AFYA NA IRENE

AFYA NA IRENE UKIONA UNACHEWA KUJIBIWA WHATSAP NIPIGIE SIMU NORMAL CALL
+255674582081
(1)

👩‍⚕️ Tiba ya Ndoa na Uzazi
🔵 Mtaalamu wa changamoto za tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake
🔵 Natatua matatizo ya nguvu za kiume, hamu ya tendo, na maumivu wakati wa tendo
🔵 Natatua changamoto hizi kwa tiba salama za kisasa
📞 +255 674 582 081

15/11/2025

Lishe ya mapenzi ni utunzaji

Mapenzi bora ni lishe.
Unapomjali, unampikia vizuri, unamsikiliza, na kumpa amani unalisha roho yake.

Mwili uliojaa upendo hujibu vizuri kiafya. ❤️‍🔥

15/11/2025

Kwa nini uume unasinyaa sana baada ya bao la kwanza?

1. Mwili unaingia “recovery period” (Refractory period)

Baada ya kufika kileleni, mwili wa mwanaume:
• Unapunguza damu kwenye uume
• Unatoa homoni ya prolactin → inayosababisha uchovu
• Mapigo ya moyo yanashuka
• Msisimko unapungua

Hii inafanya uume kurudi kawaida na kuwa legelege.

⏳ Wakati huu unaweza kudumu:
• Dakika 10–30 kwa vijana
• Hadi masaa kadhaa kwa watu 30+
• Wengine hadi siku moja

2. Uchovu wa mwili

K**a ulikuwa umechoka, kulegea ni haraka zaidi.
Mfano:
• Kazi nzito
• Msongo wa mawazo
• Kukosa usingizi
• Kula vibaya

Mwili unapochoka hauwezi kuhimili “round ya pili” mapema.

3. Msongo wa mawazo / Pressure ya kutaka kurudia

Fikiria k**a:
• “Nitaweza round 2?”
• “Nisimame vizuri?”
• “Asije akafikiria mimi mdhaifu?”

Pressure hii inakata nguvu kwa dakika moja tu, uume unasinyaa haraka.

4. Damu kutotosha kuingia uume

K**a mtiririko wa damu ni mdogo:
• Uume unasimama bao la kwanza (kwa sababu msisimko ni mkubwa)
• Lakini ukishatoa, nguvu inaisha haraka sana

Sababu hizi hutokea:
• Shinikizo la damu (high/low)
• Kisukari
• Cholesterol
• Sigara
• Pombe
• Kukosa mazoezi

5. Kutumia nguvu nyingi bao la kwanza

Bao la kwanza likiwa la nguvu sana:
• Mwili unatoa nishati nyingi
• Unapungua nguvu za round ya pili
• Hata msisimko unapungua

🔎 K**a imeanza hivi ghafla, sababu nyingine ni:
• Stress kubwa
• Kutopata usingizi
• Kushuka kwa testosterone
• Uchovu wa akili

14/11/2025

14/11/2025

Je Unawahi kumwaga??
Uume unasimama legelege??
Unashindwa kusimamisha?
Je, una hofu na haujiamini mbele ya mwanamke?
Je, unachelewa kumwaga??
Unashindwa kurudia au kupiga bao mbili au zaidi??
Je, Unatamani kuunganisha mabao??
usichoke Siri ni hiii

Comment zifike walau zifike miambili

I just kicked off my challenge, Nguvu za kiume challange, using  ! Jiunge nasi kwa siku 30 kuimarisha nguvu za kiume, st...
14/11/2025

I just kicked off my challenge, Nguvu za kiume challange, using ! Jiunge nasi kwa siku 30 kuimarisha nguvu za kiume, stamina, na afya ya uzazi. Post kila siku hatua zako za maendeleo Tap the hashtag to view my challenge.

The challenge will run from November 15 to December 15. Can't wait to check out what you all have to share!

Watapata nafasi wale wanaoshare posti hii zaidi

Siku moja alinipigia simu akiwa na sauti ya kukata tamaa.Akanambia,“Daktari… kila asubuhi napoamka, hakuna chochote kina...
14/11/2025

Siku moja alinipigia simu akiwa na sauti ya kukata tamaa.
Akanambia,
“Daktari… kila asubuhi napoamka, hakuna chochote kinachosimama.
Mwili wangu hauko k**a zamani. Nimeanza kuogopa… na hata kujiamini kunashuka.”

Nilikaa kimya sekunde chache nikamsikiliza vizuri.
Kisha nikamwambia kwa sauti tulivu:
“Usijilaumu. Hili tatizo si la mwanaume mmoja ni la wanaume wengi, lakini wengi wanaogopa kuongea.”

Tulianza safari yetu ya matibabu taratibu, tukagusa maeneo muhimu:
• Lishe yake
• Shinikizo la damu
• Msongo wa mawazo
• Mzunguko wa damu
• Kiwango cha usingizi
• Na nguvu za mwili kwa ujumla

Kila siku nilimhakikishia kitu kimoja:
“Mwili wa mwanaume unaweza kurudi kwenye nguvu zake. Unahitaji tu mwongozo sahihi, si aibu.”

Baada ya wiki chache akanitumia ujumbe ambao sitasahau:
“Daktari… asubuhi hii nimesimama k**a zamani. Mwili wangu umeamka kabla yangu. Nashukuru sana.”

Nikatabasamu kimoyo moyo.
Kwa sababu si tu kwamba alinirudia kwenye kawaida yake,
bali alirudi kwenye uanaume wake, kujiamini kwake, na furaha yake ya ndani.

Leo nakukumbusha hivi
Mwanaume yeyote anayepitia ulegevu wa asubuhi
usione haya kutafuta msaada. Mwili wako unaweza kurudi kwenye ubora wake.
K**a alivyorejea huyu ndugu yangu, na wewe unaweza.

Share vide kwa wanaume 100 iwafikie wapo Changamoto zao

HEBU NIAMBIE UFAHAMU VINGAPI HAPO VITAJE KWA MAJINAKUNA WANAUME HAWAVIJUI WALA HAWAJUI UMUHIMU WAKECHAPU CHAPU ANDIKA KW...
13/11/2025

HEBU NIAMBIE UFAHAMU VINGAPI HAPO VITAJE KWA MAJINA
KUNA WANAUME HAWAVIJUI WALA HAWAJUI UMUHIMU WAKE

CHAPU CHAPU ANDIKA KWENYE COMMENT

13/11/2025
đź’­ Pain Builds Men( MWANAUME USIOGOPE KUPITIA MAUMIVU)Wanaume hawajengwi na raha.Wanaume wanajengwa na maumivu, mapambano...
13/11/2025

đź’­ Pain Builds Men( MWANAUME USIOGOPE KUPITIA MAUMIVU)

Wanaume hawajengwi na raha.
Wanaume wanajengwa na maumivu, mapambano, na wakati ambao hawakuwa na mtu wa kuwaamini isipokuwa Mungu.

Kuna kipindi mwanaume anatulia kimya, si kwa sababu hana maneno bali kwa sababu ameumizwa sana kiasi kwamba maneno hayawezi kuelezea.
Ni pale anapojifunza kuvumilia, kujibeba, na kutabasamu ndani ya maumivu yake ndipo anaanza kukua kweli.

Maumivu humfunza mwanaume nidhamu.
Humfunza kuvumilia wakati hakuna anayemuelewa.
Humfunza kuthamini amani kuliko maneno matamu.

Na pale anapopona haponi ili arudi k**a zamani,
Anapona akiwa mpya, mwenye hekima, mwenye nguvu ya kimya na moyo wa chuma. đź’Ş

Kwa hiyo ukiona mwanaume yuko kimya, usidhani amejisahau ,
Anaumba toleo jipya la yeye, ndani ya maumivu hayo hayo.

🖋️ Pain doesn’t destroy real men it builds them.

Ingredients  , viazi mbatata, hoho, karoti, broccoli, viungo grams sala,na curry powder Nzuri sana kwa afya ya uzazi
13/11/2025

Ingredients , viazi mbatata, hoho, karoti, broccoli, viungo grams sala,na curry powder

Nzuri sana kwa afya ya uzazi

Nilijifunza kitu kimoja maishani…Sio kila mwanaume anakaa kwako kwa sababu hana pa kwenda,Wengine wanabaki kwa sababu wa...
13/11/2025

Nilijifunza kitu kimoja maishani…
Sio kila mwanaume anakaa kwako kwa sababu hana pa kwenda,
Wengine wanabaki kwa sababu wameamua kukuthamini.

Anayeamka asubuhi akiwa na mawazo ya kukupigania,
Anayechelewa kulala kwa sababu anataka kukuona ukiwa salama,
Anayekusikiliza hata ukiwa kimya huyo si wa kawaida.

Sio lazima awe mkamilifu,
Lakini moyo wake unapokuwa safi, heshima yake inakuwa zawadi kubwa.
Kuna wanaume wachache sana duniani,
lakini mmoja wao anaweza kufanya dunia yako iwe tulivu k**a paradiso.

🖋️ Kuna wanaume wa heshima, si wa maneno — bali wa matendo.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NA IRENE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA NA IRENE:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram