Mzee Dizzo Health Care

Mzee Dizzo Health Care Tunahusika na Tiba Lishe na Tiba Asilia Kwa Msaada wa Tiba na Ushauri +255718965275 Tupo Dar Es Salaam Tabata Mawenzi 24/Hrs Tupo wazi Muda wote. Dr Mzee Dizzo

*BIG LENGTH ๐Ÿ†*โฏ๏ธ Tiba Lishe Maalum ya Kuongeza Uumeโ™ป๏ธ *BIG LENGTH* ni tiba lishe ya asili iliyoundwa kusaidia wanaume ku...
12/01/2026

*BIG LENGTH ๐Ÿ†*
โฏ๏ธ Tiba Lishe Maalum ya Kuongeza Uume

โ™ป๏ธ *BIG LENGTH* ni tiba lishe ya asili iliyoundwa kusaidia wanaume kurejesha na kuongeza uwezo wa maumbile ya kiume kwa usalama na ufanisi.

โžก๏ธ *FAIDA KUU ZA BIG LENGTH ๐Ÿ†*
โžก๏ธ Kuongeza urefu wa uume ๐Ÿ†
โžก๏ธ Kuongeza unene wa uume
โžก๏ธ Kunyoosha uume uliopinda
โžก๏ธ Kuondoa madhara ya kujichua (punyeto) k**a misuli kuathirika
โžก๏ธ Kuongeza uimara wa uume kwa waliokuwa na uume legelege
โžก๏ธ Kuongeza mzunguko wa damu, kusaidia wanaowahi kufika kileleni (kumwaga mapema)

โžก๏ธ *MATOKEO YANAYOTARAJIWA*
๐Ÿ”ธ Dozi hii ina uwezo wa kuongeza: โžก๏ธ Inch 1.5 โ€“ 2.0 โ€“ hadi 3.5

๐Ÿ“Œ *Mfano:*
โžก๏ธ K**a una inchi 5, unaweza kufika inchi 7.0 hadi 7.5 au 8.5inch kulingana na mwili wako na ufuataji wa maelekezo.

โžก๏ธ *NANI ANASHURIWA KUTUMIA BIG LENGTH?*
โฏ๏ธ Wanaume wenye uume mdogo au mwembamba
โฏ๏ธ Waliopata madhara ya punyeto
โฏ๏ธ Wenye uume uliopinda
โฏ๏ธ Wanaowahi kumwaga
โฏ๏ธ Wanaotaka kuboresha kujiamini na kuridhisha wenza wao

โžก๏ธ *WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA*
DR. MZEE DIZZO
๐Ÿ“ Dar es Salaam โ€” Tabata Mawenzi (Njia ya Posta)
๐Ÿ“ž Simu & WhatsApp: +255718965275
โžก๏ธ Bonyeza moja kwa moja:
๐Ÿ‘‰ wa.me/255718965275

โžก๏ธ *HUDUMA ZA ZIADA*
โœ”๏ธ Kuongeza uume (urefu & unene)
โœ”๏ธ Kurekebisha uume uliopinda
โœ”๏ธ Kuzuia kumwaga mapema
โœ”๏ธ Kuimarisha nguvu za kiume
โœ”๏ธ Kuondoa madhara ya punyeto
โœ”๏ธ Ushauri wa afya ya uzazi kwa wanaume

โžก๏ธ *JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA* (WHATSAPP)
๐Ÿ”› Elimu | Ushauri | Tiba | Ofa
๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/LwrQ2lSV7qH674fLrxNlgY

โžก๏ธ *MITANDAO YETU YA KIJAMII*
๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

๐Ÿ”ฅ BIG LENGTH ๐Ÿ† โ€” ANZA SAFARI YA MABADILIKO YAKO LEO.

๐Ÿงช *UKIMWI NI NINI? NA TIBA YAKE NI NINI NA TIBA YAKE YA ASILIA๐ŸŒด**MAANA YA UKIMWI*UKIMWI ni kifupi cha Upungufu wa Kinga ...
11/01/2026

๐Ÿงช *UKIMWI NI NINI? NA TIBA YAKE NI NINI NA TIBA YAKE YA ASILIA๐ŸŒด*

*MAANA YA UKIMWI*

UKIMWI ni kifupi cha Upungufu wa Kinga Mwilini. Ugonjwa huu husababishwa na virusi vinavyoitwa HIV โ€“ Human Immunodeficiency Virus.

Virusi hivi huingia mwilini na kushambulia kinga ya mwili (seli nyeupe za damu). Kinga hii ndiyo hulinda mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali. Virusi vya HIV vikishambulia kinga hii, mwili wako huanza kudhoofika na kushindwa kupambana na magonjwa nyemelezi k**a TB, fangasi, kuharisha, na homa ya mara kwa mara.

*JINSI UKIMWI UNAVYOENEA*

1๏ธโƒฃ Kuonana kimwili (ngono) bila kinga
2๏ธโƒฃ Kutumia sindano moja kwa watu wengi
3๏ธโƒฃ Kuongezewa damu isiyo salama
4๏ธโƒฃ Mama kumwambukiza mtoto wakati wa ujauzito au kunyonyesha

*DALILI ZA AWALI ZA MWATHIRIKA WA HIV*

โ–ช๏ธ Homa ya mara kwa mara
โ–ช๏ธ Kupungua uzito
โ–ช๏ธ Kuumwa koo
โ–ช๏ธ Kuvimba tezi
โ–ช๏ธ Kukohoa sana
โ–ช๏ธ Vidonda mdomoni au sehemu za siri
โ–ช๏ธ Kuharisha bila sababu ya msingi
โ–ช๏ธ Upele au mabaka ya ngozi
โ–ช๏ธ Uchovu usioisha

*TIBA YA UKIMWI*

๐ŸŸข Watu wengi hudhani UKIMWI hauna tiba. Ukweli ni kwamba zipo dawa asilia ambazo husaidia:

โœ… Kuua au kupunguza makali ya virusi
โœ… Kuimarisha kinga ya mwili kwa haraka
โœ… Kuondoa magonjwa nyemelezi
โœ… Kurudisha afya ya mwili na uzito
โœ… Kurejesha nguvu na uhai kwa mwili wote

โœ… Wagonjwa wengi waliotumia tiba zetu waliona mabadiliko makubwa na afya kurejea kwa kasi kubwa. Dawa hizi ni asilia kwa 100%, hazina madhara yoyote kwa mwili.

*MAELEZO YA ZAIDI:*

๐Ÿ“ Ofisi: Dar es Salaam โ€“ Tabata Mawenzi (Posta ya Zamani)
๐Ÿ“ž Dr Mzee Dizzo
๐Ÿ“ฒ WhatsApp: +255718965275
๐ŸŒ Instagram | TikTok | YouTube | Facebook: Dr Mzee Dizzo

๐Ÿ”— Jiunge na Group Letu la Afya Kupata Ushauri Bure

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://chat.whatsapp.com/LwrQ2lSV7qH674fLrxNlgY

๐ŸŸฉ *UKIHITAJI DAWA, NJOO WHATSAPP INBOX ๐Ÿ“ฅ โ€” HUDUMA NI YA SIRI NA YA HARAKA*
๐ŸŸข Afya Yako Ni Muhimu Kwa Maisha Ya Kila Siku

๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).   Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitu...
10/01/2026

๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.

๐”๐ญ๐š๐ฃ๐ฎ๐š๐ฃ๐ž ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ง๐š
๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ)

โ€ขKifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. โ€ข Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

โ€ข๐Š๐ข๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ
โ€ข๐Š๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐š
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐š ๐ ๐ž๐ฌ๐ข
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ

โ€ขMaumivu makali sehemu kilipo kidonda.
โ€ขKukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
โ€ข Kutapika nyongo.
โ€ขKutapika damu au kuharisha.
โ€ขKukosa hamu ya kula.
โ€ขKusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).
โ€ขHali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.

๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ). huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

โ€ข ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

โ€ขIwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).

โ€ขUSHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kbsaa tuna product nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi ganiโ€ข

๐๐ข๐ ๐š ๐š๐ฎ ๐ฐ๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ๐ฉ
0718965275

๐Ÿ“ž *WASILIANA NASI KWA USHAURI & TIBA LISHE*
๐Ÿ‘จโ€โš•๏ธ Dr. Mzee Dizzo
๐Ÿ“ Dar es Salaam โ€” Tabata Mawenzi (Posta ya Zamani)
๐Ÿ“ฒ Simu / WhatsApp: +255718965275
๐Ÿ‘‰ wa.me/255718965275

*โžก๏ธ JINSI YA KUSAFISHA UKE (VAGINAL HYGIENE)*โžก๏ธUsafi wa uke ni jambo muhimu sana katika afya ya mwanamke na mahusiano ya...
09/01/2026

*โžก๏ธ JINSI YA KUSAFISHA UKE (VAGINAL HYGIENE)*

โžก๏ธUsafi wa uke ni jambo muhimu sana katika afya ya mwanamke na mahusiano ya ndoa au kimapenzi.

Uke una mfumo wake wa asili wa kujisafisha (self-cleaning system), hivyo ukikosewa namna ya kuusafisha, unaweza kusababisha harufu mbaya, fangasi, bakteria wabaya, muwasho na maambukizi ya mara kwa mara.
Wanawake wengi hujihusisha na kusafisha uke kwa njia zisizo sahihi wakidhani wanafanya usafi mzuri, kumbe wanaharibu kabisa mfumo wa asili wa uke.

โžก๏ธ *NJIA SAHIHI YA KUSAFISHA UKE*
๐Ÿ”น Njia bora kabisa ya kusafisha uke ni kutumia maji safi tu
๐Ÿ”น Epuka kuingiza sabuni ndani ya uke
๐Ÿ”น Sabuni itumike sehemu za nje tu (v***a)
๐Ÿ”น Kamwe usitumie dawa, dawa za kienyeji au manukato ndani ya uke bila ushauri wa kitaalamu

โš ๏ธ Sabuni nyingi huondoa bakteria wazuri (good bacteria) wanaolinda uke, na kuacha nafasi kwa bakteria wabaya na fangasi kuongezeka haraka.

โžก๏ธ *HATUA TATU (3) SAHIHI ZA KUOSHA UKE*

1๏ธโƒฃ โžก๏ธ *HATUA YA KWANZA*
โœ”๏ธ Hakikisha bafu ni safi
โœ”๏ธ Osha uke ukiwa umesimama au umechuchumaa
โœ”๏ธ Tumia maji safi yanayotiririka
โœ”๏ธ Epuka kutumia maji machafu au ya kusimama

2๏ธโƒฃ โžก๏ธ *HATUA YA PILI*
โœ”๏ธ Tumia kidole kimoja au viwili kusafisha sehemu za nje za uke taratibu
โœ”๏ธ Usitumie kucha ndefu
โœ”๏ธ Usisugue kwa nguvu
โœ”๏ธ Usiongeze maji ndani ya mpasuko wa uke

โš ๏ธ Kuingiza maji au sabuni ndani ya uke huharibu usawa wa pH na kusababisha:
โžก๏ธ Fangasi
โžก๏ธ Harufu mbaya
โžก๏ธ Maji maji yasiyo ya kawaida
โžก๏ธ Maambukizi ya mara kwa mara

3๏ธโƒฃ โžก๏ธ *HATUA YA TATU*
โœ”๏ธ Kaushia kwa kitambaa safi na kikavu
โœ”๏ธ Usitumie taulo za watu wengine
โœ”๏ธ Vaeni chupi safi, za pamba, zisizobana sana
โœ”๏ธ Epuka kuvaa chupi zilizo na unyevunyevu kwa muda mrefu

โžก๏ธ *MAMBO YA KUZINGATIA ILI UKE UWE NA AFYA NJEMA*
โฏ๏ธ Epuka kujiosha uke mara nyingi kupita kiasi
โฏ๏ธ Epuka kutumia sabuni kali na dawa za kunukisha uke
โฏ๏ธ Epuka kuingiza vitu visivyo salama ukeni
โฏ๏ธ Pata matibabu mapema unapopata dalili zisizo za kawaida

โžก๏ธ *โš ๏ธDALILI ZA ONYO (USIZIPUUZE)*
๐Ÿ”ธ Harufu kali isiyo ya kawaida
๐Ÿ”ธ Muwasho ukeni
๐Ÿ”ธ Uchafu mzito au wa rangi isiyo ya kawaida
๐Ÿ”ธ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
๐Ÿ”ธ Homa au maumivu ya tumbo la chini

โžก๏ธ *WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA*
DR. MZEE DIZZO
๐Ÿ“ Dar es Salaam โ€“ Tabata Mawenzi (Njia ya Posta)
๐Ÿ“ž Simu & WhatsApp: +255718965275
โžก๏ธ Bonyeza moja kwa moja: wa.me/255718965275

โžก๏ธ *HUDUMA ZETU KUU*
โœ”๏ธ Fangasi sugu
โœ”๏ธ UTI & PID
โœ”๏ธ Harufu mbaya ukeni
โœ”๏ธ Magonjwa ya zinaa
โœ”๏ธ Afya ya uzazi kwa wanawake
โœ”๏ธ Ushauri wa kitaalamu wa afya ya wanawake

โžก๏ธ *JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA* (WHATSAPP)
๐Ÿ”› Elimu | Ushauri | Tiba | Ofa
๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/LwrQ2lSV7qH674fLrxNlgY

โžก๏ธ *MITANDAO YETU YA KIJAMII*
๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

*1. NGUVU ZA KIUME NI NINI?*  Ng'uvu za kiume ni uwezo wa mwanaume kufanikisha tendo la ndoa kwa kuridhisha  kisaikoloji...
08/01/2026

*1. NGUVU ZA KIUME NI NINI?*
Ng'uvu za kiume ni uwezo wa mwanaume kufanikisha tendo la ndoa kwa kuridhisha kisaikolojia, kimwili na kihisia. Kitaalamu, hii inahusisha uwezo wa kupata na kudumisha uume ulio simama (er****on), kuwa na hamu ya kujamiiana (libido), pamoja na uwezo wa kumaliza tendo (ej*******on) kwa ufanisi.

Nguvu hizi zinaendeshwa na mfumo wa neva, mzunguko wa damu, homoni (hasa *testosterone*), na afya ya akili. Hivyo, changamoto yoyote katika moja ya mifumo hii huweza kuathiri nguvu za kiume.

*2. CHANZO CHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME*
Chanzo kinaweza kuwa cha kimwili, kihisia au mchanganyiko wa vyote. Zifuatazo ni sababu kuu:

- *Matatizo ya kiafya:* Kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya moyo, uzito kupita kiasi.
- *Tatizo la homoni:* Kupungua kwa *testosterone*.
- *Msongo wa mawazo (stress), sonona na wasiwasi.*
- *Baadhi ya dawa* mf. dawa za msongo, shinikizo, kifua, maumivu nk.
- *Matumizi ya pombe kupita kiasi na uvutaji wa sigara.*
- *Kukosa mazoezi na lishe duni.*

*3. TEZI DUME NA UHUSIANO WAKE NA NGUVU ZA KIUME*

Tezi dume (prostate) ni tezi muhimu inayohusika na uzalishaji wa majimaji ya shahawa. Inapokuwa na matatizo k**a kuvimba (*BPH*) au kupata saratani, huathiri mfumo wa mkojo na uwezo wa kijinsia.

*Dalili kuu:*
- Kukojoa mara kwa mara au kwa shida
- Maumivu ya nyonga
- Kushindwa kudumisha nguvu za kiume
- Kupungua kwa hamu ya tendo

Katika jamii ya sasa, wanaume wengi huona aibu kupima afya ya tezi dume hadi hali iwe mbaya. Tezi ikizidi kuvimba huathiri mishipa ya damu na mfumo wa uzazi, hivyo kuchangia kupotea kwa nguvu za kiume.

*4. MATUMIZI YA DAWA ZA KUBOOST NGUVU ZA KIUME โ€“ TAHADHARI!*
Kwa sasa, kuna ongezeko kubwa la matumizi ya vidonge vya kuongeza nguvu za kiume bila ushauri wa kitabibu.

*Hatari zake:*
- Zinasaidia kwa muda mfupi tu (temporary solution).
- Haziwezi kutibu chanzo cha tatizo.
- Zinaweza kuharibu moyo, mishipa ya damu na hata kusababisha kifo kimya kimya.
- Wanaume wengi wamepoteza nguvu kabisa kutokana na matumizi holela.

*5. USHAURI WA KITABIBU NA NJIA BORA ZA KUDUMU NGUVU ZA KIUME*

- *Pima afya yako mara kwa mara*: hasa sukari, pressure, cholesterol, ngiri(hernia) na afya ya tezi dume.
- *Kula lishe bora*: mboga, matunda, protini safi na mafuta yenye afya.
- *Fanya mazoezi mara kwa mara*

K**a mwanaume unatatizo lolote k**a nguvu za kiume na tezi dume wasiliana nami upate suluhisho la kudumu

๐Ÿ“ž *WASILIANA NASI KWA USHAURI & TIBA LISHE*
๐Ÿ‘จโ€โš•๏ธ Dr. Mzee Dizzo
๐Ÿ“ Dar es Salaam โ€” Tabata Mawenzi (Posta ya Zamani)
๐Ÿ“ฒ Simu / WhatsApp: +255718965275
๐Ÿ‘‰ wa.me/255718965275

๐ŸŒ *JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA* (WhatsApp)
๐Ÿ“š Elimu | Ushauri | Ofa | Tiba
๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/LwrQ2lSV7qH674fLrxNlgY

๐Ÿ“Œ *MITANDAO YA KIJAMII*

๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

*MADHARA YA KUFIRWA*Maana maswali yamekua mengi inbox... mara "mume wangu anataka nyuma" ....."mke wangu haridhikii bila...
05/01/2026

*MADHARA YA KUFIRWA*

Maana maswali yamekua mengi inbox... mara "mume wangu anataka nyuma" ....."mke wangu haridhikii bila kumnanihiii"...haya ndo madhara yake... _ ๐Ÿšซ ๐Ÿšซ1. Mwanamke anayefanyiwa mchezo huu hupata matatizo makubwa wakati wa kujifungua ikiwa ni pamoja na kutokwa na mavi mfululizo wakati akijaribu kumsukuma mtoto.

_ ๐Ÿšซ2. Pia anaweza kumuua mtoto kwa vile kila akimsukuma atoke wakati wa kujifungua, pumzi hukata kutokana na misuli inayofahamika kwa jina la โ€˜sphincterโ€™ kulegea na kusababisha ambane mtoto.

_ ๐Ÿšซ3. Umri unaposonga, mavi hutoka bila kizuizi kutokana na misuli ya sphincter inayobana mkundu kulegea.

_ ๐Ÿšซ4. Kufirwa kunaweza kusababisha saratani ya eneo hilo a.k.a โ€˜cancer of colonโ€™. _ ๐Ÿšซ5. Pia ugonjwa wa UTI, yaani uambukizi kwa njia ya mkojo, huwa sugu, maana akitokea mwanaume anakutia mboo ya mkundu kisha anahamishia kwenye kuma, bakteria wanaoishi sehemu hiyo wanaingia na kuwa na madhara makubwa.

*_ ๐Ÿšซ6. Hasara yake kubwa mwanaume anayekufanyia mchezo huo huwa hawezi kukuoa, ndo maana watu wa Tanga wanasema "Kuma kwa mkeo mkundu kwa jirani". Pia ni rahisi kukutangaza kwa jamaa zake na kuonekana kituko mbele za watu, k**a umeolewa heshima yako hupungua ndani ya ndoa.*

_ ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜Ushauri wa bure - Jiheshimu na thamini mwili wakoโ€ฆ.. usitoe tako lako k**a dawa ya kumfanya mwanaume akupende zaidi au k**a ni mume eti asitoke njeโ€ฆ.. ni aibu mumeo mtarajiwa akikuta mkundu wako jamaa waliwahi pia.

*_ ๐ŸšซMwisho, shahawa za mwanaume zinapoozea kule mkunduni hutengeneza fangasi ambayo husababisha kuwashwa mkundu kila saa na kutaka kufirwa kila siku . Pia wakati wa kujifungua hulazimika kuwekewa pamba nyingi mkunduni ili aweze kusukuma mtoto). Lakini pia hii ni laana. ๐Ÿšซ๐ŸšซKila mtu atunze mkundu wake*


K**a Umeathirika na hili tatizo au umejaribu kuacha umeshindwa uwe mwanamke au mwanaume hata k**a umefanyiwa mara moja tu na akamwagia ndani hata k**a hujarudia tena baadae lazima utataka tu hivyo k**a una hiyo hali au ulifanyiwa kwa makusudi au bahati mbaya Tiba Ipo Njoo unielezee ki undani zaidi nikusaidie kwa 100% utakaa sawa kabisa k**a mtu ambae hajawahi kufanyiwa hicho kitu.

Dr.Mzee Dizzo
WhatsApp
+255718965275

*KUPATA CHUMA NDEFU NA NENE โ€” NI FAHARI YAKO* ๐Ÿ”ฅโœจ๐Ÿ˜” Je, unahisi aibu kwa sababu ya chuma kidogo?๐Ÿ‘‰ Tupo na Tiba Lishe inayo...
25/12/2025

*KUPATA CHUMA NDEFU NA NENE โ€” NI FAHARI YAKO* ๐Ÿ”ฅโœจ

๐Ÿ˜” Je, unahisi aibu kwa sababu ya chuma kidogo?
๐Ÿ‘‰ Tupo na Tiba Lishe inayokupa suluhisho la haraka na la kudumu!
๐Ÿ’ช Furahia chuma kirefu na kilichojazia (inchi 7โ€“8)
โฑ๏ธ Dumu hadi dakika 45 bila wasiwasi
๐ŸŒฟ Viungo asili bila madhara 100%
๐Ÿš€ Usisubiri badilisha maisha yako leo!

๐Ÿ‘‡ GUSA nembo ya WhatsApp hapa kupata Tiba Lishe
โžก๏ธ wa.me/255718965275
๐Ÿ“ Ofisi: Dar es Salaam Tabata Mawenzi (Posta ya Zamani)

๐Ÿ‘จโ€โš•๏ธ Dr. Mzee Dizzo
๐Ÿ“ฒ Simu / WhatsApp: +255718965275

๐ŸŒ *JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA*

(WhatsApp)
๐Ÿ”” Elimu | Ushauri | Ofa | Tiba
๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/LwrQ2lSV7qH674fLrxNlgY

๐Ÿ“Œ *MITANDAO YA KIJAMII*
๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

*VIDONDA VYA TUMBO (STOMACH ULCERS)* โžก๏ธVidonda vya tumbo ni majeraha au mipasuko midogo inayotokea ndani ya tumbo, kweny...
22/12/2025

*VIDONDA VYA TUMBO (STOMACH ULCERS)*

โžก๏ธVidonda vya tumbo ni majeraha au mipasuko midogo inayotokea ndani ya tumbo, kwenye utumbo mdogo, au kwenye umio (koo la chakula).

Vidonda hivi hutokana na tindikali kali ya tumbo kuharibu ukuta wa ndani wa mfumo wa mmengโ€™enyo wa chakula.

๐Ÿ“Œ *AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO*
โฏ๏ธโžก๏ธ Vidonda vya tumbo hugawanyika katika aina kuu tatu:

1๏ธโƒฃ *Vidonda vya Tumbo Halisi* (Gastric Ulcers)
โžก๏ธ Hutokea ndani ya tumbo lenyewe
โžก๏ธ Huleta maumivu makali wakati au baada ya kula

2๏ธโƒฃ *Vidonda vya Utumbo Mdogo* (Duodenal Ulcers)
โžก๏ธ Hutokea kwenye utumbo mdogo
โžก๏ธ Maumivu huongezeka ukiwa na njaa au usiku

3๏ธโƒฃ *Vidonda vya Umio* (Esophageal Ulcers)
โžก๏ธ Hutokea kwenye koo la chakula (umio)
โžก๏ธ Husababisha kiungulia kikali, maumivu kifuani na wakati wa kumeza

๐Ÿ“Œ *HATUA KUU ZA VIDONDA VYA TUMBO*
๐Ÿ”›
โซ Vidonda vya tumbo hupitia hatua nne (4):

๐Ÿ”น *HATUA YA KWANZA*
โžก๏ธ Uvimbe mdogo hutokea ndani ya tumbo
โžก๏ธ Mara nyingi mgonjwa hahisi maumivu
โžก๏ธ Kiungulia cha mara kwa mara huanza

๐Ÿ”น *HATUA YA PILI*
โžก๏ธ Vidonda vidogo huanza kujitokeza
โžก๏ธ Maumivu ya tumbo huanza kudumu
โžก๏ธ Gesi nyingi, tumbo kujaa, kukosa hamu ya kula
โžก๏ธ Choo kigumu au kukosa choo kwa muda
โžก๏ธ Uchovu, kizunguzungu, mwili kulegea

๐Ÿ”น *HATUA YA TATU (HATARI)*
โžก๏ธ Vidonda vikubwa hupasua mishipa ya damu
โžก๏ธ Kutapika damu au choo cheusi
โžก๏ธ Maumivu makali sana ya tumbo
โžก๏ธ Kuishiwa damu, homa, mwili kudhoofika

๐Ÿ”น *HATUA YA NNE (HATARI ZAIDI)*
โžก๏ธ Vidonda hutoboa tumbo au utumbo mdogo
โžก๏ธ Maambukizi ya ndani ya mwili
โžก๏ธ Hatari ya kansa ya tumbo au utumbo

๐Ÿ“Œ *DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*
โžก๏ธโฏ๏ธ
โœ”๏ธ Maumivu ya tumbo yanayorudia
โœ”๏ธ Kiungulia kikali
โœ”๏ธ Kichefuchefu au kutapika
โœ”๏ธ Kukosa hamu ya kula
โœ”๏ธ Kupungua uzito
โœ”๏ธ Choo cheusi au chenye damu

๐Ÿ“Œ *MADHARA UKICHELEWA KUTIBU*
โชโžก๏ธ
Kutokwa damu ndani ya tumbo
Kupasuka kwa tumbo au utumbo
Kuishiwa damu mara kwa mara
Kuathiri ini na figo
Hatari ya kansa ya tumbo
Kifo cha ghafla (kwa hatua za mwisho)

๐Ÿ“Œ *TIBA YETU YA VIDONDA VYA TUMBO*
โœ”๏ธ Tiba ya asili 100%
โœ”๏ธ Inapunguza tindikali kali ya tumbo
โœ”๏ธ Inapona vidonda kuanzia mzizi
โœ”๏ธ Inaimarisha mfumo wa mmengโ€™enyo
โœ”๏ธ Inazuia vidonda kurudi tena

๐Ÿ“ž *MAWASILIANO YETU*
Dr. Mzee Dizzo
๐Ÿ“ Dar es Salaam โ€“ Tabata Mawenzi (Njia ya Posta)
โ˜Ž๏ธ Simu ya kawaida: 0718 965 275
๐Ÿ“ฒ WhatsApp: 0718 965 275
๐Ÿ”— Bonyeza WhatsApp moja kwa moja:
๐Ÿ‘‰ wa.me/255718965275

๐ŸŒ *JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA* (WhatsApp)
โžก๏ธ๐Ÿ”›โฏ๏ธ
๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/LwrQ2lSV7qH674fLrxNlgY

๐Ÿ“Œ *MITANDAO YETU YA KIJAMII*
๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

๐Ÿ”ฅ *BRAZA BRAZA BRAZA* ๐Ÿ”ฅ๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซตโ“ Ulishawahi kujiuliza kwa nini huna utulivu wa akili?โžก๏ธ Kwa nini hujiamini k**a mwanaume...
22/12/2025

๐Ÿ”ฅ *BRAZA BRAZA BRAZA* ๐Ÿ”ฅ
๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿซต

โ“ Ulishawahi kujiuliza kwa nini huna utulivu wa akili?
โžก๏ธ Kwa nini hujiamini k**a mwanaume?
โฏ๏ธ Kwa nini una kibamia?
๐Ÿ” Kwa nini hushiriki tendo la ndoa kwa viwango vinavyotakiwa?

๐Ÿ“Œ Ukweli ni mmoja brazaโ€ฆ
*MISINGI YA UANAUME IKIDHOOFIKA, KILA KITU HUYUMBA!*

โ›” Acha kupiga punyeto braza
โฉ *JITAMBUE* mapema
๐Ÿ”š Kesho yako inajengwa leo be careful braza!

๐Ÿ”ฅ K**a unahitaji *TIBA LISHE* za kuimarisha *AFYA YA KIUME*
โžก๏ธ Ibuka *INBOX* sasa hivi
๐Ÿ“ฒ Hatua yako leo, ndiyo heshima yako kesho

๐Ÿ“Œ *MITANDAO YETU YA KIJAMII*
๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

๐Ÿ“ž *Mawasiliano ya Haraka:*
โ˜Ž๏ธ Simu & WhatsApp: +255718965275
๐Ÿ”— WhatsApp Direct: ๐Ÿ‘‰ wa.me/255718965275

๐Ÿ”ฅ *BRAZAAA BRAZAA BRAZAA* ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ—ฃ๏ธ Unakubalije kuishi na KIBAMIA?๐Ÿ—ฃ๏ธ Unakubalije kuwahi kumwaga kwenye SHOW?๐Ÿ—ฃ๏ธ...
21/12/2025

๐Ÿ”ฅ *BRAZAAA BRAZAA BRAZAA* ๐Ÿ”ฅ
๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป
๐Ÿ—ฃ๏ธ Unakubalije kuishi na KIBAMIA?
๐Ÿ—ฃ๏ธ Unakubalije kuwahi kumwaga kwenye SHOW?
๐Ÿ—ฃ๏ธ Unakubalije kuwa na *SHOW MBOVU, MZEE?*

๐Ÿ“Œ *MWAKA UNAFIKIA HITIMISHO*

โฏ๏ธ Leo nimeamua *KUKUSAIDIA* mwanaume mwenzangu
โžก๏ธ Kuimarisha *AFYA YAKO YA KIUME*
๐Ÿ”š Uache aibu, urudishe kujiamini, urudishe heshima yako!
๐Ÿ”ฅ K**a umeamua kujitambua sasa
๐Ÿ“ฒ *IBUKA INBOX HARAKA*
โซ Hatua yako leo = Mabadiliko yako kesho

๐Ÿ“ž *WASILIANO YA HARAKA*
โ˜Ž๏ธ Piga simu: 0718 965 275
๐Ÿ’ฌ WhatsApp: ๐Ÿ‘‰ wa.me/255718965275
๐Ÿ“ Ofisi:
Tabata Mawenzi โ€“ Posta ya Zamani,
Dar es Salaam

๐Ÿ“Œ *MITANDAO YETU YA KIJAMII*
๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

๐Ÿ‘จ๐Ÿฟโ€โš•๏ธ Dr. Mzee Dizzo
Kuwa mwanaume halisi ๐Ÿ’ช

๐Ÿ—ฃ๏ธ *BRAZAAโ€ฆ BRAZAAAโ€ฆ BRAZAAA!* ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ *UTAKAA NA KIBAMIA HADI LINI WEWE*? ๐Ÿซต๐Ÿซต๐Ÿ˜” Huna furaha kwenye mahusiano yako๐Ÿ˜• Kujia...
20/12/2025

๐Ÿ—ฃ๏ธ *BRAZAAโ€ฆ BRAZAAAโ€ฆ BRAZAAA!* ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ *UTAKAA NA KIBAMIA HADI LINI WEWE*? ๐Ÿซต๐Ÿซต
๐Ÿ˜” Huna furaha kwenye mahusiano yako
๐Ÿ˜• Kujiamini kumeshuka
๐Ÿค Unajifariji tu eti โ€œdemu wangu anaridhikaโ€

๐Ÿ˜‚ *ACHEZA NANI?*
Inchi 4, 5 au 6 hazimpi mwanamke furaha ya kweli k**a *NGUVU NA UIMARA HAVIPO* ๐Ÿ”ฅ

๐Ÿšซ Acha kujidanganya Bro
๐Ÿšซ Acha kuahirisha Bro
๐Ÿšซ Acha aibu isiendelee kukufuata Broo

โœ… *TIBA LISHE YETU NI MWISHO WA AIBU*
๐Ÿ’ช Inaimarisha mfumo wa kiume
๐Ÿ”ฅ Inaongeza kujiamini
โซ Inakupa uwezo wa kudumu na kurudia
โžก๏ธ Furaha inarudi kwenye mahusiano yako

๐Ÿ“ฃ *SIKIAAAAA!*
๐Ÿ‘‰ K**a umeamua kujitibia kweli kweli,
โฏ๏ธ *NJOO INBOX SASA HIVI*
โช Usisubiri hadi uone aibu tena

๐Ÿง  *MIMI DR MZEE DIZZO*
๐Ÿ‘จ๐Ÿฟโ€โš•๏ธ Nipo kusaidia wanaume wenzangu
๐Ÿ’ฅ Warejeshe nguvu
๐Ÿ’ฅ Warejeshe heshima
๐Ÿ’ฅ Warejeshe furaha ya ndoa na mahusiano

๐Ÿ“ž *MAWASILIANO YETU*
Dr. Mzee Dizzo
๐Ÿ“ Tabata Mawenzi โ€“ Posta ya Zamani, Dar es Salaam
๐Ÿ“ฒ Simu & WhatsApp: 0718 965 275
๐Ÿ”— WhatsApp Moja kwa Moja: wa.me/255718965275

๐ŸŒ *JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA* (WhatsApp)
๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/LwrQ2lSV7qH674fLrxNlgY

๐Ÿ“Œ *MITANDAO YETU YA KIJAMII*
๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ *ETI BRAZA HUWA UNAJISIKIAJE?* ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธโžก๏ธ Unapoanza tendo,โฏ๏ธ sekunde chache tuโ€ฆ tayari unamwaga,โช baada ya hapo...
19/12/2025

๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ *ETI BRAZA HUWA UNAJISIKIAJE?* ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ

โžก๏ธ Unapoanza tendo,
โฏ๏ธ sekunde chache tuโ€ฆ tayari unamwaga,
โช baada ya hapo uume hausimami tena hadi muda mrefu upiteโ€ฆ
๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ huwa unajisikiaje Broo?

๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ *MWAKA UNAENDA KUISHA*
๐Ÿ”› wakati wengine wanajijenga,
โซ wanarejesha nguvu zao,
โžก๏ธ wewe bado unasema โ€œnitatafuta keshoโ€? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

๐Ÿ”ฅ *DR MZEE DIZZO NIMELETA OFAA MAALUM*
๐Ÿ“Œ Kwa wanaume wanaotaka:
โœ”๏ธ Kudumu muda mrefu
โœ”๏ธ Kusimama imara bila uoga
โœ”๏ธ Kurudia tendo bila kuchoka
โœ”๏ธ Kurudisha heshima na kujiamini

๐Ÿ’ช *K**A UNAHITAJI TIBA LISHE YA KUIMARISHA MFUMO WA NGUVU ZA KIUME KWA UJUMLA*
โŒ Weka ubahili pembeni
โœ… NJOO INBOX SASA

๐Ÿ—ฃ๏ธ *MIMI DR MZEE DIZZO*
๐Ÿ‘จ๐Ÿฟโ€โš•๏ธ Nimejitoa kuwasaidia wanaume wenzangu
๐Ÿ”ฅ Wakajitambua
๐Ÿ”ฅ Wakajiamini
๐Ÿ”ฅ Wakarejesha uanaume wao

๐Ÿ“ž *MAWASILIANO YETU*
Dr. Mzee Dizzo
๐Ÿ“ Tabata Mawenzi โ€“ Posta ya Zamani, Dar es Salaam
๐Ÿ“ฒ Simu & WhatsApp: 0718 965 275
๐Ÿ”— WhatsApp Moja kwa Moja: wa.me/255718965275

๐ŸŒ *JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA*
๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/LwrQ2lSV7qH674fLrxNlgY

๐Ÿ“Œ *MITANDAO YETU YA KIJAMII*
๐Ÿ“˜ Facebook | ๐Ÿ“ธ Instagram | ๐ŸŽต TikTok | โ–ถ๏ธ YouTube
๐Ÿ‘‰ Mzee Dizzo

Address

+255718965275
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255718965275

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mzee Dizzo Health Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mzee Dizzo Health Care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram