Happie afya kwanza

Happie  afya kwanza afya bora ni mtaji

29/12/2023

JARIBU KUZUIA UTI SUGU KWA NJIA HII
Urinary Tract Infection (UTI) yaani maambukizi katika njia ya mkojo ni moja kati ya magonjwa yanayosumbua sana wanawake wengi
Je wewe ni mhanga wa UTI sugu??
Soma hii SIRI hapa chini...
Moja kati sababu kubwa zinazofanya wanawake wengi waugue UTI ni namna wanavyojisafisha baada ya kumaliza haja kubwa

IKO HIVI: Mwili wa binadamu una vijidudu Vingi sana vya bacteria. Vijidudu hivi vinaweza kua salama katika sehemu moja ya mwili lkn vikasababisha madhara endapo vikahamishwa kutoka sehemu hiyo kwenda sehemu nyingine. Ndivyo ilivyo kwa bacteria anayeitwa Escherichia coli( E.coli) anayesababisha UTi. Bacteria huyu kikawaida hupatikana katika njia ya utumbo mpana na kutoka katika kinyesi...hii ni kawaida
Mwanamke anapomaliza haja kubwa na kujisafisha kwa mkono kutokea nyuma ( tundu la haja kubwa) kuja mbele( tundu la mkojo) hubeba na kuhamisha vijidudu ya bacteria E.coli kutoka kwenye nyuma kuja kwenye njia ya mkojo ambako husababisha UTi
Unaweza kuzuia maambukizi ya UTI kwa njia hii kwa kusafisha kutokea mbele kwenye njia ya mkojo kuelekea nyuma kwenye njia ya Baja kubwa!! Hii itazuia uhamishaji wa hawa bacteria na kuzuia maambukizi ya UTI kwa njia hii

23/12/2022
Watu wengi wamekata tamaa hasa katika masuala ya tiba sahihi kwa matatizo yanayokusumbua..kabla hujakata tamaa kabisa ni...
19/07/2022

Watu wengi wamekata tamaa hasa katika masuala ya tiba sahihi kwa matatizo yanayokusumbua..kabla hujakata tamaa kabisa nitafute kupitia namba 0682 021529 nikusaidie

Tezi dume ni ugonjwa unaosababishwa na kuvimba kwa tezi za mwanaume zinazoitwa prostate. Tezi hizi ni muhimu sana katika...
07/07/2022

Tezi dume ni ugonjwa unaosababishwa na kuvimba kwa tezi za mwanaume zinazoitwa prostate. Tezi hizi ni muhimu sana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume hivo zinapovimba zinasababisha matatizo mengi K**a maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au kukojoa, kupungua kwa nguvu za kiume , ugumba na matatizo katika mfumo mzima wa uzazi kwa ujumla...VUNJA UKIMYA, TATIZO LINATIBIKA BILA HATA KUFANYA UPASUAJI..
Piga namba 0682021529 usaidiwe Sasa

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Happie afya kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Happie afya kwanza:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram