Peace Herbalist Clinic

Peace Herbalist Clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Peace Herbalist Clinic, Medical and health, 0725201050, Dar es Salaam.

Dawa ya BawasiriJe, Unajua Bawasiri/Hemorrhoids Ni Nini?Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani...
07/08/2025

Dawa ya Bawasiri
Je, Unajua Bawasiri/Hemorrhoids Ni Nini?
Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kub-
wa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe. Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita hemorrhoids
na kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles.
Tatizo la bawasiri huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50% ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 40 mpaka 50.

Nini Chanzo Cha Bawasiri?
Bawasiri kwa kiasi kikubwa huletelezwa na kuongezeka kwa mgandamizi ama presha
mara nyingi ni pale unapojikaza ili kutoa haja kubwa. Hivo bawasiri huwatokea zaidi
watu wenye matatizo ya mfumo wa umeng’enyaji mfano unapata choo kigumu, tumbo kujaa gesi, kukosa choo kwa siku kadhaa. Wanawake wenye ujauzito pia huwa kwenye hatari kubwa ya kupata bawasiri kutokana na mtoto aliye tumboni kugandamiza tumbo
la chakula na hivo kuathiri utoaji wa haja kubwa, kwa bahati nzuri bawasiri yanayosababishwa na ujauzito huanza kuisha pale tu mama anapojifungua. Watu wenye kitambi na uzito mkubwa pia wapo kwenye hatari kubwa ya kupata bawasiri kutokana na mwili
kushindwa kutengeneza nishati ya kutosha kusukuma uchafu kwenye utumbo.
Mahitaji:
(i.) Unga wa magome ya mng’ongo vijiko vya chakula vinne( 4)
(ii.) Unga wa habat soda vijiko vya chakula vinne( 4)
(iii.) Bakali hadi vijiko vya chakula vinne( 4)
(iv.) Manemane vijiko vya chakula vinne( 4)
(v.) Mafuta ya nyonyo.

Matayarisho na matumizi yake:
Changanya mng’ongo, habbat soda, bakali hadi, na Manemane kisha chemsha kwenye
maji ya lita sita, viache vichemke kwenye moto wa wastani kwa dakika 20 hadi 30, epua na uache ipoe ikiwa imefunikwa. Baada ya kupoa chuja kwa chujio au kitambaa safi ili upate maji yake tu.

Kwa matibabu na ushauri tutembelee PEACE HERBALIST CLINIC
Tunapatikana Njombe mjini mtaa wa posta tutafute kupitia namba 0742102050.

07/08/2025

Address

0725201050
Dar Es Salaam

Telephone

+255625201050

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Peace Herbalist Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram