Afya na Dr joshua

Afya na Dr joshua Karibu joshua afya; Uweze pata suluhisho la changamoto yako ya kiafya

YAJUE MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME👉 Kupata saratani ya tezi dume👉 Kapata mawe kwenye Figo👉 Kuharibika kwa kibofu cha m...
22/12/2022

YAJUE MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME

👉 Kupata saratani ya tezi dume

👉 Kapata mawe kwenye Figo

👉 Kuharibika kwa kibofu cha mkojo

👉 Kuziba kwa njia ya mkojo kabisa

👉 Ugumba

👉Kuota majipu kwenye tezi

Kwa Ushauri na suluhisho

Wasiliana nasi kupitia namba

0622 879 093

Huduma yetu imesajiliwa na mamlaka mbalimbali hivyo usiogope karibu k**a unachangamoto yyt ya kiafya karibu tukuhudumieT...
22/12/2022

Huduma yetu imesajiliwa na mamlaka mbalimbali hivyo usiogope karibu k**a unachangamoto yyt ya kiafya karibu tukuhudumie
Tembelea page yetu kujielimisha zaidi

Au
Wasiliana nasi kwa namba

0622 879 093

Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na lina...
21/12/2022

Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao
unaweza kuwa wa kawaida au saratani.

Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume:
Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
Saratani ya tezi dume.

Kwa maelezo zaidi piga +255 674 705 993

Kwa mawasiliano zaid juu yamatibabu 0622 879 093
21/12/2022

Kwa mawasiliano zaid juu yamatibabu
0622 879 093

20/12/2022

KINGA NA TIBA YA TEZI DUME BILA UPAUAJI.,
dume nini ..
ni tez inayopatikana kwa mwanaume tu..ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo..kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..
Mtu anapofukisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..
Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.
Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi
kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani
muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..
UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo LA uvimbe wa tezi dume..
Mara nyingi suluhisho imekua upasuaji lakini upasuaji ukifeli watu wanakosa nguvu za kiume..
Sasa KUNA SULUHUSHO..
ni dawa ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda,cGMP,na Halal,unaweza tumia kujitibu au kujikinga.

Tazama video hapo chini kwa maelezo na ushauri na kupata huduma piga ,,
#0622879093

Madhara yanayotokea endapo usipotibu tatizo la kuvimba kwa Tezi dume 👇👇0622 879 093
19/12/2022

Madhara yanayotokea endapo usipotibu tatizo la kuvimba kwa Tezi dume 👇👇
0622 879 093

Tezi dume bila Upasuaji, catheter inawezekanaWasiliana nami ili kupata suluhisho la kudumu la tatizo lako Kwa tiba na Us...
19/12/2022

Tezi dume bila Upasuaji, catheter inawezekana
Wasiliana nami ili kupata suluhisho la kudumu la tatizo lako

Kwa tiba na Ushauri
0622 879 093

Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume je kipi kinasababisha Tezi dume kuvimba/kutanuka na kupelekea kuziba kwa njia ya mk...
19/12/2022

Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume je kipi kinasababisha Tezi dume kuvimba/kutanuka na kupelekea kuziba kwa njia ya mkojo?
Soma visababishi 👇👇👇vinavyopelekea Tezi dume kuvimba/kutanuka
#0622 879 093

Endapo unakutana na hizo dalili 👇👇👇tambua kua tezi dume imeshavimba hivyo wahi mapema kutatuaTezi dumeKwa ushauri zaidi ...
19/12/2022

Endapo unakutana na hizo dalili 👇👇👇tambua kua tezi dume imeshavimba hivyo wahi mapema kutatuaTezi dume
Kwa ushauri zaidi
#0622879093

VYANZO VYA KUTANUKA KWA TEZI DUME1,UMRIKila Mwanaume anazaliwa na tezi, kadri umri unavyozidi kwenda huwa inavimba na ku...
18/12/2022

VYANZO VYA KUTANUKA KWA TEZI DUME
1,UMRI
Kila Mwanaume anazaliwa na tezi, kadri umri unavyozidi kwenda huwa inavimba na kutanuka na kumpa Mwanaume changamoto za mkojo na uzazi kwa kuanzia miaka 40 na kuendelea, japo wapo wanaopata chini ya huo umri kwa sababu zinginezo

2,KURITHI
Tatizo la tezi dume huweza kurithiwa pia. Yaani k**a baba yako ana tezi dume ama yeyote katika ukoo wako hapo mwanzo alikuwa na tezi dume, hivyo upo uwezekano na wewe kurithi tatizo hili.

3,Uwepo wa sumu nyingi na mafuta mengi mwilini,hasa katika mishipa na ogani za uzazi

4, Upasuaji wa korodani, matatizo ya kimaumbile ya korodani

5, Ukosefu wa lishe kamili na Upungufu wa virutubisho muhimu mwilini

6,Kutokukaa sawa kwa vichocheo mwilini
(Homon Imbalance)

7,Matumizi ya pombe kali na uvutaji wa sigara

Kwa Tiba Bora

Wasiliana nami kwa namba

0622 879093

Suluhisho lipo karibu sana upate tiba 0622 879 093
18/12/2022

Suluhisho lipo karibu sana upate tiba
0622 879 093

ZIJUE DALILI ZINAZOASHIRIA SARATANI (CANCER)YA TEZI DUME🥦 Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu🥦 Miguu ...
17/12/2022

ZIJUE DALILI ZINAZOASHIRIA SARATANI (CANCER)YA TEZI DUME

🥦 Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
🥦 Miguu kuwa dhaifu
🥦Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
🥦 Kushindwa kuzuia mkojo , pindi unapohisi kukojoa
🥦Kushindwa kuzuia haja kubwa
(kinyesi cha maji maji)
🥦Tumbo kujaa gesi mara kwa mara.

Kwa Tiba Bora

Wasiliana nami kwa namba

0622 879 093

VIFUATAVYO NI VYANZO VYA KUVIMBA KWA TEZI DUME1.Umri mkubwa2. Uwepo wa sumu nyingi mwilini3.Ukosefu wa lishe kamili na v...
16/12/2022

VIFUATAVYO NI VYANZO VYA KUVIMBA KWA TEZI DUME

1.Umri mkubwa

2. Uwepo wa sumu nyingi mwilini

3.Ukosefu wa lishe kamili na virutubisho muhimu mwilini

4.Matumizi ya pombe kali na uvutaji wa sigara

5.Kurithi

6.Magonjwa ya zinaa

Kwa Tiba Bora

Wasiliana nami kwa namba

0622 879 093

TEZI DUME kitaalamu hufahamika k**a prostate gland. Hii ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume. Tezi hii i...
16/12/2022

TEZI DUME
kitaalamu hufahamika k**a prostate gland. Hii ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.

Tezi hii inapatikana jirani na kibofu cha mkojo na mirija ya mkojo.

Tezi hii ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume. Majimaji haya ndio yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.

Hivyo tezi hii ni muhimu sana katika mfumo wa Uzazi wa mwanaume

Moja ya chanzo cha tatizo hili
Ni
UMRI
kikawaida tezi dume huwapata watu wenye umri kuanzia miaka 40. ni mara chache sana kuwapata walio chini ya umri huo. Pia tezi dume kwa kiasi kikubwa huwapata walio kati ya miaka sitini na kuendelea.

Kwa Tiba Bora

Wasiliana nami kwa namba

0622 879 093

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME 👉Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.👉Kwenda kukojoa mara kwa mara👉Kushindwa K...
15/12/2022

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME

👉Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
👉Kwenda kukojoa mara kwa mara
👉Kushindwa Kukojoa

👉Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.

👉Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.

👉Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
0622 879 093

KAZI YA TEZINi kutengeneza majimaji yanayobeba mbegu au manii kwa mwanaume0622 879 093
15/12/2022

KAZI YA TEZI
Ni kutengeneza majimaji yanayobeba mbegu au manii kwa mwanaume
0622 879 093

Umri mkubwa (40+) ni chanzo mojawapo cha changamoto za mifupa kusagana; kwasbb ya kuishiwa kwa uteute kwenye maungio na ...
14/12/2022

Umri mkubwa (40+) ni chanzo mojawapo cha changamoto za mifupa kusagana; kwasbb ya kuishiwa kwa uteute kwenye maungio na kupelekea gegedu kulika hatimae mifupa kukutana na kusagana
0622 879 093

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255622879093

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na Dr joshua posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya na Dr joshua:

Share