Pid - Pelvic Inflammatory Diseases

Pid - Pelvic Inflammatory Diseases KARIBU KWA TIBA NA USHAURI. MAWASILIANO YETU NI 0753923954
{WhatsApp/Sms/Simu}

12/07/2022

PID - PELVIC INFLAMATORY DISEASES.
Ni madhara yatokanayo na wadudu ( bacteria) walio shambulia via vya uzazi, mirija ya fallopian, mifuko ya mayai(ovaries), mfuko wa uzazi(uterus), shingo ya kizazi na uke.

PID ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi sana na Mara nyingi bila kujua ni PID.

SABABU ZA PID.
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kupata PID.
1.Kufanya ngono isiyo salama.
2.Maambukiz ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama au mara baada ya mimba kuharibika.
3.Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi.
4.kuugua UTI SUGU na FANGASI SUGU bila kupona.

DALILI ZA PID NI K**A ZIFUATAZO;
√ Kichefuchefu
√kutapika
√homa za Mara kwa Mara
√maumivu wakati wa kukojoa
√maumivu wakati wa s*x
√uume kutoka na uchafu baada ya s*x (unatoka kwa mwanamke )
√maumivu ya tumbo chini ya kitovu
√maumivu ya mgongo
√kutokwa na uchafu ( discharge) ukeni unakuwa ya rangi ya maziwa, kahawia, njano au kijani
√kutokwa na majimaji ukeni yenye harufu mbaya na wakati mwingine usaha
√harufu mbaya/ shombo ukeni
√kupata hedhi bila mpangilio

MADHARA YA PID.
1. Maumivu Ya Tumbo.
2. Maumivu Ya Nyonga.
3. Majeraha Ndani Na
Nje Ya Mirija Ya Uzazi.
4. Mirija Ya Uzazi Kuziba.
5. Kubeba Mimba Nje Ya Kizazi.
6. Ugumba.
7. Kansa Ya Shingo Ya Kizazi.

MATIBABU YA PID;
Usijali kabisa k**a wewe ni mmoja wa wahanga wa tatizo la PID kwa muda mrefu na umetafuta ufumbuzi bila mafananikio.

Basi nikupe habari njema kwamba PID inatibika na kupona kwa haraka pamoja na magonjwa sugu ya Uzazi kwa kutumia dawa maalumu zilizotengenezwa kwa virutubisho/viini lishe kutoka kwenye mimea asilia,matunda,mbogamboga, na ambavyo mpaka sasa imekuwa msaada mkubwa Kwa wanawake wengi sana

BEI YAKE NI TSH. 48,000 (OFA)

KWA DAR ES SALAAM UNAFIKISHIWA MPAKA NYUMBANI BURE.
{UTALIPA UTAKAPOIPOKEA DAWA}

MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA BASI.

MAWASILIANO:
0753-923954
(WhatsApp/Simu/Sms)

UJUE UGONJWA WA PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)JE PID NI NINI?PID Ni Maambukizi Katika Mfumo Wa Uzazi Wa Mwanamke, Kwa ...
03/01/2022

UJUE UGONJWA WA PID
(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

JE PID NI NINI?

PID Ni Maambukizi Katika Mfumo Wa Uzazi Wa Mwanamke, Kwa Kitaalamu Unaitwa Pelvic Inflamatory Diseases.

Ni Moja Ya Matatizo Ambayo Huwaathiri Sana Wanawake.

Kwa Kawaida Maambukizi Haya Huusisha:-
1. Shingo Ya Kizazi (cervix) hali ambayo hujulikana k**a CERVICITIS.
2. Nyama Ya Mfuko Wa Uzazi (ENDOMETRIUM) ambayo kitaalamu huitwa ENDOMETRITIS na
3. Mirija Ya Uzazi (FALLOPIAN TUBE) hali ijulikanayo kitabibu k**a SELPINGITIS.

JE PID HUSABABISHWA NA NINI?

Pamoja Na Aina Kadhaa Za Vimelea Kuhusishwa Na PID, Vimelea Vya Jamii ya NEISSERIA, GONORRHOEAE pamoja na CHLAMYDIA TRACHOMATIS ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

JE PID HUAMBUKIZWAJE KWA MWANAMKE?
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na:-
👉Kufanya ngono isiyo salama.

👉Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)

👉Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)

👉Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na

👉Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

DALILI ZA PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni:-
👉Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu.

👉Kupata maumivu ya mgongo.

👉Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.

👉Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.

👉Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

👉Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi.

👉Kupata homa.

👉Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na Pia kutapika.

PID INATIBIKA HUJACHELEWA PATA TIBA SAHIHI SASA KWA KULINDA KIZAZI CHAKO

Dozi Ya PID Ni Tsh. 38,000 Tu!
[Ofa Ya Mwaka Mpya 2022]

KWA DAR ES SALAAM USAFIRI NI BURE NA UTALIPIA UKISHAPOKEA DAWA.

MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA BASI.
(Nauli Ni Tsh. 5,000)

KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI KWA NAMBA 0748-668404
(whatsapp/sms/simu)

BONYEZA LINK HII HAPA CHINI IKUPELEKE WHATSAPP MOJA KWA MOJA.
https://wa.me/message/YG6TVBKRYUQCH1

PID - PELVIC INFLAMATORY DISEASES. Ni madhara yatokanayo na wadudu ( bacteria) walio shambuliwa via vya uzazi, mirija ya...
29/09/2021

PID - PELVIC INFLAMATORY DISEASES.
Ni madhara yatokanayo na wadudu ( bacteria) walio shambuliwa via vya uzazi, mirija ya fallopian, mifuko ya mayai(ovaries), mfuko wa uzazi(uterus), shingo ya kizazi na uke.
PID ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi sana na Mara nyingi bila kujua ni PID.
-
SABABU ZA PID.
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kupata PID.
1.Kufanya ngono isiyo salama.
2.Maambukiz ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama au mara baada ya mimba kuharibika.
3.Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi.
4.kuugua UTI SUGU na FANGASI SUGU bila kupona.

DALILI ZA PID NI K**A ZIFUATAZO;
√ Kichefuchefu
√kutapika
√homa za Mara kwa Mara
√maumivu wakati wa kukojoa
√maumivu wakati wa s*x
√uume kutoka na uchafu baada ya s*x (unatoka kwa mwanamke )
√maumivu ya tumbo chini ya kitovu
√maumivu ya mgongo
√kutokwa na uchafu ( discharge) ukeni unakuwa ya rangi ya maziwa, kahawia, njano au kijani
√kutokwa na majimaji ukeni yenye harufu mbaya na wakati mwingine usaha
√harufu mbaya/ shombo ukeni
√kupata hedhi bila mpangilio

MADHARA YA PID.
Maambukiz kwenye njia ya kizazi husababisha madhara makubwa sana kwa mwanamke k**a UGUMBA na mimba kujishikiza mahali pasipo sahihi tofaut na mfuko wa mimba na kadri unavyoumwa PID ndivyo hatar ya UGUMBA inavyoongezeka.

MATIBABU YA PID;
Usijali kabisa k**a wewe ni mmoja wa wahanga wa tatizo la PID kwa muda mrefu na umetafuta ufumbuzi bila mafananikio, basi nikupe habari njema kwamba PID inatibika na kupona kwa haraka pamoja na magonjwa sugu na ya Uzazi kwa kutumia dawa maalumu zilizotengenezwa kwa virutubisho/viini lishe kutoka kwenye mimea asilia,matunda,mbogamboga, na ambavyo mpaka sasa imekuwa msaada mkubwa Kwa wanawake wengi sana

BEI YAKE NI TSH. 48,000
KWA DAR ES SALAAM UNAFIKISHIWA MPAKA NYUMBANI BURE.

MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA BASI.

MAWASILIANO:
0767112291
(WhatsApp/Simu/Sms)

PID - PELVIC INFLAMATORY DISEASES. Ni madhara yatokanayo na wadudu ( bacteria) walio shambuliwa via vya uzazi, mirija ya...
06/09/2021

PID - PELVIC INFLAMATORY DISEASES.
Ni madhara yatokanayo na wadudu ( bacteria) walio shambuliwa via vya uzazi, mirija ya fallopian, mifuko ya mayai(ovaries), mfuko wa uzazi(uterus), shingo ya kizazi na uke.
PID ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi sana na Mara nyingi bila kujua ni PID.
-
SABABU ZA PID.
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kupata PID.
1.Kufanya ngono isiyo salama.
2.Maambukiz ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama au mara baada ya mimba kuharibika.
3.Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi.
4.kuugua UTI SUGU na FANGASI SUGU bila kupona.

DALILI ZA PID NI K**A ZIFUATAZO;
√ Kichefuchefu
√kutapika
√homa za Mara kwa Mara
√maumivu wakati wa kukojoa
√maumivu wakati wa s*x
√uume kutoka na uchafu baada ya s*x (unatoka kwa mwanamke )
√maumivu ya tumbo chini ya kitovu
√maumivu ya mgongo
√kutokwa na uchafu ( discharge) ukeni unakuwa ya rangi ya maziwa, kahawia, njano au kijani
√kutokwa na majimaji ukeni yenye harufu mbaya na wakati mwingine usaha
√harufu mbaya/ shombo ukeni
√kupata hedhi bila mpangilio

MADHARA YA PID.
Maambukiz kwenye njia ya kizazi husababisha madhara makubwa sana kwa mwanamke k**a UGUMBA na mimba kujishikiza mahali pasipo sahihi tofaut na mfuko wa mimba na kadri unavyoumwa PID ndivyo hatar ya UGUMBA inavyoongezeka.

MATIBABU YA PID;
Usijali kabisa k**a wewe ni mmoja wa wahanga wa tatizo la PID kwa muda mrefu na umetafuta ufumbuzi bila mafananikio, basi nikupe habari njema kwamba PID inatibika na kupona kwa haraka pamoja na magonjwa sugu na ya Uzazi kwa kutumia dawa maalumu zilizotengenezwa kwa virutubisho/viini lishe kutoka kwenye mimea asilia,matunda,mbogamboga, na ambavyo mpaka sasa imekuwa msaada mkubwa Kwa wanawake wengi sana

BEI YAKE NI TSH. 48,000
KWA DAR ES SALAAM UNAFIKISHIWA MPAKA NYUMBANI BURE.

MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA BASI.

MAWASILIANO:
0767112291
(WhatsApp/Simu/Sms)

Address

Goba Njia Nne
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pid - Pelvic Inflammatory Diseases posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Pid - Pelvic Inflammatory Diseases:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram