Afya Secrets

Afya Secrets AFYA/UZAZI/USHAURI/TIBA
SAID MASESA
Health Consultant, Advisor and Distributor from BF SUMA0620661412

Jinsi Ya kupona UTI Sugu Ndani Ya Siku 7 Tu...!Je Umekuwa Ukisumbuliwa Na UTI Za Mara Kwa MaraJe Umekuwa Ukitumia Kila D...
20/09/2024

Jinsi Ya kupona UTI Sugu Ndani Ya Siku 7 Tu...!

Je Umekuwa Ukisumbuliwa Na UTI Za Mara Kwa Mara
Je Umekuwa Ukitumia Kila Dawa Lakini Bado Inajirudia?
Nipe Dakika 5 Nikupe Story Hii...

Nakumbuka Ilikuwa Mida Ya Saa 6 Mchana Nikiwa Mimi Na Rafiki Yangu Max Tukiwa Pale Amana Hospital Jijini Dar Es Salaam Tulivyoenda Kusalimia Wagonjwa.
Kuna Mdada Alikuwa Amekaa Peke Yake Pale Kwenye Benchi Ndipo Nikamfuata Na Kuanza Kupiga Nae Story. Ilikuwa Hivi...
Mimi: Mambo Best
Mdada: Poa Habari Yako?
Mimi: Safi Na Salama, Hofu kwako
Mdada: Mimi Pia Mzima, Karibu
Mimi : Asante, Mbona Umekaa Peke Yako Una Mgonjwa Huko Ndani Au?
Mdada: Hapana Ni Mimi Mwenyewe.
Mimi: Una Changamoto Gani?
Mdada: Yani Kaka Nina Sumbuliwa Na UTI Mwezi Wa 7 Huu.

Basi Tulizungumza Mengine Na Nilizidi Kumdadisi Kwanini Haponi UTI Yake?
Nilikuja Kugundua Kuwa Kwanza Ni Kutokana Na Dawa Anazotumia. Iko Hivi...
Kuna Bidhaa Ambazo Hupambana Na Tatizo Tu Na Sio Kupambana Na Chanzo Cha Tatizo Na Hizi Wengi Ndio Hukukutana Nazo Mitaani. Sasa Ili Upone Changamoto Yako Hutakiwi Kutumia Bidhaa Hizi Kwa Sababu Kinachofanyika Ni Kupumbuza Au Kupunguza Makali Ya Bakteria Tu Na Sio Kuwatokomeza Kabisa Na Ndomana Ukiacha Kutumia Dawa Kwa Muda Waanza Upya Na Kuzaliana Tena Ili Kukutafuna Upya Na Hurudi Kwa Kasi Ya 5G. Sasa Ili Upone Unapaswa Kutumia Bidhaa Ambayo Hupambana Na Chanzo Au Mzizi Wa Tatizo Na Sio Tatizo Tu.

Sababu Ya Pili Ni Kwamba K**a Hujui UTI Yako Imesababishwa Na Nini Basi Huwezi Kupona Hata Utumie Dawa Za Bilioni Moja Hutopona Ng'oo.

Tatu. Kutokujua Maelezo Au Maelekezo Ya Aliekupatia Dawa, Yaani Akakwambia Fanya Hivi Lakini Wewe Unafanya Tofauti, Usifanye Hivi Lakini Wewe Unafanya. Iko Hivi... Dawa Ina Asilimia Zake Za Kukuponya Na Wewe Una Asilimia Kadhaa Za Kufanya Ili Ikuponyeshe.
Ukifanya K**a Inavyotakiwa Basi UTI kwako Itakuwa Ni Historia.

Mpaka Sasa Mdada Yule Anaendelea Vizuri Na Ananishukuru Kwa Ile Bidhaa Niliyompatia Na Amekuwa Anikiunganisha Na Wanawake Wengine Wenye Changamoto K**a Zake...
Na Kwa Hilo Nafurahi Kuwafanya Wanawake Wawe Na Afya Njema Kwa Kuwapitisha Kwenye Daraja Kutoka Kwenye Maumivu Kuja Kwenye Furaha

By The Way Niko Nawasaidia Wanawake Wengine Kuondokana Na UTI Za Mara Kwa Mara. Kutokana Na Tuzo Za Safari Ndani Ya Taasisi Yetu Basi Niko Na Ofa Kwa Ajili Yako Wewe Mwanamke. Niko Na Bidhaa Kwa Ajili Yako. Leo Sitokuuzia Kwa 70,000 Tena Bali Utaipata Kwa 55000 Tu.

K**a Ukiwa Mteja Wa Kwanza Nitakupatia Na Sabuni Moja Bure Kabisa Ili Kuifanya Ngozi Yako Kuwa Nyororo, Kuondoa Makunyanzi, Mapele Chunusi Na Harara.
Nitakupa Mbinu Za Kuepuka UTI
Nitakwambia Ni Vitu Gani Ufanye Na Vipi Usifanye Ili UTI Ikuogope Kabisa.

Ofa Hii Sihitaji Wanawake Wengi Kuipata Bali Nitahitaji Wanawake 10 Tu.
Ofa Hii Itadumu Ndani Ya Siku Moja Tu Yaani Masaa 24 Sawa Na Dakika 1440 Tu. Usipopata Ndani Ya Muda Huo Sahau Kuipata Tena Kwa 55000 Milele.
Masaa 24 Tu
Wanawake 10 Tu
Baada Ya Muda Huo Bidhaa Utaipata Kwa 70,000 Na Sabuni Utaipata Kwa 15000.

Tuma Neno OFA YA UTI Kwenda Namba +255620661412
Au Gusa Link Kuja WhatsApp Moja Kwa Moja
👇👇👇👇
wa.me/255620661412
👆👆👆👆

Simu/Ujumbe +(255) 620 661 412

*âś…âś…ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI)* âś…âś…      ( PRODUCT FROM USA)               0% chemical-Ni sabuni ya  mit...
05/09/2024

*âś…âś…ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI)* âś…âś…
( PRODUCT FROM USA)
0% chemical
-Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa na viambata asili k**a ifuatavyo.

*INGREDIENTS(VIAMBATA)*
1. Wild honey..( asali mwitu)
2. Green tea ...(mchai chai)
3. Grape fruit..(mbegu za mzabibu)

*KAZI MUHIMU*
1. Hupamabana na uzee
na kuondoa makunyanzi
2. Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na kuonekana nadhifu
3. Huondoa mapunye, chunusi na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi
4. Inafuta uchafu uliopo ndani ya ngozi na uchafu unaosababisha chunusi pamoja na vipele
5. Inaondoa madoa/makovu kwenye ngozi
6.Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hvyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo
7. Inazibua njia za jasho kwenye vinyoleo hvyo kuthibiti tatizo la harufu mbaya mwilini
8. Inatibu vidonda vya kuungua, jeraha pamoja na vidonda vya kisukari
9. Inatumika k**a mafuta ya kupaka pia
10. Inatunza ngozi ya mtoto.

09/06/2024

Jipatie Sabuni isiyokuwa na kemikali ya aina yoyote kwa sababu imetengenezwa kwa viambata k**a, asali ya nyuki, michaichai, zabibu, linda n.k. Uzuri ni kwamba inapatikana Mikoani kote.

Inapatikana kwa bei ya 10,000/= Tshs.

Tupigie kwa namba hapo kwenye Tangazo au bonyeza hapo chini kuja WhatsApp

Bonyeza👇👇 WhatsApp
wa.me/255620661412
Bonyeza👆👆 WhatsApp

Kumbuka bei ni 10,000/= Tshs.

17/10/2023
*FAIDA ZA NMN* 1. Huzuia na kukinga kiharusi.2. Kuvunja vunja sukari iliyozidi mwilini.3. Huteyusha mafuta yaliyozidi mw...
26/08/2022

*FAIDA ZA NMN*
1. Huzuia na kukinga kiharusi.
2. Kuvunja vunja sukari iliyozidi mwilini.
3. Huteyusha mafuta yaliyozidi mwilini na kuondoa nyama uzembe
4. Hupambana na uzee (ant aging).
5 Hutengeneza/kusaidia DNA zilizoharibika na kuzifanya kuwa mpya
6. Huondoa makunyanzi.
7. Kuponya ngozi iliyoungua na vipodozi vikali.

8 Inaongeza uwezo wa vinasaba(gene) kufanya kazi zaidi mwilini kwa muda mrefu zaidi na kurefusha maisha

9. Huzuia na kuponya SARATANI yeyote.

10. Huzuia na kuponya Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.
11. Huzuia na kuponya stroke (kiharusi)
12. Hutibu na kuzuia paralysis (kupooza)
13. Hutibu presha (hypertension)
14. Hutibu TEZI DUME bila UPASUAJI ikitumika na Prostate Relax na Yunzhi

✍️✍️Tunapatikana *Dar Es Salaam Mliman City , Arusha Kaloleni, Mwanza Buzuluga, Mbeya, Iringa, Morogoro, Zanzibar n.k Pia tunapatikana nchi za Nje k**a Kenya, South Africa, Uganda, Ghana,USA, Benini* n.k

WHATSAPP/CALL
+255620661412

GUSA 👇KUJA WHATSAPP MOJA KWA MOJA
wa.me/255620661412

*Dr Cow* Je una mtoto ambaye:👉👫Anasumbua kula? 👉👫Ana nywele nyepesi k**a mgonjwa?? 👉👫Ana matatizo ya meno kuota?? 👉👫Ana ...
26/08/2022

*Dr Cow*

Je una mtoto ambaye:
👉👫Anasumbua kula?
👉👫Ana nywele nyepesi k**a mgonjwa??
👉👫Ana matatizo ya meno kuota??
👉👫Ana mifupa laini ambayo rahisi kuvunjika??
👉👫Mtoto ambaye hakui kwa haraka k**a inavyotakiwa???
👉👫Anayeumwa mara kwa mara kikohozi na mafua???
👉👫Ana matege??? Jibu ni kwamba mtoto huyo ana upungufu wa madini hasa ya calcium

Sasa kwakua tunajua watoto hawapendi vyakula, ambapo vyakula hivyo vina virutubisho vizuri ikiwemo madini ya calcium ambayo ni muhimu sana katika suala zima la ukuaji wao.

Bf suma kwa kujua hilo inakiletea bidhaa inayoitwa *DR COW* maalum kwa watoto na wamama wanaonyonyesha kwa ajili ya kuongeza calcium mwilini mwake.
Dr cow ipo kwenye mfumo wa candy ambao watoto wengi sana wanapenda na ilivyo k**a p**i, mtoto akionja tu anaweza kula vingi sana. Mtoto anatakiwa ale 4 tu ambapo kula hivyo vinne ni sawa sawa na mtoto aliyekunywa maziwa ml 200. Mtoto akianza kutumia hii bidhaa hata magonjwa yatamkalia mbali.

*Dr cow inasaidia sana watoto na mama mjamzito.*
Wasiliana nasi

WHATSAPP/CALL
+255620661412

GUSA👇 KUJA WHATSAPP MOJA KWA MOJA
wa.me/255620661412

Jipatie bidhaa bora ya ngozi ambayo inatumika kwa aina zote za ngozi na jinsia zote inayotatua changamoto zote za ngozi ...
25/08/2022

Jipatie bidhaa bora ya ngozi ambayo inatumika kwa aina zote za ngozi na jinsia zote inayotatua changamoto zote za ngozi iliyo tengenezwa kwa vitu vifuatavyo:

đź’§ *WILD HONEY*
- Kudumisha mafuta ya asili ya ngozi na kuipa ngozi unyevunyevu

đź’§ *GREEN TEA EXTRACT*
- Inaamsha seli za ngozi kukuza na kurekebisha ngozi iliyoharibika
- Inasaidia ngozi kurudi kwenye rangi yake ya asili, kunyumbulika na kuwa laini

đź’§ *GRAPE FRUIT EXTRACT*
- Anti-oxidizing, inarekebisha mafuta usawa kwa ngozi
- Inatunza unyevunyevu wa ngozi
- Inasaidia ngozi isichakae/kutojikunja

đź’§ *OLIVE OIL*
- Inakinga athari za jua
- Inazuia ngozi kuzeeka

đź’§ *PALM OIL*
- Ina lainisha ngozi, inarutubisha ngozi na ina ipa virutubisho vyote vya ngozi

_Karibu sana ujipatie bidhaa hii._

INAPATIKANA KWA 12,000/= TSH.

WHATSAPP/CALL
+255620661412

GUSA 👇KUJA WHATSAPP MOJA KWA MOJA
wa.me/255620661412

ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA MIMBA KUHARIBIKA.* Matumizi ya vilevi pamoja na Sigara.* Matumizi holela ya madawa makali bil...
15/05/2022

ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA MIMBA KUHARIBIKA.

* Matumizi ya vilevi pamoja na Sigara.

* Matumizi holela ya madawa makali bila kufuata ushauri wa wataalamu wa Afya.

*Kifafa cha Mimba ( Eclampsia)

* Utoaji MIMBA holela pamoja na Maradhi K**a vile PID, UTI SUGU na kadhalika

* Upungufu wa lishe pamoja na MADINI mwilini

* Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili ( HORMONAL IMBALANCE)

*Matatizo ya vinasaba ( Genetic anormalities)

*Shinikizo la juu la DAMU ( HIGH BLOOD PRESSURE)

* UGONJWA wa KISUKARI, Syphilis, Malaria, Upungufu wa Kinga na kadhalika.

*Matatizo ya Rhesus Factor

* Uvimbe kwenye wa viungo vya UZAZI ( Myomas, Cyst)

* Matumizi ya madawa K**a vile PROSTAGLANDINGS wakati wa UJAUZITO mfano Miso.

*Mawazo ya kupitiliza pamoja na lishe Duni
Na kadhalika.

Magonjwa yanayopenya kwenye kondo la UZAZI kwenda kwa mtoto.

Ni maalumu kwa jinsia, umri na rika zote.Inapatikana kwenye Maduka/ Ofisi za BF SUMA na kwa mawakala wa BF SUMA pekee.In...
25/03/2022

Ni maalumu kwa jinsia, umri na rika zote.
Inapatikana kwenye Maduka/ Ofisi za BF SUMA na kwa mawakala wa BF SUMA pekee.
Inapatikana Mikoani kote hivyo unaweza kuja ofisini au kufanyiwa delivery(kuagiziwa hadi ulipo?

Inapatikana kwa shilingi 10,000/=
Kwa mawasiliano zaidi tupigie 👇
+255620661412

Au njoo WhatsApp moja kwa moja kwa kugusa au kubonyeza 👇👇

wa.me/255620661412?text=Nahitaji%20Sabuni%20Hii%20.%20Napatikana%20Mkoa%20Wa

FAIDA ZA KUTUMIA DETOXILIVE01. MZUNGUKO WA DAMU(KISUKARI,PRESSURE & CHOLESTEROL)âś“ Detoxilive Huboresha mzunguko wa Damu ...
15/03/2022

FAIDA ZA KUTUMIA DETOXILIVE

01. MZUNGUKO WA DAMU
(KISUKARI,PRESSURE & CHOLESTEROL)

âś“ Detoxilive Huboresha mzunguko wa Damu mwilini, kuzibua mishipa midogo midogo ya Damu na hivyo kusaidia matibabu ya magonjwa ya Pressure na dalili Zake.
✓Husaidia kuzuia unyonywaji na kuongeza uyeyushwaji wa Mafuta, kupunguza glucose mwilini hivyo kusaidia matibabu ya Kisukari na cholesterol.
✓HUTIBU DALILI K**A
Ganzi, Maumivu ya Viungo, Kizunguzungu, Uchovu wa Mwili, Maungio kukak**aa nk.

02. MISHIPA YA FAHAMU (KUSAHAU, KUPOTEZA KUMBUKUMBU,MATATIZO YA MACHO)

✓Detoxilive huboresha utendaji kazi wa mishipa ya Fahamu, na usafirishwaji wa taarifa hivyo kutibu Tatizo la kusahau na Kupoteza kumbukumbu
✓Huboresha mishipa ya macho, Kuondoa ukungu machoni na kutibu Matatizo ya uoni (Kutokuona na Maumivu ya macho)
✓Hutibu Matatizo ya kichwa kuuma Mara kwa Mara.

03. SARATANI
✓Husaidia kuzuia na kutumika kwenye matibabu ya Saratani haswa ya Tezi Dume na Saratani ya Matiti.

04. UZAZI (MENOPAUSE NA NGUVU ZA KIUME)
✓Huboresha Nguvu za kiume na pia kusaidia Kuondoa Matatizo Wakati wa ukomo wa hedhi kwa wanawake (MENOPAUSE)

05. NGOZI NA NYWELE
✓Huboresha muonekano mzuri wa ngozi, Kuondoa free radicals, na kuzuia kuzeeka kwa ngozi.
✓Husaidia Sana uotaji wa nywele na kusaidia Watu wenye Tatizo la kunyonyoka na Kupoteza nywele (Upaa)

06. KUSAFISHA SUMU NA KULILINDA INI.
Dalili za Sumu Nyingi

✓Haja ndogo yenye Rangi (Mkojo wa Njano/kaawia)
✓Ngozi Kuharibika (kupauka na kukak**aa)
✓Kupoteza Hamu ya Kula/ kula kupindukia
✓Ganzi na mwili kuwaka moto
✓Wekundu Puani na kutokwa damu Puani
✓Utokwaji wa Jasho usio wa Kawaida
✓Mwili kutoa Harufu
✓Mvurugiko wa Hedhi Wa Mara kwa Mara
✓Matatizo kwenye Mmeng'enyo wa Chakula
✓Kuugua Mara kwa Mara Haswa magonjwa ya Maambukizi (Infections)
✓Ukavu wa Macho
✓Uchovu Mwingi na Kushindwa kupumzika
✓Kuwa na Hasira Mara kwa Mara
NK

MUHIMU SANA KWA: 
¶Mtu Yoyote Anayepata Dalili Tajwa 👆

¶WANAOSAFIRI MARA KWA MARA TUMIA BIDHAA HII NI MUHIMU SANA.

BIDHAA HII KWA SASA NI 75,000 /=TU.
BADALA YA 105,000/=
NOTE: ZIPO CHACHE TU

📌DAR ES SALAAM MLIMANI TOWER MKABALA NA MLIMANI CITY

📌TUNAPATIKANA MIKOANI PIA
Wasiliana nasi 👇
+255620661412 / +255757296687

Nini kinapunguza ukubwa wa uume? wanaume wengi hawaridhiki na ukubwa wa uume wao hata k**a ni mkubwa, na wengine wanaona...
13/03/2022

Nini kinapunguza ukubwa wa uume?

wanaume wengi hawaridhiki na ukubwa wa uume wao hata k**a ni mkubwa, na wengine wanaona kabisa uume umepungua ukubwa wakilinganisha na miaka iliyopita bila kujua sababu za msingi.

mambo yafuatayo yanaweza kufanya uume wa mtu ukapungua.

UNENE AU KITAMBI; unene hufanya mafuta mengi kuongezeka tumboni na maeneo mengine ya uume, hii hufanya uume uonekane mdogo kuliko mwanzo hata ukiwa unaingia ukeni huzuiliwa na mafuta yaliyoota mwisho wa uume, lakini pia mafuta ya ndani ya mishipa ya damu ambayo yanazuia damu ya kutosha isifike kwenye uume husababisha uume usimame kwa shida sana na kua mdogo.

UMRI; umri wa mwanaume unavyozidi kua mkubwa uume pia huzidi kua mdogo hii husababishwa na kupungua kwa homoni za mfumo wa uzazi wa uume ambapo homoni hizi hizi ndio huufanya uume kua mkubwa kipindi mwanaume anabalehe kwa mara ya kwanza, lakini umri haupunguzi uume tu hata nyama za mwili wote kwa ujumla sababu ya kupungua kwa uwezo wa mwili kutengeneza seli mpya, ndio maana wazee wengi misuli ni midogo.

KUTOSHIRIKI TENDO LA NDOA MARA KWA MARA; uume ni k**a misuli mingine ya mwili, misuli inayofanya kazi mara kwa mara hua mikubwa na minene k**a watu wanaofanya mazoezi ya kubeba chuma au watu wanaofanya kazi ngumu lakini misuli ikiwa haifanyishwi kazi hupungua ukubwa, hivyo kushiriki tendo la ndoa angalau mara nne kwa wiki husaidia.

UKOO; baadhi ya koo fulani unakuta familia nzima ina uume mdogo, hii husababishwa na homoni ya testesterone kwenye miili yao kushindwa kufanya kazi vizuri lakini pia baaadhi ya koo wamebarikiwa na maumbile makubwa.

UPASUAJI WA TEZI DUME; tafiti zimeonyesha kwamba upasuaji wa kuondoa tezi dume husababisha uume kuingia ndani kidogo, utafiti huu ulifanyika nchini marekani kwa wanaume 126 ambao miezi kadhaa baada ya upasuaji huu walikiri kupungua kwa ukubwa wa uume.

KUPIGA PUNYETO AU KUJICHUA; uume ni kiungo laini sana ambacho hakitaki usumbufu kabisa ndio maana uke wa mwanamke una kuta laini sana ambazo haziwezi kuharibu uume, lakini unapotumia mikono yako kujichua unaumiza mishipa ya juu ya uume inayoingiza na kutoa damu lakini pia unaweza kusababisha makovu ya ndani ya misuli na kuzuia damu kufika kwa uhakika.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Secrets posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Secrets:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram