Imarisha Afya Herbalist 01

Imarisha Afya Herbalist 01 Sisi sote kwa pamoja tunahitaji kuishi maisha marefu yenye afya na amani ya moyo........IMARISHA AFYA HERBALIST tupo pamoja kusaidia kutunza Afya yako

VIP SUPER SHAFT 👇Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo Hufungua Mirija Midogomidogo ya kibofu Kwenye Dhakari Ambayo Hu...
07/07/2025

VIP SUPER SHAFT 👇
Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo
Hufungua Mirija Midogomidogo ya kibofu Kwenye Dhakari Ambayo Hufa Kwa Ajiri
Ya Umri , kujichua Na Kisukari/Presha
Huondoa Uchovu
Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
Ni tiba ya Hormone inbalance
Huondoa Tatizo La Maumivu Dhakari ikiwa Imesimama
Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
Huongeza kinga kwenye Via Vya Uzazi
Hutibu maradhi yote ya kuambukizwa katika mfumo wa uzazi kwa mwanaume na pia hutengeneza kinga asikia zilizoharibiwa
Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali YaJuu
Ni Tiba ya Ngiri wa aina zote
Huondoa Tatizo La Dhakari kusimama Ikiwa Legelege
Huondoa Tatizo La Dhakari Kurudi Ndani Na Kuwa K**a ya Mtoto
Dawa hii ina ujazo wa lita1.4 na gharama yake ni tsh 220,000 kwa bei ya offer

15/11/2022

Gouti(gout) ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo Kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida Cha tindikali ya urea(uric acid) katika damu.
Ongezeko la uric acid husababisha madhara katika joiti(joint ni sehemu ya mwili inapokutana/inapokutana mifupa miwili).gaut inaweza kutokwa ghafla (acute gout)au ikawa sugu(chronic gout)Gauti inayotokea ghafla Huwa na maumivu makali na mara nyingi huathili jointi moja tu wakati Gauti sugu inaweza kuathiri jointi zaidi ya moja huambatana na hali ya kujirudia ya maumivu na uvimbe kwenye jointi.
Gout husababishwa na kuwepo Kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida Cha uric acid katika damu.na ongezeko hili husabisha mrundikano wa uric acid katika maji maji yanayozunguka jointi yanayoitwa SYNOVIAL FLUID na hatimaye kutengeneza vijiwe vidogo vidogo vya tindikali hiyo ya uric acid crystals abavyo husabisha joint kuvimba na hatimaye kuathirika.

Kuna aina nyingi za vyakula vyenye madini aina ya PURINE ambayo huzalisha Uric acid na baadhi yake ni k**a ; maharage, nyama nyekundu, pombe, nk
DALILI ZA UGONJWA WA uric acid
*Miguu kuwaka moto
*Ganzi
*Kuvimba magoti au sehemu za vidole
*Kuisi k**a mifupa inasagana pale ubadilishapo mkao.
Kumbuka kila ganzi Ina kiashilia chake mwilini ,fika Sasa ofisin kwetu MTAA wa nyamwezi na mafia utuelezee tatizo lako na upate dawa stahiki.Au piga sim no: 0745685203/ 0787965540.huduma ya KULETEWA mzigo ni bule na Kwa walioko mikoani wanatumiwa.

Sisi sote kwa pamoja tunahitaji kuishi maisha marefu yenye afya na amani ya moyo........IMARISHA AFYA HERBALIST tupo pamoja kusaidia kutunza Afya yako

Je wajua UTI na PID ikiachwa bila kutibiwa inaweza ikaharibu ndoto zako za kubeba mimba ?Naam UTI na PID ni ugonjwa hata...
03/11/2022

Je wajua UTI na PID ikiachwa bila kutibiwa inaweza ikaharibu ndoto zako za kubeba mimba ?
Naam UTI na PID ni ugonjwa hatari ambao usipotibiwa huweza kusababisha makovu na vifuko vyenye majiyenye wadudu kwenye mkondo wa njia ya Uzazi kwa mwanamke ,Vitu hivi vinaweza kusababisha Madhara ya kudumu kwenye Viungo vya uzazi
ZIJUE DALILI ZAKE
*Maumivu chini ya kitovu
*Kutokwa na Uchafu mzito wenye rangi ya maziwa mgando usiowakaida na wenye kutoa harufu mbaya
*Maumivu wakati wa tendo
*Kuhisi kichefu chefu, na maziwa kuumuka k**a vile unanonyesha
*Kupata haja ndogo mara kwa mara au haja kutoka kwa shida ikiambatana na maumivu
*Kukosa Hedhi
Haya na mengine mengi Karibu Tukupatie Dawa yetu yenye uwezo wa kuondosha hilo tatizo kwa mda wa siku nne mpaka saba tu
Dose moja mnaweza kutumia watu wawili (mke na mume) hivyo kuwafanya nyote muwe salama na kuutokomeza ugonjwa huu
*Ukitumia dawa hii huwezi kusumbuka tena na tatizo la kukosa mtoto,hata k**a uliwahi kutumia vidonge na sindano vya kuzuia kuzaa itakusaidia kutoa sumu zote mwilini na kukufanya Uwe Huru.
USISUBIRI KUADITHIWA AGIZA WEWE MWENYE TATIZO HILO LEO KISHA NDANI YA SIKU SABA NJOO UTUADHIE WEWE MATOKEO ULIYOYAPATA.piga Sim no:0787965540/ 0745685203 au fika ofisin kwetu MTAA wa nyamwezi na mafia lkn pia HUDUMA YA KUFIKISHIWA MZIGO NI BURE na mikoani tunatuma

Tatizo la mfumo wa uzazi Kwa wanaume limekuwa kikwazo kikubwa kwenye maisha yetu kutokana na sababu mbali mbali za kimaz...
03/11/2022

Tatizo la mfumo wa uzazi Kwa wanaume limekuwa kikwazo kikubwa kwenye maisha yetu kutokana na sababu mbali mbali za kimazingira pamoja utumiaji Kwa wingi wa vyakula vya kileo.na hivyo kuperekea asilimia nyingi ya watu kutumia dawa zisizo sahihi k**a mivumbi ya Kongo Kwa kuogopa kudhalaulika bila kujua ya kuwa wanajiongezea matatizo makubwa zaidi Kwa kutumia hizo booster.
VIP SUPER SHAFT ni dawa ambayo imeandaliwa Kwa mfumo wa asali na mchanganyiko wa mitishamba ambayo inarekebisha kabisa tatizo la uzazi Kwa wanaume hasa hasa wanaosumbuliwa na
*Ngiri wa mda mrefu, sukari, pressure pamoja na maradhi mengine nyemelezi vile vile dawa hii inatibu kabisa la
Misuli ya z***r kusinyaa na kurudi ndani
Gesi tumbon .na hivyo itakufanya ulejee kwenye ufalme wako k**a zaman .dawa hii hupatikana Kwa dozi . tupigie sim no:0787965540/ 0745685203 au fika mtaa wa mafya na nyamwezi ujipatie dozi yako uondokane na tatizo hili Kwa MDA mfupi ulejeshe heshima Yako uepukane na fedhea.
HUDUMA YA KUFIKISHIWA MZIGO NI BURE

28/10/2022
Tatizo la mfumo wa uzazi Kwa wanaume limekuwa kikwazo kikubwa kwenye maisha yetu kutokana na sababu mbali mbali za kimaz...
26/10/2022

Tatizo la mfumo wa uzazi Kwa wanaume limekuwa kikwazo kikubwa kwenye maisha yetu kutokana na sababu mbali mbali za kimazingira pamoja utumiaji wa mara Kwa mara vyakula vya kileo na kupunguza k**a sio kuacha kabisa vyakula vya asili.
karibu tuzungumze kwa vitendo juu ya kitendo cha kupata nguvu kitandaniđź’Ź

tupigie sim no:0787965540 AU 0745685203

Address

Sinza
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 06:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 10:00 - 16:00
Sunday 10:00 - 16:00

Telephone

+255787965540

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Imarisha Afya Herbalist 01 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram