Mira Wellness Tz

Mira Wellness Tz Karibu upate ushauri wa kiafya na tiba ya magonjwa yasiyo ya kuambukizwa kwa mifumo yote ya mwili.

Unadhani ni kwanini wagonjwa wa kisukari wanaongoza kwa masharti mengi ya matumizi ya vyakula?Hii ni kutokana na mahusia...
14/11/2025

Unadhani ni kwanini wagonjwa wa kisukari wanaongoza kwa masharti mengi ya matumizi ya vyakula?

Hii ni kutokana na mahusiano yaliyopo kati ya mfumo wa damu na mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na maeneo mengine k**a ubongo na kwingineko.

Sababu tano (5) zinazopelekea mtu kuzalisha sukari ni pamoja na:-

● Ulaji usiozingatia lishe bora
● Matumizi ya madawa bila kuzingatia ushauri wa wataalamu wa afya
● Kutokufanya Mazoezi
● Sababu za Kijenetic /kurithi
● na Mazingira

Hizi ni sehemu ya sababu ambazo k**a hazitazingatiwa basi ujue hutokwepa kupata ugonjwa wa kisukari

Kwa kuzingatia hilo tumekuandalia program maalum ya matibabu na ushauri ili kuondokana kabisa na tatizo la kisukari

Tunapatikana Kimara au unaweza kutupigia kwa namba 0713 622 699 Asante

*FAHAMU UGONJWA WA U.T.I , FANGASI SUGU NA MUWASHO UKENI* Fangasi Inasababishwa na jamii ya fungi anaitwa CANDIDA. Seli ...
13/11/2025

*FAHAMU UGONJWA WA U.T.I , FANGASI SUGU NA MUWASHO UKENI*

Fangasi Inasababishwa na jamii ya fungi anaitwa CANDIDA. Seli za fangasi na bacteria wazuri huishi ukeni bila tatizo lolote. Tatizo linakuja endapo ukuaji wa fangasi hawa ukeni watakuwa wengi kushinda wazuri. Basi hapo ndio inapotokea ugonjwa wa fangas na miwasho mingi.

*DALILI ZA FANGASI*

🌴. Kukojoa mara kwa mara.

🩺 Mkojo kuwa na harufu kali.

🔥. Maumivu ya misuli na tumbo hasa chini ya kitovu.

👆 Maumivu ya kiuno.

🌴. Kuwashwa sehemu za siri.

🩺 Kuhisi maumivu wakati wa kujamiiana.

💤. Kupata vidonda vya ukeni.

🩺. Kuvimba na kuwa mwekundu kwa mdomo wa inje wa uke.

🔥. Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri baada ya tendo la ndoa.

🩺. Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa mwepesi au mzito au majimaji.

🌴VISABABISHI VYA FANGASI🌴

👆. Mabadiliko ya homoni katika kipindi cha upevushwaji wa mayai kwa mwanamke kipindi cha ujauzito, utumiwaji wa uzazi, wa mpango na kukoma kwa hedhi.

Katika ukurasa huu kuna dalili za mvurugiko wa homon.

👆. Upungufu wa kinga mwilini: Mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini k**a vile mwenye kuugua kansa, ukimwi, magonjwa mbalimbali yenye kupunguza kinga ya mwili.

👆 Kukosa usingizi stress, vidonda sehemu za siri,matumizi ya antibiotics, kuweka marashi sehemu za siri.

👆. Watu wanaougua kisukari ambao hawawezi kudhibiti kwa kutumia dawa za kisukari, inakuwa kwenye damu na hicho kisukari ndiyo chakula kikuu cha hao fangasi.

Hata wanawake ambao wanapenda kula vyakula vya sukari nyingi k**a vile chocolates, soda, na vingine vyenye sukari nyingi ambavyo ni chakula cha fangasi.

👆. Mazingira ya joto hii inamaanisha nguo ambazo tunatakiwa kuvaa k**a vile chupi za cotton hasa kwa wanawake, hazihitaji joto sababu bacteria wabaya wanakuwa wengi sana na kusababisha miwasho na FANGASI

👆 Kondomu na mbegu za kiume huharibu hali ya asidi iliyopo ukeni ambayo ni ya muhimu sana maana inasaidia kukinga uke usiingiliwe na bacteria wabaya.

*MADHARA MAKUBWA YA FANGASI*

Kupatwa kwa ugonjwa wa Pelvic Inflammatory Disease (PID) maambukizi katika via za uzazi na kupelekea kuwa mgumba, ndio maana wanawake wengi ni wagumba.

*NAMNA YA KUJILINDA NA U.T.I NA FANGASI.*

💤 Kunywa maji mengi angalau glasi nane kwa siku.

💤Epuka matumizi ya pombe na kahawa.

💤. Kunywa maji kabla ya kufanya mapenzi na kojoa baada ya kufanya mapenzi.

💤 Jitawaze kuanzia mbele kwenda nyuma. (Front to Back)

💤Kata makucha marefu kwa sababu unavyokwenda chooni kujitawaza huwa baadhi ya uchafu unabaki kwenye makucha na ndio chanzo cha wanawake wengi kuwa na U.T.I inayojirudia mara kwa mara.

💤Tumia pads ukiwa kwenye period.

💤Ebuka kujipulizia pafyumu kwenye sehemu za siri.

💤 Vaa nguo za ndani za pamba na epuka nguo zilizobana sana.

🌴SULUHISHO LA WENGI🌴

Watu wengi wanapokuwa na U.T.I huenda kupewa antibiotics ambazo huenda kuua bakteria wazuri na matokeo yake baada ya muda U.T.I inarudi kwa kasi

Wasiliana nasi kwa kupiga simu 0713 622 699

SHINIKIZO LA DAMU NA ATHARI ZAKEShinikizo la damu, au hypertension, ni hali ambapo nguvu ya damu inayopitishwa kwenye mi...
13/11/2025

SHINIKIZO LA DAMU NA ATHARI ZAKE

Shinikizo la damu, au hypertension, ni hali ambapo nguvu ya damu inayopitishwa kwenye mishipa ya damu ni juu kuliko kawaida. Hali hii inaweza kuwa na changamoto nyingi na madhara makubwa endapo haitatibiwa.

Changamoto za Shinikizo la Damu:

1. Kushindwa kwa Moyo: Shinikizo la damu linaweza kufanya moyo kufanya kazi zaidi, na kusababisha kushindwa kwa moyo.

2. Magonjwa ya Moyo: Inaweza kuongeza hatari ya magonjwa k**a vile mshtuko wa moyo (heart attack) na ugonjwa wa mishipa ya moyo (coronary artery disease).

3. Kiharusi: Shinikizo la juu linaweza kusababisha kuvuja damu au kuziba kwa mishipa ya damu kwenye ubongo, na kusababisha kiharusi.

4. Magonjwa ya Figo: Inaweza kuharibu mishipa ya damu kwenye figo, na kusababisha kushindwa kwa figo.

5. Kuwepo kwa Vizuizi: Shinikizo la damu linaweza kusababisha kuziba kwa mishipa, na kuongeza hatari ya matatizo mengine.

Madhara Makubwa:

Kukak**aa kwa Mishipa: Hii inaweza kupelekea matatizo mengine ya afya k**a vile atherosclerosis.

Madhara kwa Macho: Inaweza kusababisha matatizo k**a vile retinopathy, ambayo inaathiri kuona.

Mabadiliko ya Kiwango cha Homoni: Hali hii inaweza kuathiri mfumo wa endokrini na kusababisha matatizo mengine ya kiafya.

Jitihada za Matibabu:

Ili kudhibiti shinikizo la damu, ni muhimu:

Kufanya mazoezi mara kwa mara.

Kufuatilia lishe yenye afya, ikijumuisha kupunguza sodium.

Kuacha uvutaji sigara na kupunguza matumizi ya pombe.

Kuchukua hatua za kuonana na wataalamu wa afya ili kuona namna ya kukusaidia kuondokana na tatizo la shinikizo la juu la damu

Kufanya uchunguzi wa mara kwa mara ili kufuatilia shinikizo la damu.

Kufanya jitihada hizi kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya matatizo makubwa yanayotokana na shinikizo la damu.

Karibu Tukuhudumie kuimarisha Afya yako tunapatikana Dar-es-Salaam au tupigie kwa namba 0713 0713 622 699 kwa maelezo zaidi

JE UNAHITAJI KUPONA  UVIMBE WA TEZI DUME PASIPO KUFANYIWA UPASUAJI?Ili uanze kukojoa mkojo wa moja kwa moja na unaoisha ...
13/11/2025

JE UNAHITAJI KUPONA UVIMBE WA TEZI DUME PASIPO KUFANYIWA UPASUAJI?

Ili uanze kukojoa mkojo wa moja kwa moja na unaoisha bila kujikamua na pasipo maumivu ya aina yoyote ile...

Na kuondokana na karaha ya safari za kwenda kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku...

Hivyo kuanza kulala usingizi murua kabisa.

Na hatimaye kusafiri au kwenda matembezi kwa amani pasipo kuhofia kubanwa na mkojo wa kukufanya utake kukojoa mara kwa mara...

Na k**a umechoka kila siku kuwa mdhaifu kitandani huku nguvu zako za kiume kupungua kwa kasi zaidi kulingana na athari za ukuwaji wa tezi dume,

Na k**a unakwerwa na hari ya kuvaa pampasi wakati wa kazi zako kwa kuhofia kushindwa kuzuia mkojo..

Basi vunja ukimya wasiliana nasi

Kwa Maelekezo zaidi Kuhusu Tiba iliyo wasaidia maelfu ya wanaume Ndani na Nje ya Tanzania kuondoa uvimbe wa tezi dume pasipo KUFANYIWA UPASUAJI.... Bofya hapa au Nipigie 0713 0713 622 699

VYAKULA  VINAVYOTIBU TATIZO LA HOMON IMBALANCE KWA WANAWAKE.Vichocheo vya uzazi/Homoni ni vichocheo vinavyosimamia uzazi...
13/11/2025

VYAKULA VINAVYOTIBU TATIZO LA HOMON IMBALANCE KWA WANAWAKE.

Vichocheo vya uzazi/Homoni ni vichocheo vinavyosimamia uzazi wa mwanamke, ukuzaji wa tabia za mwanamke (kwa mfano, matiti na viuno) na motisha ya kijinsia. Baadhi ya homoni kuu ni estrogeni, progesterone na testosterone.

✍🏻Kiwango chetu cha homoni za uzazi kinaweza kubadilika wakati wa hatua tofauti za ukuaji kimaisha (kwa mfano, kubalehe au ukomo wa hedhi), lakini pia zinaweza kupotea kutokana na kiwango chako cha lishe, mtindo wa maisha na kiwango cha sumu mwilini. Ukosaji wa vyakula bora na venye faida mwilini husababisha upungufu mkubwa au kuzidi kwa vichocheo hivi na kusababisha tatizo la Homonal Imbalance ambayo ina madhara kwenye uzazi wa mwanamke.

VYAKULA BORA KWA KUBALANCE HOMONI ZA UZAZI WA MWANAMKE

1️⃣Mbegu za kitani (Flax Seeds)

✍🏻Mbegu za kitani zina mafuta ya omega-3 na yana phytoestrojeni, ambayo hutokana na mimea ambayo huzalisha estrogeni na kutusaidia kutoa estrojeni ya ziada mwilini. Pia kusaidia kuboresha au kuzuia maswala mengine yanayohusiana na homoni ikiwa ni pamoja na saratani ya matiti, dalili za ugonjwa wa hedhi na ugonjwa wa mifupa.

2️⃣Samaki aina ya Salmoni

✍🏻Salmoni ni chanzo bora cha Vitamini D, vitamini ambayo hutusaidia kutengeneza homoni zetu za uzazi, na kuongeza viwango vya testosterone.

✍🏻Vitamini D ni muhimu kwa afya ya mfupa na kinga, pia. Salmoni pia ni ni chanzo cha mafuta ya omega-3, ambayo yameonyeshwa kupunguza hatari ya saratani ya matiti na saratani ya Tezi dume.

3️⃣Soya
✍🏻Soya huzalisha homoni ya testosterone na zinaweza kupunguza hatari ya saratani ya matiti. Pia zinaboresha digestion na kuongeza hamu ya tendo la ndoa na kupunguza Saratani katika homoni ya estrogen.

4️⃣Broccoli

✍🏻Broccoli ni kundi la mboga mboga ambayo huongeza glucosinolates, ambayo husaidia hukinga na kuondoa kaswende, pamoja na isothiocyanates na indole-3-carbinol (I3C) - virutubisho muhimu ambavyo huzuia saratani zinazohusiana na homoni ya estrogeni.

✍🏻Broccoli pia ni ina kiwango cha juu cha nyuzi (fibre), ambayo hutusaidia kupunguza kiwango cha juu cha homoni ya estrojeni.

5️⃣Mbegu za alizeti

✍🏻Hizi hubeba kiwango cha juu cha Vitamini E, antioxidant ambayo ni muhimu katika uzalishaji wa homoni ya estrogeni na inaweza kupunguza hatari ya saratani ya matiti.

✍🏻Pia husaidia kuongeza homoni ya progesterone.

6️⃣Viazi vitamu

✍🏻Viazi vitamu hubeba kiwango kikubwa cha Vitamini B6, vitamini ambayo husaidia kwa detoxification (kutoa sumu) kwenye ini.

✍🏻Vyakula vingine vyenye vitamini 6 ni pamoja na mchicha, spinach na nyama ya kuku wa kienyeji.

✍🏻Chakula chochote kinachosaidia kutoa sumu kwenye ini pia kinasaidia kuondoa vichocheo/homoni za uzazi zinapozidi🤝🏼🤝🏼🍎

⚠️Ukizingatia matumizi ya vyakula hivi mara kwa mara ni tiba na vitakusaidia sana. Tumia chakula k**a tiba na siyo dawa k**a chakula.

⚠️K**a utaona huwezi vyakula hivi, tupakulatia program maalum itakayokusaidia kuondokana na changamoto hii call/WhatsApp 0713 622 699 Mira Wellness Tz tutakuhudumia

SAFISHA MISHIPA YA DAMU KWA NJIA RAHISI UNAWEZA KUISHI MAISHA MAREFU KWA KUWA NA UTARATIBU WA KUSAFISHA MISHIPA YA DAMU ...
13/11/2025

SAFISHA MISHIPA YA DAMU KWA NJIA RAHISI

UNAWEZA KUISHI MAISHA MAREFU KWA KUWA NA UTARATIBU WA KUSAFISHA MISHIPA YA DAMU MARA KWA MARA

Viungo vyote ndani ya mwili au mwili wenyewe hutegemea ubora wa usambazaji wa damu mwilini.

Hivyo kuwepo kwa vikwazo vya kutoruhusu kwa usambazwaji wa damu mwilini kuna uwezekano wa kusababisha yafuatayo:

1. Kuwepo kwa upungufu wa Oxygen mwilini
2. Kutokupelekwa kwa virutubishi mbalimbali mwilini
3. Kuwepo kwa kikwazo cha uondoshwaji wa Cabon dioxide, madini na kemikali za ziada mwilini
4. Ongezeko la uchafu mwilini
5. Na uharibifu wa Viungo vya ndani vya mwili.

Dalili za kuhashiria kwa kuchafuka kwa mishipa ya damu ni pamoja na:

■. Kuumwa kichwa au kipandauso
■. Hali ya kupoteza kumbukumbu
■. Uchovu wa mara kwa mara
■. Kukosa usingizi
■. Kukosa hamu ya tendo la ndoa(KE)
■. Kukosa nguvu za kiume (ME)
■. Huoni hafifu
■. Kutokusikia vizuri
■. Shinikizo la juu la damu
■. Maumivu ya kifua na kushindwa kupumua vizuri
■. Kupauka kwa ngozi ya miguu
■. Maumivu ya misuli na maungio

Mishipa ya damu inayochafuka huweza kusababisha magonjwa k**a vile:

● Atherosclerotic-kuziba kwa mishipa ya damu Kutofanya kazi kabisa

● Cardiac Ischemia-Mishipa ya damu kuharibika kutokana na upungufu wa damu

● Kiharusi-Kuwepo kwa mtiririko mdogo wa damu kwenye ubongo

● Shinikizo la damu-Kusinyaa kwa mishipa ya damu kutokana na uchafu mwingi kwenye mishipa

● Phlebeurysm- Matatizo ya miguu,wasiwasi pia huweza kusababisha Bawasiri kwa kutanuka kwa mishipa ya vena

● Thrombosis ya ateri na vena-Damu iliyochafuka kwa muda mrefu, husababisha kuganda kwa damu, pia kufa kwa seli kwenye eneo au kiungo husika.

Kumbuka Matatizo ya mshtuko wa moyo zaidi ya 75% husababisha vifo

Matibabu ya kusafisha mishipa ya damu yanalenga:

■ Kuimarisha kwa mishipa ya damu
■ Kuondoa uchafu na sumu zilizojilimbikiza kwenye damu
■ Kuimarisha kinga ya mwili kwa kuurutubisha mwili na kujenga uwezo wa kujitegemea bila usaidizi wa dawa
■ Kurudisha uhai wa moyo na mishipa ya damu Kufanya kazi vizuri
■ Kuunganisha mfumo wa mwili na kurudisha shughuli za utendaji wa mwili sawasawa

Tunapatikana Dsm pia unaweza wasiliana nasi kwa namba 0713 622 699 tutakuhudumia

FAHAMU KUHUSU TEZI DUMETezi Dume ni Nini?Tezi dume (kwa Kiingereza: prostate gland) ni kiungo kidogo cha mfumo wa uzazi ...
13/11/2025

FAHAMU KUHUSU TEZI DUME

Tezi Dume ni Nini?

Tezi dume (kwa Kiingereza: prostate gland) ni kiungo kidogo cha mfumo wa uzazi wa mwanaume, kinachopatikana chini ya kibofu cha mkojo na kimezunguka sehemu ya juu ya mrija wa mkojo (urethra). Kazi yake kuu ni kutengeneza sehemu ya majimaji ya shahawa yanayosaidia kulisha na kusafirisha mbegu za kiume.

Chanzo cha Matatizo ya Tezi Dume

Matatizo ya tezi dume yanaweza kutokana na hali mbalimbali, k**a:

1. Kukuwa kwa tezi dume (BPH – Benign Prostatic Hyperplasia): Hali isiyo ya saratani ambapo tezi huongezeka ukubwa kadiri umri unavyoongezeka.

2. Maambukizi (Prostatitis): Hali ya kuvimba kwa tezi kutokana na bakteria au visababishi vingine.

3. Saratani ya tezi dume (Prostate cancer): Ukuaji usio wa kawaida wa seli ambao unaweza kusambaa mwilini.

Dalili za Awali za Matatizo ya Tezi Dume

Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku

Mkojo kutoka kwa shida au kudondoka

Maumivu wakati wa kukojoa

Hisia ya kibofu kutokujisikia tupu hata baada ya kukojoa

Kupungua kwa nguvu ya mtiririko wa mkojo

Damu kwenye mkojo au shahawa (mara chache)

Umri Gani Changamoto hii Huonekana?

Wanaume kuanzia umri wa miaka 40 na kuendelea huanza kukumbwa zaidi na changamoto za tezi dume.

Kuongezeka kwa umri huongeza uwezekano wa kupata BPH au saratani ya tezi dume.

Madhara ya Tezi Dume Ikiwa Haitatibiwa

Kuzuia mtiririko wa mkojo hadi kufunga kabisa

Maambukizi ya kibofu na figo

Mawe kwenye kibofu

Uharibifu wa figo kutokana na shinikizo la mkojo

Kupungua kwa nguvu za kiume au kuathiri tendo la ndoa

Je, Kuna Madhara Katika Upasuaji wa Tezi Dume?

Ndiyo, lakini mara nyingi ni nadra au hupungua kwa teknolojia ya kisasa. Madhara yanaweza kuwa:

Kutoweza kushika mkojo (incontinence) kwa muda mfupi au muda mrefu

Kupoteza uwezo wa kusimamisha uume (erectile dysfunction)

Maambukizi baada ya upasuaji

Maumivu au kutokwa damu

Matibabu ya Tezi Dume

Matibabu hutegemea hali na uzito wa tatizo:

1. Dawa:

Za kupunguza ukubwa wa tezi (k**a finasteride au dutasteride)

Za kupunguza msongamano wa mkojo (k**a tamsulosin)

2. Supplements asilia:

Virutubisho k**a saw palmetto, pygeum na beta-sitosterol vina uwezo wa hali ya juu, hasa kwa dalili za BPH. Hivyo kutohitaji matibabu mengine k**a upasuaji na matumizi ya mionzi. Haya ndo matibabu tunayopendekeza kwani ni rahisi na hayana madhara k**a nilivyohainisha yaani namba1,3 na 4 ambayo ni ghali sana.

3. Upasuaji:

TURP (Transurethral Resection of the Prostate) – aina ya kawaida ya upasuaji

Laser therapy au open surgery kwa hali kubwa zaidi

4. Matibabu ya saratani ya tezi dume:

Mionzi, chemotherapy, tiba ya homoni, au upasuaji wa kuondoa tezi yote

Hakika! Hapa kuna baadhi ya virutubisho vinavyopatikana Miralife Polyclinic ambavyo husaidia katika kulinda na kutibu matatizo ya tezi dume k**a BPH (kukuwa kwa tezi dume) au dalili za awali za saratani:

1. Prostate Relux Fit

Faida:

Hupunguza uvimbe wa tezi dume

Husaidia kukojoa kwa urahisi

Hupunguza maumivu ya nyonga na kiuno yanayohusiana na tezi

Huimarisha afya ya mfumo wa mkojo

Hupunguza usiku kuamuka mara kwa mara kukojoa

Husaidia kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume

Huongeza kinga ya mwili

Husaidia kuvimba kwa tezi

Huimarisha afya ya uzazi kwa wanaume

Imetengenezwa kwa mimea asilia

Husaidia kudhibiti dalili za BPH

Haina madhara kwa mfumo wa homoni

Viambato Muhimu:

Saw Palmetto

Epimedium Extract

Pygeum extract

Beta-Stosterol

Vitamini E na C

Pumpkin seed oil

African Plum Bark

Jinsi ya kutumia:
Dawa hutumika kwa siku 30 hadi 90 kutegemea hali ya mgonjwa.

Wasiliana nasi Call/WhatsApp 0713 622 699

13/11/2025

🩺 UMUHIMU WA KUWAHI KUTIBU MAGONJWA YA FIGO

Magonjwa ya figo ni miongoni mwa changamoto kubwa za Afya zinazoongezeka kila siku. Figo zikianza kuathirika na hazitatibiwa mapema, madhara yake ni makubwa kwa mwili mzima.

Kumbuka: Figo ndizo zinazosafisha damu, kuondoa sumu mwilini na kudhibiti maji pamoja na shinikizo la damu. Zikipata hitilafu, mwili mzima huathirika.

🚨 Kwa Nini Kuwahi Ni Muhimu?

Kuwahi kutibu huokoa maisha na huzuia figo zisiharibike kabisa.

Mtu akichelewa, figo zikishindwa kufanya kazi, hupelekwa kwenye Dialysis.

🔎 Ukweli Kuhusu Dialysis

Wengi hudhani Dialysis ni tiba ya mwisho, lakini ukweli ni kwamba:

Dialysis si suluhisho la kutibu figo, ni njia ya muda tu ya kusafisha damu.

Kazi yake kubwa ni kukusogeza mbele kidogo ili upate nafasi ya kupandikizwa figo nyingine.

Upandikizaji wa figo ni ghali sana na si kila mtu ana uwezo au upatikanaji wake.

🌿 Suluhisho Bora: Kuzuia & Kuwahi

👉 Njia salama zaidi ni kujikinga na kuanza matibabu mapema kabla figo hazijaharibika kabisa.
👉 Mira Wellness Tz tunayo programu ya tiba lishe, inayosaidia:

Kuboresha afya ya figo kwa asili bila kemikali.

Kudhibiti hali za awali zinazohatarisha figo (k**a shinikizo la damu, kisukari na sumu mwilini).

Kukuweka salama na kukuepusha kufikia hatua ya Dialysis.

📞 Wasiliana Nasi

👉 Usisubiri hadi figo zako ziwe hatarini.
👉 Tunakusaidia kuishi maisha yenye afya njema kwa tiba lishe asilia.

📍 Mira Wellness Tz
📱 0713 622 699

🟡🟠🔴 UNAJUA RANGI YA MKOJO INA MAANA GANI?Usipuuze! Mkojo unaweza kukuambia hali ya afya ya mwili wako.📍 K**a una rangi y...
13/11/2025

🟡🟠🔴 UNAJUA RANGI YA MKOJO INA MAANA GANI?

Usipuuze! Mkojo unaweza kukuambia hali ya afya ya mwili wako.

📍 K**a una rangi yoyote isiyo ya kawaida ya mkojo, usisite kuwasiliana nasi kwa ushauri na matibabu kutoka kwa wataalamu wetu wa afya.

💧 RANGI TOFAUTI ZA MKOJO NA MAANA YAKE KIAFYA:

✅ 1. Manjano nyepesi hadi ya dhahabu – "Very Good"

🔹 Hii ni hali ya kawaida ya mkojo. Inaonyesha unywaji wa maji wa kutosha na mwili uko kwenye usawa mzuri wa majimaji.

⚠️ 2. Manjano iliyokolea – “Light Dehydrated”

🔹 Inaashiria mwili kuanza kupungukiwa na maji. Anza kunywa maji zaidi mara moja.

⚠️ 3. Manjano ya dhahabu nzito – “Dehydrated”

🔹 Inaonyesha upungufu mkubwa wa maji. Inaweza pia kuashiria maambukizi madogo ya njia ya mkojo.

🧪 4. Kahawia au maji ya kunde – “Very Dehydrated”

🔴 Inaweza kuashiria matatizo ya ini au figo (k**a vile homa ya ini, cirrhosis), au upungufu mkali wa maji. Tafuta ushauri wa kitabibu mara moja.

🧬 5. Mwekundu au Pink – “Hematuria”

🔴 Huashiria uwepo wa damu kwenye mkojo. Inaweza kutokana na:

Maambukizi ya njia ya mkojo

Mawe kwenye figo

Saratani ya kibofu

Au vyakula k**a beetroot
👉 K**a una dalili nyingine k**a maumivu, wasiliana nasi mara moja.

🧫 6. Rangi ya Bluu au Kijani

🔵 Huenda imesababishwa na dawa fulani au maambukizi ya bakteria k**a Pseudomonas. Tafuta msaada wa kitaalamu iwapo haijatokana na dawa.

🟠 7. Mkojo wa rangi ya chungwa

🟠 Inaweza kuwa ishara ya:

Matatizo ya ini

Upungufu mkubwa wa maji

Athari ya dawa k**a phenazopyridine au baadhi ya vitamini

⚪ 8. Mkojo wa rangi ya maziwa / mawingu

⚪ Inaweza kuashiria:

Mafuta kwenye mkojo

Maambukizi kwenye njia ya mkojo

Protini nyingi (proteinuria) – ishara ya ugonjwa wa figo

📌 USHAURI WA WATAALAMU:

🧴 Kunywa maji ya kutosha kila siku
🩺 Fanya uchunguzi wa mkojo mara kwa mara
📞 Ukiona rangi yoyote isiyo ya kawaida – WASILIANA NASI HARAKA!

📍 Mira Wellness tz tunapatikana – Dar-es-Salaam
📞 0713 0713 622 699
💬 Tupo kwa ajili ya afya yako — “Live your best life”

market

HOMA YA INI INATIBIKA IKIGUNDULIKA MAPEMA : Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama, amewataka wananchi kuchukua tahadhari d...
13/11/2025

HOMA YA INI INATIBIKA IKIGUNDULIKA MAPEMA

: Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama, amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya homa ya ini, ikiwa ni pamoja na kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa homa hiyo, huku akisisitiza kuwa, Serikali ya Tanzania imeweka nguvu kubwa kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa huo hatari.

Waziri Mhagama ametoa kauli hiyo alipokuwa akitoa tamko la Siku ya Homa ya Ini Duniani kwa wananchi kupitia vyombo vya habari mkoani Ruvuma

“Serikali inaendelea na juhudi za utoaji wa huduma tiba na kinga dhidi ya Homa ya Ini, hivi sasa huduma za upimaji na matibabu zinatolewa kwenye Hospitali zote za Rufaa za Mikoa, Kanda na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili” Amesema Waziri Mhagama.

Amebainisha kuwa vituo vya huduma za afya kuanzia ngazi ya Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati vitaendelea na utaratibu wa kupima Homa ya Ini na kutoa rufaa kwa huduma za Homa ya hiyo, huku mipango ya serikali ikiendelea kuviwezesha vituo hivyo kutoa huduma kamili.

Waziri Mhagama amesema takwimu za utafi wa UKIMWI (THIS 2022/2023) zinaonyesha kuwa hali ya ushamiri wa Homa ya Ini ni 3.5%, kwa Homa ya Ini inayosababishwa na virusi aina ya B na 0.2% kwa virusi homa ya ini inayosababishwa na aina ya virusi C .

NB: Mira Wellness Tz tunatoa tiba ya asili ya kuponyesha kabisa ugonjwa wa Homa ya INI(hepatitis).

TUPIGIE 0713 622 699 Dar Es Salam -Tz
#

DHIBITI SUKARI KWA TIBA LISHE:🥗  Je, Tiba Lishe Inaweza Kudhibiti au Kusaidia Kisukari?Ndiyo kabisa, na tafiti zimeonyes...
13/11/2025

DHIBITI SUKARI KWA TIBA LISHE:

🥗 Je, Tiba Lishe Inaweza Kudhibiti au Kusaidia Kisukari?

Ndiyo kabisa, na tafiti zimeonyesha mabadiliko ya lishe huweza hata kuondoa dalili kwa baadhi ya watu (Type 2).

💡 Misingi ya Tiba Lishe kwa Kisukari:

✔️ Kula:

Mboga nyingi za majani (greens): Kisamvu, mchicha, brokoli, hoho.

Vyakula vyenye fiber nyingi: Mbegu (chia, flaxseed), maharagwe, dengu, kunde.

Karanga na mbegu: Almonds, karanga, maboga.

Matunda yenye glycemic index ndogo: Papai, apple, berries (siyo matunda matamu sana).

Mafuta ya afya: Mafuta ya alizeti, zeituni, parachichi.

❌ Epuka kabisa:

Sukari nyeupe, soda, keki, peremende

Wanga mweupe: wali mweupe, mikate myeupe

Chipsi, maandazi, nyama choma zenye mafuta mengi

Maziwa yenye mafuta na siagi

🔄 7. Tiba Lishe Inaweza Kuleta Nini?

Kushusha sukari taratibu bila dawa

Kupunguza uzito (ambao huchangia kisukari)

Kuimarisha seli za kongosho

Kuboresha usingizi, nguvu mwilini, hamu ya tendo la ndoa

> ⚠️ Hii haimaanishi usiendelee na dawa za hospitali — ila tiba lishe ni njia ya kusaidia mwili kupona na labda kupunguza dozi kwa muda

Wasiliana nasi Call/WhatsApp 0713 622 699

Address

Kimara Dar-es-Salaam
Dar Es Salaam
±255713622699

Telephone

+255622622699

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mira Wellness Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mira Wellness Tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram