Thamani YA AFYA YAKO

Thamani YA AFYA YAKO Ushauri wa afya yako na matibabu sahihi ya changamoto yako.

Kiafya, tendo la ndoa ni moja kati ya mazoezi ya mwili. Ikiwa mtu atafanya tendo la ndoa kwa wastani wa mara 3 kwa wiki ...
19/12/2022

Kiafya, tendo la ndoa ni moja kati ya mazoezi ya mwili. Ikiwa mtu atafanya tendo la ndoa kwa wastani wa mara 3 kwa wiki katika kipindi cha mwaka mzima, ni sawa na kukimbia maili 75.

- Aidha, tendo la ndoa huongeza kasi ya mtiririko wa damu kwenye ubongo na sehemu nyingine za viungo vya mwili.
N.B mwanaume hakikisha unamridhisha mkeo maana hawezi kupata faida yeyote k**a unamwacha njiani
-Afya-Bora
0752379485

๐‡๐Ž๐Œ๐Ž๐ ๐ˆ๐Œ๐๐€๐‹๐€๐๐‚๐„ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐–๐€๐๐€๐Œ๐Š๐„KITU WASICHO KIJUA WAHANGA WA TATIZO HILI.โœ๏ธ Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni ...
15/12/2022

๐‡๐Ž๐Œ๐Ž๐ ๐ˆ๐Œ๐๐€๐‹๐€๐๐‚๐„ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐–๐€๐๐€๐Œ๐Š๐„
KITU WASICHO KIJUA WAHANGA WA TATIZO HILI.

โœ๏ธ Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na wengine hufanyiwa hormone replaceme

โœ๏ธ Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo: vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, โ€ฆ n.k.

DALILI ZA HORMONE IMBALANCE.

โœ๏ธ Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele.
Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:

๐Ÿ“Œ Ukavu ukeni

๐Ÿ“Œ Maumivu wakati wa tendo la ndoa

๐Ÿ“Œ Kutoa jasho usiku

๐Ÿ“Œ Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi

๐Ÿ“Œ Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa

๐Ÿ“Œ Mabadiliko ya siku za hedhi

๐Ÿ“Œ Kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)

๐Ÿ“Œ Kukosa hedhi kwa muda mrefu,

+255752379485 kwa msaada zaidi

JE! MWANAMKE HUAMBUKIZWAJE PID?๐ŸŒฒKuna njia kadhaa ambazo mwanamke anawezakuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na:๐ŸŽฏK**a un...
25/10/2022

JE! MWANAMKE HUAMBUKIZWAJE PID?

๐ŸŒฒKuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza
kuambukizwa PID.

Njia hizo ni pamoja na:

๐ŸŽฏK**a una ugonjwa wa zinaa na haijatibiwa

๐ŸŽฏKufanya ngono zembe isiyo salama (yani kulala
na wanaume tafauti tafauti)

๐ŸŽฏKuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi
nnje

๐ŸŽฏ K**a umekuwepo na historia ya PID hapo
nyuma

๐ŸŽฏMaambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara
baada ya kujifungua (au postpartum period)

๐ŸŽฏ Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya
kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post
abortion) au mara baada ya mimba kutoka
(miscarriage)

๐ŸŽฏKutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa
uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa
mpango

๐ŸŽฏKuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya


๐ŸŽฏKutumia (Vaginal Dauche)

๐ŸŽฏUnaweza kuwasiliana nami kwa msaada na ushauri zaidi.

WASILIANA NA ME KWA MSAADA NA USHAURI BURE 0752379485

04/10/2022
UKIWA UNACHANGAMOTO HIZI WAHI MATIBABU MAPEMA CALL/WHATSAPP 0752379485
10/09/2022

UKIWA UNACHANGAMOTO HIZI WAHI MATIBABU MAPEMA
CALL/WHATSAPP 0752379485

JE, UNAFAHAM ASILIMIA 80% WATU WANAO SUMBULIWA NA CHANGAMOTO ZA UZAZI HAWAPONIโ‰๏ธ      Tambua Sababu Na Jinsi Ya Kuondoa ...
10/09/2022

JE, UNAFAHAM ASILIMIA 80% WATU WANAO SUMBULIWA NA CHANGAMOTO ZA UZAZI HAWAPONIโ‰๏ธ
Tambua Sababu Na Jinsi Ya Kuondoa Changamoto Hii K**a Imekusumbua Kwa Mda Mrefu

๐Ÿkumekua na watuwengi wakitafuta Tiba sahihi ya MAGOJWA lakini wanatumia dawa nyingi bila matokeo
Sababu kubwa wengi wanatumia dawa bila kufanya vipimo hii sababu imewaghalimu watuwengisana,
โœ๏ธhalihii imepelekea watu kupata MATATIZO makubwa hasa ya uzazi

K**a unasumbuliwa na MAGOJWA K**a haya usitumie TIBA yeyote bila kufanya vipimo vya mfumo mzima wa uzazi
โžก๏ธP I D
โžก๏ธKukosa Ute wa uzazi
โžก๏ธUvimbe kwenye kizazi
โžก๏ธMaumivu wakati wa tendo la ndoa
โžก๏ธMirija kuziba
โžก๏ธHarufu ukeni
โžก๏ธKushidwa kubeba mimba
โžก๏ธ Fibroids
N.k
๐ŸN.b
Epuka kutumia kila dawa
bila kufanya vipimo itahatarisha zaidi afya yako
Wasiliana nasi
๐Ÿ“ž0752379485
https://wa.me/message/5NYT2HY2SZPVA1

๐Ÿ˜žATHARI 8 ZISABABISHWAZO NA MSONGO WA MAWAZO๐Ÿ˜ž๐Ÿ‘‰Kwa mujibu wa shirika la afya ulimwenguni WHO, msongo wa mawazo ambao ni m...
09/09/2022

๐Ÿ˜žATHARI 8 ZISABABISHWAZO NA MSONGO WA MAWAZO๐Ÿ˜ž

๐Ÿ‘‰Kwa mujibu wa shirika la afya ulimwenguni WHO, msongo wa mawazo ambao ni mvurugano katika akili hutokana sababu kadhaa k**a vile mkwamo katika uhusiano, uchumi na mengineyo, huwakumba mtu mmoja kati ya wanne kwa nyakati tofauti.

Kwa takribani watu milioni 350 duniani wameathiriwa na msongo wa mawazo. WHO inasema, unyanyapaa dhidi ya wagonjwa, huzuia watu wengi kutafuta msaada.

K**a hiyo haitoshi, zaidi ya asilimia 75 ya watu wanaokabiliwa na ugonjwa huu katika nchi zinazoendelea hawapati matibabu.

Cha kusikitisha zaidi msongo wa mawazo ni chanzo namba mbili kwa vifo vya vijana wenye umri kati ya miaka 19 hadi 29.

๐Ÿ‘‰pia msongo wa mawazo unajulikana k**a sehemu ya maisha ya kawaida. Mwili wako unaweza kuitikia hali hii kiakili na kimwili. Hata hivyo msongo wa mawazo unaweza kusababisha athari mbaya kwako.zifuatazo ni athari mbaya za msongo wa mawazo..

1. Uharibu mzunguko wa usingizi

kwanza ya madhara ya juu ya msongo wa mawazo kwenye mwili ni kuvuruga mzunguko wako wa usingizi. Inaweza kuathiri vibaya juu ya ubora wa usingizi wako na kusababisha kukosekana kabisa kwa usingizi. K**a tunavojua usingizi ni sehemu muhimu ili kuhakikisha afya yako kuwa nzuri na usingizi huweza kusababisha madhara hasi kwa afya yako ya akili na ya kimwili k**a ukikosekana.ukiona umekosa kabisa usingizi kwa sababu ya msongo wa mawazo inapaswa umuone daktari.

2. maumivu ya kichwa

Maumivu ya kichwa ni moja ya madhara 8 ya msongo wa mawazo kwenye mwili.Hali hii hasa hutokea kwa sababu ya kemikali k**a vile cortisol na adrenaline (epinephrine) iliyotolewa na mwili wako wakati wa msongo wa mawazo.

3. Kupotea kwa nywele kupelekea uwalaza

Huwezi kutaja madhara ya msongo wa mawazo ukaiacha hii. Hii ni athari us kawaida ambayo wengi wa wale wanaopata msongo wa mawazo lazima wapate. msongo wa mawazo husababisha athari mbaya kwenye mizizi yako ya nywele na hivyo kusababisha kupoteza nywele.

Wataalamu wa   wanasema suala la Maziwa ya Mama kuchacha yakiwa Kifuani ni Imani potofu ndani ya Jamii na ni jambo ambal...
03/09/2022

Wataalamu wa wanasema suala la Maziwa ya Mama kuchacha yakiwa Kifuani ni Imani potofu ndani ya Jamii na ni jambo ambalo halina ukweli kwasababu Maziwa hayachachi yakiwa ndani ya Mwili

Endapo Mama ameajiriwa anashauriwa kufanya maandalizi mapema ya kukamua Maziwa na kuyagandisha kwenye Jokofu/Friji ili aweze kuyatumia kumlisha Mtoto pale likizo ya Uzazi inapomaliza

Maziwa ya Mama yakigandishwa huwa salama kutumika ndani ya Miezi 6, kwenye Ubaridi wa kawaida huwa salama kwa Siku 4 na yakiwekwa kwenye Joto la kawaida (Room temperature) yanapaswa kutumika ndani ya Saa 4 tangu kukamuliwa

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thamani YA AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Thamani YA AFYA YAKO:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram