Afya clinic healthy

Afya clinic healthy Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya clinic healthy, Medical and health, Dar es Salaam.

Unahitaji kipato cha ziada?Unataka kujikwamua kiuchumi bila kuacha shughuli zako za kila siku?Hii ni fursa kwa vijana k*...
10/06/2025

Unahitaji kipato cha ziada?
Unataka kujikwamua kiuchumi bila kuacha shughuli zako za kila siku?
Hii ni fursa kwa vijana k**a wewe!

Tunakuhitaji uwe wakala wa kampuni yetu – kazi rahisi unayofanya kwa kutumia smartphone yako tu na kwa muda wako wa ziada.
✅ Malipo papo kwa hapo kila unapofanikiwa kazi
✅ Bonus ya kila mwezi kwa wanaofanya vizuri
✅ Zawadi kwa wachapa kazi
✅ Unaweza kuingiza kuanzia Tzs 15,000 kwa siku ukiwa na bidii

Usajili ni Tzs 72,000 tu – na unakuwa tayari kuanza safari ya kipato endelevu.
Hii ni nafasi adimu, usikubali ikupite!

⏳ Wahi sasa wasiliana nasi mapema!
📞 0754568335

Unahitaji kipato cha ziada?Unataka kujikwamua kiuchumi bila kuacha shughuli zako za kila siku?Hii ni fursa kwa vijana k*...
10/06/2025

Unahitaji kipato cha ziada?
Unataka kujikwamua kiuchumi bila kuacha shughuli zako za kila siku?
Hii ni fursa kwa vijana k**a wewe!

Tunakuhitaji uwe wakala wa kampuni yetu – kazi rahisi unayofanya kwa kutumia smartphone yako tu na kwa muda wako wa ziada.
✅ Malipo papo kwa hapo kila unapofanikiwa kazi
✅ Bonus ya kila mwezi kwa wanaofanya vizuri
✅ Zawadi kwa wachapa kazi
✅ Unaweza kuingiza kuanzia Tzs 15,000 kwa siku ukiwa na bidii

Usajili ni Tzs 72,000 tu – na unakuwa tayari kuanza safari ya kipato endelevu.
Hii ni nafasi adimu, usikubali ikupite!

⏳ Wahi sasa wasiliana nasi mapema!
📞 0754 568335

21/05/2025
Asante kwa kurekebisha! Hapa ni toleo lililoboreshwa kwa kutumia neno mifupa badala ya nifupa:TAFAKARI:Utafiti unaonesha...
21/05/2025

Asante kwa kurekebisha! Hapa ni toleo lililoboreshwa kwa kutumia neno mifupa badala ya nifupa:

TAFAKARI:
Utafiti unaonesha kuwa 1 kati ya wanawake 3 na 1 kati ya wanaume 5 walio na umri wa zaidi ya miaka 50 hupatwa na magonjwa ya mifupa k**a Osteoporosis!
Hali hii hupelekea mifupa kuwa dhaifu na kuvunjika kirahisi.

Dalili kuu za magonjwa ya mifupa ni:

Maumivu ya mara kwa mara ya mgongo au kiuno

Kupungua kwa urefu wa mwili

Mifupa kuvunjika kirahisi hata kwa kuanguka kidogo

Uchovu wa mwili usioelezeka

Athari za kuchelewa kutibu:

Kupooza sehemu ya mwili

Kushindwa kutembea au kusimama

Kupoteza nguvu za mwili

USIPUUZE DALILI!
Tunatoa suluhisho la lishe bora kusaidia kuimarisha mifupa yako na kuzuia madhara zaidi!

Wasiliana nasi kwa namba:
📞 0754568335
📍Tunapatikana: Manzese Darajani

Afya ni msingi wa maisha – chukua hatua leo!

Ugonjwa wa MifupaTAFAKARI:Utafiti unaonesha kuwa 1 kati ya wanawake 3 na 1 kati ya wanaume 5 walio na umri wa zaidi ya m...
21/05/2025

Ugonjwa wa Mifupa

TAFAKARI:
Utafiti unaonesha kuwa 1 kati ya wanawake 3 na 1 kati ya wanaume 5 walio na umri wa zaidi ya miaka 50 hupatwa magonjwa ya mifupa k**a Osteoporosis!
Hali hii hupelekea mifupa kuwa dhaifu na kuvunjika kirahisi.

Dalili kuu za magonjwa ya mifupa ni:

Maumivu ya mara kwa mara ya mgongo au kiuno

Kupungua kwa urefu wa mwili

Mifupa kuvunjika kirahisi hata kwa kuanguka kidogo

Uchovu wa mwili usioelezeka

Athari za kuchelewa kutibu:

Kupooza sehemu ya mwili

Kushindwa kutembea au kusimama

Kupoteza nguvu za mwili

USIPUUZE DALILI!
Tunatoa suluhisho la lishe bora kusaidia kuimarisha mifupa yako na kuzuia madhara zaidi!

Wasiliana nasi kwa namba:
📞 0754568335
📍Tunapatikana: Manzese Darajani

Afya ni msingi wa maisha – chukua hatua leo!


✨ Tunakuhudumia kwa upendo na uaminifu ✨

Je una maumivu ya mifupa?TAFAKARI:Utafiti unaonesha kuwa 1 kati ya wanawake 3 na 1 kati ya wanaume 5 walio na umri wa za...
21/05/2025

Je una maumivu ya mifupa?

TAFAKARI:
Utafiti unaonesha kuwa 1 kati ya wanawake 3 na 1 kati ya wanaume 5 walio na umri wa zaidi ya miaka 50 hupatwa na magonjwa ya mifupa k**a Osteoporosis!
Hali hii hupelekea mifupa kuwa dhaifu na kuvunjika kirahisi.

Dalili kuu za magonjwa ya mifupa ni:

Maumivu ya mara kwa mara ya mgongo au kiuno

Kupungua kwa urefu wa mwili

Mifupa kuvunjika kirahisi hata kwa kuanguka kidogo

Uchovu wa mwili usioelezeka

Athari za kuchelewa kutibu:

Kupooza sehemu ya mwili

Kushindwa kutembea au kusimama

Kupoteza nguvu za mwili

USIPUUZE DALILI!
Tunatoa suluhisho la lishe bora kusaidia kuimarisha mifupa yako na kuzuia madhara zaidi!

Wasiliana nasi kwa namba:
📞 0754568335
📍Tunapatikana: Manzese Darajani

Afya ni msingi wa maisha – chukua hatua leo!


✨ Tunakuhudumia kwa upendo na uaminifu ✨

25/09/2024
wasiliana nasi kupitia simu namba0754568335
24/09/2024

wasiliana nasi kupitia simu namba
0754568335

Je , ulisha wahi kujiuliza kwanini unakosa hamu yakufanya tendo la na make wako au unafanya lakini unaishia kimoja tena ...
19/02/2024

Je , ulisha wahi kujiuliza kwanini unakosa hamu yakufanya tendo la na make wako au unafanya lakini unaishia kimoja tena kwa taabu sana

jibu lipo 0745568335

𝐌𝐈𝐆𝐔𝐔 𝐊𝐔𝐅𝐀 𝐆𝐀𝐍𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐖𝐀𝐊𝐀 𝐌𝐎𝐓𝐎 ( 𝐒𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 ,𝐔𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐓𝐢𝐛𝐚)SEHEMU YA 1 0764568335Mara nyingi unapokua na ganzi , basi ni ...
19/02/2024

𝐌𝐈𝐆𝐔𝐔 𝐊𝐔𝐅𝐀 𝐆𝐀𝐍𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐖𝐀𝐊𝐀 𝐌𝐎𝐓𝐎 ( 𝐒𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 ,𝐔𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐓𝐢𝐛𝐚)
SEHEMU YA 1
0764568335

Mara nyingi unapokua na ganzi , basi ni vigumu sana kupata hisia za mguso (Loss of sensation)
Ganzi kwenye miguu yako huweza kuwa tatizo la muda mfupi au la muda mrefu kutokana na magonjwa sugu k**a vile kisukari.
Utaanza taratibu kupoteza hisia kwenye vidole na baadae hali hii huongezeka na kuwa mbaya zaidi. Kutafuta ushauri kwa daktari kutasaidia sana kupunguza kasi ya tatizo hili na msaada zaidi

📤 DALILI ZA MIGUU KUFA GANZI NI ZIPI ?

Dalili kubwa zaidi ya kufa ganzi ni ile hali ya kutohisi mguso
Hili litaathiri swala zima la hisia za mguso na hata balance yako ya mwili , maana hautahisi eneo unaposimama dhidi ya ardhi ( foot’s position against the ground ) Unajua unaposimama unakua unamudu hiyo hali ya kusimama kwasababu unapata hisia za mguso kwamba umesimama na miguu yako imekanyaga ardhi.
Sasa ukiwa na ganzi usishangae ukaona unaanguka mara kwa mara ni kwasababu unakosa balance

Dalili zingine ni k**a vile :

Kupata hisia za k**a vile unachomwa na sindano
🕊 Miguu kukosa nguvu
🕊 Wakati mwingine muhusika atahisi vidole vyake na miguu inakua ya baridi sana

NINI HUSABABISHA GANZI KATIKA MIGUU?
Kwanza uelewe mwili wako una mishipa ya fahamu mingi sana , kuanzia kwenye vidole vyako vya miguu hadi kwenye ubongo na hurudi tena hadi kwenye vidole tena , kiufupi una mishipa ya fahamu mingi sana

K**a kuna shida yoyote kwenye mshipa wa fahamu mfano mshipa umeziba, pameumia, maambukizi ya vijidudu, au kubanwa kwa mshipa wa fahamu basi utapata ganzi kwenye mguu wako

BAADHI YA MAGONJWA /MATATIZO YANAYOWEZA KUPELEKEA UKAPATA GANZI KWENYE MIGUU NI K**A VILE :

💦 Matumizi ya mara kwa mara ya pombe
💦 Kisukari

💦 Frostbite (Kupooza - ngozi na tishu za jirani hasa vidoleni)

Magonjwa katika mishipa ya damu
Mkanda wa jeshiMadhara baada kutumia madawa fulani kwa muda mrefu
Shida katika Spinal cord
Magonjwa katika moyo

*SABABU KUU ZA MAUMIVU YA MIFUPA, MGONGO, KIUNO, MAGOTI, SHINGO, MIGUU KUVIMBA NA KUWAKA MOTO.*0754568335Sababu zipo nyi...
19/02/2024

*SABABU KUU ZA MAUMIVU YA MIFUPA, MGONGO, KIUNO, MAGOTI, SHINGO, MIGUU KUVIMBA NA KUWAKA MOTO.*
0754568335

Sababu zipo nyingi lakini hizi ni sababu kuu 👇👇;
*1.Kuwa na infection (mashambulizi ya bakteria na virusi) kwa mfano virusi vya influenza, hepatitis.*

*2. Kuwa na uzito mkubwa kwa sababu ya mafuta mengi mwilini.* Watu wenye uzito mkubwa husababisha kuwa na uvimbe kwenye viungio kitaalamu hutambulika k**a inflamation.

*3.Mfumo wa kinga mwilini (autoimmune diseases) kushambulia maeneo ya viungo na kupelekea inflamation ama kuuwa seli.*
*4.Kukusanyika kwa asidi ya uric kwenye viungo (uric acid) mara nyingi hii huathiri miguu na utahisi k**a miguu inawaka moto.* Kutokunywa maji kwa wingi kunaweza kuwa moja ya sababu ya hambo hili.
*5. Watu wengine walio hatarini ni wenye kunywa pombe, wenye maradhi ya Figo, wenye shinikizo la juu la damu (presha ya kupanda), marahi ya ini kisukari na shida kwenye tezi ya thyroid.

4.Ongezeko kubwa la uriki acidi Mwilini.

5.Kulainika na kuvunjika kwa mfupa laini (cartilage) kwenye magoti.*

6.Upungufu wa *kilainisho cha maungio (synovial fluid)* maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo.

7.Ugonjwa huu husababishwa na kuharibika kwa gegedu. *Kuvimba kwa viungo kunaweza kusababishwa na mfumo wa kinga kushambulia tishu za mwili kimakosa na kuziharibu hasa uti wa mgongo.*

10. Kuwa na majeraha.

11.Kufanya kazi ngumu kwa muda mrefu

12.Kukosa muda WA mazoezi ama kukaa Sana Kwa muda mrefu (siku nyingi).*

13.Kumung’unyika na kuvunjika kwa mifupa kutokana na ugonjwa unaojulikana k**a osteoporosis.*

14.Udhaifu wa mifupa na matege kwa sababu ya ukosefu wa madini muhimu kwenye mifupa. *Madini k**a vile Zinc, Calcium, Manganese, Magnesium, Phosphorus

Ladies hauko normal kiafya K**a unapata period kwa maumivu makali kiasi Cha kukulazimu umeze dawa za Kupunguza maumivu07...
19/02/2024

Ladies hauko normal kiafya K**a unapata period kwa maumivu makali kiasi Cha kukulazimu umeze dawa za Kupunguza maumivu
0754568335

NIMEKUWA NI KI DEAL SANA NA MAMBO YA AFYA YA UZAZI NINAONGELEA HORMONE IMBALANCE KWA WANAWAKE/WAKINA MAMA

Kuna muda Mwanamke Wenda unapitia Changamoto za maumivu makali kiasi Cha kuanza kutamani Bora usingekuwa unaingia period nikupe pole sana Zipo Sababu zinachangia Lakini leo naweza kusema Hormonal imbalance imekuwa tatizo kubwa sana hasa katika jamii yetu miongoni mwa wanawake wengi hormones zimeshindwa kuwiana mko na mvurugano wa hormons ndio maana hata mzunguko wako hujui Ni wa siku ngapi mzunguko mzuri wa Mwanamke Ni siku 28 normal

Ni kwambie tu hormones zikishindwa kuwiana yani (Hormonal imbalance) zisipo rekebishwa na kuwiana, Hufanya mwanamke kubleed damu yenye mabonge mabonge sometime k**a vinyama nyama k**a maini af nzito nyeusi kitu ambacho ni hatari kwa afya ya uzazi

Husababisha uvimbe kwenye

kizazi (faibroids,myomas, polycystic ovarian syndrome pcos na ovarian cyst. Hakuna uvimbe unaoweza kujitokeza kwenye mwili wa

Mwanamke bila kuwa na shida ya hormonal imbalance

Nipigie tuongee Afya nitakusikiliza nitakushauri vizuri zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya clinic healthy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram