyo hali ni vizuri kuacha kushiriki tendo la ndoa muda kwanza.

7. Maambukizi yanapompata kupitia ukeni au cervix k**a U.T.I, PID, kaswende, gonorea n.k ni rahisi kutokwa damu kipindi cha miezi 3 ya kwanza (first trimester). Mama mwenye infections anatakiwa kuwahi hospital ili kuokoa maisha yake na mtoto, infetions husababisha watoto kuzaliwa na ulemavu (kuona,kusikia n.k)

8. Mama anapofanyiwa vipimo na mkunga au daktari na kuwekea kidole ndani ya uke kunaweza msababishia kutokwa damu matone.

9. Mama anapojifungua kabla ya week 37(preterm labor) atasikia kutanuka kwa uke kunakoweza ambatana na damu, kuhara, maumivu ya mgongo na mvuto kwenye nyonga.

Muhimu:

Unapoona damu inakutoka haijalishi kidogo au nyingi, wahi hospital

Ni jambo baya sana na laku fedhehesha lakini pia kushusha muud au kupoteza hisiya pale unapo kutana na Hali K**a hyo uwe...
07/07/2022

Ni jambo baya sana na laku fedhehesha lakini pia kushusha muud au kupoteza hisiya pale unapo kutana na Hali K**a hyo uwepo na mpenz wako au mume wako, wakat wa tendo kuanatokea Hali ya harufu mbaya k**a shombo ya samak hivi kwa kweli Ina nyima Uhuru lakini pia ama na kuto jiamin kwa mwanamke na kukosa furaha yaku

Enjoi penzi na Ina weza kuku sababshia hata mume wako au mpenz wako kuku salit kutokana na kuwepo kwa Hali K**a hiyo, mwanaume huji skya Raha sana ku mkuta mwana mke msafi, mzuri Ana nukiya manukato mazur ya mafuta, mazur hata baada ya tendo hutoa asnte, lakin una kuta mume au mpenz baada ya tendo Ana Sonya

Basi Tambua kwamba kuna mamb hayapo sawa, hivyo jikague mwana mke k**a Kuna shida mahala haraka sana Chukua hatua,kabla Mambo hayaja harbika

Kwan kuendelea kukaa namna hiyo tatizo linakuwa kubwa madhara yake baadae ni makubwa Zaid, wa weza patwa na saratan ya shngo ya kizaz,au kuwa mgumba,K**a uta shindwa kutibu tatizo mapema, hasa ukiwa una tokwa na huo uchafu, ambao ndyo hutoa harufu mbaya ni hatar sana, kwa afya ya mwanamke piga SIMU katika no,hiyo hapo chini popote ulipo, tutaku fikya japo kwa Ushaur lakin pia suluhisho la kudumu,

Tupo Tanzania wale waliyoko nje ya nchi tuta wapatia Ushaur lakin kuhusu suluhisho pia utaletewa adi apo ulipo utatumiwa kupitia usafiri unao kujauko apo ulipo

+255748175592

Ni jambo laku panga naku chagua kutbu PID,mapema,uondokane na madhara baadae yaku itwa mgumbaHakuna mtu alye umbwa mgumb...
07/07/2022

Ni jambo laku panga naku chagua kutbu PID,mapema,uondokane na madhara baadae yaku itwa mgumba
Hakuna mtu alye umbwa mgumba ispo kua MARADH Yana weza kuku fanya uka itwa mgumba Sasa,kuptya bidhaa zetu,marufu K**a Tiba lishe,zita kufanya kua mpya ktk maisha yako,
Popote ulipo,k**a una ptya hii changa moto,pengne upo ktk ndoa kwa muda mrefu Sasa na umekua uki tafta mtoto paspo,matokeo yeyote
Bas ni nafac yako sasa kupg sm,Yuweze kuku saidya!??

+255748175592

Suluhisho la michirz lipo,popote ulipo,uko na hyo changamoto Tafadhi tupigye sm tuku patye ulipo tupoMkoani pia tutaku f...
07/07/2022

Suluhisho la michirz lipo,popote ulipo,uko na hyo changamoto
Tafadhi tupigye sm tuku patye ulipo tupo
Mkoani pia tutaku fikya?

+255748175592

Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya ...
13/06/2022

Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO:-

1. Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula.

2. Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo.

3. Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa.

4. Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu.

6. Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu.

7. Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
Kushindwa kupumua vizuri

K**a unasumbuliwa Nanchanga moto hizi, usiendele kuteseka suluhisho lakudumu limepatikana.

Karibu napatikana Dar es Salaam Mliman city

Kwa mawasiliano zaidi unaweza kupiga simu namba +255748175592

DAWA KIBOKO YA VIDONDA VYA TUMBO1.Inasaidia kuondoa gesi tumbon.i2.huondoa sumu zote mwilini kwenye mfumo mzma wa chakul...
13/06/2022

DAWA KIBOKO YA VIDONDA VYA TUMBO

1.Inasaidia kuondoa gesi tumbon.i

2.huondoa sumu zote mwilini kwenye mfumo mzma wa chakula hii husaidia kuboresha muonekano wa ngozi yako.

3.inasaidia kuondoa sumu mwilini na kuongeza bakteria walinz tumboni.

4.inasaidia ku ziba na kunyausha vidonda vyote kwenye tumbo.

5.inaongeza ham ya kula.

6.inazuiya kuhalisha na kutapika.

K**a unasumbuliwa na ugonjwaa huu usiendelee kuteseka njoo nikuhudumiye.

Napatikan dar-es-salaam mliman city .

Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunipigia namba +225748175592

Saw KiBOKO ya uvimbe unatibika bila upasuaji Dalili za uvimbe kwenye kizazi1. Maumivu wakati watendo la nndoa2.maumivu w...
13/06/2022

Saw KiBOKO ya uvimbe unatibika bila upasuaji

Dalili za uvimbe kwenye kizazi
1. Maumivu wakati watendo la nndoa

2.maumivu wakati wa hedhi

3.hedhi zisizo na mpangilio

4.maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi .

5.kukosa hamu ya tendo la ndoa.

6.kutokwa na uchafu wenye kiarufu mbay au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.

•usiendelee kuteseka na hili tatizo maan linanmadhala makubwa San Kam kuto pata mtot n.k

Uku kwetu Ni siku 30 tu uvimbe umekwisha karibu nikuhudumiye

Napatikan mlimani city Kwa mawasiliano zaidi nipigie namba +0748175592

Huyu dada alikua akisumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda mrefu sana, lakini Mungu ni mwema sasa amepata suluhisho.👆074...
30/05/2022

Huyu dada alikua akisumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda mrefu sana, lakini Mungu ni mwema sasa amepata suluhisho.👆0748175592

WANAWAKE WANAPENDA SANA MAPENZI SEMA WANABOREKA SANA PALE ANAPOKUTANA NA MWANAUME AMBAE HAMRISHI KISAWASAWAWanawake weng...
27/05/2022

WANAWAKE WANAPENDA SANA MAPENZI SEMA WANABOREKA SANA PALE ANAPOKUTANA NA MWANAUME AMBAE HAMRISHI KISAWASAWA

Wanawake wengi wanafurahi pale wanapoona hii hali alfajir kwa mpenzi wake anaamka anakuta jogooo amewika yaan mnara umesimama wimaaa
Usiendelee kuteseka kukaa kimyaa njoo Nikusaidie..

PACKAGE YA MFUMO WA UZAZI ITAKUSAIDIA KATIKA MAMBO YAFUATAYO 🇲🇾KWA MWANAUME
*
*
Ni maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

HII hufanya kazi zifuatazo:-*

✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu
✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume. ✅ .
PIGA +255748175592. Whatsp pia napatikana kwa ushauri na matibabu zaidi.

AmenorrheaAmenorrhea ni Hali ya mwanamke hukosa hedhi Mara moja au zaidi.Ikiwa una zaidi ya miaka 15 na hujapata hedhi y...
26/05/2022

Amenorrhea
Amenorrhea ni Hali ya mwanamke hukosa hedhi Mara moja au zaidi.

Ikiwa una zaidi ya miaka 15 na hujapata hedhi ya kwanza (primary amenorrhea)

au umekosa hedhi kwa miezi michache ( sekondari amnorrhea),

ukiona Hali hii imetokea usiache FANYA juhudi zungumza na mtoa huduma wako wa afya.
Amenorrhea mara nyingi ni ishara ya ugonjwa unaoweza kutibiwa vizuri Ukiwa katika hatua za mwanzo .
Amenorrhea
ni kipindi ambacho mwanamke hapati hedhi yake ya kila mwezi.

Inaweza kuwa ya muda mfupi au ya kudumu.

Amenorrhea inaweza kutokana na mabadiliko ya hormone au tatizo la baadhi ya sehemu ya mfumo wa uzazi wa mwanamke.

Kuna nyakati ambapo hupaswi kupata hedhi, k**a vile
kabla ya kubalehe,
wakati wa mimba
na baada ya kukoma hedhi.

Ikiwa amenorrhea hudumu kwa zaidi ya miezi mitatu, inapaswa kuchunguzwa au kumuona Dr wako ili ajue tatizo lako ni lakimaumbile au hormone au kurithi

Nipigie +225748175592

TEZI DUME NA SARATANI/KANSA YA TEZI DUME BILA UPASULIWAJI***Tiba ya ***•••TEZIDUME ••• HUSAIDIA KUPONA HARAKA KWA WALIOF...
26/05/2022

TEZI DUME NA SARATANI/KANSA YA TEZI DUME BILA UPASULIWAJI
***Tiba ya ***

•••TEZIDUME

••• HUSAIDIA KUPONA HARAKA KWA WALIOFANYIWA UPASULIWAJI WA TEZI DUME NA KUZUIA TATZO HILO KUJITUDIA

•••SARATAN/CANCER ya TEZI DUME

Note: BIDHAA hii ni ya ASILI haina MADHARA YOYOTE KWA WATUMIAJI hivyo huhimizwa kutumiwa na WANAUME WOOTE WALIO NA UMRI KUANZIA MIAKA 35+ kwaajili ya KUJIKINGA NA MARADHI YA TEZI DUME
••• KUPUNGUA KWA PRESURE/Nguvu ya kutoka Kwa Mkojo

•••HERNIA na NGIRI

•••UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

•••U.T.I SUGU Kwa WANAUME


Call/WhatsApp 0748175592

SHARE/SAMBAZA kuwasaidia WENGI WANAOTESEKA 🙏🙏

Tezi dume ni moja ya tezi ya uzazi ya kiume ambayo kila mwanaume anayo, tezi hii lipo chini ya kibofu cha mkojo na inazu...
26/05/2022

Tezi dume ni moja ya tezi ya uzazi ya kiume ambayo kila mwanaume anayo, tezi hii lipo chini ya kibofu cha mkojo na inazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.⁣⁣
⁣⁣
NOTE:⁣⁣
Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nayo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au Saratani.⁣⁣
⁣⁣
Kuna aina tatu za magonjwa yanayoahambulia tezi dume.⁣⁣

1️⃣ Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).⁣⁣
⁣⁣
2️⃣ Kukua kwa tezi dume ambayo sio Saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).⁣
⁣⁣
3️⃣ Saratani ya tezi dume.⁣⁣
⁣⁣

KAZI YA TEZI DUME⁣

Kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza manii (semen).⁣⁣
⁣⁣

VISABABISHI VYA SARATANI YA TEZI DUME⁣
⁣⁣
Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;⁣⁣
⁣⁣
▶️ Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.⁣⁣
⁣⁣
▶️ Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.⁣⁣
⁣⁣
▶️ Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).⁣⁣
⁣⁣
▶️ Kuwa na uzito uliokithiri.⁣⁣

⁣⁣
DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME.⁣⁣
⁣⁣
Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume Isiyokuwa Saratani (BPH).⁣⁣
Dalili hizo ni pamoja na; ⁣⁣
⁣⁣
🔸 Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.⁣⁣
⁣⁣
🔸 Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.⁣⁣
⁣⁣
🔸 Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa. ⁣
⁣⁣
🔸 Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.⁣⁣
⁣⁣
🔸 Kutoa mkojo au manii ⁣⁣
yaliyochanganyika na damu.⁣⁣
⁣⁣
🔸 Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a Saratani imesambaa.⁣⁣
⁣⁣
🔸 Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.⁣⁣
⁣⁣

TIBA YA SARATANI YA TEZI DUME⁣⁣

Pata Tiba lishe Zisizo na Madhara ambazo zimekuwa Msaada zaidi Kwa Tatizo hili.⁣⁣
⁣⁣
Kwa Ushauri Zaidi, Maswali na Tiba piga namba hii
0748175592

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Naah Afya Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Naah Afya Care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram