Mariamu health consultant

Mariamu health consultant Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mariamu health consultant, Medical and health, keko juu, Dar es Salaam.

mariamu health consultant, tunausika na kutoa bidhaa mbalimbali za kiafyaa ambo humsaidia mtu mwenye shida husika kupona kwa haraka na ni bidhaa ambazo ni za asili hazina kemikali ambazo humfanya mgonjwa kupona bila kuongeza tatizo lolote

05/01/2022
02/12/2021

Punde utakapojua una dalili k**a izi wasilina kwa namba 0752567509 kwa ajiri ya msaada zaidi.

02/12/2021

Haya ni magonjwa ambayo wanawake wengi tumekuwa tunasumbuliwa mala kwa mala bila kuwa na matumaini ya kupona LAKINI ni magonjwa yanayotibika Tena kwa asilimia mia mojaa TAFADHARI wasilina kwa namba 0752567509 kwa msaada na maelekezo mengine kuusu matatizo haya

P.I.D pamoja na UTI ni magonjwa yanayotibika
02/12/2021

P.I.D pamoja na UTI ni magonjwa yanayotibika

IFAHAMU U.T.I NA TATIZO LA WANAWAKE KUWAHI KUCHOKA AU KUTOTAMANI TENDO LA NDOA0752567509UTi ni ugonjwa ambao unasumbua w...
01/12/2021

IFAHAMU U.T.I NA TATIZO LA WANAWAKE KUWAHI KUCHOKA AU KUTOTAMANI TENDO LA NDOA

0752567509

UTi ni ugonjwa ambao unasumbua watu wengi; watoto, vijana na watu wazima.

UTI (Urinary Tract Infection); ni maambukizi kwenye njia ya mkojo. ambayo chanzo chake kikubwa kipo kwenye sehemu ya haja kubwa(anus)au kwenye utumbo mpana(large intestine)kwanini imekua u.t.i?kabla ya kua u.t.i kulikua na vimelea ambavyo vinaishi katika eneo la haja kubwa ambavyo ni ulinzi wa eneo hilo,ila ukivihamisha kutoka eneo hilo nakupeleka eneo lingine haviwi ni ulinzi bali ni mashambulizi,kwa kawaida mwanamke ameumbwa na centimetre 1-4 kutoka nje kwenda ndani kwenye njia yake ya haja ndogo ila tu milango yako ipo wazi sana na ni rahisi kupata maambukizi,sasa wanawake wengi baada ya kujisaidia haja kubwa hujisafisha kutoka nyuma kwenda mbele na hapo ndipo wanapohamisha vile vimelea na vikifika njia ya mkojo vinakua ni mashambulizi na ndipo vinaitwa (urinary track infection)U.T.I.na ukishapata hivo vibacteria kwanza vinaenda kudhoofisha kinga za uke(normal flores)ambao hao nomal flores wenyewe hua wanaishi kwenye ute wa kike(lactic acid) hivyo inakua ni rahisi kupata mashambulizi ya magonjwa mbalimbali.

Ugonjwa huu hushambulia figo (kidneys); ureters; ambayo ni mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo, kibofu cha mkojo (bladder) na urethra; sehemu inayotoa mkojo toka kwenye kibofu cha mkojo hadi nje ya mwili.

AINA ZA U.T.I
A) lower U.T.I
Lower U.T.I ni hatua ya ugonjwa kushambulia maeneo ya urethra na
kibofu cha mkojo (bladder). Katika hatua hizi, mgonjwa atasikia dalili
zifuatazo:
1. Maumivu wakati wa kukojoa
2. Kujisikia kukojoa mara kwa mara lakini kutoa mkojo kidogo tu
3. Damu katika mkojo
4. Mkojo wenye rangi ya chai
5. Mkojo wenye harufu kali
6. Maumivu ya kiuno kwa wanawake
7. Maumivu ya sehemu za nyuma kwa wanaume

B) Upper U.T.I
Upper U.T.I ni maambukizi ya ndani ya figo. Hii ni hatua mbaya sana
endapo bacteria wataanza kuingia kwenye mkondo wa damu kutoka
kwenye figo – SEPSIS. Sepsis huweza kusababisha msukumo wa
damu kuwa mdogo sana (Low Blood Pressure), msh*tuko au kifo.

Dalili za upper UTI ni:
1. Maumivu ya maeneo ya juu ya mgongo
2. Homa
3. Kusikia baridi
4. Kusikia kichefuchefu
5. Kutapika

Ukiipuuza U.T.I Unaweza kupata athali kubwa sana k**a zifuatazo

1.Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure) hii ni hatari sana ,hutokana na bacteria kushambulia figo
2.Kupatwa magonjwa ya kibofu ,k**a kibofu kuziba ,kushindwa kukojoa ,hii hupelekea MTU kukojoa kwa mirija
3 .maumivu ya mgongo, kiuno na NYONGA
4.kupoteza hamu ya tendo la ndoa.nk.
5.kuharibu homon(hormon inbalance)
6.mimba kuharibika
7.kushindwa kubeba mimba

Je umekuwa ukipata U.T.I inayojirudia rudia(sugu)

KARIBU UJIPATIE TIBA piga 0752567509

Address

Keko Juu
Dar Es Salaam

Telephone

+255752567509

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mariamu health consultant posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram