Msingi wa afya

Msingi wa afya Karibu sana Tukusaidie
�Changamoto ya Uzazi, punyeto, kuwai kileleni, uume kusinyaa, uume mdogo.

DALILI ZA CHANGAMOTO YA TEZI DUMEUonapo dalili zifuatazo unaweza kuanza kuhisi una saratani ya tezi dume:1. Kukojoa mara...
09/01/2022

DALILI ZA CHANGAMOTO YA TEZI DUME
Uonapo dalili zifuatazo unaweza kuanza kuhisi una saratani ya tezi dume:
1. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
2. Kushindwa kuzuia mkojo, yaani ukichelewa kidogo unaweza kukutoka bila breki
3.Kuwahi kufika kileleni mara kwa mara
4. Maumivu wakati unakojoa
5. Kuishiwa nguvu za kiume
6. Kupungua kwa uwingi wa mbegu (low s***m count)
7. Maumivu wakati unafika kileleni
8. Damu kutokea kwenye mkojo au kwenye mbegu za kiume
9. Maumivu nyuma ya mgongo au hata nyonga

K**a umeona mojawapo ya dalili hizo chukua tahadhali mapema kwa kutumia virutubisho asilia, formula ya matunda matatu na mazoezi matatu muhimu. kwani kinga ni bora kuliko tiba. Usisubiri uharibikiwe zaidi ya hapo.

Suluhisho; Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp 0620509236 au piga simu usaidiwe mapema.

CHUNUSI  ZINATIBIKA KWA UHAKIKAChunusi huweza kusababishwa naHormonal ImbalanceAllergyAthari za vipodoziHIVYO kwa vipodo...
07/01/2022

CHUNUSI ZINATIBIKA KWA UHAKIKA

Chunusi huweza kusababishwa na
Hormonal Imbalance
Allergy
Athari za vipodozi
HIVYO kwa vipodozi tu ni ngumu kupona chunusi.

WEKA SAWA MUONEKANO WA NGOZI KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO,MAJI NA MAZOEZI MEPESI KABISA UTAFANYA UKIWA NYUMBANI KWAKO.

WASILIANA NASI KUFAHAMU AINA YA ULAJI KUENDANA NA NGOZI YAKO.

Suluhisho: Tuma ujumbe neno NGOZI kwenda WhatsApp number 0620509236 au Piga Simu usaidiwe Mapema

JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO?Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika ...
04/01/2022

JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO?

Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula ( digestive system) ambapo kitaaalam vinaweza kugawanyika katika aina NNE
1. Throat ulcers,( kwenye koromeo)
2. Gastric ulcers( tumboni))
3.Doudenal ulcers ( utumbo mwembamba
4.colon ulcers (utumbo mpana)

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Helicobacter phlory huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo( layers) na kusababisha vidonda .
Lakini pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
▪️stress's
▪️kutozingatia mda wa kula
▪️kula vyakula vyenye Acid
▪️uvutaji wa sigara
▪️unywaji wa pombe
▪️madawa ya hospitalin (Antibiotics)
Na wengi huwa wnapata maumivu makali sana baada ya kuungua vidonda vya tumbo

Suluhisho sahihi la vidonda vya tumbo Ni virutubisho asilia vyenye uwezo wa kuboresha Mfumo mzima wa tumbo, kuongeza Kinga ya mwili na kuondoa mazingira ya kuzaliana bakteria wabaya.

Tuma ujumbe neno VIDONDA kwenda WhatsApp namba 0620509236 au piga sim usaidiwe Mapema.

UTATUZI SAHIHI WA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUMEUnapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya nguvu ...
02/01/2022

UTATUZI SAHIHI WA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME

Unapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya nguvu za kiume kwani nguvu za kiume SIYO UGONJWA k**a malaria au kisukari kwamba unahitaji dawa. Kukosa nguvu za kiume inaonyesha tu kuwa mwili wako umekosa virutubisho (lishe) muhimu ya kutosha. Ukipata tu hutokaa uone shida ya nguvu za kiume. Upe mwili wako virutubisho muhimu.

Sasa kwa kawaida ili kutatua changamoto za uzazi kwa mwanaume tungeweza kutumia tu lishe ya matunda na mbogamboga na mazoezi tu k**a babu zetu wa zamani.

Hata hivyo changamoto kubwa ni kuwa vyakula vingi dunia ya leo vinaandaliwa kwa kutumia kemikali za viwandani kuanzia mbolea, dawa za kuua wadudu na za uhifadhi.

Hivyo kemikali hizo zinafanya kazi kinyume chako na kudhoofisha mifumo ya mwili wako na kufanya usiwe ba afya bora na hata usifurahie tendo la ndoa tena.

Ndiyo maana kwa kuona hilo kuna virutubisho maalumu vilivyoandaliwa kitaalamu pasipo kutumia kemikali hizo ili kuusupport mwili wako urudi sawa uwe mwenye afya imara tena na uufurahie uanaume wako katika mahusiano yako.

Tutakupa pia elimu ya ziada ya afya ili uweze kuwa balozi mzuri kwa wengine wanaohangaika kwa muda mrefu.

Follow me

Wasiliana nasi kwa kutuma neno VIRUTUBISHO kwa WhatsApp number +255 620509236 TUTAKUFIKIA.

Karibu.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Msingi wa afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Msingi wa afya:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram