Health corner international

Health corner international Pata namna Bora ya kujengaa na kuimalisha Afya Yako kwa virutubisho lishe.
AFYA�

06/02/2026

FARAJA YA KILA MWANAMKE

06/02/2026

NITAFUTE LEO

19/01/2026
16/01/2026

Ni nini?
Ni maumivu yanayotoka mgongoni wa chini, kupita makalioni, hadi pajani/shinani. Mara nyingi huambatana na ganzi, kuchoma moto au kuchomachoma mguuni.

Dalili za kawaida
• Maumivu upande mmoja wa mguu
• Ganzi au kufa ganzi
• Maumivu huongezeka ukikaa muda mrefu au kuinama
• Kushindwa kusimama/kutembea kwa muda

Sababu kuu
• Kukaa muda mrefu vibaya
• Kubeba vitu vizito vibaya
• Diski ya mgongo kubana neva
• Uzito kupita kiasi
• Mabadiliko ya homoni (hasa kwa wanawake)

13/01/2026

Wengi waliishi na bawasiri kwa miaka wakidhani haiishi…
Mpaka walipopata dozi sahihi.
🌿 Tiba inayoshughulikia chanzo, si kuficha dalili.
Chukua dozi sasa, anza maisha mapya bila maumivu.

TUPIGIE
+255744 242 860
#2026

12/01/2026
12/01/2026
12/01/2026
Zaidi ya asilimia 70 ya vifo vinavyotokea nchini na duniani husababishwa na magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo Kisukari, P...
02/07/2024

Zaidi ya asilimia 70 ya vifo vinavyotokea nchini na duniani husababishwa na magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo Kisukari, Pumu,Shinikizo la juu la damu,Kifua sugu, na Uzito uliopindukia.

Madhara ya ulaji wa sukari kupita kiasi kwenye mwiliKula sukari nyingi kunaweza kusababisha matatizo mbalimbali ya kiafy...
28/06/2024

Madhara ya ulaji wa sukari kupita kiasi kwenye mwili

Kula sukari nyingi kunaweza kusababisha matatizo mbalimbali ya kiafya, ni k**a ifuatavyo.

✅Kuongezeka uzito (obesity)
✅Kisukari-Aina-2
✅Athari kwenye moyo
✅Athari kwa meno (matatizo ya meno)
✅Athari kwenye ngozi
✅Madhara kwenye ini (Fatty ini)
✅Athari kwenye figo
✅Athari kwenye mifupa

Shoga angu naomba utege sikio yaani nisikie vema.Sasa nikwambie wewe shogaangu unaependa kamchezo yaani kamchezo kaleee ...
22/05/2024

Shoga angu naomba utege sikio yaani nisikie vema.

Sasa nikwambie wewe shogaangu unaependa kamchezo yaani kamchezo kaleee ka wakubwa.😋

Ndio kale ukiwa na baba chanja afu akakunyima kitu unaumia sanaa kwann ajakupa kitu.😁

Basi bhna kitu unapenda sanaa lakini shida yako ni wewe na P2 yaani kila baba chanja akirudii kazi ni moja tuu.😔

Ni mchezo bila ata ya brake mpka shununu inawaka motoo🤗 lakini shida kubwa ni apo kwenye siku zakoo😳

Kila babachanja akimqliza kazi kwenda kununua p2 na kuzibugia k**a panador🥹

NISIKILIZE VIZURII...

Izo p2 hazina msaada zaidi ya kuua kile ulichobarikiwa na Mungu.

Kitalam P2 inatakiwa kwa mwaka utumie mala 2 tu.😊🙌🏾

Basi leo naomba upate somo namna gani unaweza control siku zako na kuishi kwa amani na baba chanja.😁

Namna pekee unayoweza kuepukana na matumizi ya P2 ni kujua lini ufanye nn na lini uwe makini yaani upumzishe Shununu yako.

Basi k**a wewe unaenda siku 30-14=16 hii 16 ndio siku yako ya hatarii yaani apo ukigusa imenasa😁

Na namna unaweza kujua siku za hatari ni unachukua 16-3siku=12 siku yaani siku ya 12 ndo unaanza kuingia danger.🔥

Kisha baada ya apo chukua tena 16 + 3siku = yaani 20 yani siku ya 20 apo ndio danger zinaisha😁 sasa shununu ichekee

Najua utakua umependa somo la leo 😁k**a umejifunza kitu pls sema chchote nami ntakujibu.😋

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health corner international posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Health corner international:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram