Mo Health Care - Bf Suma

Mo Health Care - Bf Suma This page is About Food Supplements
which Cure and Treat Human Diseases

*MAAJABU YA HII BIDHAA MPYA NDANI YA MASAA 24 TU**NMN DUO RELEASE* Hii ni bidhaa mpya ya BF SUMA yenye faida zifuatazo.👇...
17/10/2024

*MAAJABU YA HII BIDHAA MPYA NDANI YA MASAA 24 TU*

*NMN DUO RELEASE*

Hii ni bidhaa mpya ya BF SUMA yenye faida zifuatazo.👇👇

● Inadumisha, kuboresha na kuimarisha DNA, ndani ya masaa 24
● Inaongeza na kuboresha nguvu katika seli, ndani ya dakika 30
● Ina ufanisi kwa kupambana na uzee (anti-aging)
● Inaipa akili afya, kuifurahisha na kuifanya iwe zalishaji muda wote
● Inalinda macho dhidi ya maradhi mbali mbali
● Inakulinda dhidi ya magonjwa ya moyo, mishipa ya damu na ubongo ( cordiovascular diseases, anorcerebrovascular diseases)
● Inawezesha uzalishaji wa kapilari mwilini
● Inang'arisha ngozi na kuipa unyevu angavu muda wote.

✨️✨️✨️
Kwa kukidhi matumizi ya dual - layer tablet katika uzalishaji , faida kuu imetazamiwa , Rangi ya pink inawakilisha uharaka wa safu( layer ) kuachilia , Ambayo inawezesha utolewaji wa virutubisho vya molecules ndani ya dakika 30 za kumeza, kwa haraka inaongeza NDA+ kwa kuboresha wango cha nguvu. Kwa upande mwingine, white layer (safu nyeupe) inanufaisha ustahimilivu endelevu wa safu kutoa virutubisho, ikipelekea mfumo wa taratibu wa kutolewa kwa virutubisho vya molecules zaidi ya masaa 24 kuinua kiwango cha NDA+

✨️✨️✨️
Jitahidi ujipatie bidhaa hii kwa matumizi tajwa hapo juu, hii si ya kukosa

✨️✨️✨️
*KARIBU UIPATE BADO ZIPO CHACHE NA UTAIPATA KWA BEI YA PUNGUZO*
Call or WhatsApp
+255 719 981 100/ +255 742 334 844

16/09/2024

🩸*BRIGHT FUTURE CLINIC*
*MABINGWA PEKEE WA TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO BILA UPASUAJI*🩸 *.(Imethibitishwa na TMDA na TBS)*

🩸Watanzania wengi wanahangaika kutafuta suruhisho la kudumu juu ya changamoto ya maumivu ya
🦿Mgongo,
🦿Kiuno pamoja na
🦿 Magoti
🦵Kupungukiwa uteute pamoja
🦵Kusagika kwa Mifupa na Pingili za Mgongo.
🩸Wengi wao hushauriwa kufanyiwa upasuaji kitu kinachopelekea wengi kuogopa na kukaa bila kupata matibabu kwasababu ya kuogopa madhara ya upasuaji na wengine kushindwa kwasababu ya gharama kubwa za upasuaji.
🩸Taarifa njema kwa Watanzania K**a wewe ni mhanga wa matatizo umeshindwa kupata matibabu kwasababu ya gharama za upasuaji au kukwepa madhara ya upasuaji.
🩸Tunakuletea suruhisho la kudumu Bila ya operation na kwa gharama ndogo . Tunapatikana Dar es Salam, kwa walio Mikowani Huduma mtapata Kupitia Mawakala Wetu Mtapewa Msaada wa Karibu.

K**a unahitaji matibabu Bila Upasuaji, Au ndugu, Jamaa, au Rafiki Anatatizo hili kwa muda mrefu tupigie Au WhatsApp Namba
👉+255 719 981 100
👉 +255 742 334 844

05/03/2022

*NMN* limetokana na muunganiko wa organic compounds ambazo zinapatikana katika vyakula mbalimbali,likiwa na kirefu cha
*NICOTINAMIDE MONONUCLEOTIDE* ambazo zimegawanyika katika makundi makuu matatu:-
1. Nitrogenous
2. Sugar
3. Phosphate group

Miongoni mwa vyakula vyakula ambavyo vimebeba NMN ni K**a vile tango,kabeji,parachichi na nyanya.

Zifuatazo ni kazi kuu ambazo bidhaa hii inafanya katika mwili.

*A. INACHELEWESHA UZEE* Bidhaa hii inachelewesha kuzeeka kwa sababu anapotumia mtu inaenda kusaidia kuongeza (N.A.D )ambayo ndio inayofanya kazi ya kuzuia magonjwa yatokanayo na uzee au umri.

*NAD=*
•inasaidia kuongeza uwezo wa cell za ubongo kufanya kazi vizuri
•inazuia magonjwa ya figo
•inazuia magonjwa ya ini (hepatitis B nk
•inaimarisha misuli
•inaongez kinga ya mwili
•inaboresha na kuzuia magonjwa ya mfumo wa uzazi k**a saratani,kuvimba kwa tezi dume nk
•inazuia na kutibu sukari na kuimarisha kongosho
Inaboresha cell za mafuta mazuri adipose tissue
•inasaidia kuzia na kupambana na magonjwa ya moyo.

+255 742 344 844

*KIBOKO YA NGOZI WALIO ATHIRIKA NA CREAM MUWASHO,MAKOVU SUGU*🙍🏽🙍🏽🙍🏽MATATIZO YA NGOZI KWA WANAWAKE👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰 Wanawake w...
15/07/2021

*KIBOKO YA NGOZI WALIO ATHIRIKA NA CREAM MUWASHO,MAKOVU SUGU*
🙍🏽🙍🏽🙍🏽MATATIZO YA NGOZI KWA WANAWAKE👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰 Wanawake wengi wamekua wakihangaika na matatizo mbalimbali ya ngozi,k**a vile; .
➡Chunusi sugu usoni na mgongoni.
➡Mabaka,makovu upele na harara
➡ngozi kuwa kavu na inayotoa jasho sana.
➡ngozi iliyoungua kutokana na matumizi ya vipodozi .
➡Kukosa unyevu katika ngozi .
➡Madoa meusi yasiyoisha(black heads)
➡Makunyanzi na ngozi iliyozeeka

Kwa kawaida ngozi ya mwanamke tofauti na mwanaume,inatakiwa kuwa laini, nyororo na isiyo na madoa wala ukavu...hii ni kutokana na uwepo wa hormone ya oestrogen inayozalisha vichocheo kwa ajili ya ngozi nzuri

Tatizo la ngozi hutokea pale tunapokutana na changamoto za kawaida katika maisha ya kila siku k**a vile vyakula,matumizi ya vipodozi na mtindo wa maisha kwa ujumla...tatizo huwa haliishi kwa sababu hutibiwa nje tuu sehemu inayoonekana,na sio chanzo cha tatizo yaani ndani, .
🍇🍇SULUHISHO NI FEMINERGY🍇🍇 FEMINERGY ni bidhaa maalum iliyotengenezwa kwa mimea asilia ya zabibu kwa ajili ya mwanamke yoyote na huanza kutibu tatizo kuanzia ndani mpaka nje,feminergy; .
➡Hutibu tatizo la chunusi usoni kuanzia ndani mpaka nje .
➡Huondoa madhara yatokanayo na uzee(anti aging) .
➡Huondoa madoa meusi na mabaka usoni
➡Hulainisha ngozi iliyokosa moisture na kurudisha hali ya kawaida .
➡Hutibu ngozi iliyoathirika na matumizi ya vipodozi .
➡Huondoa harara na upele na harufu mbaya.
➡ni nzuri kwa wanawake wenye tatizo la kukosa hisia za mapenzi

Pendeza kiasilia pasipo madhara kwa ngozi yako!

Call/WhatsApp/text
+255 742 334 844
+255 719 981 100
Jiunge na group langu WhatsApp ili Ujifunze kuepukana na magonjwa mbalimbali gusa link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/FTs6m9FHkZW66IpaE8IhRm

02/06/2021

✍️ZiJUE DALILI ZA KUISHIWA DAMU MWILINI

Dalili kuu ni kuhisi umechoka na mwili kutokuwa sawa muda mwingi.

✍️ Zifuatazo ni dalili za upungufu wa damu (anemia)

1.Mwili kukosa nguvu na uchovu wa mara kwa mara

2.Mapigo ya moyo kubadilika badilika na moyo kwenda mbio sana

3.Kupumua kwa shida na stamina kupungua

4.Maumivu ya kifua

5.Kusinzia sana na mwili kutokuwa sawa

6.Mikono kuwa ya baridi na

7.Kupata maumivu ya kichwa

✍️Muhimu kufahamu ni kwamba anemia huanza taratibu bila kuonesha dalili zozote lakini tatizo huwa linazidi kuwa kubwa kadiri muda unavoenda na hasa pale ikiwa kuna vitu hatarishi zaidi ya kimoja vinavyopelekea anemia.

✍️Kuna sababu kuu tatu za kwanini umepata anemia (upungufu wa seli nyekundu za damu) ambazo ni mwili kutotengeneza seli nyekundu za kutosha, kupoteza damu nyingi kwenye ajali na mwili wenyewe kupambana na seli nyekundu za damu.

✍️Hapa chini ni mazingira na vihatarishi vinavyopelekea anemia

1.Upungufu wa madini ya chuma au Vitamin B12. Hii inaweza kukutokea endapo unaaacha kula baadhi ya chakula, au kwa watu wasiokula kabisa nyama na mazao ya wanyama. Mwili unahitaji zaidi madini ya chuma na Vitamin B12 ili kutengeneza chembechembe za hemoglobin.

2.Wanawake wapo kwenye hatari zaidi ya kupata upungufu wa damu kuliko wanaume kutokanana kupoteza damu nyingi kipindi cha hedhi.

3.Wazee na wenye umri mkubwa. Tafiti zinasema kwamba watu wenye umri zaidi ya miaka 65 wapo kweye hatari zaidi ya kupata upungufu wa damu.

4.Wajawazito

5.Ukuaji wa fangasi wa candida kupita kiasi hupunguza uwepo wa mwili kufyonza Vitamins.

6.Magonjwa ya autoimmune ambapo kinga ya mwili inashambulia seli za mwili, saratani, Ukimwi, Figo

7.Matatizo kwenye mfumo wa chakula yanayopelekea uchakataji wa chakula kuvurugika na mwili kushindwa kuvyonza madini na vitamin za kutosha.

8.Kumeza vidonge mara kwa mara mfano vidonge vya kupunguza maumivu hasa asprin.

Usisahau kulike page yangu na kushare na wengine

*KUTOPATA CHOO KWA WAKATI NI CHANZO CHA SARATANI YA UTUMBO NA BAWASIRI*_________________________________________________...
17/05/2021

*KUTOPATA CHOO KWA WAKATI NI CHANZO CHA SARATANI YA UTUMBO NA BAWASIRI*
__________________________________________________
Mtu husemekana kua na tatizo la Constipation endapo tu atakua na mambo yafuatayo mawili au zaidi ya mawili kwa muda wa miezi miwili:
🔷Kujikakamua kwa nguvu sana wakati wa kujisaidia haja kubwa
🔷Kupata choo kigumu sana mara kwa mara kinachoambatana na damudamu.
🔷Kutokumaliza haja mara nyingi (yaani ukijisaidia choo hakitoki chote, unahisi bado kimebaki ndani lakini ukikisukuma hakitoki).
🔷Kupata choo kidogo na kigumu tena mara moja au mbili kwa wiki.
🔷Choo kua na damu
🔷Mgongo na kiuno kukaza (back pains).

SABABU ZA TATIZO LA CONSTIPATION:
🔷Kutokunywa maji ya kutosha kwa siku.
🔷Kutokutumia vyakua aina ya
kambakamba (fibers).
🔷Kutokupata mlo kamili,
🔷Kukaa au kusafiri umbali mrefu mara kwa mara.
🔷Kutokufanya mazoezi au kazi za mwili(kazi za kutumia nguvu).
🔷Utumiaji wa vyakula vya makopo au viwandani mara kwa mara (vyakula vya kusindika).
🔷Msongo wa mawazo.
🔷Kujizuia kwenda haja kubwa (kujisaidia) , ambapo unaweza sababisha tatizo lingine hatari sana linaitwa (Hemmorhoids) bawasiri( uvimbe katika njia ya haja kubwa).
🔷Upungufu wa homoni (Hypothyroidism) mara nyingi kwa watu wazima.
🔷Utumiaji wa Vilainishi vya haja kubwa (Stool softeners) kwa muda mrefu.
🔷Matatizo ya mfumo wa usambazaji taarifa mwilini (Neurological conditions) k**a vile mwili kutetemeka (parkinson's Disease) ,hasa kwa wazee na wanyanyua vyuma au wapiiganaji.
🔷Utumiaji kwa wingi dawa za kupunguza acid au gesi tumboni zenye Calcium au Aluminium.
🔷Mimba (kwa wanawake wajawazito).
🔷Kansa ya Utumbo mpana (Colon Cancer).
WhatsApp call or text
+255 742 334 844
+255 719 981 100
Au Kwa Ushauri zaidi Jiunge na group langu la WhatsApp Ili kujifunza zaidi 👇👇.
https://chat.whatsapp.com/FTs6m9FHkZW66IpaE8IhRm

💥💥 TUJIFUNZE  MADHARA  YA  MATUMIZI  YA  KISASA  YA  NJIA  ZA  UZAZI  WA  MPANGO 💥💥🌹A)MADHARA YA SINDANO ZA KUZIA MIMBA(...
16/02/2021

💥💥 TUJIFUNZE MADHARA YA MATUMIZI YA KISASA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO 💥💥

🌹A)MADHARA YA SINDANO ZA KUZIA MIMBA

(1) Usumbufu wa hedhi
(2) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(3) Kizunguzungu
(4) Kichefuchefu
(5) Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
(6) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
(7) Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi

🌹B)MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA

(1) Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha ma uvimbe
(2) Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
(3) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(4) Kupata kichefuchefu
(5) Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
(6) Kubadilisha mwenendo wa damu
(7) Kuliathiri ini kidogo kidogo
(8) Kupata kisukari
(9) Kupata ugonjwa wa moyo
(10) Kupooza upande mmoja wa mwili.
(11) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

🌹C)MADHARA YA KITANZI

(1) Utokaji ovyo wa damu
(2)Kutoboka fuko la uzazi
(3) Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
(4) Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
(5) Kuondoa hamu tendo la ndoa

🌹D)MADHARA YA KIJITI

(1) Husababisha kansa
(2) Huchanganyikiwa (Akili huvurugika)
(3) Shinikizo la damu
(4) Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
(5) Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
(6) Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa

🌻CHUKUA TAHADHARI EWE MWANAMKE UNAATHIRIKA BILA KUJUA

👇👇
Madawa haya yanasababisha ugumba na matatizo Mengi katika mfumo wako wa uzazi,,

🌹 Kwa Upendo kabisa Tutakufundisha namna ya Kutumia kalenda na k**a Mzunguko wako hauko sawa Tunazo Tiba Lishe za Kuondoa Tatizo hilo ili Uanze Kutumia Kalenda

🌹Kwa wanaume wario hathirika na punyeto Pia tunazo Tiba Lishe/Virutubisho lishe Vya Kurejesha Mfumo Wako, Kufanya Kuwa mwenye kujiamini

🔷 Kwa Wale Wote Ambao Tayari Wameshaathirika na matumizi haya

🌻Yawezekana nzunguko wako umebadilika

💥Unapata maumivu chini ya kitofu

🌻Unapata maumivu wakati wa tend oo

🌻Unapata hedhi ndefu

🌻Haupati kabisaa na hauna mimba,,

Na dalili nyingine 👆👆👆 hizo,


💥Tuna tiba za uzazi
👉Tuna Bidhaa Zisizo Na Athari Za Kikemukali yaani TIBA LISHE🍉🍍🍇virutubisho Lishe

💥 Za Kutibu maradhi sugu na kurekebisha matatizo yote ya Uzazi,, na Maradhi Mengine Mengi.
Yote nk

DAR ES SALAAM

💥TUNAPATIKANA

✅MLIMANI
_CITY
✅KINONDONI
MANYANYA
Wasiliana Nasi kwa WhatsApp, call or text
+255 742 334 844
+255 719 981 100

WHATSAPP, CALL OR TEXT0719 981 100 / 0742 334 844HII NI KWA WANAWAKE TU,: Wengi husumbuliwa na magonjwa k**a:- 1⃣Harufu ...
28/05/2020

WHATSAPP, CALL OR TEXT
0719 981 100 / 0742 334 844

HII NI KWA WANAWAKE TU,:
Wengi husumbuliwa na magonjwa k**a:-

1⃣Harufu mbaya ukeni
2⃣U.T.I sugu ambayo hujirudia mara Kwa mara hata baada ya kutumia dawa
3⃣Fangasi
4⃣Kuwashwa ukeni na kutokewa na madonda
5⃣Miirija ya uzazi kujaa maji
6⃣Ukekulegea
7⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
8⃣Kutokwa na uchafu ukeni

*Hii_ni_kwa_sababu_wanawake_hupitia_vipindi_vitano_vya_maumbile,
Vipindi hivyo ni;
>Kuvunja ungo
>Tendo la ndoa
>Ujauzito
>Uzazi na
>Kukoma hedhi

katika vipindi vyote hivi vitano k**a hutakuwa makini na usafi wa uke wako lazima magonjwa hayo yatakushambulia.

*Tunayo_tiba_mbadala_ya_kuweza_kutatua_matatizo_hayo ambayo itapambana na hali ya;
kuwashwa uke,
>Uke_kutoa_harufu
>UTI sugu,
>Fangasi sugu,
>Kuta za uke kulegea,
>Mirija ya uzazi kuziba,
>Harufu mbaya inayotoka ukeni na
>Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

TIBA
Tuna Kirutubisho Bora maalumu iliyotengenezwa na madini yapatikanayo magharibi mwa ziwa la chumvi lililopo magharibi mwa nchi ya Marekani inayoua bacteria wasio hitajika ukeni, ambayo hupambana na maradhi ya ukeni.

*KWA_MAWASILIANO pamoja na ushauri juu ya namna ya kuipata tupigie/WhatsApp 0719 981 100

*Afya yako Jukumuletu piga....0742 334 844

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255719981100

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mo Health Care - Bf Suma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram