Afya ni mtaji tabasam

Afya ni mtaji tabasam *Kwa kuimarisha mfumo wa UZAZI,
*NGUVU
*Bawasiri
*UZITO # na
Tuma neno

Juice ya Komamanga kwa Mwanaume👇Tafiti zimeonesha kuwa juice ya komamanga ina matokeo chanya kwenye uimarishaji wa kusim...
23/08/2022

Juice ya Komamanga kwa Mwanaume👇

Tafiti zimeonesha kuwa juice ya komamanga ina matokeo chanya kwenye uimarishaji wa kusimama barabara kwa uume.
Hii ni kutokana na uwepo wa kiosha sumu cha free radicals(antioxidants) ambacho huboresha mzunguko wa damu, kuongeza kiwango cha homoni ya kiume ya testosterone na hivyo kuimarisha afya ya uzazi ya mwanaume.

Husaidia pia kurudisha kumbukumbu na mood.
🇹🇿

Nitakupa Muongozo sahihi wa chakula sahihi + mazoezi = vitakusaidia kuwa na afya na nguvu tele wakati wa kutumia pack hi...
08/08/2022

Nitakupa Muongozo sahihi wa chakula sahihi + mazoezi = vitakusaidia kuwa na afya na nguvu tele wakati wa kutumia pack hii

Ninawasaidia wengi

Nitumie ujumbe whatsapp andika neno AFYA +255 629224104.
🇹🇿

kuna kasumba za mtaani wanasema wanaume wembamba wanajua sana kuridhisha wanawake…hii ni kweli kabisa kwani wanaume wane...
07/08/2022

kuna kasumba za mtaani wanasema wanaume wembamba wanajua sana kuridhisha wanawake…hii ni kweli kabisa kwani wanaume wanene huchoka sana kwa shughuli ndogondogo na ikifika jioni huwa hawawezi kufanya chochote lakini pia mafuta mengi kwenye mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye uume hufanya uume uishiwe nguvu kabisa hivyo matibabu ya nguvu za kiume kwa watu hawa ni kupunguza unene kwanza ndipo wapate tiba nyengine.
Nina program salama kwa ajili yako utaniambia unaitaji kupungua kilo ngapi uianze, Tuma neno kupungua kwenda WhatsApp 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.

MADHARA YA UNENE ULIOPITILIZA (OBERSITY) NA JINSI UNAVYOWEZA KUTATUA TATIZO NDANI YA SIKU 25◼️Tatizo hili la unene uliop...
06/08/2022

MADHARA YA UNENE ULIOPITILIZA (OBERSITY) NA JINSI UNAVYOWEZA KUTATUA TATIZO NDANI YA SIKU 25

◼️Tatizo hili la unene uliopitiliza kuliko inavyo hitajika kiafya limekuwa kubwa sana na huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini.

◼️Njia rahisi na inayokubalika ya kuweza kugundua k**a mtu ni mnene kupita kiasi (obese) inafahamika k**a kipimo cha Body Mass Index (BMI).

◼️Vipimo hivi vya BMI ndio vinaweza kukujulisha k**a unene ulionao unastahili kulingana na umri, urefu na uzito wako. Vipimo hivi ni k**a ifuatavyo:
Jinsi ya kupima BMI yako
Kanuni ya BMI hutumia uzito wa mtu pamoja na urefu wake. Uzito wa mtu hupimwa katika kilograms (kg) na urefu wake katika mita (m) au sentimita (cm). Ikumbukwe pia kuwa mita moja ni sawa na sentimita 100 na mita² = mita x mita.

◼️BMI (kg/m2) = Uzito katika kilograms/Urefu katika meters². Maana yake ni kwamba ili kuweza kupata BMI itakayokuwezesha kujifahamu k**a ni mnene ama la, chukua uzito wako gawa kwa kipeo cha pili cha urefu wako.

TATIZO LA UNENE ULIOPITILIZA HUSABABISHWA NA NINI?

✍🏻Kuna mambo kadhaa yanayoweza kusababisha unene uliopitiliza. ni pamoja na:
➡Vyakula vya mafuta - Ulaji wa vyakula venye mafuta mengi au calories nyingi.
➡Kutofanya mazoezi - Wale wasiofanya mazoezi mara kwa mara huwa wanene tofauti na wale wanaofanya mazoezi.
➡Umri - Watu wengi huongezeka uzito au hunenepa kadri umri unavyoongezeka kwa sababu wanakuwa hawajishughulishi sana (less active) na huwa wanapungua maumbile ya miili yao (muscles mass)
➡Matatizo ya kisaikolojia - Wakati mwengine watu wenye matatizo ya kisaikolojia au msongo wa mawazo (stress) huwa na tabia ya kula sana, matokeo yake ni kunenepa.
➡Dawa - Baadhi ya dawa zenye madhara ya kuongeza unene ni k**a corticosteroids, blood pressure medications, tricyclic medications na kadhalika.
➡Matatizo ya afya - Baadhi ya magonjwa yanachangia kuongezeka kwa uzito au kenenepa k**a cushings syndrome, hypothyroidism, osteoarthritis na kadhalika.

MADHARA YA UNENE ULIOPITILIZA
✍🏻Magonjwa yanaoweza kuambatana na tatizo la unene uliopitiliza ni k**a;
➡Kisukari
➡Shinikizo la damu (hypertension)
➡Kiharusi (Stroke)
➡Magonjwa ya moyo
➡Tatizo la kutopumua vizuri wakati mtu yupo usingizini (Sleep apnea)
➡Vijiwe katika mfuko wa nyongo (Gallstones)
➡Kiwango cha juu cha lehemu kwenye damu (cholesterol ikiwemo triglycerides)
➡Ugonjwa wa mifupa k**a yabisi (osteoarthritis).
➡Saratani ya matiti
➡Saratani ya tezi dume (prostate cancer)
➡Saratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa (Colorectal cancer)
➡Matatizo ya mzunguko wa damu k**a vile kuvimba kwa vena za miguuni (varicose veins)
➡Uvimbe kwenye uzazi na kukosa mimba

MADHARA YA UZITO MKUBWA KWA WANAWAKE

✍🏻Wanawake ambao wana uzito wa kupitiliza (obese women) wakiwa wajawazito wako kwenye hatari ya kupata madhara yafuatayo;

➡Kisukari cha mimba (Gestatitional diabetes). Kisukari hiki kinatokea wakati wa ujauzito na hupotea baada ya kujifungua mtoto.
➡Shinikizo la damu/Pressure ya mimba (hypertension). Shinikizo la damu wakati wa ujauzito pamoja na kifafa cha mimba (pre-eclampsia & eclampsia)
➡Kuzaa kwa njia ya upasuaji (caesarean section)
➡Tatizo la kiumbe kutopata hewa vizuri wakati wa ujauzito (fetal distress).

PROGRAM YA SIKU 25 YA KUONDOA KITAMBI NA UZITO ULIOPITILIZA

✍🏻Hii ni Program itakayokusaidia kuondoa 10kg - 15kg ikiwa utafata program kwa usahihi.
✍🏻Mhusika lazima awe tayari kutumia Virutubisho na kufanya mazoezi ya kawaida ndani ya muda huu.
✍🏻Kuacha vyakula vya mafuta mengi, sukari nyingi, wanga mwingi.
✍🏻Kutumia vyakula vya asili na siyo vya viwandani na vyenye kemikali.

Wasiliana nasi kwa kutuma neno AFYA kwenda WhatsApp number 0629224104 au Piga Simu usaidiwe mapema.
🇹🇿

K**A HUNA VITU HIVI KWENYE TENDO LA NDOA WEWE SIO RIJALIKuna vitu vingi ambavyo mwanaume unatakiwa uwe navyo unapofika w...
04/08/2022

K**A HUNA VITU HIVI KWENYE TENDO LA NDOA WEWE SIO RIJALI

Kuna vitu vingi ambavyo mwanaume unatakiwa uwe navyo unapofika wakati wa kushiriki tendo la ndoa na hivi ndio hudhihirisha urijali wako na k**a ikitokea vimekosekana jua hiyo ni changamoto kwako

Vitu hivyo ni👇👇

HISIA (Hamu)
Ili uweze kushiriki tendo la ndoa ni lazima uwe na hisia za kimapenzi ambazo ndio zitakusaidia sana kumuandaa mwenza wako na kupata morali ya kushiriki tendo na kumbuka hisia zikijengeka vizuri ni rahisi kusimamisha uume na itakuwa ni rahisi pia kuwa na uwezo wa kurudia tendo ndani ya muda mfupi sana

MUDA WA KUFIKA KILELENI
Hapa ndipo pahala muhimu sana wakati wa kushiriki tendo kwani ili uwe na uwezo wa kufurahia tendo vizuri ni lazima utumie muda mrefu kwenye kushiriki kuliko kumuandaa mwenza wako na kumbuka unapotumia muda mrefu itakuwa ni rahisi sana kumridhisha mwenza wako kwasababu kwa kawaida mwanamke anatumia dakika 15-20 kufika kileleni na ikitokea ukatumia muda chini ya hapo itakuwa ni changamoto kwako

KURUDIA TENDO
Baada ya kumaliza raundi ya kwanza ni lazima mwanaume uwe na uwezo wa kurudia tena tendo na kumbuka wastani wa mwanaume kufika kileleni unaanzia dakika 8 na kuendelea na mwanamke ana wastani wa dakika 15 na kuendelea sasa ikitokea umetumia muda mchache kufika kileleni na ukakosa uwezo wa kurudia tendo utakuwa umeshindwa kumridhisha mwenza wako na kumfikisha kileleni na kwa kawaida mwanaume hatakiwi kutumia dakika zaidi ya 7 kurudia tendo ikitokea dakika zimezidi mwenza wako atabaki na hamu na hatofurahia tendo

KUSIMAMISHA STRONG
Mwanaume kamili anatakiwa kuwa na uwezo wa kusimamisha uume kuwa imara zaidi hii itakusaidia kushiriki tendo kwa kujiamini zaidi lakini itakuwa ni rahisi kugusa maeneo ukeni kwa mwenza wako ambayo yanampa raha zaidi na kuweza kufurahia tendo

Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanadhihirisha kuwa wewe ni mwanaume rijali

K**A UNAJUA KUWA HUNA SIFA ZOTE AMA MOJAWAPO KATI YA HIZO HIYO NI CHANGAMOTO NA UNAHITAJI SULUHISHO

Nimekuandalia Audio ambayo itakufafanulia namna ya kuwa na sifa hizo ukawa mwanaume kamili

kwa msaada ziadi tuma ujumbe WhatsApp kwa kuandika neno MWANAUME KAMILI kwenda namba

WhatsApp or Call
0629224104

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .2.Uume unasin...
02/08/2022

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..

1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2.Uume unasinyaa taratibu baada ya goli moja na kuendelea inakua ni ngumu.

3.Mwili unahisi ganzi pamoja na uume kusinyaa ukiwa kwenye tendo

4.Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5.Uume unasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke unasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

Katika utatuzi wa tatizo hili usitumie DAWA tubia virutubisho kutatua tatizo hili kabsaa .

Kwa msaada zaidi:

Tuma neno AFYA kwenda WhatsApp number +255 629224104
....au Piga Simu usaidiwe Mapema

Afya yako ndo msingi wa kwanza kuangalia bila ya afya hutoweza kufanya shughuli unazo zifanya jipende...Whatsapp namba 0...
22/07/2022

Afya yako ndo msingi wa kwanza kuangalia bila ya afya hutoweza kufanya shughuli unazo zifanya jipende...
Whatsapp namba 0629224104.
🇹🇿

Kwanini  Utumie Bedroom Package   ITAKUSAIDIA 1. Kuondoa sumu mwilini ambazo zimetokana  na ulaji mbovu wa vyakula vyeny...
20/07/2022

Kwanini Utumie Bedroom Package

ITAKUSAIDIA

1. Kuondoa sumu mwilini ambazo zimetokana na ulaji mbovu wa vyakula vyenye kemikali

2. Kuongeza mzunguko wa damu ili uume upate damu ya kutosha kuuwezesha usimame muda mrefu bila kulegea

3. Kuongeza au kuimarisha uwezo wa kushiriki tendo (Yani stamina ya kufanya mapenzi). Hii ni hatua ambayo inakusaidia kuweza kudumu kitandani muda mrefu bila kuchoka haraka.
Whatsapp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe kuipata.
🇹🇿

Kuwahi kufika Kileleni inaumiza sana, pia inaleta aibu sana kwa mwanaume. Katika vitu ambavyo mwanamke hapendi ni kukuta...
05/07/2022

Kuwahi kufika Kileleni inaumiza sana, pia inaleta aibu sana kwa mwanaume. Katika vitu ambavyo mwanamke hapendi ni kukutana na mwanaume anayewahi kufika kileleni mapema, virutubisho asili vya kuondoa changamoto hiyo vipo, KARIBU USAIDIWE DOZI MAPEMA.
Whatsapp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.
🇹🇿

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.👉Uume kusimama...
26/06/2022

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno KWELI kwenda whatsapp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.

🇹🇿

👆👆 Huyu kutokana na changamoto yake  aliamua kuagiza package yake ya virutubisho mapema ili aanze kujiimarisha afya yake...
21/06/2022

👆👆 Huyu kutokana na changamoto yake aliamua kuagiza package yake ya virutubisho mapema ili aanze kujiimarisha afya yake, katika utatuzi wa upungufu wa nguvu za kiume usitumie dawa tumia virutubisho upone moja kwa moja.
Nichek whatsapp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.
🇹🇿

Mwanaume Bora Lazima Asome HapaUmekuwa ukisumbuka sana kwa kuona kika siku ikisogea mbele udhaifu kitandani nao huongeze...
01/06/2022

Mwanaume Bora Lazima Asome Hapa

Umekuwa ukisumbuka sana kwa kuona kika siku ikisogea mbele udhaifu kitandani nao huongezeka na watibabu wengi nao huongezeka swali moja tu leo jiulize?

💊💊💊.Upo tayari kutumia madawa ya kuufanya uume kusimama pale unapohitaji kufanya tendo la ndoa tu
Kesho utumie tena madawa?

🍇🍌🍉🍆🥑🌽🥦🥒🥜. Au upo tayari Utumie lishe bora kutibu mwili wako na ubongo ili uume usimame wenyewe kila unapopata hisia au kutaka kushiriki tendo la ndoa?

Chagua ni lako kuamua kuziaga fedhea au kuendelea kujiboost yaan kuujengea mwili wako uwe tegemezi wa madawa hayo
K**a jibu ni muhimu kutumia Virutubisho ili uimarishe mifumo yako nitafute sasa hivi kwenda WhatsApp 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.

Address

Dar Es Salaam
14107

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 13:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni mtaji tabasam posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni mtaji tabasam:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram