13/12/2025
๐ด USIPUUZE DALILI ZA FIGO!
Figo zako ni injini muhimu mwilini โ zikiharibika, maisha hubadilika kabisa!
Dalili za mwanzo za matatizo ya figo huwa ni pamoja na:
โ
Kuvimba miguu, uso au macho
โ
Kukojoa mara nyingi sana au mara chache mno
โ
Mkojo kuwa na harufu kali, kuwa na povu au damu
โ
Uchovu wa mara kwa mara
โ
Kichefuchefu, kupungua hamu ya kula
โ
Maumivu ya kiuno upande wa nyuma (renal angle)
๐ USHAURI MUHIMU:
Usisubiri hali iwe mbaya! Ukiona dalili hizi, wahi kutafuta msaada wa kiafya. Matibabu ya awali yanaweza kuzuia uharibifu wa figo kabla haujaenea.
โ ๏ธ UFAHAMU KUHUSU DIALYSIS:
๐ฉธ Dialysis SI tiba ya ugonjwa wa figo, bali ni msaada wa muda kwa figo zilizoshindwa kufanya kazi.
Inachosha mwili, ina athari nyingi k**a:
โ ๏ธ Kupungua nguvu za mwili
โ ๏ธ Maambukizi ya damu
โ ๏ธ Gharama kubwa kila wiki
โ ๏ธ Kunyimwa uhuru wa maisha ya kawaida
โ ๏ธ Hatari ya kushuka kwa presha na matatizo ya moyo
Kwa nini kufika huko wakati bado unaweza kuzuia mapema?
๐ฟ MIRA WELLNESS TZ inakuletea tumaini jipya!
Tunatoa huduma bora kwa kutumia tiba asilia โ mimea, miti tiba na matunda โ zenye uwezo wa:
๐ Kusafisha figo
๐ Kuondoa sumu mwilini
๐ Kuimarisha mfumo wa mkojo
๐ Kurejesha nguvu na afya ya figo
Tiba hizi hazina madhara, hazikuumizi, na zinatibu kiini cha tatizo โ si dalili tu.
๐ Wahi sasa kwa ushauri au matibabu:
๐ Mira Wellness Tz
๐ฒ Piga/WhatsApp: 0713 622 699
๐ฉบ "Ishi Maisha Bora na yenye Afya"