Afya ya mifupa

Afya ya mifupa Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ya mifupa, Medical and health, Dar es Salaam.

Moja ya changamoto kubwa inayosumbua watu katika jamii Ni maumivu makali ya viungo na mifupa Na nimekutana na watu wengi...
01/04/2023

Moja ya changamoto kubwa inayosumbua watu katika jamii Ni maumivu makali ya viungo na mifupa

Na nimekutana na watu wengi ambao wamehangaika Ma HOSPITALINI bila kupata nafuu na mpaka wengine kufanyiwa upasuaji na kuwekewa vyuma ila still Bado wana PITIA maumivu makali ya viungo na mifupa

Sababu kubwa ya changamoto hizi za maumivu ya viungo ni

Upungufu wa UTE UTE (synovial fluids) na kulika kwa GEGEDU (cartilages) hivyo hupelekea maungio kuwa Makavu na kuongeza msuguano katika maungio na kupelekea maumivu makali sana ya viungo

MAGOTI
KIUNO
UTI WA MGONGO
MABEGA

SABABU NYENGINE ZA ZIADA
-kukaa sana chini Muda mrefu /hasa wafanya kazi mahofisini/Madereva wa masafa

-AJALI
-UMRI kuwa mkubwa sana kupelekea kuathiri virutubisho vya kuzalisha UTE UTE MWILINI kupungua

SULUHU ya changamoto hii Ya maumivu makali ya viungo na mifupa tunayo kwa Tiba mbadala asili na unapona bila kufanyiwa upasuaji 100%

Kwa msaada wa Karibu zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo:-

0675187707 (WhatsApp/normal call)

Pia tunatoa elimu bure juu mifupa na viungo kwa group la WhatsApp kujiunga gusa link hii
👇🏿

https://chat.whatsapp.com/HTdPIDPfzrn7QISPWh6voO

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya mifupa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share