15/04/2023
Moja ya maswali ninayoulizwa mara kwa mara kutoka kwa wafanyabiashara hususani wanaojaribu kupata wateja kupitia mtandao ni “kwanini watu hawanunui kutoka kwangu”?
Sio siri kuwa mtandao wa Internet ni HAZINA kubwa sana ya kupata wateja.
Na hazina hii inazidi kuzalisha wateja siku hadi siku kwa kasi kubwa.
Mfano mzuri takwimu za Statcounter inaonesha watanzania milioni 29 wanatumia mtandao wa Facebook, hizi ni takwimu za mwezi Machi 2022 hadi mwezi Machi 2023.
Kwahiyo, k**a wewe ni mfanyabiashara unayehangaika kupata wateja kupitia mtandao au kuuza bidhaa mtandaoni basi nina habari njema sana kwani nimekuandalia OFA ya USHAURI wa BURE kabisa.
Kwa jina naitwa Dotto Makina, mtaalam wa Digital Marketing na mkurugenzi wa kampuni ya Blackopal.
Kampuni inayowasaidia wafanyabiashara k**a wewe kuweza kutumia MTANDAO WA INTERNET KUNASA WATEJA K**A SMAKU. Yaani SMAKU YA MTANDAO.
Smaku ya Mtandao ni mfumo wa masoko ya mtandao unaotengenezwa kwa ajili ya:
1. Kukusanya taarifa za wateja wako watarajiwa
2. Kuwaelimisha
3. Kujenga uaminifu na
4. Kuuza bidhaa au huduma kwa niaba yako.
Hapa niseme mfanyabiashara yoyote asiyemiliki Smaku ya Mtandao atakuwa hajaonja matunda ya internet.
Kwa sababu mtandao unakupa fursa kubwa sana ya kupata wateja wenye hamu ya kununua bidhaa na huduma unazozitoa kwa kubofya vitufe viwili tatu tu.
UTARATIBU WETU WA KUTOA USHAURI
1. Tunachambua Biashara Yako
Hapa tunakuhoji kwa kina kupata kutambua biashara gani unafanya na bidhaa na huduma unazowapa wateja wako wahusika. Vile vile tutaangalia jinsi gani ya kuboresha bidhaa hizo.
2. Tunachambua Soko Lako
Hapa tunaumiza kichwa na kuchambua wateja husika watakaopenda kununua bidhaa au huduma unazozitoa. Tunaangalia kiundani bidhaa na huduma zako zitawafaa watu wa namna gani na vile vile kuchambua sifa za watu hao. Wao ni nani? Wapo wapi? Wana matatizo gani unayoweza kuyatatua? Kitu gani kitawasukuma kununua bidhaa zako? n.k
3. Mkakati Wa Masoko Kupitia Mtandao
Baada ya hapo tunapanga mkakati makhsusi kwa ajili ya kuwanasa wateja husika wa biashara yako kupitia mtandao. Kutokana na sifa za wateja wako, tutapata picha wateja wako watarajiwa wapo wapi na tutatumia utaratibu gani ya kuwapata na ni njia gani itakuwa rahisi wao kuwapata.
Kwa kipindi kifupi tunatoa OFA ya Ushauri BURE kabisa ili upate mwongozo wa kutatua tatizo lako.
ili usipitwe na hiyo OFA hakikisha unafanya booking sasa hivi kwa kupiga simu namba 0627502951 au comment namba yako ya simu ya watsapp hapa chini.
Au nitumie ujumbe wa watsapp kwenda namba 0627502951.
Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,
Dotto Makina, Mkurugenzi, Blackopal