Mchomvu_Organic

Mchomvu_Organic TUNA TOA USHAUR,KIPIMO 🩺 PAMOJA NA SULUHISHO,TUNA UZA BIDHA ZA AFYA,YA MENO,NGOZI, UZITO,NA UZAZI

⚠️ Sababu Kuu Zinazo sababisha Vidonda vya Tumbo? 🩺Maambukizi ya bacteria H. pylori  🩺Matumizi ya muda mrefu ya dawa za ...
20/09/2025

⚠️ Sababu Kuu Zinazo sababisha Vidonda vya Tumbo?

🩺Maambukizi ya bacteria H. pylori
🩺Matumizi ya muda mrefu ya dawa za maumivu (NSAIDs) 💊
🩺 Kunywa pombe kupita kiasi 🍺
🩺 Kuvuta sigara 🚬
🩺Msongo wa mawazo ya muda mrefu 😔
🩺 Ulaji wa vyakula vyenye viungo vikali mara kwa mara 🌶️

👉Kwa ushauri na Tiba tupge sm hapa popote ulipo,Tu weze kuku saidya

📱0654664466

📌BAWASIRI/MGOLO* 🌱Bawasiri* ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kijinyama ambacho ...
31/08/2025

📌BAWASIRI/MGOLO*
🌱Bawasiri* ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
Kwa kiingereza hujuliakana k**a *piles* .
Na kitaalam hujulikana k**a *hemorrhoids*

🌱AINA ZA BAWASIRI*
🩺 BAWASIRI YA NJE*
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
🩺BAWASIRI YA NDANI*
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
*Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
*Daraja la 1* - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
*Daraja la 2* - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
*Daraja la 3* - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya haja.
*Daraja la 4* - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya haja.

📌BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?*
*Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
*Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
*Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
*Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
*Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
*Kuharisha sana kwa muda mrefu
*Kutumia vyoo vya kukaa
*Kunyanyua vyuma vizito
*Mfadhaiko/stress
*Uzito na unene kupita kiasi.

📌DALILI ZA BAWASIRI*
*Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
*Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
*Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
*Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
*Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote

*Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa..

🩺LAKINI PIA TUKO NA HUDUMA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA(FULL BODY CHECK) KWA GARAMA YA SH ,30,000/=TU,KUMWONA DOCTOR NA USHAUR NI BURE..TUPO DAR ES SALAAM KARIAKOO GEREZAN,POSTA MPYA, JENGO LA BENJAMIN MKAPA KARBU NA SANAM LA ASKARI..LAKINI PIA MIKOANI TUNA PATIKANA

kwa mawasiliano zaidi

0654 664 466

28/08/2025

🔬.Karibu upate vipimo vya mfumo mzima wa mwili wako kwa gharama nafuu ya 30,000/- tu. Kipimo chetu kina uwezo mkubwa wa kuscan mwili wote kwanzia kichwani hadi miguuni na kutoa majibu papo hapo iwapo kuna tatizo lolote lile kitafichua.

📌Pia tunahuduma ya kutoa sumu mwilini (DETOX).

💊 Tunazo dawa tiba lishe bora zenye virutubisho vitokanavyo na mimea asilia zisizo na kemikali wala madhara, zimetengenezwa na wataalamu wa afya kutoka China, ni dawa nzuri zinazo tibu magonjwa yote sugu k**a vile.

✅ Kisukari.
✅ Presha.
✅ Kansa.
✅ Tezi dume.
✅ Ini.
✅ Moyo.
✅ Figo.
✅ Vidonda vya tumbo.
✅ Uvimbe kwa wanawake (fibroids)
✅ P.I.D.
✅ U.T.I.
✅ Pumu.
✅ Nguvu za kiume.
✅ Ngiri.
✅ Bawasiri.
✅ Macho.
✅ Mifupa.
✅ Fangasi.
✅ Miguu.
✅ Kiharusi (stroke).
✅ Upungufu wa kinga.
✅ Na magonjwa mengineyo..

📌Tunapatikana Dar es salaam na mikoani pia Tupo,Tuna patikana
karibu tukuhudumie.

☎️ 0654 664 466

VIPIMO VYA MWILI MZIMA kwa 30,000 TSH tu!+ Kuonana na Daktari BURE!+ Ushauri wa kiafya BURE!+ Punguzo la 10% kwa dawa!+ ...
07/08/2025

VIPIMO VYA MWILI MZIMA kwa 30,000 TSH tu!
+ Kuonana na Daktari BURE!
+ Ushauri wa kiafya BURE!
+ Punguzo la 10% kwa dawa!
+ Huduma za ziada zikiwemo!

Kwa nini usafiri hadi nje ya nchi kutafuta tiba, wakati sasa wataalam bingwa wa afya wapo TANZANIA, wakitoa huduma bora kwa kutumia virutubisho asilia vinavyosaidia mwili kujijenga na kupona?

GCAT INTERNATIONAL HOSPITAL sasa ipo karibu yako, ikiwa na matawi mengi nchi nzima!
Tunatibu kwa umahiri magonjwa yasiyoambukiza k**a:

Vidonda vya tumbo

Shinikizo la damu

Kisukari

Tezi dume

Moyo, figo na ini

Gazi na miguu kuwaka moto

Matatizo ya macho, meno, kinywa

U.T.I sugu, PID, Typhoid

Matatizo ya ngozi

Magonjwa ya mgongo, kupooza/stroke

Afya ya uzazi kwa wanawake na wanaume..na mengine mengi!

Usikubali mateso ya ugonjwa yaendelee. Fika GCAT leo, pata tiba yenye suluhisho la kudumu!
Wasiliana nasi kupitia Simu namba
:- 0654 664 466
Au kuja WhatsApp!!

ETNL,🌱 TOOTHPASTEHII NI DAWA YA MENO NA KINYWA KWA UJUMLA NA PIA NI DAWA YA NGOZIHii ni dawa ya meno inayotokana na mime...
04/07/2025

ETNL,🌱 TOOTHPASTE
HII NI DAWA YA MENO NA KINYWA KWA UJUMLA NA PIA NI DAWA YA NGOZI

Hii ni dawa ya meno inayotokana na mimea tiba ya asili ambayo imechanganywa kwa pamoja na kuifanya kuwa ni dawa yenye nguvu zaidi na bora kuliko zote.

Kutokana na aina ya mimea tiba iliyotumika dawa hii imekuwa na matumizi mbalimbali.

Dawa hii haina fluorine
DAWA HII INATIBU;
➖Huzuia kutoboka kwa meno
➖Hufanya meno kuwa meupe
➖Inauwa bakteria wanaoeneza maradhi ya kinywa na meno
➖Inasaidia kwa wale wanaosumbuliwa na ganzi ya meno
➖Huondoa harufu mbaya katika kinywa

PIA DAWA HII INAHUSIKA NA NGOZI
➖Inatibu chunusi na fangasi
➖Inatibu afya ya ngozi
➖Huondoa makovu
➖Pia inatibu tumbo na kusaidia kufunga kwa tatizo la kuhara.
➖Inatibu mafindofindo
➖Pia inawasaidia wenye manyama ya pua
➖Inatibu mapunye na muwasho,
➖Pia inakausha damu kwa mtu aliepata jeraha

K**A UNAMATATIZO HAYO NA MENGINEYO CHUKUA DAWA HII,KWA SH,15,000/= POPOTE ULIPO NITAKU FIKIA MIKOANI PIA TUNA TUMA,

👉LAKINI PIA KWA WALE WENYE MADUKA YA PHARMACY,CHUKUA HII DAWA,NITAKU PATIA KWA BEI YA,OFCNI YANI BEI YA JUMLA,KWA MAELEZO ZAIDI, NIPIGYE SM HAPO CHINI AU

WHTSAPP
(TUZUNGUMZE)
No, ☎️ 0654 664 466

🎯 AFYA NJEMA YA MWILI WAKO NI UZIMA WAKO, NA NDIO MAFANIKIO YAKO KATIKA MAISHA.🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote ...
27/06/2025

🎯 AFYA NJEMA YA MWILI WAKO NI UZIMA WAKO, NA NDIO MAFANIKIO YAKO KATIKA MAISHA.

🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote k**a vile:
Uzazi kwa mwanaume na mwanamke, nguvu za kiume, Ngiri, P.I.D, vidonda vya tumbo, pressure, kisukari, kutoshika mimba au mimba kuharibika, magonjwa ya moyo, shida ya macho, meno kufa ganzi na kutoboka, kinywa kutoa harufu mbaya, uvimbe kwenye kizazi, kansa na matatizo mengine ya kiafya.

📲 K**a Ndio Napenda Nikukaribishe katika Clinic zetu
💥Tunatoa Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima(Fullbody Checkup) Kwa 30,000 tu

Pia tunatoa matibabu ya dawa. Dawa zetu ni virutubisho tiba ni za uhakika na zinamaliza kabisa tatizo linalokusumbua

Punguzo la bei 20% kwa kila dawa

Tunapatikana Dar es salaam na mikoani pia

🌹KARIBUNI SANA
Tupigie Kwa Namba
📞 0654 664 466
Kuonana na Dr Bure,ushauri pia Bure!!

MATUMIZI YAKE NI K**A IFUATAVYO:1. Kwa wenye mafua: Utapaka pembezoni mwa pua K**a vix2. Kwa wenye chunusina Madoa: Utac...
25/06/2025

MATUMIZI YAKE NI K**A IFUATAVYO:
1. Kwa wenye mafua: Utapaka pembezoni mwa pua K**a vix
2. Kwa wenye chunusina Madoa: Utachanganya na Vaseline kdg unapaka usoni kila siku usiku baada ya kuosha uso

3. Kwa wenye fangus: Utapaka kwenye Vidole vyote na utamasaji taratibu mpaka mchanganyo wako ukolee

4. Kwa wenye Kiunguliana Tumbo kujaa gesi : chukua dawa kidogo koroga
then kunywa huo mchanganyo
Kwa wenye vidonda: Chukua dawa kidogo pals pembezoni mwa kidonda kwa kuzungushia,,usipake kwenye kidonda kabisa pakaza pembezoni tu

5. Kwa wenye harara na mapunye: Paka dawa hiyo K**a unavyopaka mafuta sehemu yenye mapunye au harara.

WEKA ODA YAKO SASA UTAIPATA POPOTE PALE ULIPO
WHATSAPP >> 👇
CALL 📞 +255 654 664 466

Address

Kariakoo Gerezan Nasra Tower
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mchomvu_Organic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mchomvu_Organic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram