AFYA YAKO NI UHAI

AFYA YAKO NI UHAI Nashughulika kutatuwa changamoto za kiafya kwa wanaume(+255629218863)

Ikiwa unasumbuka na tatizo la upungufu wa nguvuza kiumeđź–Škuwahi kumaliza tendo đź–Šuume kusimama kwa ulegevu wakati wa tendo...
13/08/2025

Ikiwa unasumbuka na tatizo la upungufu wa nguvuza kiume
đź–Škuwahi kumaliza tendo
đź–Šuume kusimama kwa ulegevu wakati wa tendo
đź–Šuume kusinyaa ghafla wakati wa tendo
đź–ŠKukosa hisia za tendo

Inawezekana kurudi kuwa na nguvu k**a zamani na ukamudu tendo

Kuwa ushauri na suluhisho 0629 218 863

Tezi dume kuvimba inawezekana kupona bila upasuaji 0629 218 863  kupata ushauri na suluhisho la kudumu
26/07/2025

Tezi dume kuvimba inawezekana kupona bila upasuaji
0629 218 863 kupata ushauri na suluhisho la kudumu

Rudisha nguvu zako za kiume kwa tiba asilia 0629 218 863
17/06/2025

Rudisha nguvu zako za kiume kwa tiba asilia 0629 218 863

Unadhani ni sababu gani zinazosababisha upungufu wa nguvu za kiume?Weka jibu kwenye comment
10/06/2025

Unadhani ni sababu gani zinazosababisha upungufu wa nguvu za kiume?

Weka jibu kwenye comment

Wanaume wengi wanapitia changamoto za afya ya mfumo wa uzazi k**ađź–ŠMbegu chacheđź–Škushindwa kutungusha mimbađź–ŠUpungufu wa ng...
09/06/2025

Wanaume wengi wanapitia changamoto za afya ya mfumo wa uzazi k**a
đź–ŠMbegu chache
đź–Škushindwa kutungusha mimba
đź–ŠUpungufu wa nguvu za kiume
đź–ŠKuvimba kwa tezi dume n.k
K**a unasumbuliwa na tatizo moja wapo kati ya haya huduma inakufikia popote ulipo

Unalala saa ngapi?Usingizi si starehe tu — ni dawa ya nguvu zako za kiume.Wakati uko usingizini, mwili huzalisha testost...
06/06/2025

Unalala saa ngapi?

Usingizi si starehe tu — ni dawa ya nguvu zako za kiume.
Wakati uko usingizini, mwili huzalisha testosterone, homoni ya nguvu, hamu ya tendo, na msisimko wa uume.

Ukilala chini ya saa 6 kila siku:
đź”» Hamu ya tendo hupungua
đź”» Nguvu hushuka
đź”» Unakuwa mwepesi wa kuchoka na kukasirika

Anza kulala mapema leo. Mwili wako unahitaji hiyo testosterone

Imarisha misuli ya uume uwe imara kwa vyakula hivi🖊Mayai➡️ Yana proteini na vitamini B5 & B6, zinazosaidia kupunguza mso...
01/06/2025

Imarisha misuli ya uume uwe imara kwa vyakula hivi
đź–ŠMayai

➡️ Yana proteini na vitamini B5 & B6, zinazosaidia kupunguza msongo wa mawazo na kuongeza nguvu za misuli ya uume.

đź–ŠWatermelon (tikiti maji)

➡️ Ina citrulline, ambayo hubadilika kuwa nitric oxide na kusaidia uume kuwa imara kwa muda mrefu.

đź–ŠNdizi mbivu
1. Ina potassium nyingi
➡️ Potassium husaidia kusawazisha shinikizo la damu na kuboresha mzunguko wa damu, jambo muhimu kwa uume kusimama imara.

2. Huongeza nishati ya haraka
➡️ Sukari asilia ya ndizi huupa mwili nguvu ya haraka wakati wa tendo la ndoa bila kuchoka mapema.

3. Ina magnesium na vitamini B
➡️ Vinasaidia kupunguza msongo wa mawazo (ambao hupunguza nguvu) na kujenga misuli midogo midogo ya mwili, ikiwemo ya kwenye uume.

4. Ina enzyme inayoitwa bromelain
➡️ Hii enzyme huchochea uzalishaji wa homoni za kiume (testosterone), na hivyo kuboresha uwezo wa mwanaume.

📝 Ushauri wa Ziada:

Kula vyakula hivi mara kwa mara, si kwa siku moja tu.

Vifuatane na mazoezi mepesi k**a kegel au squats ili kuimarisha misuli ya nyonga.

Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi – vinapunguza nguvu na mishipa kulegea.

Unafahamu kazi ya TENDE kwa mwanaume? K**a unaifahamu jibu kwenye comments k**a huifahamu comment neno sifahamu nitakuji...
26/05/2025

Unafahamu kazi ya TENDE kwa mwanaume? K**a unaifahamu jibu kwenye comments k**a huifahamu comment neno sifahamu nitakujibu

22/05/2025

“Unajua machungwa ni zaidi ya kinga ya mwili? Kwa mwanaume, ni hazina ya nguvu!”

Machungwa yana vitamin C kwa wingi, ambayo huongeza mzunguko wa damu hadi sehemu za siri, huimarisha ubora wa mbegu, na kusaidia kuongeza msisimko wa kimapenzi. Pia hupunguza msongo wa mawazo unaosababisha kupungua kwa nguvu za kiume.

Kula chungwa moja au mawili kila siku – ni tiba tamu ya kuongeza uwezo wako k**a mwanaume

Tibu tezi dume bila upasuaji 0629 218 863
20/05/2025

Tibu tezi dume bila upasuaji 0629 218 863

29/04/2024

Mrundikano Wa Mafuta Kwenye Mishipa Ya damu Ni Hatari Kwa Mfumo wa Uzazi Wa Mwanaume

Cholesterol au kuwepo kwa mrundikano wa mafuta mengi kwenye mishipa ya damu husababisha presha,ganzi lakini pia kwa mwanaume husababisha hata mishipa ya sehemu za siri za maumbile ya mwanaume kujaa mafuta na kupelekea maumbile kunywea,lakini pia kushindwa kumudu tendo la ndoa.
Mishipa ya maumbile ya sehemu za siri kwa mwanaume inapojaa mafuta husababisha damu kushindwa kupita vizuri damu ikishindwa kupita vizuri husababisha maumbile ya mwanaume yashindwe kusimama vizuri.

Hali hii humfanya mwanaume ashindwe kumudu vizuri tendo la ndoa na kupelekea kukosa kujiamini

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi 0629218863

Address

Dar Es Salaam
+255629218863

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YAKO NI UHAI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YAKO NI UHAI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram